Dr. Mlaluko, MD Profile Banner
Dr. Mlaluko, MD Profile
Dr. Mlaluko, MD

@drmlalukoMD

Followers
7,828
Following
758
Media
2,888
Statuses
69,416

|TheResidentOphthalmology|HealthJournalist|HealthEyeAdvocate|YourIdealDoctor|Founder @jukwaalaafya |

Mbeya, Tanzania
Joined July 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
KUNA UMRI UTAFIKA Kuna umri utafika utagundua kupata mke wa kuoa si jambo jepesi. Unaweza kuomba usaidiwe kutafuta. Si kwa kuwa hauwaoni. MKE NI ZAIDI YA UREMBO
154
335
2K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Leo nilimuuliza daktari idara ya msaada wa haraka (EMERGENCY). Nikamuuliza "kwanini suspects wanachanganywa katika tent moja??. Je, ikiwa mmoja wao ni mgonjwa si ataambukiza wenzie"??.Kwa moyo wa kukata tamaa/huruma akanijibu..."Sasa daktari hakuna resources unategemea nini??"
64
184
2K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
It took a DOCTOR, specialist. Young with energy!
Tweet media one
184
79
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Prof. Assad ataweza kumfaa zaidi mama yetu @SuluhuSamia ; kama katiba inamruhusu kumrejesha katika nafasi ya CAG. @MariaSTsehai @Chahali
Tweet media one
Tweet media two
71
86
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Mlioenda JKT kwa mujibu, mmefaidika vipi? ASKING
Tweet media one
205
45
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Kama una mdogo wako mwambie asome OPTOMETRY, DENTAL SURGERY au RADIOLOGY. Atanishukuru baadaye
71
134
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Chief: na hizo nywele unategemea kufaulu? Umeona hospitali ni kijiweni sio?
Tweet media one
225
22
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Sina comment✍🏼✍🏼
Tweet media one
105
35
1K
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
PRECISION AIR accident took a senior doctor, microbiologist and my lecturer.😿😿 He taught me during medical school...my knowledge of viruses, bacteria, and fungi was from HIM. The info about his death shocked me...😿😿😿
Tweet media one
Tweet media two
81
87
991
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Hakuna kipindi ambacho wahudumu wa afya wanaweza kupoteza maisha kama kipindi hichi cha #COVID ー19. Hii ni kutokana na ukosefu wa vifaa tiba (PPEs), kama rais wa MAT alivyosisitiza hali ni mbaya!. @umwalimu @DocFaustine chukueni hatua za kitaalamu kutusaidia.
32
115
964
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Unaenda kuhudumia wananchi huko kijijini ndani ndani kama daktari. Unaamua kununua bodaboda ili uwe unafika kazini kwa wakati kuwahudumia wao. Wanaona wakuue ili wakuibie. DAKTARI KIJANA AMEPOTEZA MAISHA..
Tweet media one
200
97
941
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
KUNA UMRI UTAFIKA Utagundua ulichelewa sana kuanzisha familia. Hasa kupata watoto. Sijawahi kuona anayejilaumu kuoa au kuolewa mapema. UNAPOTAFUTA PESA, USISAHAU UNAHITAJI MKE/MUME NA WATOTO
67
93
879
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
9 months
DAKTARI AMEFARIKI Alipata ajali last week akiwa kwenye bodaboda akapigiza kichwa. Akajihisi poa hakufanya CT SCAN Akaendelea na shughuli za kila siku. Kadondoka thyeta akiwa anafanya oparesheni kumzalisha mama (C/S), kafariki. Kumbe damu iliendelea kuvujia.. SAD!
