boris the chef👨🏽‍🍳 Profile Banner
boris the chef👨🏽‍🍳 Profile
boris the chef👨🏽‍🍳

@boris_the_name

Followers
5,798
Following
1,690
Media
757
Statuses
53,954

| Ugly | Introverted | Boring | Poems | Foods | Photography | Football | Travel | Public Relations | Journalism | 'I wanna travel the world and eat their food'.

Earth
Joined March 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
3 months
| Ugly | Introverted | Boring |
6
6
54
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
9 months
Hii kitu ya kuomba namba kwenye bus ilishanishinda baada ya jaribio moja tu. Nlikaa na manzi Kawe to Mbezi Mwisho, vibed all the way long kufika Mbezi akanichomolea huku akinichekea kabisa. Sijarecover hadi kesho.
138
45
895
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
3 years
If she's from Arusha, marry her. Yes. Marry her.
63
30
669
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
5 months
Kuna mdada alinifata DM akiomba msaada mama ake yu mahututi Muhimbili na anadaiwa bills kibao. Kesho yake nikamuomba nyaraka za madeni akasema kaka ake amezuia docs zisiwe shared publicly. Nikauliza why did she text me kama hawakutaka msaada wa nje?
79
63
657
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
6 months
Wazee tuchomeni chanjo ya homa ya ini. I just lost a very young fella for hepatitis B. Inaumiza mno.
30
73
605
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
7 months
Nlimwambia mkata ticket sitaki kukaa kinyonge naenda mbali sana and he delivered. 😅 Mtoto petite, yellow bone afu kapiga shungi hiyo na mwili wote umefunikwa yaani stara stara. Asalaam Aleykum!!!🤗
61
31
509
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
2 years
5m??? Mimi hata 500k kumuona msanii hapana. Labda nilipe aje kwenye wedding yetu. 😀😀😀😀
28
7
491
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
7 months
My brother is getting married today & he gave me his phone nimshikie wakati wa ibada. "Akipiga mshkaji mwambie nipo kanisani. Akipiga mdada mwambie nipo kikaoni". 😅😅😅ngoja nisicheke sana nisijechanganya maelekezo.
49
39
493
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
5 months
I only made one attempt to celebrate Valentines in 2016 na ndio ikawa ya kwanza na ya mwisho. Nlilipia package mahala nikakae na mtoto wa mtu siku mbili akapotea tarehe 14 to 16 akashindwa hata kujitetea kwa aibu. Nikala hasara na hasira pamoja. 😄😄
100
52
497
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
3 years
Ila humu ndani hapana asee🙌🙌, few months ago nilikua nachat na mtu (mdada) vizuri tu. Leo nlikua DM nafuta some old conversation nmekuta that account ni ya mwana kabisa tena artist sijui anaimba. 😄😄😄
59
13
455
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
2 years
Nilipanga mahala first 3 months kukawa na mauzauza nkapiga sala sana pakatulia. Kodi kuisha nataka renew mwenye nyumba hanitaki namie sina plans za kuhama, kumbe anafanya mauza ili uhame uache kodi aje mwingine naye akae mwezi ahame na yeye hapokei less than 6months😀😀😀
@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi 💉💊
2 years
Uliwahi Kupewa maneno Gani ya manyanyaso katika nyumba za kupanga na mwenye nyumba hadi ukatamani ujenge nyumba Yako?
39
12
175
84
68
404
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
2 years
Blocked someone for about a year leo nmeunblock nakuta ratiba ya mazishi yake. Sijui kwanini ila nmejiskia vbaya 🥺🥺🥺🥺
62
19
394
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
2 years
Twitter mahusiano: My big sis ameolewa and her marriage is abt 3 years already. On the day of their 3rd Anniversary bahati mbaya her phone goes missing pale sebleni so akamuomba simu ma'mkwe ajipigie only to find out amem'save 'Grace wa Mbeya'. Seriously?😀How does that sound?
103
18
371
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
10 months
Sasa mtu mmebaki wawili akikusemesha ndio anakua ameonesha interest?? Mtu asiwe nice kidogo tu unahisi anakutaka? matatizo ya kutopendwa utotoni haya.
@Eric__Bernard
MR BEN
10 months
Vijana msiache kuomba Namba Jamani... Kuna Kijana huku katuangusha mno!
462
363
2K
99
29
365
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
5 months
Jana nmedownload movie fulani ya Philippines baada ya kusoma overview yake nkajua itakua drama moja nzuri. Kumbe pilau😁😁😁
56
15
358
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
10 months
Wait, hawa new followers wote wanaenda wapi? Leo hatukupika wajameni. 🙆🏾‍♂️
43
11
343
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
6 months
Mwaka 2020 kuna sister ofisini alihamia afu our first interactions akawa ananikunjia sura kabisa, mara ya kwanza nikahisi labda its just a bad day. Mara ya pili the same. She was giving me that 'hebu nitokee hapa' face. Na kwa sababu operations zangu zilikua zinaingiliana na
@KamogeloMoririi
Kamogelo Moriri
6 months
The lady who hates me at work came with a baked cake specially for me 💀 💀
442
304
3K
35
31
328
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
8 months
Wazee msisahau mshahara wa November ndio unatakiwa uende hadi January.
27
32
294
@boris_the_name
boris the chef👨🏽‍🍳
9 months
Kuna mwana mshua wake alikua ubalozini so wao walizaliwa Bongo ila kukulia Congo na Ethiopia. Mshua akastaafu wakarudi sasa kuna siku aliomba kazi sehemu akaitwa. Kufika akaulizwa lugha gani yuko huru zaidi kuongea akasema French au English. Wale wazee wakajua utani bhana.
@cookiee_cm
cookie🦋
9 months
kuna some kids who don’t know how to speak swahili at all, tena ni watanzania pure kabisa
31
15
156
43
10
286