#NAPENDEZA🇹🇿 Profile Banner
#NAPENDEZA🇹🇿 Profile
#NAPENDEZA🇹🇿

@napendezafrika

Followers
3,920
Following
30
Media
1,712
Statuses
36,432

𝐓𝐫𝐮𝐬𝐭𝐞𝐝 𝐥𝐞𝐚𝐝𝐢𝐧𝐠 𝐨𝐧𝐥𝐢𝐧𝐞 𝐦𝐞𝐧'𝐬 𝐬𝐡𝐨𝐞𝐬 𝐬𝐭𝐨𝐫𝐞 𝐛𝐚𝐬𝐞𝐝 𝐢𝐧 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐰𝐢𝐭𝐡 𝐡𝐢𝐠𝐡 𝐬𝐚𝐥𝐞𝐬 (𝟒𝐌+)

Dar es Salaam, Tanzania
Joined February 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
17 hours
Recharge ⚡️
Tweet media one
0
0
6
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ Spana za huyu jamaa anakuchapa huku anakuangalia usoni kabisa kwenye taasisi ya wachapa spana anastahili siti za mbele
0
2
80
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@IAMartin_ Lugha muhimu sana aisee hapa nimepoteana
4
1
78
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ @Salym @CrownMediaTZ @Sativa255 Hiki kiti cha salim cha moto sana tunahitaji wanahabari kama hawa
4
0
76
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@jemedarisaid Jamaa una tatizo kubwa la cerebellum aliekwambia kujifunza kuna mwisho ni nani? Au bakharesa wazo la ukwaju amepewa na matajiri wenzake?
2
0
60
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@millardayo Jamaa anajiseti kuokota hela za kampeni jamaa mjanja mjanja sana huyu🤣
3
0
57
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@MwijakuBurton Unakimbilia wapi Jaku boy chawa wa taifa sisi leo tumeweka jackets kali sana tulitamani kuweka sampo hapa ila kama hutojali pitia akaunti yetu kuona zaidi.
0
0
56
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@EduTalkTz Jamaa alinyooka sana chapa like kama hupendi kona kona🙌🏻
2
0
51
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@IAMartin_ @fatma_karume Uwe mkoa aisee sijui kwanini haikua hivo mambo yangekua rahisi sana.
3
0
47
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@ayubu_madenge Jamaa wa moto sana aagize kiatu kutoka kwetu atakipata buree kabisa
2
0
48
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
17 days
@FKihamu Usivae viatu vya Mo vaa hii clarks (Loafer) 130,000/- Tu! Unaletewa popote ulipo bure. Size yako ipo tupate wasapu 0653812224
Tweet media one
9
4
47
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 @Big0047 Hii ndio ile chai Dar ugali SA kumpumzika Dubai kulala USA 😂 Then inajirudia kama daily routine Ahsanteni sana wadau wetu miezi miwili (2) iliopita tulipoza A/c yetu ikiwa na Followers elfu saba💔 Lakini shughuli na simu zenu hazikupotea kutambua hilo kesho raba ni Tzs
0
2
45
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@chapo255 Fundi kashona hadi kachoka kaona ampe tu bro😂
3
3
45
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
18 days
@Jambotv_ Jamaa yupo active sana anapiga za chembe tu
0
1
43
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@ExMayorUbungo Safi wazee mnapiga kazi kweli haihitaji kuwa ndani ya mfumo ili uwatumikie wananchi kwa heshima yenu Tulipenda kuwawekea hapa sampo ya sandals kali ngozi tupu na viatu vya ofisini wanaume ila Tukuombe watumia sekunde 30 kupitia akaunti yetu hawatatoka BUREE!
1
0
42
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @babalao__ @Balyx_ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 Sawa bhn, unahitaji kiatu cha ofisini au raba nzuri ya mazoezi usisite kupitia akaunti utaletewa hadi ulipo bila gharama ya usafiri.
Tweet media one
5
4
42
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@ClaotusCC Kabla sijalalamikia viongozi je, huyu ni Chama Og kama Timberland au sio?
15
0
41
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
27 days
@chiefodemba Sasa mlete pale kwenye medani umchape maswali ya kinaga ubaga
0
2
43
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@LelloMmassy Tigo wamekiamsha sana isee🔥
0
0
42
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@MariaSTsehai @VodacomTanzania At least ikiwa mil 5 ahamimishie bank ili transfer zisiwe zina delay.