76
72
777
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Kazi ya kuhudumia wagonjwa ni kazi hatari sana!.Miezi mitatu iliyopita nilipokuwa najaribu kuokoa maisha ya mgonjwa wangu (dying), mate na makohozi yake accidentially yaliniingia jichoni. Kibaya zaidi alikuwa ni mgonjwa mpya wa UKIMWI.Nilijisafisha ila sikutumia PEP. Tuombeeni
Tweet media one
162
32
740
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
#MAONI : Ahadi za mgombea yupi wa urais kulingana na ilani za vyama vyao zinatekelezeka na kuwafaa watanzania kuelekea uchaguzi wa 2020. Piga kura kisha RT @Chahali @Udadisi @MariaSTsehai @fatma_karume @MabalaMakengeza @jeneralionline @IssaShivji
JOHN MAGUFULI
2258
TUNDU LISSU
8553
BENARD MEMBE
636
HASHIMU RUNGWE
1251
93
260
729
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
WANAUME WENZANGU MLIOOA Mke akimgombeza dada wa kazi halafu ukamtetea, UMEISHAAAA!!😂😂😂 @rollymsouth
86
28
704
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
USIKATE KUCHA KWA MENO...
Tweet media one
190
50
701
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
KIFO NI MAISHA. JAMAA KAMALIZA TU PhD KAFARIKI...
45
24
622
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Nimechokiona kwa watu wote niliokutana nao leo, hawaamini kilichotokea na wameingiwa na #hofu juu ya mstakabari wa maisha yao. #Hofu imetandana badala ya furaha na nderemo! Bila shaka ushindi hauwahusu wananchi walio wengi. WAMEKATA #TAMAA ! #MyTalk #MyMessage
33
54
600
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Ukiwa Mbeya kama unalipwa milioni 2 unaishi vizuri kuliko mwenye milioni 4 akiwa Dar.
65
24
597
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Una PhD, una hela nzuri, una miaka 60 ila mtoto wa kwanza yupo kindergarten. Kuwa busy na maisha!
50
35
591
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
10 months
Ukiona watu wanavyomshambulia na kumzihaki Prof. Ndo unagundua, kuelimisha jamii ni kazi sana. Hasa jamii ambayo kila mmoja anajua, kila mmoja ni mtaalamu.
Tweet media one
131
66
587
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
MADHARA YA POMBE KWENYE INI...
Tweet media one
Tweet media two
176
91
579
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
DOCTORS ANAULIZA...NI DAWA GANI HIZI?? 🤐🤐🤐
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
157
37
544
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Kama sijamuelewa vibaya mzee JK ni kuwa uchumi wetu bado unacheza kwenye 7% na haujaongezeka kama tunavyoambiwa. Umemuelewaje? @MariaSTsehai
20
29
550
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Kumuita mkeo MAMA sio mapenzi wala mahaba. Mama ni mama, mama sio mke.
93
29
533
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Pemba imebadilika, Zanzibar imebadilika. Inashawishi! @allysalehznz @MariaSTsehai @zittokabwe
Tweet media one
11
29
523
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
8 months
UDAKTARI SIO WITO Ni kazi kama kazi nyingine.. Ualimu ndio wito labda😹
78
50
527
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Never call your son SUPHIAN...
57
21
501
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
KAMA HAUJAOA Usile mgahawa mmoja kwa kipindi kirefu mpaka ukazoeleka. Watanielewa wa kunielewa...
33
37
490
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
SLOGAN SAYS Intern haugui Intern hauguzi Intern hafiwi Intern hachoki Intern hapumziki Intern HAFI...
76
67
472
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Atleast naona @TunduALissu anavaa barakoa. Kuonesha kujari kwake. Kiongozi ni kioo cha jamii. #COVID19 still killing
@MwitaJulius2000
𝐽𝑢𝑙𝑖𝑢𝑠 𝐺𝑎𝑏𝑟𝑖𝑒𝑙 𝑀𝑤𝑖𝑡𝑎
4 years
Tuko Makao Makuu ya @ChademaTz na Makamu Mwenyekiti wa Chama, @TunduALissu na msemaji wa Chama @makene_tumaini Furaha ni jadi yetu, na Upendo ni sehemu ya Maisha yetu!!! @fatma_karume @MariaSTsehai @jjmnyika @HecheJohn @JonMrema
Tweet media one
4
28
439
11
30
471
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Kuna UMRI utafikia utagundua ulichelewa kuoa, ulichelewa kuanzisha familia. Huwezi kuiona hiyo at an early age.
63
56
456
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
8 months
DAKTARI KWA SASA • Daktari anawaza kilimo cha matikikiti • Daktari anawaza uvugaji • Daktari anawaza kubeti, • Daktari anawaza ndoa, • Daktari anawaza Vicoba, • Daktari anawaza ada, • Daktari anawaza foleni, • Dakatari anawaza CPD, • Daktari anawaza ada ya leseni...
