Boniface Chengula Profile Banner
Boniface Chengula Profile
Boniface Chengula

@bohny_chengula

Followers
111,998
Following
6,497
Media
7,816
Statuses
79,965

Popular in iPhone & Samsung product Reseller on Twitter | iG: Chengula_iPhone.Store | 📍Mwenge ITV | ☎️0752-992667

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@bohny_chengula
Boniface Chengula
29 days
iPhone 16 ziko around the corner💥
Tweet media one
32
61
576
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Mito ijae sasa😀
Tweet media one
111
57
2K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Noamba nitajie Bilionea mmoja mwenye six pack.😂
431
38
2K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Jaribu tuone kama Retweet button yako inafanya kazi.
Tweet media one
57
656
2K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
23 days
Utapeli Tegeta Mwisho🔥 Ndugu wafanyabishara wenzangu utapele upo na hizi thread tunaziandika zikufungue na ujue njia mpya za utapeli. Picha linaanza mteja yupo Tegeta mwisho, akapiga simu kwamba anahitaji kufanyiwa delivery ya JBL Boombox3, akasema mtampa namba boda nimuelek…
Tweet media one
96
166
2K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Unaweza ukawa na Mali, Majumba ya kifahari, Maisha mazuri, ila ukimkosa Yesu umekosa vyote.
85
130
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
18 days
Watu wengi watamani kufanya biashara lakini kuna hii fursa ya kutengeneza European cars, mafundi wetu wengi wabahatishaji, mtu aende South Africa akajifunze au Europe akajifue hata miaka miwili then arudi bongo, hela ipo nje nje Haya magari ni mazuri sana, shida mafundi🥲
Tweet media one
82
132
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Mwamposa is very famous midomoni mwa watu kuliko hata Yesu mwenyewe anae hubiriwa.
176
45
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Vijana tumieni "Matured Approach" acheni haya mambo ya "nakupenda nakupenda"... mtoe dinner, mpeleke to her favorite places. finally utaushinda moyo wake. Chukueni notes.😁
202
99
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Matajiri top 5 wote wako single hii ina maana gani.🤷🏿‍♂️
166
64
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Ndoa nyingi zinazo dumu ni zile ambazo mwanamke anamsikiliza mume wake na mwanaume anampenda mke wake.
83
125
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Ukitoka nje ya Tanzania Magufuli is a very good president. Kila Nchi wanamtamani. Why sisi.🤔
374
68
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Unaweza ukapendeza bila kuweka mapaja yako nje au matiti yako nje... unafanya wanaume wakutamani na sio kukupenda alafu ukiachwa unaanza kulalamika.😎
107
133
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
13 days
Kwanini watu wengi wanaipenda kampuni ya Apple japo makampuni mengine ya Simu yapo?
Tweet media one
128
45
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Love Jesus.💪🏿
Tweet media one
38
66
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Ukiachana na shape, kumpata mwanamke msafi nacho kimekuwa ni kipengele.😊
98
59
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Picha ya google Pixel 4a
Tweet media one
79
32
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Tukiwa tunapost Biashara zetu mitandaoni haimaanishi kuwa tumeyapatia sana Maisha, bali tunahitaji sana support yenu.💪🏿🙏🏿
45
143
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Twitter ina watu wa maana wenye hela zao, hivo ukiwa una interact na watu humu usilete dharau.
89
51
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
✌🏽
Tweet media one
111
39
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Lake Oil anafungua sheli kama frame tu.🤣
98
25
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hii route wanachoma tu mafuta.... tangu jana yanapita tupu.
Tweet media one
138
18
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Tupunguze IST jamani.😂
Tweet media one
136
37
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kwahiyo Ndoa za sasahivi nikirudi nyumbani nijipikie, nguo nijifulie... sasa si bora niendelee kubaki Bachela.🤣
111
57
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Ukisikiza Hotuba za Mwalimu Nyerere unaweza sema alikua Upinzani.😂
32
63
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Ukiweza kucontrol your sexual desire basi umeupiga mwingi.
57
89
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hakuna jina kuu kama jina la YESU.
56
89
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Makampuni ya Simu yako mawili tu iPhone na Samsung, hawa wengine wanaangalia wamcopy nani.😁
125
41
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Mrudi vyuo muwapige wazazi wenu mje kununua Simu.😂
79
32
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
22 days
Utapeli mbezi Beach 🏖️🔥 Tunaandika hizi thread za utapeli zikufungue wewe mfanya biashara na hata ambao hamfanyi biashara. Picha linaanza kwa kuchanganya kidogo, yani tapeli kamtapeli mteja, Tepeli yeye maskani yake ni Facebook, huko hua anapost Speaker za T8 W-king pichani..
