Mirembe National Mental Health Hospital Profile Banner
Mirembe National Mental Health Hospital Profile
Mirembe National Mental Health Hospital

@Mirembe_hosptz

Followers
1,381
Following
115
Media
155
Statuses
611

Government Specialized Mental Health Hospital in Tanzania

Dodoma, Tanzania
Joined August 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Leo May 31, 2024 tumempatia rasmi Ubalozi wa Afya ya Akili kwa Vijana na wanawake Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM)- Taifa, Jokate Urban Mwegelo. Ikiwa ni hatua yetu ya kuifikia jamii kwa ukaribu zaidi. Hongera Mhe @jokateM
Tweet media one
3
22
74
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Unaupa Asilimia Ngapi Muonekano Wa Nembo yetu ya Hospitali ya Taifa ya Afya Ya Akili Mirembe? @ummymwalimu
Tweet media one
75
59
530
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Sasa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Tunapatikana Kwenye Mitandao Mbalimbali Ya Kijamii @Mirembe_hosptz tufollow Sasa Kwa update Mbalimbali za Afya ya Akili
Tweet media one
5
15
67
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Huu Ndio Muonekano Wa Majengo Ya Hospital Ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Karibuni Sana Kupata Huduma Mbalimbali @ummymwalimu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
9
56
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Unafahamu kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kubeti na changamoto za afya ya akili?? Tukutane hapo kesho saa mbili usiku Cc @Godwinnz @kipepe123 @Tunasikiliza
Tweet media one
9
22
54
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Wiki hii katika #MHSpace tunajadili kuhusu uhusiano kati ya afya ya akili na uhalifu. Mjadala huu utaangazia jinsi afya ya akili inavyoathiri tabia za uhalifu kutana na Wakili Msomi @Advocate_Jebra na Daktari Bingwa @DamasMlaki Cc: @kipepe123 @fatma_karume
Tweet media one
1
16
46
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Baada ya kupata maoni wiki hii tutazungumzia uhusiano kati ya Kujiua na Magonjwa ya Akili? Ungana nasi katika Mjadala huu Ijumaa hii Saa 2 hadi Saa 3 Usiku Kutana na Mwanasaikolojia tiba Dr Japhet Swai akishusha madini ya kutosha! Andaaa Maoni na Maswali Yako #AfyayaAkiliniAfya
Tweet media one
3
19
47
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
JE Unazifahamu Dalili za Changamoto ya Afya akili? Msikilize Dr Paul S Lawala Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Akielezea Kwa Ufasaha. @CloudsMediaLive
5
17
40
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Kesho tutakuwepo hapa kushiriki Mbio hizi za kuhamasisha uelewa juu ya Usonji. Je unafahamu nini kuhusu Usonji (Autism) ?? Tuandikie kwenye Comment hapa chini. @ummymwalimu @KassimMajaliwa_ @LukizaAutismFdn @HNkabe
Tweet media one
5
11
43
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Mwezi Mei imetangazwa kuwa ni mwezi wa uelewa kuhusu Afya ya Akili. Tujiunge kwa pamoja kueneza Habari za uelewa juu ya kuwa na Afya bora ya Akili, kujitunza na kumsaidia mwingine kuwa na Afya. Tuungane, tuisemee, Tutunze Afya zetu za Akili #AnzaKulizungumzia #AfyayaAkiliniAfya
Tweet media one
2
22
43
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Kheri ya Siku ya Muungano Watanzania wote.
Tweet media one
1
7
40
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe na Kampuni ya TanzMed wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa kuongeza upatikanaji wa huduma za afya ya akili kwa njia ya mtandao. Programu hii itawezesha kuzungumza na daktari kwa njia ya mtandao,ushauri, na makala za elimu kuhusu afya ya akili
Tweet media one
4
14
42
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Akili Duniani. #Hakunaafyabilaafyayaakili 💙 #afyayaakiliinaanzanamimi 💙
Tweet media one
0
16
40
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Ni leo kuanzia saa 2 Usiku tutakuwa mubashara hapa kujadili mada hii muhimu sana, usikose mualike na mwingine. Cc @kipepe123 @jokateM @DamasMlaki
Tweet media one
3
14
39
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Waandishi wa Habari wote tunatoa mualiko huu kwenu, fursa hii ni adhimu sana. Karibuni sana. Cc @millardayo @CloudsMediaLive @azamtvtz @CrownMediaTZ
Tweet media one
2
19
37
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Heri ya siku ya wafanyakazi Duniani. Mei Mosi 2024.