55
57
454
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Dear dada Ukiona mwanaume anakubali kupima HIV ujue alishajipima mahala kabla. Only men knows this!!
74
27
443
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
URUBANI SIO FANI YA MASIKINI WENZANGU Urubani haitakiwi kuwa ndoto ya mtoto masikini. Mnaweza kubisha ila ndio ukweli. Ni rahisi kuwa daktari au engineer kuliko kuwa rubani.
46
34
437
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Dear married man. Usipigepige simu ukweni. Kaa hata miezi mitatu. Unapiga kila wiki ili iweje?
Tweet media one
36
27
434
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Nimemsikiliza @jeneralionline akimchambua hayati BWM na uongozi wake, amezungumza ukweli mchungu. Ila kwa kuwa yeye kipindi cha uhai aliomba radhi na kupendekeza #TumeHuruYaUchaguzi , huenda alianza kuona alipokosea. Mungu amlaze anapostahiri. #77Nyeupe @Chahali @MariaSTsehai
Tweet media one
14
27
421
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
#VIDEO : Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa cash. Watu wajinga sana ndio wanaweza kufanya jambo hili..." #CAGReportTz #NondoZaAssad #TutaelewanaTu
40
86
406
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Chief: What are the causes of LOC? Student: There are many causes of LOC... Chief: Please, mention 50 causes of LOC and their managements.. Student: 💔👨‍⚕️👩‍⚕️🤦‍♀️ Chief: Una hakika una AKILI? Student: Chief, mimi ni YATIMA..
Tweet media one
101
49
418
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
DEAR MARRIED MEN Suala la house-maid sio jambo la muungano. Hupaswi kuongea naye isipokuwa kuuliza tena kwa sentensi zisizozidi nne.😀😀 Dada wa kazi ni mali ya mke hata kama wewe ndio unalipa salary yake. Don't be TEMPTED!!
52
39
410
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
Kiingereza cha Prof. Ndalichako; bila shaka hata yeye kuna muda haelewi anazungumza nini. @MariaSTsehai @HildaNewton21
159
68
399
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
#FAHAMU : ATHARI ZA UTOFAUTI WA KUNDI LA DAMU KATI YA MUME NA MKE. Kuna baadhi ya wanawake wanapoteza mimba zao na wengine kupoteza watoto wao baada ya kujifungua sababu ikiwa ni utofauti wa kundi la damu kati ya mume na mke. Katika makundi ya damu kuna kitu kinaitwa RHESUS FACTOR
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
41
257
365
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
JINSI RAHISI YA KUMFAHAMU MTOTO MWENYE TATIZO LA SELIMUNDU (SICKLE CELL DISEASE) #UZI ⬇⬇⬇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
193
345
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Bibi wa miaka 83 anakuja hospitali analia🤮 hana ndugu. Ila zaidi analia kwa kuwa hana watoto kabisa (hakuwahi kuzaa). Huyu ananifanya nione umuhimu wa watoto. Dada unawezaje kutoa mimba?? Kuua??
26
33
352
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
Ddx??
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
73
44
340
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
#FAHAMU : USILE KAROTI MBICHI KUTIBU MACHO. Wengi wanaamini kutafuna karoti mbichi kunasaidia kuponya magonjwa ya macho. HII SI KWELI Na bahati mbaya huamua kutafuna karoti hasa wakiwa na uoni hafifu; kutokuona vizuri. HII SI KWELI. Mtu anatafuna karoti kama ng'ombe😹 👇👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
43
72
337
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Rais atakayechaguliwa 2025 atleast aongeze mishahara ya watoa huduma za afya hasa madaktari, nesi, wafamasia n.k. Yaani angalau mara mbili ya sasa. We deserve that!
78
39
344
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
8 months
Dear students Punguzeni expectations muwapo mavyuoni. Ila someni mpate vyeti vyenu. Hata kama hautaki kutibu... Kama ulitaka utajiri, endelea kusubiri.