2
2
42
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@TMnyama4_ Ukifikia hiyo hatua kweli umekua sababu huwezi kulala na kila mwanamke
0
0
41
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
28 days
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @MissChelsea1221 @DullahTheking2 Kibabe sana ananikumbusha enzi zangu naflow ilikua noma sana aisee kiatu ambacho siwezi kukirusha ni hiki cha 110,000/- mashine wasiliana nasi wasapu 0653812224
Tweet media one
0
1
40
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
24 days
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @MissChelsea1221 Leo nisikufiche nafasi ya kubadili muonekano wako cadet elfu 45 au kiatu kikali cha elfu 95 tembelea akaunti yetu sasahivi wasapu 0653812224 ✅
Tweet media one
Tweet media two
0
0
39
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@IAMartin_ Tarudi baadae kumalizia👍
2
0
37
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@DrCyrilo Huku kuna msamaha wa kodi kaka
3
0
39
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ 😂😂 Boni huu mtego hatuuingii iwe kwa bahati mbaya au makusudi
0
1
39
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@MwijakuBurton Mkuu huyu ni wewe JAKU BOY wa sikuzote sikiliza ukipita kariakoo kuna kiatu chako Njoo uchukue Jaku boy hii ni sneaker kali ya Tsh 95,000/- Tommy tunakupa BURE.. Tupigie au wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
1
0
38
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
28 days
0
0
37
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@fumbokhanJr Ngoja kwanza Jaku boi atafute maokotoko
1
0
37
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@millardayo Huu moto sana umerudi wakati mzuri sana aisee
Tweet media one
9
8
36
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 Wale wanaompinga Diamond kazi wanayo itabidi wakunjue tu nafsi hakuna namna
1
0
35
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@chiefodemba Next time uachie audience kupiga makofi
3
1
35
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
17 days
@IAMartin_ Dahh Inasikitisha mno nakumbuka Sugu aliwahi kutucheki akihitaji kiatu very humble person hii haikubaliki
0
0
35
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@ze_mandevu Noma sana aisee mzee wa mawe sisi tukipata mteja mwenye maswali mengii Huwa tunawaweka humu aisee VICO WATERPROOF umewahi kuivaa hii Kama bado ichukue ni Tsh 95,000/- size 40/45 Upo mkoani tunakutumia BUREEE! Wasiliana nasi WhatsApp +255 653 81 2224
Tweet media one
1
3
33
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@Kirikuu20 Karibu napendezAfrica kiongozi unaletewa hadi ulipo Dar es salaam BUREE kiatu unachohitaji.
Tweet media one
5
1
34
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
Best formal Timberland Leather shoes 💨 Tzs 110,000/- size 40----45 Unaletewa hadi ulipo Dar es salaam BUREE! Njoo WhatsApp chap +255 653 81 2224
Tweet media one
3
1
7
0
1
34
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 Aisee wanashambulia raia kama wahalifu mbaya sana hii by the way leo unaweza kuchagua pisi kuanzia nne ukapata kwa bei ya jumla mawasiliano pinned post
Tweet media one
11
2
33
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@MwijakuBurton Si tulikubaliana kampuni sio yake Jaku boy
0
0
34
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@msafwa_og Hii hapa
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
Tuambie hii Tshirt ni mpeche au sio mpeche? 😂
Tweet media one
1
0
13
1
2
33
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ @Sativa255 Uoga, unafki ukae pembeni ili haki ipatikane.
0
0
32
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IdrisSultan Hii 2 ungeiondoa ili 1 iwe na maana
1
1
32
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@millardayo Unatoka home jioni au baada ya kazi unavaa nini? Unazingatia heshima mbele ya watu wako basi CLARKS wameleteta leather sandals Tsh 65,000 kwa ajili yako kiongozi Zungumza nasi wasapu #0653812224
Tweet media one
3
1
31
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ @Sativa255 Maelekezo yamenyooka sana ofsa sisi tunakubali harakati zako all days Martin by the way fursa hii ndogo tuitumie kuwajuza UMMA akaunti yetu ya zamani ilipotea hii mpya Kiatu, kiatu msingi delivery bureee pitia akaunti yetu.
0
1
32
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
18 days
@shaffihdauda1 Nyinyi DaudaTv hamna wapiga picha au hii picha mmeinunua kwa Honest eyes?
