TLS is a membership organization that represents Advocates in Tanzania Mainland. TLS is constituted through Tanganyika Law Society Act CAP 307 R.E. 2002.
Tunapenda kuujulisha umma kuwa TLS inatoa mitazamo, matamko au elimu juu ya sheria kupitia account zake rasmi za kijamii na si account za wanachama wake binafsi. Hivyo chochote anachokipost mwanachama au kiongozi kupitia account binafsi hakifungamani na mtazamo wa
@TanganyikaLaw
Letter from TLS President, Fatma Karume - Law Day 06th February 2019
Please receive a letter from
@TanganyikaLaw
President, Ms.
@fatma_karume
in respect of the Law Day that will be celebrated tomorrow, 06th Feb 2019.
Follow the link for attachment ===>
Tunapenda kuwashukuru wanachama wa
@TanganyikaLaw
kwa kushiriki katika Uchaguzi wa Viongozi, Matokeo ya Nafasi ya Raisi wa Tanganyika Law Society
Edward Hoseah 621
Harold Sungusia 380
Jememaih Mtobesya 145
#2022TLSAGM
Announcing to you the New Governing Council of
@TanganyikaLaw
for the year 2019-2020 as follows
PRESIDENT- RUGEMELEZA NSHALA
VICE PRESIDENT- MPALE MPOKI
HONORARY TREASURER -NICHOLAUS DUHIA
#TLSAGM2019
TLS imewakutanisha pamoja wadau mbalimbali nchini kujadili miswada ya sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Sheria ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa. Mjadala huu unafanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 15/12/2023.
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba (mgeni rasmi) akizindua kitabu cha Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta, tukio lililofanyika kwenye ukumbi wa Wakili House Dar es salaam na kuhudhuriwa na majaji na wageni mbalimbali.
TLS yashinda kesi ya Kikatiba dhidi ya Serikali ya Tanzania iliyofunguliwa mwaka 2014 kupinga azimio lililoafikiwa na Serikali ya Tanzania la kulizuia Baraza la Jumuiya ya SADC kuamua kesi kutoka kwa wananchi wa nchi wanachama wa SADC.
Tunaendela na Mkutano Mkuu wa
@TanganyikaLaw
ambao utamalizika kesho kwa uchaguzi wa viongozi wapya wa chama. Mgeni rasmi katika mkutano huu ni Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Sammata
@TLSAGM2019
Hii sio sahihi kabisa! wanafunzi hawa wanawahi shule, dereva yeye ameshachukua tahadhari kwa kuvaa kofia ngumu. Bodaboda kwa sasa zimekuwa ni usafiri wa umma. Ni vyema tupitie sheria yetu ya usalama barabarani ili iwe ni lazima kwa abiria wote kuvaa kofia ngumu
#Ajalisasabasi
.
Ni vizuri watunga sheria wawe objective na wakumbuke hawatadumu kwenye nafasi zao milele ukitunga sheria kwa kukandamiza watu kesho itakugeukia wewe ukishapoteza dhamana kwa hiyo tuwe waungwana - Sungusia Harold
#WikiYaAZAKI2018
Mwendokasi ni sababu kuu katika nusu ya vifo vitokanavyo na ajali za barabarani: Unga mkono serikali katika marekebisho ya sheria ya usalama barabarani yenye vipengele vinavyopunguza viwango vya mwendokasi nchini kote.
#Ajalisasabasi
#ChangeTanzania
#monda
Marekebisho yaliyopendekezwa katika sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 yanahitaji wasafiri wote wa mbele na wa nyuma kufunga mikanda yao ya kiti ili kupunguza athari zinazosababishwa na ajali za barabarani: Unga mkono serikali katika kupitisha sheria hii.