16
36
331
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
10 months
Kweye utafutaji wako, epuka; • Dhulma • Udanganyifu • Uongo • Utapeli • Kamali • Riba
26
62
328
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
10 months
Maisha ya KABURINI ni marefu zaidi. Assume kuna mtu yupo kaburini tangu 1914 huko.
34
30
328
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
Furaha yetu siyo pesa....
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
34
310
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
Hili ni taarifa ya deni langu la HESLB. Deni halisi ilitakiwa iwe 31,764,500/=. Value retention fee (VRF) ya 6% ambayo ni sawa na 3,510,335/=. Ililifanya deni lifikie 35,592,480/=. Hivyo @SuluhuSamia kuondoa gharama hiyo itaondoa ongezeko la kila mwaka! @zittokabwe @Chahali
Tweet media one
Tweet media two
48
33
296
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 months
Aliyeitoa TOTO AFYA alitukosea sana.
26
35
307
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
6 days
DAKTARI Mgonjwa sio wako, ni mali ya Jamhuri. Consult au mpe rufaa. Kumpa rufaa ni sehemu ya matibabu. Kuuliza hakukufanyi mjinga. Kutoa rufaa hakukufanyi mnyonge. HAKUNA ZAWADI KWA KUNG'ANG'ANIA WAGONJWA
24
68
333
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 months
Mwana anaipenda MD kuliko course yake. Muda wa kurudi shule Bado upo..
37
10
307
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
TUZUNGUMZE SIASA... Suala la Nyalandu, Lowassa na Sumaye kwa CHADEMA.. Suala la Membe kwa ACT.. Vyama vya upinzani vimejifunza nini kupitia watu hawa? Je, hawakuwa na watu wenye ushawishi? Nguvu ya @TunduALissu uchafuzi uliopita uwafanye KUWAAMINI vijana wao! @MariaSTsehai
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
45
46
294
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
SWALI CHOKOZI Hivi Nurses kuvaa vimini ni dress code?
50
15
283
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
DEAR INTERN Nawakumbusha kuwa kuna maisha baada ya intern. Jiandaeni ni maisha hayo. Huwa ni maisha magumu na yasotabirika... Just SAVE..
34
17
266
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
#Mbeya : Waliojitambulisha kama wanachama wa CHADEMA wamesema hawaungi mkono ajenda ya #KATIBAMPYA . Najiuliza ni wanachama kweli? @HildaNewton21 @MariaSTsehai @Ntobi_ @jjmnyika @HenryKilewo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
211
24
262
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
I think Mbeya and Iringa are best places to live... Wapi kwingine??
52
14
253
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Prof. Assad says "I did a paper on this (selling of public properties), if got no body to present. Next month I will going to present just on disposal of government's properties.." Get prepared for next press from Professor @MariaSTsehai #CAGreport #NondoZaAssad #TutaelewanaTu
Tweet media one
4
35
252
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
8 months
Reactions za watu juu ya Prof. Janabi zinatuonesha ni namna gani PRIMARY PREVENTION sio kitu rahisi. Na wengine wanamuona kama kachanganyikiwa hivi...NI HUZUNI. ELIMU!! ELIMU!! ELIMU..
Tweet media one
43
33
259
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
• Daktari anawaza wagonjwa, • Daktari anawaza kodi ya nyumba, • Daktari anawaza VICOBA/SACCOS • Daktari anawaza ada za watoto, • Daktari anawaza daraja la mshahara, • Daktari anawaza kilimo, • Daktari anawaza Ufugaji, • Daktari anawaza Betting etc etc
53
23
260
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Watu wanajua "HELA YA KUMUONA DAKTARI" anapewa daktari kila siku kama ujira wake. Mfano: nikiona wagonjwa 10 kwa siku napewa 150k, kwa mwezi..... TUNGEKUWA MATAJIRI SANA WALLAHI!!!
24
12
250
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Muda mzuri wa kwenda shule ni kabla HAUJAOA....
20
13
253
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Hivi kuna watu wanalipwa vizuri kuliko madaktari?😹😹 Wrong answers only😹😹
32
6
249
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
How possible??