1
0
32
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@mokertz__ Sema hamonaiza anapenda kiki sana wangeacha sekunde 30 tu zinatosha Angalia anavyorusha ngumi then njoo uendelee kuinjoi kuishi kwa kutupia viatu vikali Tuguse napendezAfrica kupitia WhatsApp +255 653 81 2224
Tweet media one
3
1
31
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@HKigwangalla Mkuu hapo wa kulaumiwa ni wapinzani au walioshika DOLA inafikirisha sana Kwani wapinzani huwa wanawakumbusha kununua V8 Kaka kwanini unataka huduma za jamii mkumbushwe? Inasikitisha mno. By the way tulipoteza a/c yetu sasa unaweza kutupata hapa kama napendezAfrica.
3
0
31
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@TanzaniaLeaks Leo pamechangamka sana humu aisee lakini hii ni kwa ajili yako 130,000/- unaletewa bure zungumza nasi wasapu 0653812224
Tweet media one
2
2
29
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@millardayo Sawa bhn, unahitaji kiatu cha ofisini aina yoyote au raba nzuri ya mazoezi basi usisite kupitia akaunti yetu ili uchague na utaletewa hadi ulipo bila gharama ya usafiri. Hii elfu 95 tu tupigie 0653812224
Tweet media one
0
2
30
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ Unafki wa hawa jamaa ni Tatizo sana la nchii
0
1
30
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@ExMayorUbungo Safi kabisa aisee sisi tutaamua kwenye ballot box tu hatuna maneno na by the way Hatuachi kutupia viatu vikali hii ni Tsh 85,000/- Usiogope mzigo ni waterproof kabisa inakufikia popote ulipo Tanzania. Tupate wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
3
2
30
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
18 days
@eastafricatv Hiki chombo cha habari cha ovyo sana
0
0
29
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@mokertz__ Mwana kavaa zake Jordan 4 anadunda mdogo mdogo sio mbaya kajipata By the way sio kila kiatu kitakutoa huo ndio ukweli zingatia kimo chako Ukiwa sio mrefu usipende kuvaa boots vaa low cut zitakutoa zaidi Ukiwa mrefu low na high cut zote zinakutoa Hii ni Timberland pure
Tweet media one
1
3
29
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @MissChelsea1221 @kabigwa_78 Unapenda "CLASSIC LOOK" Tupia jicho hii Timberland Leather low cut size 40/45 Nimeipa A.k.A OLD SCHOOL timber 🙌 Tsh 95,000/- Tu! Unaletewa hadi ulipo BUREE! Wasiliana nasi wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
1
1
28
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Kimuzi_ Kimuzi njoo Tanzania
2
1
28
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@godbless_lema Hii umeshaipata ni 110,000/- zungumza nasi wasapu 0653812224
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
Hello Money days 🤝
Tweet media one
2
0
9
6
2
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@iam_JacksonJ Wanaoongelewa ni wengi na media ni nyingi almost 60% haraka haraka ni Mau na wasefu midia.
2
2
28
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@mshambuliaji Hii ya waziri kutenguliwa na gati kuondoka hapo hapo wataalamu wa protokali hii imekaaje? Waziri mpya siku wa uapisho tutampa hii Clarks kwa 140,000/- size 38/46 Zungumza nasi wasapu 0653812224
Tweet media one
2
1
28
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@AD_Abinallah Hii ya waziri kutenguliwa na gari kuondoka hapo hapo wataalamu wa protokali hii imekaaje?
2
1
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@CloudsMediaLive Wataalamu wa haya mambo tuwekeni wazi cheo kimepanda au kimeshuka pia usisahau ukiagiza kiatu cha ngozi usisafishe na maji unaharibu kiatu
4
1
28
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@eastafricatv @SuluhuSamia @mwigulunchemba1 Mbona hataji hizo takwimu ifike hatua kuzungumza na hii ipigwe marufuku kafanya research wapi? Au ndio kawaida atafuta teuzi Aisee inasikitisha tuache hayo. Unahitaji kiatu cha harusi, kikao, safari, safety buti na sandals pitia akaunti yetu sasahivi
2
0
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@HKigwangalla Story haijakamilika mkuu ila tungependa kufahamu hatua zipi utazichukua kama mbunge kulingana na kisa hiki au tusubiri kukuona ukipiga meza bungeni mkuu?