#Ajalisasabasi
Wakili Mwandamizi Mpale Mpoki akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Sakata la Kufungiwa Uwakili kwa miezi 6. Aeleza hatua ambazo anazichukua juu ya sakata hili. Fuatilia mahojiano yote kupitia link hapa chini
Wajumbe kutoka Chama Cha Wanasheria nchini China wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi bwana Wang Wei wameitembelea
@TanganyikaLaw
na kukutana na Rais
@fatma_karume
pamoja na Uongozi wa Secretariet lengo likiwa ni kuimarisha ushirikiano katika maeneo mbalimbali ya kiutendaji!
Chama cha Mawakili Tanganyika kinampongeza wakili Harold Sungusia kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Tanganyika Law Society kwa mwaka 2023-2024 kwa kupata kura 748 kati ya kura 825
#TLSAGM2023
Mitindo mingine ya nywele za dada zetu hairuhusu helmet kukaa vizuri kichwani kitu kinachoongeza athari wakati wa ajali. Hata hivyo sheria yetu ya usalama barabarani haiwalazimishi abiria wa boda boda kuvaa kofia ngumu. Tumeendaa mapendekezo ya kuboresha sheria hii ya tangu 1973
Simu inaweza kusubiri ila ajali haitasubiri. Pamoja na kuwa matumizi ya simu yameongezeka,
#Tanzania
bado hatuna sheria inayosimamia matumizi ya simu kwa madereva.
@TanganyikaLaw
na wadau wengine tumeliona hili na tunalifanyia mchakato. Tuungeni mkono.
#AjaliSasabasi
Uchambuzi wa Kisayansi kuhusu Azimio na Nia ya Tanzania kujitoa katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu kupitia Ibara ya 34(6) ya Itifaki ya Mkataba Unaoanzisha Mahakama ya Afrika. Wataalamu, & Wadau mbalimbali wametoa maoni yao. Nasi Tutayakilisha
@Sheria_Katiba
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai...
Pombe ni hatari kwa dereva hivyo ni muhimu kuchagua moja kuendesha chombo cha moto au kulewa! Tupo kwenye mchakato wa kushawishi maboresho ya Sheria ya usalama barabarani ili kuthibiti matumizi makubwa ya vilevi kwa madereva. Tunaomba mtuunge mkono.
#AjalisasaBasi
TAMKO KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI JUU YA HAKI YA MTUHUMIWA KUPEWA DHAMANA KATIKA KITUO CHA POLISI
Rais
@fatma_karume
atoa tamko kwa niaba ya Baraza la Uongozi wa
@TanganyikaLaw
. Bonyeza hapa kudownload =>
Kiongozi wa TLS Kanda ya Kati Laetitia Petro ameongoza jopo la mawakili waliokuwa wakimtetea mjane Maria Ngoda aliyehukumiwa kifungo cha miaka 22 jela kwa kukutwa na nyama ya swala na kushinda rufaa hiyo kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Iringa.
Raisi wa
@TanganyikaLaw
@fatma_karume
azungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kukamatwa kwa mawakili na kuwekwa ndani kinyume na sheria wakati wakiteleza majukumu yao ya kazi.
"Some people come into our lives, leave footprints on our hearts, and we are never the same." Our Condolences to
@CloudsMediaLive
, Ruge's family and Tanzania in general.
#RestinPeaceRuge
Ukiwa umefunga mkanda utapunguza madhara ya ajali kuanzia 50% kwa abiria wa kiti cha mbele na 70% kwa abiria wa viti vya nyuma. Changamoto ni sheria mama inayosimamia masuala yote ya barabarani haisemi lolote kuhusu kufunga mkanda kwa abiria wa viti vya nyuma.
#Ajalisasabasi
Mawakili wapya wakitoa heshima kwa CLE(Council for Legal Education) wakati wakiapishwa. Mawakili 549 wamepokelewa na Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
@TanganyikaLaw
tunasema Karibu Sana!
RAISI WA TLS FATMA KARUME AHUDHURIA KIKAO CHA TATHIMINI "POST SESSION MEETING" CHA MAHAKAMA YA RUFANI.
Kikao kinaendelea, wadau wengine wa mkutano huo ni Mwanasheria Mkuu, Mkurugenzi wa Mashtaka, Mwanasheria wa Serikali Mfawithi, Mkuu wa Gereza na Afisa wa Polisi Kanda Maalum.