Tweet media one
1
10
35
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
5
10
33
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Wiki hii katika #MHSpace tutajadili kuhusu Akili Mbemba katika Afya ya Akili. Mapinduzi katika Utambuzi na Matibabu. Usikose kuungana nasi Jumapili hii kuanzia saa Mbili usiku cc @Dr_Matogoro @Godwinnz
Tweet media one
2
17
34
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Msikilize Dr Japhet Swai Mwanasaikolojia Tiba ( Clinical Psychologist) Kutoka Hospital ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe Akielezea Madhara ya Pombe na dawa za Kulevya.... Unaelewa Nini Kuhusu Madhara ya Uraibu wa Pombe na dawa za Kulevya? @ummymwalimu
2
16
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
JE, Unayajua Madhara ya Uraibu wa Matumizi ya Simu na Mtandao ya Kijamii? Msikilize Gaudencia Kalau Mwanasaikolojia Hospital ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe @Mirembe_hosptz
1
9
31
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Karibu katika mwezi wa Saba, Usichukue maamuzi magumu Msaada unapatikana. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthMatters #July2024
Tweet media one
0
15
33
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Yes, kama tulivyoahidi tutashirikiana na Jeshi la Polisi, tunaanza namna hii. Kesho kupitia Usalama Tv utamsikia Mubashara kabisa Dkt @Godwinnz akielezea uhusiano kati ya Afya ya Akili na Uhalifu. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth Cc @tanpol @ummymwalimu
Tweet media one
2
17
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Kumekuwa na tatizo kubwa sana la uraibu utokanao na pombe pamoja na dawa zingine za kulevya. Leo tutajadili kwa kina unakosaje kwa mfano? Huku @kipepe123 huku Bingwa kabisa Dr Mwombeki. Saa Mbili Usiku #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Tweet media one
3
16
33
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
JE Unahisi Mabadiliko Haya Yatachochea Mabadiliko Ya Utolewaji wa Huduma Za Afya ya Akili Nchini Tanzania? Tupe maoni yako @ummymwalimu @wizara_afyatz
Tweet media one
12
8
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Habari za wakati Huu mdau wa Afya ya Akili. Ni furaha kubwa kukualika Katika kikao kazi kitakachojumuisha wadau Wote wa afya ya Akili Tanzania, kitakacho fanyika Dar es salaam. kama mdau wa Afya ya Akili unaombwa kujaza taarifa zako Katika fomu Hii.
Tweet media one
2
16
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Wiki hii katika #MHSpace Tunajadili kuhusu Uraibu wa mitandao na Michezo ya kubashiri (Digital and Gambling addiction) Unakosaje sasa? Tupo na @Godwinnz @kipepe123 na @Tunasikiliza Alhamis 30 May 2024 saa 2 Usiku #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthSpace
Tweet media one
0
16
31
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Wiki hii katika #MHSpace tunajadili uraibu wa Dawa za kulevya kwa Vijana, madhara na njia za matibabu yake. Tutakuwa na @CMbwasi kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini @kipepe123 Ijumaa hii kuanzia saa 2 Usiku. #AfyayaAkiliniAfya #ZuiadawazaKulevya
Tweet media one
2
12
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Kwa kushirikiana na @TheVoic23 @TAAS_MUHAS @MentalHealth_TZ tunakuletea mjadala utakaokwenda kwa jina la Afya ya akili kama suala la kijamii. Karibu uungane nasi tarehe 15.10.2023 hapahapa X space.
