Tanganyika Law Society(TLS) Profile Banner
Tanganyika Law Society(TLS) Profile
Tanganyika Law Society(TLS)

@TanganyikaLaw

Followers
71,400
Following
571
Media
1,677
Statuses
2,862

TLS is a membership organization that represents Advocates in Tanzania Mainland. TLS is constituted through Tanganyika Law Society Act CAP 307 R.E. 2002.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
10 days
KUELEKEA MKUTANO MKUU WA MAWAKILI; TUKUTANE DODOMA!! #tlselections2024 #tlsagm2024
7
4
23
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 months
Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) akifuatilia Mjadala wa Wazi juu ya Mchakato wa kupata Katiba Mpya Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
64
745
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Raisi mpya wa @TanganyikaLaw atangazwa. Mshindi wetu ni Dr Edward Hosea
Tweet media one
19
49
572
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Tamko la TLS Juu ya Kuwepo kwa Wimbi la Pili la Ugonjwa wa Korona Nchini; Bofya hapa kusoma tamko zima.
Tweet media one
18
100
522
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Tunapenda kuujulisha umma kuwa TLS inatoa mitazamo, matamko au elimu juu ya sheria kupitia account zake rasmi za kijamii na si account za wanachama wake binafsi. Hivyo chochote anachokipost mwanachama au kiongozi kupitia account binafsi hakifungamani na mtazamo wa @TanganyikaLaw
Tweet media one
47
110
475
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
# TUNDULISU Ikiwa ni mwaka mmoja sasa tangu ushambuliwe, Baraza la Uongozi pamoja na wanachama wa @TanganyikaLaw wanakuombea na kukutakia uponaji wa haraka ili uweze kurudi na kuendelea na majukumu yako. @fatma_karume @Advocate_Jebra @advocatekaunda @TunduLissu
Tweet media one
6
82
472
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
STATEMENT FROM THE TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) REGARDING THE THREATS AGAINST DR. RUGEMELEZA NSHALA, A MEMBER OF THE SOCIETY
Tweet media one
15
143
377
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Letter from TLS President, Fatma Karume - Law Day 06th February 2019 Please receive a letter from @TanganyikaLaw President, Ms. @fatma_karume in respect of the Law Day that will be celebrated tomorrow, 06th Feb 2019. Follow the link for attachment ===>
Tweet media one
18
85
334
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
8 months
ARBITRARY SUSPENSION OF OUR TLS MEMBER – SENIOR COUNSEL MPALE MPOKI
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
22
139
354
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Tunapenda kuwashukuru wanachama wa @TanganyikaLaw kwa kushiriki katika Uchaguzi wa Viongozi, Matokeo ya Nafasi ya Raisi wa Tanganyika Law Society Edward Hoseah 621 Harold Sungusia 380 Jememaih Mtobesya 145 #2022TLSAGM
Tweet media one
19
41
322
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Hatimae washindi watangazwa! Ni viongozi watakaokiongoza chama cha mawakili Tanzania bara 2018/2019. Wakiongozwa na raisi wao mpya Fatma Karume.
Tweet media one
7
44
282
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Announcing to you the New Governing Council of @TanganyikaLaw for the year 2019-2020 as follows PRESIDENT- RUGEMELEZA NSHALA VICE PRESIDENT- MPALE MPOKI HONORARY TREASURER -NICHOLAUS DUHIA #TLSAGM2019
12
50
252
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
7 months
TLS imewakutanisha pamoja wadau mbalimbali nchini kujadili miswada ya sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Sheria ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa pamoja na Sheria ya Vyama vya Siasa. Mjadala huu unafanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 15/12/2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
54
265
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba (mgeni rasmi) akizindua kitabu cha Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta, tukio lililofanyika kwenye ukumbi wa Wakili House Dar es salaam na kuhudhuriwa na majaji na wageni mbalimbali.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
19
227
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
TLS yashinda kesi ya Kikatiba dhidi ya Serikali ya Tanzania iliyofunguliwa mwaka 2014 kupinga azimio lililoafikiwa na Serikali ya Tanzania la kulizuia Baraza la Jumuiya ya SADC kuamua kesi kutoka kwa wananchi wa nchi wanachama wa SADC.