Wanasayansi wa mambo ya siasa pamoja na wananchi wameudadafua mswada wakiutazama kwa jicho la namna gani wananchi wataathiriwa na mswada huu iwapo utapitishwa. Wanaitaka serikali/bunge iyachukulie chanya mawazo yatakayowasilishwa na iyafanyie kazi.
#MuswadaWaVyamaVyaSiasa
#MuswadaWaVyamaSiasa
pia tutakuwa live kupitia account zetu ambazo ni tanganyika law society(facebook) na hapa tweeter! huku shangazi akionekana kuvutiwa na mjadala wa kesho. Si ajabu ataurusha live kupitia account yake ya
@fatma_karume
Chama na Mawakili nchini
@TanganyikaLaw
wameandaa mjadala Kuhusu Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa. Ninawapongeza sana kwa uamuzi huu kwani utaongeza uelewa zaidi wa umma Kuhusu muswada huu kandamizi. Kesho asbh Kisenga Hall, Millenium Towers, tukutane kujadiliana
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeandaa kongamano la wazi kujadili "Namna Bora ya Kuhuisha Mchakato wa Katiba Mpya" ambapo zaidi ya watu 350 kutoka Tanzania nzima, wadau mbalimbali pamoja na wananchi watashiriki.
Chama cha Mawakili Tanganyika kinampongeza wakili Edward Heche kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakili Vijana(AYL) wa TLS kwa mwaka 2023-2024
#TLSAGM2023
Je! Wajua sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 haimlazimishi abiria wa boda Boda kuvaa kofia ngumu? inamtaka dereva tu kuvaa kofia ngumu. Tupo kwenye mchakato wa kushawishi maboresho ya Sheria hii kwa sababu Boda boda kwa sasa umekuwa ni usafiri wa umma.
#Ajalisasabasi
TAMKO LA TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) JUU YA UAMUZI WA KAMATI YA MAWAKILI KUMUONDOA BI. FATMA AMANI KARUME KATIKA REJISTA YA MAWAKILI TANZANIA BARA NA UAMUZI WA WAKILI FATMA AMANI KARUME KUKATA RUFANI
Rais wa TLS Dr. Rugemeleza Nshala (wa kwanza kulia) akiwa na majaji wastaafu pamoja na wageni waalikwa kwenye uzinduzi wa kitabu cha SUPREMACY OF LAW kilichoandikwa na Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta uliofanyika ukumbi wa Wakili House.
TAMKO LA TLS KUHUSU HUDUMA KWA WAFUNGWA.
Wiki chache zilizopita, zimetolewa kauli za kisiasa juu ya kuwahudumia wafungwa hapa Tanzania ambazo zimesababisha mtafaruku kitaifa na kimataifa.
Tafadhali rejea link hii kupata habari zaidi
Raisi mstaafu wa TLS, Dkt Rugemeleza Nshala amehimiza utawala wa sheria uwabane watu wote. Huku akitolea mfano magari ya viongozi yanavyovunja sheria kwa kwa kwenda kasi na kupita njia za dharura wakati mwingine kutumia njia isiyo yao. Sheria imeruhusu Ambulance ana Zima Moto.
Kamati ya uchaguzi TLS imepitisha rasmi majina ya wagombea urais wa chama hicho ambao ni;
1. Prof. Edward Hoseah
2. Jeremiah Mtobesya
3. Harold Sungusia.
Aidha kamati hiyo imetoa siku 3 mpaka tarehe 13 Aprili mwisho wa kuwasilisha malalamiko kuhusu mchakato huo.
#2022TLSELECTION
Leo ni siku ya kuwakumbuka wahanga wa ajali za barabarani Duniani. Tutumie siku hii kuwakumbuka wahanga wote wa ajali za barabarani kila mmoja kwa imani yake. Lakini pia tuzidi kuboresha sheria Zetu na kutoa elimu kuhusu matumizi ya vyombo vya moto.