Tweet media one
2
7
32
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Hatimaye Siku Imefika Karibu Usiku Wa Leo Tusemezane Kuhusu Afya ya Akili Ungana na @Mirembe_hosptz Tukifanya Mjadala Leo Ijumaaa Saa Mbili Mpaka Saa Tatu Usiku Tutakua na @Godwinnz na @GloryLivingst13 Pamoja na @Chrissella3 Andaaa Maswali na Michango Mbalimbali Wahi Siti 🧠🔥
Tweet media one
2
14
30
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
#HappynewMonth Tunawashukuru kwa kutufuatilia, kwa elimu ya Afya ya Akili na Msaada wa kitaalamu fuata akaunti yetu ya @Mirembe_hosptz #AfyayaAkiliniAfya
Tweet media one
0
7
30
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Matokeo ya Poll yetu ya Jana yanaonyesha kuwa 59% ya wapiga kura Hawafahamu Dalili za magonjwa ya Akili huku 41% wakiwa na ufahamu. Hii inatutaka kuongeza Elimu ya uelewa wa Dalili hizi. Tuandikie hapa chini Dalili unazozifahamu tujadili kwa pamoja. Karibuni
Tweet media one
5
14
28
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Umejiandaaje kusikia Bajeti ya Wizara ya Afya? Je una maoni gani kuhusu Eneo la Afya ya Akili? Tuandikie hapa chini, jiandae kusikiliza bado siku 2 Cc @ummymwalimu @wizara_afyatz
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
5 months
Tweet media one
16
35
266
4
11
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
1
17
28
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
1
14
28
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Kwa Baba wote, tunawasherehekea Tukumbuke umuhimu wa Afya ya AKILI ya wazazi wetu. Baba mwenye akili timamu huleta furaha na utulivu katika familia yake na katika Jamii. Tuwatunze na kuwajali kinababa wote kwa ustawi WA familia na TAIFA. #AfyayaAkiliniAfya #SikuYaBaba
Tweet media one
0
9
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Katika safari ya mwezi wa kumi ya kuelimisha jamii juu ya afya ya Akili tutashirikiana na. . The Voice organization •Hospitali ya Taifa ya afya ya Akili -Mirembe. •Mental health Tanzania 🇹🇿 •Tanzania association of Anasthesia students. Karibu tujifunze kwa pamoja
Tweet media one
0
11
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Eid Al Adha Mubarak.
Tweet media one
3
4
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Afya ya Akili ni rasilimali muhimu kwa mtu binafsi , familia , jamii , Taifa na Dunia kwa ujumla. Kwa pamoja tuelimishe jamii zetu kuhusu namna sahihi ya kutunza afya zetu za akili ili kuepukana na magonjwa ya akili. #HakunaAfyaBilaAfyaYaAkili #afyayaakilinimtajiu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
10
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
0
7
27
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Vipaumbele vya @wizara_afyatz vipo 10 na Mhe @ummymwalimu Ametaja Huduma za Afya ya Akili kama Kipaumbele namba 9. Hii inaonesha umuhimu wa huduma hizi kuimarishwa zaidi. #AsanteUmmy #AsanteSamia
Tweet media one
1
8
26
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Nasema Jeee Wajuaa??? Kama vipi muongezee Mshahara CEO wako. Mtunze akutunze, Mpe kila kizuri kwa manufaa ya kampuni yako. (MWILI) #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Tweet media one
0
12
26
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
15
10
25
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Afya ya Akili ni Haki ya Kila mmoja. Hakikisha unaonana na wataalamu wa afya ya akili kwa msaada zaidi ama piga namba hapo chini kwa usaidizi zaidi kutoka kwa wataalamu wa Afya ya Akili @Mirembe_hosptz #EndMentalHealthStigma #BeTheVoice #EndSilence #SpeakUpYourEmotion
Tweet media one
0
17
25
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Asante Kwa Wote walioshiriki Mjadala Huu Kutoka @Mirembe_hosptz Lengo ni kuwa na Mijadala Hii Ya Kutosha ili Kuhakikisha tunaongeza Uelewa Juu ya Afya ya Akili kwenye jamii. Tafadhali usikose Mjadala Ujao. #Hatupoi
Tweet media one
1
10
25
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
19
12
25
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Uamuzi wake unatuma ujumbe wenye nguvu kuhusu umuhimu wa kujitunza ili kufikia mafanikio ya kweli. Tuunge mkono na kuthamini juhudi hizi za kuboresha afya ya akili. #AfyaYaAkiliNiMuhimu #MissUSA #MentalHealthAwarenessMonth #AfyayaAkiliniAfya
Tweet media one
1
9
23
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Tweet media one
0
18
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Je, Unafahamu kuhusu Dalili za Magonjwa ya Akili?