Tweet media one
2
45
225
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Tunaendela na Mkutano Mkuu wa @TanganyikaLaw ambao utamalizika kesho kwa uchaguzi wa viongozi wapya wa chama. Mgeni rasmi katika mkutano huu ni Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Sammata @TLSAGM2019
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
31
217
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Hii sio sahihi kabisa! wanafunzi hawa wanawahi shule, dereva yeye ameshachukua tahadhari kwa kuvaa kofia ngumu. Bodaboda kwa sasa zimekuwa ni usafiri wa umma. Ni vyema tupitie sheria yetu ya usalama barabarani ili iwe ni lazima kwa abiria wote kuvaa kofia ngumu #Ajalisasabasi .
Tweet media one
8
71
212
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Our president's speech #TLSAGM2019
2
41
217
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
PRESS RELEASE 26/09/2019 @TanganyikaLaw Press release regarding the powers of the Court to suspend an Advocate (Legal procedures and practice through court interpretation) @ITVTANZANIA @CloudsMediaLive @azamtvtz @WateteziTV @MwananchiNews @TheCitizenTZ @JamiiForums @darmpya_
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
86
206
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Ni vizuri watunga sheria wawe objective na wakumbuke hawatadumu kwenye nafasi zao milele ukitunga sheria kwa kukandamiza watu kesho itakugeukia wewe ukishapoteza dhamana kwa hiyo tuwe waungwana - Sungusia Harold #WikiYaAZAKI2018
Tweet media one
7
34
181
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Mwendokasi ni sababu kuu katika nusu ya vifo vitokanavyo na ajali za barabarani: Unga mkono serikali katika marekebisho ya sheria ya usalama barabarani yenye vipengele vinavyopunguza viwango vya mwendokasi nchini kote. #Ajalisasabasi #ChangeTanzania #monda
Tweet media one
7
49
171
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Muonekano wa jengo la @TanganyikaLaw ambalo litazinduliwa hivi karibuni. Maarufu kama WAKILI HOUSE! Mambo ni motooo! @Advocate_Jebra @advocatekaunda @Angelista_2017 @TrillAdvocates @BarakaMasubo @ItsKalama @msechustephen
Tweet media one
Tweet media two
7
28
178
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Marekebisho yaliyopendekezwa katika sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 yanahitaji wasafiri wote wa mbele na wa nyuma kufunga mikanda yao ya kiti ili kupunguza athari zinazosababishwa na ajali za barabarani: Unga mkono serikali katika kupitisha sheria hii. #Ajalisasabasi
Tweet media one
4
43
171
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
8 months
Wakili Mwandamizi Mpale Mpoki akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Sakata la Kufungiwa Uwakili kwa miezi 6. Aeleza hatua ambazo anazichukua juu ya sakata hili. Fuatilia mahojiano yote kupitia link hapa chini
Tweet media one
6
50
172
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Wajumbe kutoka Chama Cha Wanasheria nchini China wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi bwana Wang Wei wameitembelea @TanganyikaLaw na kukutana na Rais @fatma_karume pamoja na Uongozi wa Secretariet lengo likiwa ni kuimarisha ushirikiano katika maeneo mbalimbali ya kiutendaji!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
23
165
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
Chama cha Mawakili Tanganyika kinampongeza wakili Harold Sungusia kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Tanganyika Law Society kwa mwaka 2023-2024 kwa kupata kura 748 kati ya kura 825 #TLSAGM2023
Tweet media one
17
44
172
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Mitindo mingine ya nywele za dada zetu hairuhusu helmet kukaa vizuri kichwani kitu kinachoongeza athari wakati wa ajali. Hata hivyo sheria yetu ya usalama barabarani haiwalazimishi abiria wa boda boda kuvaa kofia ngumu. Tumeendaa mapendekezo ya kuboresha sheria hii ya tangu 1973
Tweet media one
11
46
157
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Simu inaweza kusubiri ila ajali haitasubiri. Pamoja na kuwa matumizi ya simu yameongezeka, #Tanzania bado hatuna sheria inayosimamia matumizi ya simu kwa madereva. @TanganyikaLaw na wadau wengine tumeliona hili na tunalifanyia mchakato. Tuungeni mkono. #AjaliSasabasi
Tweet media one
6
53
156
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Uchambuzi wa Kisayansi kuhusu Azimio na Nia ya Tanzania kujitoa katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Watu na Binadamu kupitia Ibara ya 34(6) ya Itifaki ya Mkataba Unaoanzisha Mahakama ya Afrika. Wataalamu, & Wadau mbalimbali wametoa maoni yao. Nasi Tutayakilisha @Sheria_Katiba
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
30
160
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
TLS inatambua uwepo wa mijadala inayoendelea nchini kuhusu makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uendeshaji wa bandari ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai...
