The Equity and Merit Scholarships at
@OfficialUoM
are now open for September 2025 entry. This prestigious scholarship offers both full-time on-campus and distance learning courses. As a very proud alumnus, I can confidently say that the application process is straightforward and
Unreliability of services... Imewahi kunitokea mara mbili, nataka ku transact kitu kimegoma mtandao unazingua; na nishatumia huduma za watu.
Nikaachana kabisa na hiyo tabia, sasa hivi natambaa na cash tu
Jumamosi ya kesho, saa mbili usiku
@Sirjeff_D
ata host space ambayo tutakua na mmoja wa wataalam wa remote opportunities kutoka Kenya, bwana Brian Mwithi atatoa madini kwa vijana wa X kuhusiana na hizi fursa za remote. Usipange kukosa, itakua very hot.
Training in advanced Infection Prevention and Control for leaders from national and select hospitals on going earlier this week.
It is paramount to continue capacity building of front-liners in the fight against AMR
#AntimicrobialResistance
@MTaPS_Program
Ondoka kwa heshima ndugu, aga vizuri, kabidhi ofisi ya watu kama ulivyokabidhiwa. Dunia ni ndogo sana.Usishangae unaenda huko Comoro after 1-2 months, anakuja boss mpya, anatambulishwa ni yule yule aliekua boss wako kwenye hiyo kampuni ya Bongo. Just act Professional.
On going National Medicines & Therapeutic Committee (NMTC) meeting to approve the STG and the antibiotic AWaRe list.This is a great step toward rational use of medicines.
@N_Konduri
@MTaPS_Program
@wizara_afyatz
OlduvaiLab wamefanikiwa kutengeneza Ventilator hekoo kwao na Tanzania👏👏👏, Wazazi wetu naomba muwatazame hawa wanaweza faa zaidi hapo baadae katika kuendeleza mapambano zidi ya
#covidtz19
nchi yetu inaweza 🔥🔥
@umwalimu
@DocFaustine
Dr. Gissenga Lija,a demarto-venereologist, leading a discussion on STIs treatment guidelines recommendations during a workshop for AWaRe antibiotics operationalization, including STG review for infectious syndromes.
@MTaPS_Program
@kajiru
@kofinyame
Unataka kusoma Masters vyuo vikuu vya UK lakini huwezi kuacha majukumu yako hapa Tz na kwenda UK mwaka mzima? Una uhakika wa internet access?
Commonwealth distance learning scholarships zitakufaa. Cheki link hii:
USAID MTaPS Tanzania team on a working session on capacity building with Abibata Handley at MTaPS Tanzania offices, we are excited to have her in Tanzania!
@MTaPS_Program
@N_Konduri
@ReganTesha_
Ni ngumu kupima kiasi cha maji unayotumia hapo objectivelly. Ndio maana inawekwa flat rate tu. Au unashauri ukiwa unaishi hivyo usilipe bills za maji na umeme?
@GillsaInt
@CarolNdosi
@TheLaunchPadTZ
@KasUganda
Great idea. Since there has already been efforts to digitize patients' medical records by the government via electronic medical record system (GoT-HOMIS) in public hospitals,the challenge now is to inter-link that info among hospitals.
Kunuka miguu ni dalili ya FANGASI kwenye miguu.
Risk factors:
1.Kuvaa viatu vya kufunika kwa muda mrefu
2.Kuvaa viatu vya kufunika bila soksi
3.Kuvaa soksi chafu
4.Kuvaa soksi mbichi.
Enzi hizo nafanya clinical work....!
Throw back ya kibabe sana hii. The last time nimeshika stethoscope ni 2016.
Thank you
@TCHGlobalHealth
for this beautiful memory!
Today is Emergency Servies for Children Day. At
#TexasChildrensGlobal
, our Pediatric Emergency Medicine program collaborates with local ministries of health and policy advisors across sub-Saharan Africa to strengthen local healthcare infrastrucutre.
📸:
@SmileyPool
The Chief Medical Officer (CMO) who is the Chairperson of the National Medicines & Therapeutic Committee, Prof
@Amakubi
emphasizing a point during the NMTC meeting to approve the STG and the AWaRe classification of antibiotics
@MTaPS_Program
@wizara_afyatz
Wapambanaji, tunaendelea tulipoishia.