Ndiyo
180
Hapana
257
2
9
23
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
TAARIFA KWA UMMA. 🎯 #Menta
Tweet media one
2
20
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
JE, Unafahamu Maaana ya Afya akili na Kinga ya Awali? Ungana nasi Siku ya Ijumaa Tarehe 3 May Tukizungumza Kwa Pamoja Kuhusu Afya Ya Akili Usipange Kukosa Karibuni Sana @ummymwalimu @Godwinnz
Tweet media one
0
15
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Siku ya Tatu ya Kampeni yetu ya Afya ya Akili. #Mentahealthawareness #MNMH2023
Tweet media one
0
15
22
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Wiki hii katika #MHSpace tunazungumzia Uhusiano kati ya kupoteza Kumbukumbu na Afya ya Akili. Kutana na Daktari bingwa bobezi wa Mfumo wa fahamu @DamasMlaki ni Ijumaa hii kuanzia saa 2 Usiku. Karibuni sana @kipepe123 @jokateM
Tweet media one
1
15
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe. Atakuwa live katika kipindi cha Clouds360 cha @cloudstv Tunawakaribisha kufuatilia kipindi hiki Alhamis Tarehe 5 October 2023.
Tweet media one
0
9
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
3 months
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Dr @Plawala2023 Leo Tar 10 July 2024 ametembelea Kituo cha Upimaji cha watoto Nkuhungu ( Assessment Center) Kituo hiki kinafanya kazi ya utambuzi wa watoto wenye mahitaji maalum na kuwasaidia kuwaunganisha....
Tweet media one
4
9
23
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Taarifa: Mabadiliko ya Tarehe ya Mjadala wetu. Tutafanya Alhamis Muda ni uleule saa 2 Usiku. Cc @Plawala2023 @kipepe123 #Tusiwanyanyapae #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Tweet media one
1
11
23
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
#MentalHealthQuote Tuwe Mfano bora kwa watoto wetu @Godwinnz
Tweet media one
0
6
23
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
9 months
Tunawatakia Kheri za miaka 60 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar
Tweet media one
0
6
22
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
🎯Tar 07 Mei 2024 Dodoma Umefanyika uzinduzi wa Utafiti wa Ugonjwa wa #AlzheimersDisease ambapo Hospitali yetu inashirikiana na Chuo kikuu cha Miami USA @miamiuniversity Pamoja na Nchi zingine 9 za Afrika. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
9
22
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Ikiwa tunaadhimisha Siku ya Wauguzi Tar 24/05/2024 Hapa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe tunampokea Mgeni rasmi Mhe. @jokateM Katibu Mkuu UVCCM. Tunawakaribisha wote.
Tweet media one
4
6
22
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
1
11
21
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
3 months
Join Dr @Godwinnz Today on Space With @chw_foundation and @DrTheo5 and @kipepe123
Tweet media one
0
11
24
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Ni Leo May 18 Hospitali ya @Mirembe_hosptz Kwa kushirikiana na Tunasikilizana Platform @Tunasikiliza Tumekuandalia "Mental Health Mentorship Program" Ni kuanzia Saa Tatu Asubuhi hii Theme: "Building mental and Health Champion"
Tweet media one
1
9
21
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tunawashukuru kwa kuungana nasi katika Space ya wiki hii, Tukutane wiki Ijayo katika Mada nyingine. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth #Anzakulizungumzia
Tweet media one
1
7
20
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Asante Kwa Wote walioshiriki Mjadala Huu Kutoka @Mirembe_hosptz Lengo ni kuwa na Mijadala Hii Ya Kutosha ili Kuhakikisha tunaongeza Uelewa Juu ya Afya ya Akili kwenye jamii. Tafadhali usikose Mjadala Ujao. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth #Hatupoi
Tweet media one
1
5
20
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
katika kuimarisha huduma za afya ya akili, Wizara imekamilisha andiko la mapendekezo ya Hati Idhini (Instrument) kwa ajili ya kuipandisha hadhi Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe kuwa Taasisi ya Taifa ya Afya ya Akili. #BajetiWAF2024 /25 Cc @ummymwalimu @wizara_afyatz
Tweet media one
2
10
20
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
0
8
20
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Kwa kushirikiana na @TheVoic23 @TAAS_MUHAS @MentalHealth_TZ tunakuletea mjadala utakaokwenda kwa jina la Afya ya akili kama suala la kijamii. Karibu uungane nasi tarehe 15.10.2023 hapahapa X space.
Tweet media one
1
3
19
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Mkurugenzi Mtendaji MNMH akiwa na wataalamu na maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza @TZEmbassyUK 3 Stratford Place, London W1C 1AS Kutoka kulia ni Dr Paul Lawala, Pasinai Kivuyo,Jane Mosha, Patrick Mwakalobo,Sadiki Mandari,Ngusekelo Nyerere.