Tweet media one
Tweet media two
22
22
160
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
RUGEMELEZA NSHALA @TanganyikaLaw PRESIDENT- 2019-2020 #TLSAGM2019
Tweet media one
10
35
151
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Hon. Lissu's Health Updates
Tweet media one
3
42
149
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Pombe ni hatari kwa dereva hivyo ni muhimu kuchagua moja kuendesha chombo cha moto au kulewa! Tupo kwenye mchakato wa kushawishi maboresho ya Sheria ya usalama barabarani ili kuthibiti matumizi makubwa ya vilevi kwa madereva. Tunaomba mtuunge mkono. #AjalisasaBasi
Tweet media one
9
37
137
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TAMKO KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI JUU YA HAKI YA MTUHUMIWA KUPEWA DHAMANA KATIKA KITUO CHA POLISI Rais @fatma_karume atoa tamko kwa niaba ya Baraza la Uongozi wa @TanganyikaLaw . Bonyeza hapa kudownload =>
Tweet media one
2
31
133
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
1 2 3 na mshindi ni ... #2021TLSAGM
Tweet media one
7
8
144
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 months
Kiongozi wa TLS Kanda ya Kati Laetitia Petro ameongoza jopo la mawakili waliokuwa wakimtetea mjane Maria Ngoda aliyehukumiwa kifungo cha miaka 22 jela kwa kukutwa na nyama ya swala na kushinda rufaa hiyo kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Iringa.
14
43
145
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Tumekutana na changamoto nyingi na wakati mwingine mawakili wetu kukatazwa kusimamia kesi za uhujumu uchumi ~ Dr Nshala #2021TLSAGM
Tweet media one
1
13
138
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Raisi wa @TanganyikaLaw @fatma_karume azungumza na waandishi wa habari kuhusiana na kukamatwa kwa mawakili na kuwekwa ndani kinyume na sheria wakati wakiteleza majukumu yao ya kazi.
Tweet media one
2
28
134
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
"Some people come into our lives, leave footprints on our hearts, and we are never the same." Our Condolences to @CloudsMediaLive , Ruge's family and Tanzania in general. #RestinPeaceRuge
Tweet media one
3
18
134
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Ukiwa umefunga mkanda utapunguza madhara ya ajali kuanzia 50% kwa abiria wa kiti cha mbele na 70% kwa abiria wa viti vya nyuma. Changamoto ni sheria mama inayosimamia masuala yote ya barabarani haisemi lolote kuhusu kufunga mkanda kwa abiria wa viti vya nyuma. #Ajalisasabasi
6
37
133
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Mawakili wapya wakitoa heshima kwa CLE(Council for Legal Education) wakati wakiapishwa. Mawakili 549 wamepokelewa na Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. @TanganyikaLaw tunasema Karibu Sana!
Tweet media one
Tweet media two
1
27
131
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
RAISI WA TLS FATMA KARUME AHUDHURIA KIKAO CHA TATHIMINI "POST SESSION MEETING" CHA MAHAKAMA YA RUFANI. Kikao kinaendelea, wadau wengine wa mkutano huo ni Mwanasheria Mkuu, Mkurugenzi wa Mashtaka, Mwanasheria wa Serikali Mfawithi, Mkuu wa Gereza na Afisa wa Polisi Kanda Maalum.