#WDoR2018
#RoadsHaveStories
TLS imeungana na Asasi mbalimbali jijini Dodoma katika kufanya Ufunguzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia kwa mwaka 2018. Mkurugenzi Mtendaji Bwana Kalebu Gamaya ametoa utambulisho mfupi wa
@TanganyikaLaw
kwa mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bwana Dr. John Jingu
We can reflect today on the long story of
@TanganyikaLaw
grow and progress and we think ahead to future of continued achievement and success - Dr Rugemereza Nshala
TLS President
#wakiliHouse
TLS President,
@fatma_karume
, remarked at the Ordinary Governing Council Meeting earlier today "This is a memorable day for TLS. The constructive ideas and decisions made today, if implemented will definitely change TLS."
TLS yashirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria, na Chuo cha Wanasheria kwa Vitendo (Law School of Tanzania) kuendesha mafunzo ya Wakufunzi wa Wasaidizi wa Kisheria. Lengo ni kuwajengea uwezo wakufunzi wa wasaidizi wa kisheria (Paralegals) nchini. TLS imewezeshwa na
@LSFTanzania
OBITUARY OF ADVOCATE PENDO MARSHA SHAMTE
We regret to inform you the untimely death of TLS member Advocate Pendo M Shamte, Roll number 2105 who passed away last week on 27th September 2018 at Muhimbili Hospital, Dar es Salaam.
MAY THE ALMIGHTY GOD REST HIS SOUL IN ETERNAL PEACE
TLS YAONGEZA IDADI YA WANACHAMA 549, WALIOPOKELEWA NA JAJI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,
Sherehe ya 58 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya imefanyika katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es salaam.
Raisi wa
@TanganyikaLaw
Dr Rugemereza Nshala Jana amezindua mfuko wa (The Emergency Relief Trust Fund) ambao unalenga kuwapa hauweni Mawakili katika masuala yanayohusu Afya zao
#2021TLSAGM
Mahakama imekamilisha mfumo wa kieletroniki wa kutunza taarifa za mawakili kuhusu usajili na sifa zao. Mfumo unalenga kudhibiti mawakili vishoka na wale wanaofanya kazi bila leseni.
Mawakili wote ambao hamjakamilisha taratibu za kupata leseni mfanye hivyo.
SAVE DATE FOR ANNUAL GENERAL MEETING (AGM) 2019
The Annual General Meeting 2019 will be held on 5th to 6th April 2019. The AGM will be preceded by CLE Seminars which will commence on 1st to 4th April 2019.
@fatma_karume
@Advocate_Jebra
@advocatekaunda
@SalimaNuru1
Walinde watoto dhidi ya majeraha yatokanayo na ajali za barabarani kwa kuunga mkono na kupitisha marekebisho ya sheria ya usalama barabarani
#Ajalisasabasi
OBITUARY: ADVOCATE SHUKURU MLWAFU
It is with deep regret that we inform you of the death of TLS member Advocate Shukuru Mlwafu Roll number 5098 who passed away on 17th March 2019 at Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma.
The funeral will take place on 19th March 2019 in Tukuyu Mbeya.
So proud! Jengo la Mawakili. Tumelilipia wenyewe kwa jasho letu na kwa kujinyima. I hope future advocates will ENJOY the building and follow our example by building in Arusha, Mwanza. Mbeya na Dodoma.
HAPPENING NOW!
The 2019 Half Annual General Meeting (HAGM) of the
@TanganyikaLaw
at the Arusha International Conference Centre (AICC), Arusha. The HAGM is officiated by the Retired Chief Justice of the Republic of Kenya, His Lordship Dr. Willy Mutunga.
#TLSHAGM2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya kumbukumbu na Mwenyekiti wa Mawakili Vijana wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Edward Heche Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Mkurugenzi Mtendaji wa TLS Bi. Mariam Othman akiwa na M/Kiti wa AYL Edward Heche pamoja na wakili Tito Magoti kwenye hafla ya kuapishwa mawakili wapya leo tarehe 01/12/2023 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa JNICC.
