Asanteni tena mashabiki wa Simba Sport Kwa kipindi chote nimeshirikiana nanyi sitosahau nguvu kubwa na mapenzi yenu kwangu daima mtabaki moyoni kwangu🤝. Mpira ni maisha hivo nipo tayari kuwa sehemu ya wananchi na naamini watanipokea vyema🔰
#DaimaMbeleNyumaMwiko