Tweet media one
4
23
125
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Tunapenda kwashukuru @kwanza_tv kwa kurusha mjadala huu live! PIa tunatambua mchango mkbwa wa vyombo vya habari vyote kwa kuufanya mjadala huu kuwafikia wananchi waklionje ya eneo la tukuio! @itv @wabantutv @ChanneltenTZ @CloudsMediaLive @darmpya_ #MuswadaWaVyamaVyaSiasa
Tweet media one
Tweet media two
4
22
128
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Wanasayansi wa mambo ya siasa pamoja na wananchi wameudadafua mswada wakiutazama kwa jicho la namna gani wananchi wataathiriwa na mswada huu iwapo utapitishwa. Wanaitaka serikali/bunge iyachukulie chanya mawazo yatakayowasilishwa na iyafanyie kazi. #MuswadaWaVyamaVyaSiasa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
30
131
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
#MuswadaWaVyamaSiasa pia tutakuwa live kupitia account zetu ambazo ni tanganyika law society(facebook) na hapa tweeter! huku shangazi akionekana kuvutiwa na mjadala wa kesho. Si ajabu ataurusha live kupitia account yake ya @fatma_karume
@zittokabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
6 years
Chama na Mawakili nchini @TanganyikaLaw wameandaa mjadala Kuhusu Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa. Ninawapongeza sana kwa uamuzi huu kwani utaongeza uelewa zaidi wa umma Kuhusu muswada huu kandamizi. Kesho asbh Kisenga Hall, Millenium Towers, tukutane kujadiliana
19
41
428
2
17
127
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeandaa kongamano la wazi kujadili "Namna Bora ya Kuhuisha Mchakato wa Katiba Mpya" ambapo zaidi ya watu 350 kutoka Tanzania nzima, wadau mbalimbali pamoja na wananchi watashiriki.
Tweet media one
7
29
130
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
Chama cha Mawakili Tanganyika kinampongeza wakili Edward Heche kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakili Vijana(AYL) wa TLS kwa mwaka 2023-2024 #TLSAGM2023
Tweet media one
2
20
128
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Je! Wajua sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 haimlazimishi abiria wa boda Boda kuvaa kofia ngumu? inamtaka dereva tu kuvaa kofia ngumu. Tupo kwenye mchakato wa kushawishi maboresho ya Sheria hii kwa sababu Boda boda kwa sasa umekuwa ni usafiri wa umma. #Ajalisasabasi
Tweet media one
3
41
120
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
7 months
KUAHIRISHWA KWA MKUTANO MKUU WA DHARURA
Tweet media one
28
25
126
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Hongera Mhe. Jaji Iman Aboud kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu.
Tweet media one
5
22
122
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
4 years
TAMKO LA TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) JUU YA UAMUZI WA KAMATI YA MAWAKILI KUMUONDOA BI. FATMA AMANI KARUME KATIKA REJISTA YA MAWAKILI TANZANIA BARA NA UAMUZI WA WAKILI FATMA AMANI KARUME KUKATA RUFANI
Tweet media one
Tweet media two
6
17
119
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Rais wa TLS Dr. Rugemeleza Nshala (wa kwanza kulia) akiwa na majaji wastaafu pamoja na wageni waalikwa kwenye uzinduzi wa kitabu cha SUPREMACY OF LAW kilichoandikwa na Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta uliofanyika ukumbi wa Wakili House.