1
1
26
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@fbuyobe Hii ni counterattack unashambuliwa kwa mbali kwahiyo sahivi dili za # zinahama mdogo mdogo
0
0
26
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @MissChelsea1221 Somo kubwa sana la kujifunza unapenda brand shoes basi hii ni yako Tsh 120,000/- unaletewa hadi ulipo cat wameupiga mwingi zungumza nasi wasapu 0653812224
Tweet media one
3
1
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
23 days
@nulphin @millardayo Kwanini media huwa zinasubiri wadau waibue matukio ndio wajitokeze kujionyesha kwanini wasifanye uchunguzi aibu tu
3
0
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@ExMayorUbungo Haya mambo yanatisha mno unatamani ingekua movie ya John Depp au mastermind Cillian Murphy ila kwa bahati mbaya ni ukweli sio movie wala ndoto Mungu atupe Ujasiri wa Daudi kwa wafilisti. Bila kusahau kiatu Original Tsh 130,000/- tu unaletewa bure #0653812224
Tweet media one
0
0
27
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
26 days
@ExMayorUbungo @SuluhuSamia @DrTaxs @Dr_DGwajima Hakika hatua stahiki zitachukuliwa ipasavyo ili kukomesha vitendo hivi, pia tutumie fursa hii kukumbusha unaweza kuagiza kiatu ukiwa popote Tanzania pitia page yetu sasahivi. Wasapu 0653812224
Tweet media one
8
1
26
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@mokertz__ Unajua kama hujawahi kuingizwa mkenge huwezi elewa hii? Binafsi nilipigwa 100k kwenye kisanga flani hivi nilipopata mchongo napendezAfrica Niliwaambia ili tufanikiwe basi uwazi wa pesa ya mtu ni muhimu zaidi Nikachochea mteja alipie baada ya kupokea mzigo kwa Dar es Salaam
Tweet media one
5
3
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
18 days
@Jambotv_ Jambo Tv popote mpo mnakiwasha sana
1
3
26
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ Noma sana brother jamaa kafoka kweli taarifa za DART kupewa eneo la simu2000 hazikuja kwa bahati mbaya na RC hana uwezo wa kubadili machinga walijaa tu kwenye mfumo
0
0
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@ExMayorUbungo Yanga tu Habari hizi kuziona kwenye midia aanhh
1
2
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 Hawa jamaa wana kitu watafika mbali lakini tusisahau kwa viatu vikali vya ngozi tembelea ukurasa wetu.
1
1
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@Sirjeff_D Matajiri wakubwa tycoons wanapenda sana dezo hasa kwenye kodi mzee.
2
0
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
12 days
@JamiiForums Hamonaiza aje achukue hii ya Tsh 140,000/- avae siku anaenda kulipa deni wasapu 0653812224
Tweet media one
5
1
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
27 days
@TanganyikaLaw Tunawapongeza wanasheria wote kipekee tuseme kesho ukiagiza kiatu popote ulipo utaletewa au kutumiwa bure hii mid cut ni Tsh 110,000/- tu wasiliana nasi wasapu 0653812224
Tweet media one
1
1
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 Hii ni yako usisubiri size ziishe utajilaumu sana inaanzia 40/45 Tsh 95,000/- Unaletewa BUREE! Wasiliana nasi wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
1
0
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@masoudkipanya Mama kashika zake jiwe mchongoko anamsubiri huyu tapeli na tranka lake unarudije nyumbani bila zawadi kutoka napendeza?