Kwa wale wenye experience ya mambo ya marketing na digital influencing, kuna bonge la opportunity hapa:
Wanataka mtu mwenye uzoefu na Influencer Marketing, pia awe mbunifu.
Unafanyia kazi popote ulipo, hawajali!
Link:
We were excited to have the delegation from USAID visit Seko Toure Regional Hospital to see the work of MTaPS Project Tanzania on the ground
@MTaPS_Program
@N_Konduri
@kofinyame
@meg77solanki
@DrFrankiejm
Congratulations daktari, welcome to the road of 'self discovery'.7 yrs ago, i was at that moment. Tips;
Enjoy life, enjoy what you do, be optimistic and be open to learning and embracing new opportunities.
🍷🍻To new beginnings and discoveries.
Meet Dr Victor Mtaki
@viktor_mtaki
heading to
@LSHTM
to study MSc Epidemiology. He is ambitious to use skills & knowledge acquired during his
#studyinuk
to address barriers to adolescent’s access & use of effective Sexual and Reproductive Health & Rights in 🇹🇿
Ukiwa chuo zama hizi usijifungie tu wodini na kwenye mavitabu.
1.Kuwa na strong online brand-post about what u are studying & doing in LinkedIn, etc.
2. Connect na watu-go kwenye conferences,activities za ur field.
3.Jifunze vitu outside ur books-data analysis,coding,etc
It is paramount that the work on Antimicrobial Stewardship (AMS) doesn't stop in these times of
#COVID19
pandemic.On-going
#AMS
mentor-ship to hospitals' Medicines and Therapeutic Committees in 6 hospitals so that they can implement
#AMS
activities
@MTaPS_Program
@N_Konduri
@NormanJonasMD
Pongezi hizi zimfikie chief mkuu wa idara,
@kajiru
nipo nae huku sehemu isiyojulikana, tunatimiza majukumu ya kitaifa. Jamaa ni bonge la chief!!
Wale wa marketing pia na wao hawajasahaulika.
Unaamini wewe ni guru wa Marketing strategies?
Hawa jamaa hawajalist requirement ya degree yoyote, ila kama unaamini wewe ni MCHAWI wa Marketing na una uzoefu wa kutosha,since this is a leadership role this is for you.
As usual, You
Congratulations to our
@MSHHealthImpact
colleague in Tanzania,
@IlangaliJackson
, who is selected to receive an Equity & Merit Scholarship to pursue a Master of Public Health degree by distance learning at the University of Manchester.
#Tanzania
Ministry of Health &
@MTaPS_Program
published findings of a 3-year trend analysis showing national-level consumption of priority antimicrobials based on
@WHO
methodology, the first of its kind from sub-Saharan Africa.
More→
#AMR
@wizara_afyatz
Usimtukane au kumkandia mtu ambae hata haumjui, just because 'sio mzito' au UNAHISI hawezi kukusaidia. Just be respectful kwa watu unaokutana nao kitaa and in real life, its humanly. Ni tabia mbaya kumpatia mtu heshima kwa sababu tu unahisi anaweza kukusaidia. Just act HUMANLY
@MatumlaAJ
1/2
Zipo sababu kadhaa zikiwemo; ukosefu wa vifaa vya kutosha vya kufanya vipimo vya kina, mafunzo duni kuhusu matibabu yanayolenga mahitaji maalum ya mgonjwa, na mfumo wa afya unaosisitiza zaidi kuhudumia idadi kubwa ya wagonjwa kwa muda mfupi.
Fursa nzuri hii kwa wale wanaopenda kujiendeleza kielimu kwa level ya Masters chuo cha
@OfficialUoM
kwa kozi mbalimbali. Kama una interest na hii scholarship na unahitaji msaada kwenye mchakato wa ku-apply, nicheki.
USAID MTaPS Tanzania Senior Technical Advisor, Richard Valimba handing over updated IPC guidelines samples to Seko Toure Regional Hospital Medical Officer In charge Dr. Bahati earlier today
@MTaPS_Program
#WAAW2020
It was previously called the World Antibiotic Awareness Week.
From 2020, it'll be called the World Antimicrobial Awareness Week. This will reflect the broadened scope of WAAW to include all antimicrobials including antibiotics, antifungals,antiparasitics and antivirals.