Habari zenu wadau wetu!
Tunapenda kuwafahamisha kuwa kwa sasa tunapatikana katika hii kurasa yetu ambayo ilifungiwa kwa miezi kadhaa baada ya watu wenye nia ovu kutaka kuidukua na hivyo Twitter kuifunga kwa muda.
TUNASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU NA TUTAENDELEA KUWAHABARISHA!
It is with deep regret that we inform you of the untimely death of TLS member Advocate Stanry Julius, Roll number 6988 who passed away on 22nd May 2019 in a car accident in Iringa.
The burial services will be conducted tomorrow 24th May 2019 in Ifakara, Morogoro.
Je wajua sheria yetu ya usalama barabarani haisemi lolote kuhusu madereva wanaotumia simu wakati wa kuendesha ?
Unga mkono serikali katika marekebisho ya sheria ya usalama barabarani ambayo yanajumuisha vipengele vinavyokataza kutumia simu wakati unaendesha gari.
#Ajalisasabasi
Takwimu za
@tanpol
, kikosi cha usalama barabarani, 76% ya ajali za barabarani zinasababishwa na makosa ya kibidamu. Haya hapa makosa matano kwenye picha👇.
Kwa kulitambua hili wadau tumeandaa mapendekezo ili tuweze kuboresha sheria ya usalama barabrani, tunaomba mtuunge mkono.
TLS YAONGEZA IDADI YA WANACHAMA 909, WALIOPOKELEWA NA JAJI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Sherehe ya 59 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya imefanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es salaam.
Umewahi kutamani kuusikiza Mkutano Mkuu wa Chama imara na maarufu cha
@TanganyikaLaw
? Tutarusha live mkutano wetu kesho (Live Streaming) kupitia account zetu za Facebook (Tanganyika Law Society) hapa twitter na Youtube(Tanganyika Law Society) kupitia matangazo ya Live
#TLSAGM2019
Mawakili wapya 308 waapishwa na Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma huku Rais wa TLS Prof. Edward Hoseah akiwapokea katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Zoezi hili limefanyika leo, 09/07/2021 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam.
Mbunge wa Muheza Balozi Adadi Rajab yeye anasema
#AjalisasaBasi
, na ametoa mapendekezo yake ambayo yanatakiwa yafanyiwe maboresho kwenye sheria yetu ya usalama.
TLS Sekretarieti, inawapongeza wafanyakazi wenzao Alphonce Gura, Daud Makendi na Vivian Swai kwa kutawazwa kuwa mawakili katika Sherehe ya 58 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Hongereni Sana!
@TanganyikaLaw
Annual Conference, General meeting, and the Annual General meeting.
Theme: "The future of legal Professional in Tanzania: Challenge and opportunities"
#2021TLSAGM
Ndugu Harold Sungusia akiongea juu ya malengo ya mkutano
#TLSHAGM2019
, Amechangia juu ya masuala ya kuongezeka kwa mawakili na jinsi ya kuwapa stahiki zao lakini pia kuangalia mienedo yao na nidhamu pamoja na masuala ya wanachama
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amewaapisha mawakili wapya 335 huku akisisitiza suala la utoaji wa msaada wa kisheria kwa jamii liwe kipaumbele kwa mawakili wapya katika hafla hiyo iliyofanyika viwanja vya Karimjee.
TLS paid a Courtesy Visit to honorable Ibrahim Juma, The Chief Justice of the United Republic of Tanzania at the Court of Appeal of Tanzania.
The Courtesy Visit was followed by a presentation on Judiciary Strategic Plan chaired by Chief Register of the Judiciary, Hon. Katarina R.
Timu ya Mawakili
@Yanga1935
FC Fans imeibuka kidedea baada ya ushindi wa goli 3 - 2 dhidi ya Mawakili
@SimbaSCTanzania
FC Fans, mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Law School of Tanzania. Mchezo huu ni maadhimisho ya siku ya wafanyakazi nchini.