Hili ni taarifa ya deni langu la HESLB. Deni halisi ilitakiwa iwe 31,764,500/=. Value retention fee (VRF) ya 6% ambayo ni sawa na 3,510,335/=. Ililifanya deni lifikie 35,592,480/=. Hivyo
@SuluhuSamia
kuondoa gharama hiyo itaondoa ongezeko la kila mwaka!
@zittokabwe
@Chahali