Tweet media one
83
104
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Bongo mtu akikupigia Video call ni kama anakuboa why?😂
128
25
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Mwanaume jifunze kupika, jifunze kufua, kizazi hiki divorce ni nje nje.
75
63
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Muda huu
Tweet media one
76
21
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Free Ads
Tweet media one
53
183
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Utajiri bila Yesu nao ni kazi bure.
35
76
1K
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Sema Samsung yuko mbele sana, Vitu vya kwenye iOS 14 ndugu yetu Samsung alivileta since 2014 huko.😅
64
37
996
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Gari hii imeibiwa leo maeneo ya Mwenge nyuma ya Nakiete pharmacy, atakaye iona atupe taarifa. Kuna 1.5m kwa ataye iona. ☎️0682-914973
Tweet media one
95
232
967
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Kuna mteja wa Simu ananiambia anakuja kuchukua iphone 11, sema anataka amlete na @millardayo aje kuchukua tukio zima.. eti sio kwa pesa nyingi ntakazo toa.🤣🤣
68
30
969
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Sema Media zipige stori na madogo waliopata division zero ili wajue changamoto walizo zipitia katika safari yao.
67
60
938
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Ndugu zetu Wakenya😊
Tweet media one
94
70
926
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kuna watu wanazichukia Simu za iphone bila hata sababu ,pasipo kuwahi hata kuzitumia. Sad😢
124
28
921
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hii homa kuna mtu kaikwepa kweli.🤷🏿‍♂️😂
127
22
915
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Wacha tuwahi kanisani unaweza kuta mamipira haya ni dhambi😂
Tweet media one
49
17
923
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Huwezi kuwa boya kama umepitia hapa. Never.😂
Tweet media one
163
19
918
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Nikama wanawake wote now wana wowowo au ni mimi tu naona.😂
121
21
885
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Mwanamke hakuachi kama hajapata mwanaume mwingine.😊
68
54
898
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Tuendelee kuwa inspired.😊
Tweet media one
62
24
889
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Picha za kututia machungu kutafuta hela.😅
Tweet media one
60
16
882
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Tanzania soon tutakuwa kama Nigeria, wasomi wengi ila ajira hakuna.
92
33
889
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
🌧
Tweet media one
60
35
879
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Bado sijajua why Twitter mpaka leo huwezi iaccess bila ya VPN.😒
74
13
885
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Wangapi tunasubiri namba E ianze ndo tununue magari, tunyooshe mikono.🤣
89
25
877
@bohny_chengula
Boniface Chengula
6 years
Sina neno zuri la kumwambia Mungu zaidi ya kusema Asante. Happy birthday to Me.
Tweet media one
202
44
872
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Wasanii wajifunze kutumia Twitter sio wanakomaa na insta tu.
82
16
852
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Saivi naona watu wengi wanavaa Bracelet ya 🇰🇪, ni swaga ama.🤔 Binafsi siwezi vaa Bracelet ya Taifa jingine lolote, isipokua Tanzania.
125
39
859
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hii combination nani aliigundua... au watoto wa UDSM?😁
Tweet media one
94
27
857
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Twende mbele turudi nyuma bangi mbaya.😅
119
11
849
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Kwanini huwa mnashindwa kutuvumilia🤷🏿‍♂️
Tweet media one
Tweet media two
77
47
879
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hivi ni “Asante” au “Ahsante”🤷🏿‍♂️
167
19
844
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Show me your arrangement.🤭
Tweet media one
320
30
844
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
A night shot 😊
Tweet media one
53
14
838
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Sometimes kuwa Single ni kujitafutia amani yako mwenyewe. Linda sana moyo wako kuliko vitu vyote.
59
76
844
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Tanzania tungekuwa na Vyuo kumi kama DIT basi future ya vijana ingekuwa bright.
50
45
826
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Jipe 3 years kwenye hicho unacho kifanya leo alafu angalia unajiona wapi, achana na mbio za miaka, achana na presha ya marafiki, just focus on you na hicho unacho kifanya now lazima utafanikiwa tu.
49
178
846
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Unaweza ukawa na Majumba, Magari, Mke/Mume mzuri, ukajaliwa watoto na kila fahari za Dunia hii, ila Ukimkosa Yesu umeikosa mbingu.
41
43
834
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Usiogope kumuapproach mdada kisa yupo kwenye mahusiano yake, waliopo kwenye mahusiano wengi hawapo serious nayo, so if you’re serious we login tu.😊
77
64
827
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Show me a better Portrait than this one.😊
Tweet media one
134
41
808
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Hakuna kitu ambacho watu wana kihitaji ambacho hakipo kwa Yesu Kristo.. sasa why not follow him.🤷🏿‍♂️
28
64
824
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kama hauko financial stabe hata usijisumbue kuwadanganya mabinti za watu uwaoe… tafuta hela uwe financial stable.