Tweet media one
99
24
241
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Hivi kumuahidi mgombea mwenzako ajira ili aache kugombea sio aina fulani ya rushwa!?? @Chahali @MariaSTsehai @HecheJohn @zittokabwe @
20
17
240
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
#FAHAMU : MAZIWA 'FRESH' HAYASAFISHI MAPAFU Wengi wanaamini mtu akitoka kwenye shughuli ya vumbi sana anahitaji kunywa maziwa fresh ili kuondoa vumbi lililoingia kwenye mapafu. HII HAINA UKWELI WOWOTE.👇👇👇👇👇👇 RETWEET... #UZI 👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
35
119
244
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
"Ukimaliza shule, utalala mpaka uchoke" 🚮🚮
36
20
240
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 months
Pale MAT tunamuhitaji mtu mwenye AKILI kama MWAMBUKUSI. Tunamhitaji mtu kama ULIMBOKA.
27
22
244
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Kigoma ipo karibu na Mwanza, Bugando kuliko DSM Wakapita Benjamin Mkapa hospitali. Hospitali ambayo wanatibiwa viongozi wengi. Wakaipita Dodoma General hospital. Wakamsafirisha mgonjwa mahututi kwenye mabonde na vumbi kali kwa muda mrefu..😥😥 Umuhimu uko wapi??🤧🤧😓😓
@millardayo
millardayo
2 years
James January aliyekuwa majeruhi katika tukio la mauaji ya Watu sita Kigoma amefariki leo Mkoani Morogoro alipokuwa akipelekwa Hospitali ya Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. #MillardAyoUPDATES
Tweet media one
Tweet media two
151
29
668
51
21
234
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
3 years
DEAR INTERNS. Pesa ya posho ya intern usiitumie kuanza kujenga, utajitafutia stress bure. Fanya biashara au itunze utafanya biashara baada ya intern. Ukishindwa yote hayo UPE MWILI POLE!! RT
26
29
218
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
11 months
DEAR DOCTORS Wagonjwa sio mali yako. Ni mali ya jamhuri. Mshauri atafute matibabu kwingine kama unaona hauwezi kumsaidia. Na hii haikufanyi kuwa wewe sio daktari mzuri. RUFAA NI SEHEMU YA MATIBABU.
15
51
226
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Hapa tuiite bomu la NYUKLIA... @TumainiMakole
Tweet media one
133
22
217
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Rais: Mjiajiri PM: Mjiajiri Spika: Mjiajiri Gwajima: Mjiajiri Jaji mkuu: ajira zipo tele! Bado kuna kuamini kuwa ajira zipo?? Vijana walipoamua kujiajiri ktk ajira binafsi matumizi ya drones, ufundi simu n.k....mmeamua kuwajazia KODI! TUTAFIKA KWELI? @MariaSTsehai #Uchumiwakati
14
30
219
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Ukimuona DAKTARI BINGWA muheshimu...shule ni vita
35
16
227
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Nani anamdanganya mama kuwa Tozo ndio italeta maendeleo?? Yaani tuumie na huku akikopa kila uchao??. Hakika wanamdanganya sana!! MTAA HAUMUELEWI! #SayNoTozo
20
33
209
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
10 months
MAHARI • Mahari: 2,000,000/= (ukionewa huruma) • Koti la babu: 500,000/= • Mkaja wa bibi: 5,000,000/= • Ng'ombe: Wanne • Mbuzi: Saba • Kuku: 10 • Mahindi: Gunia 1 • Mtama: Gunia 1 • Chumvi: Kilo 5 • Pombe (kienyeji): Lita 20 HUKU NI KUUZIANA BINADAMU; UTUMWA
71
40
224
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
DMO na MOI waanze kupangiwa zamu za kufanya patrol kama traffick ili kuwa karibu itokeapo ajali. ILA HAYA MAMBO HAYA🚮🚮
27
15
220
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Kuna namna dharau inaweza kukufelisha kwenye maisha. Dharau inaweza kukufanya ushindwe kusaidiwa. Hakuna aliyewahi kufaidishwa na DHARAU zake...
9
29
217
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Leo nimefika chuo kimoja hapa nchini kumuona jamaa yangu niliyesoma nae Advance. Nilikuwa nimevaa barakoa na nilifurahi kuona katika geti la chuo wameweka tangazo kuwa " hauruhusiwi kuingia chuoni kama hauna barakoa" cha kushangaza sikufanikiwa kumuona yeyote aliyevaa barakoa.