0
0
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@Sirjeff_D Pamoto sana leo humu ndani una sherehe, appointment Unahitaji kubadili gia basi hii ipo vizuri Tsh 120,000/- size 39/46 Wasiliana nasi wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
0
0
25
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@godbless_lema Wameanza kuchomoka mmoja mmoja kuonyesha upuuzi wao ingependeza iwepo sheria ya kuwalamba viboko Wabunge na viongozi wengine wapuuzi hadharani ingesaidia sana hatuwezi kuendelea hivi Tuache maana linachafua jana kwenye page yetu tulizungumza namna ya kuchagua kiatu Kulingana
Tweet media one
2
0
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 @babalao__ Leo siku imekua ya huzuni sana, Haijalishi ulipo wala shughuli unayofanya ila usikose hii CLARKS size 39.......46 Tzs 130,000/- Unaletewa BUREE! ✅ Tupate wasapu call/Text +255 653 81 2224
Tweet media one
0
0
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Chizzodrama Chris kafanya free promo lazima ngoma izidi kwenda mbali na haitashangaza akiingia kwenye RMX uzuri au ubaya wa nyimbo hauzuii mafanikio yake na haizuii kuchezwa na Top artist wa dunia ya kwanza
1
0
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
11 days
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @MissChelsea1221 Aisee ndio hivo tena, leo siku nzuri kabisa una nafasi ya kupata moka kwa 140,000/- haiishii hapo socks bure habari njema unaletewa bure tupate wasapu 0653812224
Tweet media one
Tweet media two
0
1
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@mwigulunchemba1 Kama jamhuri ni nchi moja kwanini mimi kutoka Maswa siwezi kua Rais Zanzibar, Tafurahi ukinijibu kiongozi. Pia sisi ni wataalamu wa viatu vikali mkuu kama hii ni Tsh 130,000/- size 39/46 Unaletewa popote ulipo mkuu Wasiliana nasi WhatsApp +255 653 81 2224
Tweet media one
3
2
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@godbless_lema Pole sana mkuu mchungaji kala kona mapema sana aisee tuone nini kinafuata by the way simu zinapigwa nyingi sana ila una 110,000/- yako umependa rangi hii njoo wasapu #0653812224 utaletewa bure
Tweet media one
4
4
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@PresenterNoah Unakuaje MVP hujashinda ubingwa? All in all Karibu napendezAfrica kiongozi unaletewa hadi ulipo Dar es salaam BUREE kiatu unachohitaji. Piga au wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
4
2
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@ze_mandevu Njooni mchukue spray za kusafisha viatu vya ngozi 🤣
5
1
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@IAMartin_ @Sativa255 Hapa imetemwa lugha tu kukurahisishia pitia ukurasa wa martin hapa ipo ya kiswahili yake ile.
0
0
24
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
17 days
@ExMayorUbungo Inasikitisha mno tarudi kumalizia, Mh Sugu aliwahi kutucheki napendezafrika akihitaji kiatu very humble person aisee pole nyingi kwake na familia.❤️
3
0
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@Rydx_017 @__abdulazack @JayleenRickie @Balyx_ @babalao__ @kabigwa_78 @MissChelsea1221 @DullahTheking2 Spirit nzuri sana hii kama wasanii wa Tanzania wangekua na umoja huu wangeenda duniani muda sana Diamond ameacha kuongea ameacha mziki uongee well deserved 👏 Upo ofisini agiza kiatu kutoka kwetu utaletewa bure
Tweet media one
6
0
21
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@fumbokhanJr Hawa jamaa wanavopenda kamera watakuja kufa wanajirekodi watafute nazi iliokomaa sasa By the way mzigo tuliousubiri umefika ukiingiza maji rudisha tukupe mpya Unaletewa BUREE! Tsh 85,000/- size 40/45 Wasiliana nasi wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
1
1
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@SportsarenatzTz Mzee tulijua Xclusive
0
1
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@iam_JacksonJ Dah na sisi tunakuondolea makato badala ya 110,000/- utailipia 100,000/- hatuishii hapo kiatu kitakufikia hadi ulipo bure. Tupate wasapu #0653812224
Tweet media one
5
5
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@godbless_lema Maigizo hayajawahi kuisha 😂
0
0
23
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@YoungAfricansSC Mastermind, Tunafahamu changamoto kubwa ya cotton cadet nyingi kuchuja na kuchakaa mapema Sisi tunaposema Cadet original hii ndio tunamaanisha picha pinned post.
0
0
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
1 month
@ExMayorUbungo Hapo ulipo hii unaipata kwa spidi ya ngiri mkia juu dakika 30 tu Dar es salaam size yako ipo Tsh 110,000/-
Tweet media one
0
1
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
3 months
@ommyfitness Hapo hakuna mwanamke utaempata aisee kula nyama nyamaza
3
0
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
27 days
@PMadeleka Mmeupiga mwingi hii ndio maana ya usomii
0
1
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
Round hii hatutaki michezo 🔥
Tweet media one
2
1
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
Tunaendesha poll je ungependelea ukiagiza kiatu uletewe kwenye box 📦 ama mfuko? Pitia akaunti yetu upige KURA sasa. Tukisubiri hilo Tsh 130,000/- size 38/46 Inatosha uletewe kiatu hadi ulipo BUREE! Tupate wasapu +255 653 81 2224
Tweet media one
0
4
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
16 days
0
0
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
4 months
@Jambotv_ Nyinyi si waandishi wa habari kwanini msituletee taarifa kamili kama ni yeye au sio yeye kwa kufanya uchunguzi
2
2
22
@napendezafrika
#NAPENDEZA🇹🇿
2 months
@wisdomjaykwa Uzi makini sana huu 🙌
0
0
21