Are you intrigued by Machine Learning and generative AI?
Do you want to make an impact in the Machine Learning and generative AI space?
Kama umejibu NDIYO kwa maswali hapa juu, usitusumbue sisi, omba hii kazi hapa chini ukapambane na mabingwa wenzako duniani.
Post: Quality
Mr Nicholas Komba, a National facilitator of
#IPC
explaining hand hygiene concept to tutors from Health training institutions during a dissemination workshop of updated
#IPC
Guidelines earlier today
@MTaPS_Program
@N_Konduri
@kofinyame
Ma content creators mpoooo?
Dili yenu hii hapa.
Wanataka mtu mwenye experience ya ku create content au copy writer.
Unafahamu kuhusu SEO principles and content optimization techniques?
Kama ndio, omba hii hapa chini.
Jamaa rate yao ni $20 to $30 per hour.
As usual, they dont
Unaamini wewe ni bingwa wa project Monitoring and Evuation?
Una uzoefu wa kuanzia miaka mitano kwenye projects monitoring, evaluation and learning?
Kama majibu yako ni NDIYO. Basi usitusumbue, apply kwa nafasi hii hapa chini ukashindane na maguru wenzio duniani.
You work from
Training Workshop on National Level Antimicrobial Consumption Analysis using the Defined Daily Dose (DDD) methodology happening now!!
@MTaPS_Program
is excited to host the workshop.
@N_Konduri
USAID MTaPS Tanzania team had the opportunity to take part in Quality Improvement Team monthly meeting at Seko Toure Regional Hospital,where several initiatives on Infection Prevention and Control (IPC) at the Hospital were discussed.
@MTaPS_Program
International Consultancy Opportunity at SHEDECIDES: Digital Communication Consultant
ToR link:
You work from wherever you are.
@Kudu_ze_Kudu
@NormanJonasMD
@buguzi
@enamalisa
Use--misuse--abuse--dependence--addiction.
Hii ndo spectrum ya matumizi ya pombe.Kuanzia hapo kwenye dependence ndo anaanza kuwa na hizo dalili (withdraw symptoms) anapoikosa pombe (kutetemeka,kukosa umakini,kukosa usingizi,kutoka jasho sana, etc).
@Kudu_ze_Kudu
@nhiftz
Hawawezi kufanya hivyo, kwa sababu kwao wao, the less the beneficiary knows about what is covered or not covered, the better for them.
Tutors from health training institutions had a chance to brush off their skills in wearing on & off personal protective equipments (PPEs) during the updated
#IPC
guidelines dissemination workshop earlier today
@MTaPS_Program
@N_Konduri
@kofinyame
@MatumlaAJ
2/2
Pia, upatikanaji mdogo wa data za kibaiolojia za mgonjwa na rasilimali za kifedha zinachangia kwenye kutotilia mkazo tiba zinazoendana na vinasaba vya mgonjwa.
@MatumlaAJ
Hiyo namba 1 hapo kwenye 'career mostly in hospital' hiyo ilikua zamani kaka, now mambp yamebadilika mno, uwanja ni mpana sana. Look at me, trained as an MD, currently doing data related stuffs. Tuwa mentor hawa madogo katika uelekeo wa kuwa na 'jicho la mwewe'.
Wakati watu wanapokunywa pombe, mwili huzalisha joto zaidi kuchakata pombe hiyo, hivyo kutoka jasho husaidia kupunguza joto la mwili. Pombe pia husababisha mishipa ya damu kuongezeka upana na kujaa damu zaidi (Vasodilatation) na hivyo kusababisha mwili kutoa jasho.
Please join us in congratulating the candidates who have been selected to receive an Equity & Merit Scholarship to study a master’s by distance learning at
@OfficialUoM
from September 2020👏👏
Wewe ni full stack software developer?
Unachapa codes kwa language ya React, Python, Django?
Una uzoefu wa miaka mitano na kuendelea wa software engineering?
Basi usitusumbue humu, kasumbuane na mabingwa wenzako duniani kwa kuomba hii kazi hapa chini.
Jamaa hawajataja madegree
#IPC
National Technical Working Group meeting on going at
@MTaPS_Program
office. Discussing
#IPC
related challenges in health facilities and way forward.