18
16
212
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Vijana wa siku hizi kwamba wanataka mke mwenye kazi wasaidiane majukumu. Grave mistake..!!
30
23
214
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Wote mko field. Wote mnalipwa sawa. Ila mwanamke atataka supu anywe kwa hela yako.
41
17
213
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Our own doctor suffers from colonic cancer. Please, send any amount of money to the provided means. Please RETWEET as well!
Tweet media one
15
168
214
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
ANAHITAJI MSAADA Octavian, kijana wa miaka 33 aliyepata uvimbe wa mdomo kwa miaka 18 sasa. Hajatibiwa kwa kuwa hana fedha. Aliambiwa gharama za matibabu ni 6 million kipindi hicho katika hospitali ya @MuhimbiliTaifa . AIRTEL-0688655533-COLETHA MBILINYI
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
116
212
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
#FAHAMU NAMNA YA KUMGUNDUA MTOTO MWENYE TATIZO LA MOYO. Baadhi ya watoto huzaliwa wakiwa na hitilafu kwenye sehemu ya moyo. Kama vile moyo kuwa na tundu n.k Je, utamtambuaje mtoto (mdogo) mwenye tatizo la moyo?? 👇👇👇 #UZI 👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
110
202
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
HIV is a real issue. Nearly every family has one or more members with the pandemic. We need behavioral changes from the family level..!!! UKIMWI UPO! UKIMWI UPO..
18
32
207
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Kwenye mambo ya kitaifa. Wamuachie mama @SuluhuSamia kuzungumza, watanzania wanapenda kumsikia yeye zaidi. Wasaidizi wake wabakie kama wasaidizi wasitake kumpokonya tonge mdomoni rais wetu na kuanza kumchonganisha na wananchi kupitia kauli zao TATA.! @MariaSTsehai
Tweet media one
18
25
199
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
#Uchaguzi ujao mwezi #October utakuwa umenoga mno. Lissu amefanya wananchi waungane tena, amewafanya kuonesha upendo na umoja wao kwa siku ya leo. Bila shaka hii inadhihirisha kile wanachokitani kufanyika nchini. #TunduLissuHomeComing @MabalaMakengeza @MariaSTsehai @Chahali
Tweet media one
Tweet media two
2
20
203
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
MICHANGO YA HARUSI INAWEZA KUVUNJA URAFIKI.
41
28
209
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
#TUNAPOELEKEA : Muda wa saa 7:58 usiku huu nilipishana na defender ya jeshi, ikiwa na wanajeshi kama 10-15 wenye silaha. Sikuwahi kuona hali hii before! Scary. Je, yote hiyo ni sababu ya uchaguzi huu?? #TanzaniaElections2020 #TanzaniaElections2020 @Chahali @MariaSTsehai
10
25
206
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Haki haichangamani na batili. Askofu Bagonza nimemfahamu kama msema kweli na askari makini katika kuhakikisha haki inatawala! Wanaopanga kumuua wanataka kuipoteza haki...Mungu atamlinda. #Haki #Tanzania
Tweet media one
4
17
201
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
1 year
Md5 wote wafanye mtihani mmoja nchi nzima kama NECTA. Kiumane!
48
16
200
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
2 years
Ni kweli nimesoma kwa kodi zenu....ila ndio mnataka "KUNIONA BURE"??😆😆😆
21
10
189
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
I can't allow either of my kid to be a Tanzanian soldier. I can't, over my dead body. What i have seen in these two days is ENOUGH to me. Nilitamani kujiunga jeshini ila hamu imeniishia! 😭😭😭 #MyTalk #MyMessage
Tweet media one
13
23
193
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Kisheria imekaaje hii? Kumbe hatutakiwi kukusanyika, kwani msiba sio mkusanyiko?? @MariaSTsehai @fatma_karume @Advocate_Jebra
Tweet media one
Tweet media two
18
22
189
@drmlalukoMD
Dr. Mlaluko, MD
4 years
Doctors and other medical personnel are trainned for couple of years to keep the community healthier and save humans' lives but #Soldiers do vice versa; they harm and kill their people to keep political leaders into power forcefully. #MyTalk @CarlosMziray @MariaSTsehai @Chahali
9
30
192