Tweet media one
2
3
19
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Ungana nasi Leo kuanzia saa Mbili Usiku Katika Mjadala huu wa muhimu sana wakaribishe wengi kadri uwezavyo. Cc: @Godwinnz @kipepe123 @Tunasikiliza
0
11
19
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Tunaendelea kuwakaribisha Wadau wa Afya ya Akili nchini kushiriki kikao cha Pamoja kitakachofanyika Jijini Daresalaam. Kwa Taarifa zaidi tufuatilie kwenye mitandao yetu ya kijamii @Mirembe_hosptz
0
7
19
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Je, unafikiri tuzungumzie Mada gani Wiki hii? 1. Kujiua na Magonjwa ya Akili (Suicide and Mental disorder) 2. Uraibu wa Mitandao na michezo ya Kubashiri (digital addiction and gambling addiction) #AfyayaAkiliniAfya
Namba 1
62
Namba 2
63
6
12
18
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
10 months
Merry Christmas and Happy new year 2024
Tweet media one
1
3
18
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Mkurugenzi wa huduma za tiba @wizara_afyatz Dr. Hamad Nyembea pamoja na viongozi wengine wamefanya ziara ya usimamizi shirikishi wa hospitali ya taifa ya afya ya akili Mirembe ili kuona huduma za afya ya akili zinavyotolewa na kuboresha ushirikiano na usimamizi.
Tweet media one
1
9
17
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Ndioooo October 02 hadi October 08 ni WIKI YA UELEWA WA AFYA YA AKILI. Shiriki nasi kutoa Elimu kuhusu Afya ya Akili, Matatizo ya Akili na Magonjwa ya Akili. #MentahealthawarenessWeek #MentalHealthAwareness
2
14
18
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Wauguzi Day 1 Msikilize Mkurugenzi wa huduma za Uuguzi Rachel Kombe kutoka Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe akieleza maandalizi yalipofikia hadi sasa ikiwa leo ni siku ya kwanza ya Kambi ya matibabu. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth #WauguziDay2024
0
6
18
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Asanteni sana kuungana nasi kwenye Mjadala wa wiki hii. Kaa tayari kwa mada nyingi zaidi. Tukutane wiki ijayo. Shukrani za dhati kwa @kipepe123 @DamasMlaki na @kapeto98 @Plawala2023 @Godwinnz #AfyayaAkiliniAfya
Tweet media one
2
8
16
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Tumefikiwa 😄Asante sana Mhe Waziri @ummymwalimu @wizara_afyatz #AfyayaAkiliniAfya
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
4 months
Serikali kupitia Wizara ya Afya imetenga fedha katika Bajeti ya Mwaka 2024/25 kwa ajili ya kujenga chuo kikubwa na cha kisasa cha Afya - Mirembe cha uuguzi na ukunga kitakachokua na vifaa vya kisasa ambacho kitatoa wataala wa kutosha katika Sekta ya Afya. Waziri @ummymwalimu
5
12
57
1
1
16
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
10 months
Happy New Year 2024 #HakunaAfyaBilaAfyayaAkili 🎯 Jali afya yako ya akili na ujali ya mwenzako pia.
Tweet media one
0
4
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Tunawashukuru sana Wadau mliojisajili kushiriki katika Kikao Kazi cha Wadau. Tutawafikia wote kwa njia ya email kuwajulisha Mahali na Muda wa Kukutana. #MentalHealthMatters #MNMH2023
Tweet media one
0
7
16
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
3 months
19
10
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
16
11
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Challenge Yourself today!! Do Something that will help you improve your Mental Well-being. Fanya jambo leo litakaloboresha Afya yako ya Akili. @kipepe123 @Godwinnz @ummymwalimu @Mkunga_Og @kapeto98 #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
1
8
16
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tweet media one
1
9
16
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Je, Unafahamu tofauti kati ya AFYA YA AKILI na UGONJWA WA AKILI?
