@BlackcodeAfrica
@CaramelKing__
@YourFrenchFry
Tuache kuishi kwa mazoea aliefariki sio public figure wewe sio jirani, rafiki, ndugu huna connection yoyote na aliefariki au wafiwa msiba unakuhusu vp? una trespass kwa mtu ukiitwa mwizi?? mahakamani wana deal na sheria sio mila na desturi