Tweet media one
4
18
117
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TAMKO LA TLS KUHUSU HUDUMA KWA WAFUNGWA. Wiki chache zilizopita, zimetolewa kauli za kisiasa juu ya kuwahudumia wafungwa hapa Tanzania ambazo zimesababisha mtafaruku kitaifa na kimataifa. Tafadhali rejea link hii kupata habari zaidi
3
24
114
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
9 months
Raisi mstaafu wa TLS, Dkt Rugemeleza Nshala amehimiza utawala wa sheria uwabane watu wote. Huku akitolea mfano magari ya viongozi yanavyovunja sheria kwa kwa kwenda kasi na kupita njia za dharura wakati mwingine kutumia njia isiyo yao. Sheria imeruhusu Ambulance ana Zima Moto.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
28
116
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
On going @TanganyikaLaw Half Annaul General Meeting at AICC Arusha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
20
105
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Kamati ya uchaguzi TLS imepitisha rasmi majina ya wagombea urais wa chama hicho ambao ni; 1. Prof. Edward Hoseah 2. Jeremiah Mtobesya 3. Harold Sungusia. Aidha kamati hiyo imetoa siku 3 mpaka tarehe 13 Aprili mwisho wa kuwasilisha malalamiko kuhusu mchakato huo. #2022TLSELECTION
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
24
18
105
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Leo ni siku ya kuwakumbuka wahanga wa ajali za barabarani Duniani. Tutumie siku hii kuwakumbuka wahanga wote wa ajali za barabarani kila mmoja kwa imani yake. Lakini pia tuzidi kuboresha sheria Zetu na kutoa elimu kuhusu matumizi ya vyombo vya moto. #WDoR2018 #RoadsHaveStories
Tweet media one
2
30
98
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS imeungana na Asasi mbalimbali jijini Dodoma katika kufanya Ufunguzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia kwa mwaka 2018. Mkurugenzi Mtendaji Bwana Kalebu Gamaya ametoa utambulisho mfupi wa @TanganyikaLaw kwa mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bwana Dr. John Jingu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
19
96
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
We can reflect today on the long story of @TanganyikaLaw grow and progress and we think ahead to future of continued achievement and success - Dr Rugemereza Nshala TLS President #wakiliHouse
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
20
104
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Kufunga mkanda wa kiti cha gari hupunguza hatari ya vifo miongoni mwa madereva na abiria wakati wa ajali barabarani. #Ajalisasabasi #FridayFeeling
Tweet media one
2
33
96
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
TLS congratulates you, Mr. Harold Sungusia, for being elected as the TLS President for year 2023-2024
Tweet media one
3
23
99
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS President, @fatma_karume , remarked at the Ordinary Governing Council Meeting earlier today "This is a memorable day for TLS. The constructive ideas and decisions made today, if implemented will definitely change TLS."
Tweet media one
2
20
95
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS yashirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria, na Chuo cha Wanasheria kwa Vitendo (Law School of Tanzania) kuendesha mafunzo ya Wakufunzi wa Wasaidizi wa Kisheria. Lengo ni kuwajengea uwezo wakufunzi wa wasaidizi wa kisheria (Paralegals) nchini. TLS imewezeshwa na @LSFTanzania
Tweet media one
2
20
93
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
OBITUARY OF ADVOCATE PENDO MARSHA SHAMTE We regret to inform you the untimely death of TLS member Advocate Pendo M Shamte, Roll number 2105 who passed away last week on 27th September 2018 at Muhimbili Hospital, Dar es Salaam. MAY THE ALMIGHTY GOD REST HIS SOUL IN ETERNAL PEACE
Tweet media one
11
16
93
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS YAONGEZA IDADI YA WANACHAMA 549, WALIOPOKELEWA NA JAJI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Sherehe ya 58 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya imefanyika katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
24
94
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Raisi wa @TanganyikaLaw Dr Rugemereza Nshala Jana amezindua mfuko wa (The Emergency Relief Trust Fund) ambao unalenga kuwapa hauweni Mawakili katika masuala yanayohusu Afya zao #2021TLSAGM
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
10
93
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Mubashara! Fuatilia Kongamano la kujadili namna bora ya kuhuisha mchakato wa Katiba Mpya #TLSNaKatibaMpya Bofya link hii 👇👇
Tweet media one
2
12
93
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Mahakama imekamilisha mfumo wa kieletroniki wa kutunza taarifa za mawakili kuhusu usajili na sifa zao. Mfumo unalenga kudhibiti mawakili vishoka na wale wanaofanya kazi bila leseni. Mawakili wote ambao hamjakamilisha taratibu za kupata leseni mfanye hivyo.
2
30
89
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Appointment of the Acting Executive Director of the Tanganyika Law Society.
Tweet media one
4
16
92
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
SAVE DATE FOR ANNUAL GENERAL MEETING (AGM) 2019 The Annual General Meeting 2019 will be held on 5th to 6th April 2019. The AGM will be preceded by CLE Seminars which will commence on 1st to 4th April 2019. @fatma_karume @Advocate_Jebra @advocatekaunda @SalimaNuru1
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
16
88
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Walinde watoto dhidi ya majeraha yatokanayo na ajali za barabarani kwa kuunga mkono na kupitisha marekebisho ya sheria ya usalama barabarani #Ajalisasabasi
Tweet media one
0
23
82
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
OBITUARY: ADVOCATE SHUKURU MLWAFU It is with deep regret that we inform you of the death of TLS member Advocate Shukuru Mlwafu Roll number 5098 who passed away on 17th March 2019 at Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. The funeral will take place on 19th March 2019 in Tukuyu Mbeya.
