Boniface Chengula
18 days
Watu wengi watamani kufanya biashara lakini kuna hii fursa ya kutengeneza European cars, mafundi wetu wengi wabahatishaji, mtu aende South Africa akajifunze au Europe akajifue hata miaka miwili then arudi bongo, hela ipo nje nje
Haya magari ni mazuri sana, shida mafundi🥲