@N_Konduri
Absolutely. It landed me a director-level role.
1.Connect with the right people in your field.
engaging posts about what you do.
3.Comment in other posts related to your profession.
@Mirembe_hosptz
Swali langu mimi ni kwamba, siku za hivi karibuni nimesikia matukio mengi yakizidi kuongezeka kwa watoto (kati ya miaka 10-16) kujiua. Je, ni vichocheo gani kwenye jamii zetu vinaweza kuwa vinasababisha hili na ni kwa namna gani tunaweza pambana na hili, nini tufanye kama jamii?
@sajo_mwaihabi
This is very nice! Safi sana, nimependa sana jamaa amefanyia kazi task uliyompatia. Huyu atafika mbali sana. Wengine ukiwapa tu tasks za kufanya, wanapotea kabisa hutawaona tena, wanafikiri kuwa wanatakiwa wafanyiwe tu kila kitu. Bravo!
@MTaPS_Program
Tanzania works collaboratively with other partners implementing
#AMR
/IPC activities in the country for synergism of impact; MTaPS Tanzania team was thrilled to meet with IDDS team earlier today for continued collaboration.
USAID MTaPS team discussing with Seko Toure Regional Hospital Quality Improvement team leaders on implementation status of action plan items from previous Supportive Supervision on IPC
#patientsafety
@MTaPS_Program
@wizara_afyatz
@N_Konduri
@daktarimtalii
Looks like s/he is being scammed. Never heard any company taking their staff for a business trip and not covering the costs! S/he should tread carefully.
Mimi huwa nikiona mtu anamnyima au kumbagua mwenzake kwenye chakula huwa naona huyo bado yuko chini sana kifikra kwenye hierachy of needs,yaani fikra yake bado imegota kwenye struggle ya basic needs. Mind you,hata kama tayari kifedha ana uwezo wa ku afford chakula cha kutosha na
Nimewahi kuishi na jamaa zangu familia fulani hivi kipindi nasoma mida ya kula wanakaa as family you name the food inayowekwa mezani mimi naambiwa “msubirie shida arudi asonge ugali mboga yenu hii hapa” Shida alikuwa mdada mmoja wazee wake wanafahamiana na hiyo family alikuwa
@kajisijoLFC
@SportsarenatzTz
Tatizo sio kushabikia timu fulani, ila kuongea maneno ya shombo kwenye video juu ya timu ambayo huishabikii. Lete clip ya Ali Kiba akiitukana Simba.
@05_kemmie
Chakula:
-Usisahau picha/video za chapati, chips zege, machalari.
-Mavazi:
-Picha za mavazi ya wasukuma, wamasai,
Maisha:
-Picha za watu wakifanya kilimo
-Ufugaji.
Leo Mjadala Maalum Kuhusu:
"Mambo Muhimu Katika Tiba na Matunzo ya Watoto Wanaoishi na VVU"
🗓 Leo | ⏰ Saa 2 - Saa 3 Usk
Watoa Mada:
@DrTheo5
,
@furia_francis
, na Dr Evelyine Johansen
Hii ni fursa ya kipekee ya kupata ufahamu wa kina juu ya jinsi ya kuboresha afya na maisha.
Huu mjadala wa GPA huwa naona ni counter productive. Hivi kuna mtu anaeweza mshauri mdogo qake alieko Uni kuwa asipate GPA kubwa,hata kama uwezi huo upo, apate ndogo tu.Ila, aliepata GPA ndogo sio kikwazo cha yeye kufanikiwa career-wise,anaweza kufanikiwa vizuri tu.
Mnasemaga GPA is not important? My dear it surely is impprtant….
Today i was present in a room wanachambua candidates for a certain job position and GPA is one of the important criterias they were considering in recruiting … so hunny make sure your GPA is outstanding.
@AD_Abinallah
Kwanza, si kweli kwamba 'hawezi' akabaki na mwili mdogo. Inawezekana akamaintain mwili wake bila kuathiri unyonyeshaji,inahitajika elimu ya lishe sahihi na mtindo wa maisha sahihi kufikia hilo. Pili, mume kulaumu sio sawa,anatakiwa kumsaidia mwenza wake,sio kumlaumu.