8
20
86
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Well said our Former president!
@fatma_karume
fatma karume aka Shangazi
5 years
So proud! Jengo la Mawakili. Tumelilipia wenyewe kwa jasho letu na kwa kujinyima. I hope future advocates will ENJOY the building and follow our example by building in Arusha, Mwanza. Mbeya na Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
163
178
2K
0
4
86
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
HAPPENING NOW! The 2019 Half Annual General Meeting (HAGM) of the @TanganyikaLaw at the Arusha International Conference Centre (AICC), Arusha. The HAGM is officiated by the Retired Chief Justice of the Republic of Kenya, His Lordship Dr. Willy Mutunga. #TLSHAGM2019
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
20
82
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya kumbukumbu na Mwenyekiti wa Mawakili Vijana wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Edward Heche Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 14 Agosti, 2023.
Tweet media one
20
10
85
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Dr. Rugemeleza Nshala Rais mpya wa @TanganyikaLaw akutana na Sekretarieti ya chama hicho na kuweka mipango thabiti ya utekelezaji wa majukumu ya chama hicho kwa wanachama na taifa kwa ujumla. @Advocate_Jebra @fatma_karume @advocatekaunda @Sheria_Katiba @judiciarytz @TawlaTZ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
13
82
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
8 months
Mkurugenzi Mtendaji wa TLS Bi. Mariam Othman akiwa na M/Kiti wa AYL Edward Heche pamoja na wakili Tito Magoti kwenye hafla ya kuapishwa mawakili wapya leo tarehe 01/12/2023 katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa JNICC.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
14
81
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Mdahalo wa wagombea wa nafasi ya urais TLS ulioandaliwa na Watetezi TV pamoja na Chama cha wanasheria ukiendelea ndani ya Wakili House.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
19
82
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
4 years
Habari zenu wadau wetu! Tunapenda kuwafahamisha kuwa kwa sasa tunapatikana katika hii kurasa yetu ambayo ilifungiwa kwa miezi kadhaa baada ya watu wenye nia ovu kutaka kuidukua na hivyo Twitter kuifunga kwa muda. TUNASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU NA TUTAENDELEA KUWAHABARISHA!
Tweet media one
22
16
79
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
It is with deep regret that we inform you of the untimely death of TLS member Advocate Stanry Julius, Roll number 6988 who passed away on 22nd May 2019 in a car accident in Iringa. The burial services will be conducted tomorrow 24th May 2019 in Ifakara, Morogoro.
Tweet media one
15
13
79
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Je wajua sheria yetu ya usalama barabarani haisemi lolote kuhusu madereva wanaotumia simu wakati wa kuendesha ? Unga mkono serikali katika marekebisho ya sheria ya usalama barabarani ambayo yanajumuisha vipengele vinavyokataza kutumia simu wakati unaendesha gari. #Ajalisasabasi
Tweet media one
1
40
72
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Takwimu za @tanpol , kikosi cha usalama barabarani, 76% ya ajali za barabarani zinasababishwa na makosa ya kibidamu. Haya hapa makosa matano kwenye picha👇. Kwa kulitambua hili wadau tumeandaa mapendekezo ili tuweze kuboresha sheria ya usalama barabrani, tunaomba mtuunge mkono.