Ndio
88
Hapana
102
4
9
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Tumekufikia !! Tumedhamiria kuboresha Afya yako ya Akili Tufahamishe ungependa kuongea na Mwanasaikolojia? Je, una rafiki unayemuamini kumueleza tatizo lako la kiakili? Cc @Godwinnz @ummymwalimu #AfyaYaAkiliniAfya #AnzaKuzungumzia #MentalHealthAwarenessMonth
0
5
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
Kuelekea katika Maadhimisho ya siku ya Afya ya Akili Duniani Hospitali ya Taifa ya Afya akili Mirembe, tumeandaa utaratibu maalum wa kutoa Huduma ya kuongea na Mtaalamu wa Afya ya Akili kwa njia ya Simu. Tutumie nafasi hii kupata maarifa na majibu ya maswali juu ya afya ya Akili.
Tweet media one
0
13
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Balozi kazini. #TujaliAfyaZao Asante Mh @jokateM
@ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi
5 months
Kipekee, tuchukue nafasi hii kumshukuru Mhe. @jokateM kwa kukubali kuwa mlezi wa klabu. Akizungumza na wanafunzi kwa njia ya simu siku ya uzinduzi, Mhe. Jokate alieleza umuhimu wa kuwa na mazingira salama ya shule katika kujifunza kwa ajili ya mafanikio ya wanafunzi kitaaluma.
Tweet media one
Tweet media two
1
21
34
0
5
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tunawashukuru sana kwa kuungana nasi katika mjadala wa Jana. Shukrani za pekee kwa @Godwinnz @kipepe123 @Chrissella3 na @Tunasikiliza Tumefunga mwezi wa uelewa kuhusu Afya ya akili kwa Kishindo endelea kutufuatilia. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
Tweet media one
2
4
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
KAMBI MAALUM YA MATIBABU INAANZA LEO HAPA @Mirembe_hosptz Nyote Mnakaribishwa. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth #WauguziDay
2
4
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tunawashukuru wote mliojiunga katika mjadala wetu wa Unyanyapaa dhidi ya afya ya akili. Asanteni sana CC @Plawala2023 @kipepe123
Tweet media one
0
5
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
5 months
Tutakuwepo hapa kutengeneza Mental Health Champions. #AfyayaAkiliniAfya #MentalHealthAwarenessMonth
@Tunasikiliza
Tunasikiliza Platform
5 months
MENTAL HEALTH MENTORSHIP PROGRAM: BUILDING MENTAL HEALTH CHAMPIONS #mentalwellbeing #MentalHealthServices
Tweet media one
0
3
9
1
5
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Unyanyapaa dhidi ya Afya ya Akili unapaswa kupingwa kwa nguvu zote, tuache kutumia maneno yasiyofaa kwa wagonjwa na tujikite kujadili AFYA YA AKILI zaidi ya ugonjwa. @ummymwalimu #AfyayaAkiliniafya #AfyayaAkiliinaanzanaMimi
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿
4 months
Waziri wa Afya Mhe. @ummymwalimu leo Juni 12, 2024 akiwa kwenye ziara katika chuo cha Afya Mirembe amewataka Watanzania kuacha dhana potofu ya kuona kila anaeonekana Mirembe ni chizi. "Mtu anaweza akaonekana na tatizo la afya ya akili lakini sio chizi wapo watu wanaosoma mambo
6
4
34
1
7
14
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
3 months
Tupate kwenye banda letu hapa Viwanja vya nanenane Dodoma.
Tweet media one
0
6
15
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
1 year
has organized a commemoration day that will be accompanied by a 2.5 KM walk from Machinga complex grounds to Mirembe National Mental Health Hospital. #SuicidePreventionAwarenessMonth #CreatingHopeThroughAction #SayNoToSuicide
Tweet media one
1
4
13
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
4 months
Set a reminder for my upcoming Space!
2
10
13
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
3 months
Set a reminder, lets meet tomorrow. Sunday 7th July 2024 from 20:00
Tweet media one
1
5
11
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
2 months
Huduma Zinaendelea kutolewa kwa Wananchi #Nanenane2024 Tunawakaribisha katika banda letu kupata huduma za Afya ya Akili. #AfyayaAkiliniAfya #MtuniAfya
Tweet media one
0
7
18
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Afya ya Akili ni Afya @POTUS
@POTUS
President Biden
6 months
It's simple.
Tweet media one
12K
6K
41K
1
5
13
@Mirembe_hosptz
Mirembe National Mental Health Hospital
6 months
Tuliahidi kutoa link ya andiko la Prof Kilonzo iliyozungumzia Development of mental health services in Tanzania: A reappraisal for the future. Hii hapa unaweza kuisoma. Cc: @Godwinnz @ummymwalimu @Plawala2023
1
6
13