63
54
815
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Wanawake wanahubiri sana Mwanaume kua na Pesa, ila ukiwa bize sana kutafuta pesa napo hawataki.. utasikia mimi nataka muda wako pia.. yaniii😂
98
71
813
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Vijana mnaosoma UDSM swala la dressing code naona mnataka kulikuza utasema chuo chenu wanasoma wasanii wote wa Tanzania. Kuna Vyuo wanasoma hadi Wasanii mamiss, wana watoto wazuri plus mablazamen na bado wana obey hii kitu. Chuo chenyewe changanyikeni alafu mna tusumbua.😅
135
42
792
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Wenye followers wachache hapa TL mara nyingi ni watu wenye mawazo mazuri sana. Sijui ni mimi tu naona hii kitu.🤔
75
58
805
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Ukisema ukaoge angalau mwili upoe maji hayatoki, ukisema basi ukae upigwe na feni joto lipungue umeme umekatika.😂🙌🏿
74
42
800
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Ila wateja mda mwingine 😂
Tweet media one
159
34
808
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Nyie tutafute helaaa.😀
Tweet media one
57
18
784
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Nitafute mtoto wa mtu nimpende nimpe na 13 pro max moja.😂
Tweet media one
82
17
802
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Viongozi wengi wa Upinzani mna lack tabia za kuwa viongozi, nadhani ni Mbowe tu ndio anafaa kuwa kiongozi.
105
44
795
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Uko Real sana mwanangu. Tuendelee kupambana ipo siku tu.🤝💪🏿
Tweet media one
31
27
804
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Bora Mwanamke akusumbue sumbue kidogo kwenye kutongoza, sio ukiweka mguu imo.😂
47
16
800
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kwanini kilamtu anaiombea Senegal ishinde..why not Egypt.🤷🏿‍♂️
132
18
793
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Internet kuwa down kwa zaidi ya siku tatu ni adhabu kwa biashara za mitandaoni.
56
54
796
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Unataka uoe utulie alafu unakutana na mwanamke anataka aolewe atoe nuksi, ila nyie.😂
57
53
784
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Imagine unadate na mdada kucha anajihudumia mwenyewe, kusuka anajilipia mwenyewe na anabadilisha anavotaka. Yaani mwanaume huombwi chochote na sio kua sijui kuna boya anampa, wala... ni vile ana vibiashara vyake vidogo vidogo.😊
69
43
787
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Makabila ambayo Mama alinishauri nisioe ndio navutiwa nayo.😁
88
23
769
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
imagine mtu maisha yake yote anayaanika mtandaoni.. every tweet au post am bla bla.. yani unamjua mtu kupitia tweet au post zake hata kama hujawahi muona, mtaishia kulalamika mko single ila ukweli hamna mtu anapenda date na watu wa design hii.😎
85
64
780
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Nimeokoka nampenda Yesu. I Decided to follow Jesus 5 years ago, What about you. Kwani ukisikia mtu ameokoka unafikiria nini kichwani kwako?🤔🤷🏿‍♂️ Thread;🧵 ✍🏿👇
Tweet media one
81
126
790
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Kwamba hapa mimi nauza Tecno😂
Tweet media one
73
23
759
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Masikini wenye vitambi.😂
Tweet media one
41
5
757
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Wapi hapa.😁 Nna buku hapa halina kazi kwa atakaye patia.🤣
Tweet media one
175
18
742
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Ila jamaa😂
Tweet media one
59
8
767
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Ukipata mwanamke ana hela zake alafu still anakuheshimu wewe mumewe, bro sadaka unayotoa church izidishe mara mbili.
47
54
746
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Sex before marriage inaharibu trust.
68
37
767
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kujiuza saivi imekua ni kuwork "Harder" ila wanawake.🤣
65
29
755
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
Maisha bila Yesu ni bure.
44
80
756
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Tujifunze kwa Mabillionaire wa nje wa hapa kwetu watakufedhehesha.😅
57
28
725
@bohny_chengula
Boniface Chengula
5 years
Msimu huu Manchester United tunabeba EPL, FA na EFL yote. Ukitaka tubishane, nakuuliza umeshiba.🤔
84
34
710
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kumbe yale maji ya 2L Kariakoo yanauzwa 500 wana wanatengenezea geto. Ila Tanzania 🤣🤣
54
24
728
@bohny_chengula
Boniface Chengula
4 years
Tanzania inahitaji katiba mpya, vitu vingine hata kama sio mwanasiasa unabaki unajichekea tu ukivisoma.😊
16
53
743
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Kwani frame zake ni how much?😊
Tweet media one
52
43
729
@bohny_chengula
Boniface Chengula
3 years
Wali wa Rice cooker sio mzuri.🤣🤣
89
18
727
@bohny_chengula
Boniface Chengula
2 years
"If you're not inspired, you'll be offended".
Tweet media one
28
46
749