Hii kitu ya kuomba namba kwenye bus ilishanishinda baada ya jaribio moja tu. Nlikaa na manzi Kawe to Mbezi Mwisho, vibed all the way long kufika Mbezi akanichomolea huku akinichekea kabisa. Sijarecover hadi kesho.
Kuna mdada alinifata DM akiomba msaada mama ake yu mahututi Muhimbili na anadaiwa bills kibao. Kesho yake nikamuomba nyaraka za madeni akasema kaka ake amezuia docs zisiwe shared publicly. Nikauliza why did she text me kama hawakutaka msaada wa nje?
Nlimwambia mkata ticket sitaki kukaa kinyonge naenda mbali sana and he delivered. 😅
Mtoto petite, yellow bone afu kapiga shungi hiyo na mwili wote umefunikwa yaani stara stara.
Asalaam Aleykum!!!🤗
My brother is getting married today & he gave me his phone nimshikie wakati wa ibada.
"Akipiga mshkaji mwambie nipo kanisani. Akipiga mdada mwambie nipo kikaoni".
😅😅😅ngoja nisicheke sana nisijechanganya maelekezo.
I only made one attempt to celebrate Valentines in 2016 na ndio ikawa ya kwanza na ya mwisho. Nlilipia package mahala nikakae na mtoto wa mtu siku mbili akapotea tarehe 14 to 16 akashindwa hata kujitetea kwa aibu. Nikala hasara na hasira pamoja. 😄😄
Ila humu ndani hapana asee🙌🙌, few months ago nilikua nachat na mtu (mdada) vizuri tu. Leo nlikua DM nafuta some old conversation nmekuta that account ni ya mwana kabisa tena artist sijui anaimba. 😄😄😄
Nilipanga mahala first 3 months kukawa na mauzauza nkapiga sala sana pakatulia. Kodi kuisha nataka renew mwenye nyumba hanitaki namie sina plans za kuhama, kumbe anafanya mauza ili uhame uache kodi aje mwingine naye akae mwezi ahame na yeye hapokei less than 6months😀😀😀
Twitter mahusiano: My big sis ameolewa and her marriage is abt 3 years already. On the day of their 3rd Anniversary bahati mbaya her phone goes missing pale sebleni so akamuomba simu ma'mkwe ajipigie only to find out amem'save 'Grace wa Mbeya'. Seriously?😀How does that sound?
Mwaka 2020 kuna sister ofisini alihamia afu our first interactions akawa ananikunjia sura kabisa, mara ya kwanza nikahisi labda its just a bad day. Mara ya pili the same. She was giving me that 'hebu nitokee hapa' face. Na kwa sababu operations zangu zilikua zinaingiliana na
Kuna mwana mshua wake alikua ubalozini so wao walizaliwa Bongo ila kukulia Congo na Ethiopia. Mshua akastaafu wakarudi sasa kuna siku aliomba kazi sehemu akaitwa. Kufika akaulizwa lugha gani yuko huru zaidi kuongea akasema French au English. Wale wazee wakajua utani bhana.