Tweet media one
7
23
76
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Official AGM #TLSAGM2019
4
15
76
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Dkt. Edward Hoseah rasmi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika baada ya kuapishwa na mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TLS Bwana Charles Rwechungura jijini Arusha katika ukumbi wa mkutano wa AICC. @Sheria_Katiba @judiciarytz @bbcswahili @TBConlineTZ @TZMsemajiMkuu
Tweet media one
Tweet media two
3
8
75
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS YAONGEZA IDADI YA WANACHAMA 909, WALIOPOKELEWA NA JAJI MKUU WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Sherehe ya 59 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya imefanyika katika viwanja vya Law School of Tanzania, jijini Dar es salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
11
73
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Umewahi kutamani kuusikiza Mkutano Mkuu wa Chama imara na maarufu cha @TanganyikaLaw ? Tutarusha live mkutano wetu kesho (Live Streaming) kupitia account zetu za Facebook (Tanganyika Law Society) hapa twitter na Youtube(Tanganyika Law Society) kupitia matangazo ya Live #TLSAGM2019
Tweet media one
Tweet media two
4
20
73
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Mawakili wapya 308 waapishwa na Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma huku Rais wa TLS Prof. Edward Hoseah akiwapokea katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Zoezi hili limefanyika leo, 09/07/2021 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
13
77
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Watanzania wameitikia wito! Tayari kwa kujadiliana na kutoa maoni yao juu ya mswada huu. @TanganyikaLaw tunasema TUTAYAFIKISHA! #MuswadaWaVyamaSiasa
Tweet media one
Tweet media two
2
25
73
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
Mbunge wa Muheza Balozi Adadi Rajab yeye anasema #AjalisasaBasi , na ametoa mapendekezo yake ambayo yanatakiwa yafanyiwe maboresho kwenye sheria yetu ya usalama.
Tweet media one
3
14
72
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
“Death ends a life, not a relationship.” ― Mitch Albom Pole sana @CloudsMediaLive pole sana famila ya Kibonde daima tutakukumbuka....
Tweet media one
Tweet media two
0
12
72
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
20 days
WAGOMBEA URAISI WA TLS KWA MWAKA 2024. #TUKUTANEDODOMA #TLSAGM2024 #TLSElections2024
Tweet media one
62
19
78
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS Sekretarieti, inawapongeza wafanyakazi wenzao Alphonce Gura, Daud Makendi na Vivian Swai kwa kutawazwa kuwa mawakili katika Sherehe ya 58 kuanzia mwaka 1986 ya kuwakubali na kuwasajili mawakili wapya iliyofanyika jana jijini Dar es salaam. Hongereni Sana!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
9
71
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
@TanganyikaLaw Annual Conference, General meeting, and the Annual General meeting. Theme: "The future of legal Professional in Tanzania: Challenge and opportunities" #2021TLSAGM
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
17
70
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Ndugu Harold Sungusia akiongea juu ya malengo ya mkutano #TLSHAGM2019 , Amechangia juu ya masuala ya kuongezeka kwa mawakili na jinsi ya kuwapa stahiki zao lakini pia kuangalia mienedo yao na nidhamu pamoja na masuala ya wanachama
0
18
65
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
2 years
Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma amewaapisha mawakili wapya 335 huku akisisitiza suala la utoaji wa msaada wa kisheria kwa jamii liwe kipaumbele kwa mawakili wapya katika hafla hiyo iliyofanyika viwanja vya Karimjee.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
9
72
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
5 years
Matumizi ya simu wakati unaendesha chombo cha moto kunahatarisha maisha yako! #Ajalisasabasi @safiri_salama @RsaTanzania @tanpol @sikika1 @TawlaTZ @bajabiri @isaya_lameck
Tweet media one
2
33
75
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Dr. Edward Hosea, TLS President (3rd from right) posing with Williamson Diamond Ltd Legal Counsel, and TLS team that met WDL team last week.
Tweet media one
0
5
70
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI - KUHUSU TUKIO LA KUTEKWA NA KUTOWEKA KWA MFANYABIASHARA MOHAMED DEWJI. bonyeza link kwa taarifa zaidi; @fatma_karume @msechustephen @advocatekaunda @Tz_Kwanza @ItsKamala @tanpol
Tweet media one
1
26
66
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
6 years
TLS paid a Courtesy Visit to honorable Ibrahim Juma, The Chief Justice of the United Republic of Tanzania at the Court of Appeal of Tanzania. The Courtesy Visit was followed by a presentation on Judiciary Strategic Plan chaired by Chief Register of the Judiciary, Hon. Katarina R.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
19
70
@TanganyikaLaw
Tanganyika Law Society(TLS)
3 years
Timu ya Mawakili @Yanga1935 FC Fans imeibuka kidedea baada ya ushindi wa goli 3 - 2 dhidi ya Mawakili @SimbaSCTanzania FC Fans, mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Law School of Tanzania. Mchezo huu ni maadhimisho ya siku ya wafanyakazi nchini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
7
72