RAS 🦅 Profile Banner
RAS 🦅 Profile
RAS 🦅

@kaskazinian

Followers
1,829
Following
2,684
Media
1,690
Statuses
55,009

The Rupes Nigra
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Humu kazi za 3M,appartments za 1M,matumizi ya mtoto 4M,hii app ina watu wajinga sana 😂😂
68
48
1K
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Unamtongoza mtu miaka 3,huo muda ungepanda hata miti
89
67
971
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Unalipa 80K kuwaona Mabantu hata mimi ningevunja stage
19
15
703
@kaskazinian
RAS 🦅
6 months
Pilot wa Samia,haha
146
138
604
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Gundogan kesho ndo anawafunga Man Utd
@ManCity
Manchester City
1 year
𝐖𝐄𝐌𝐁𝐋𝐄𝐘 on the horizon! ⏳
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
118
698
9K
63
42
470
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Vijana wenye 20's - 30's wengi wamekataa tamaa,inatia huruma balaa !!
24
32
392
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Arsenal wanasema "drip is forever,trophies are temporary" 😂😂
18
21
333
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Another year older.....Thanks God 🙏🏾
73
11
312
@kaskazinian
RAS 🦅
5 months
Now ndo naelewa kwanini Serikali haitaki kuwapa wastafu hela zao zote kwa pamoja
34
13
231
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Ukijikuta kwa hii situation usihangaike kufungua mlango ili utoke sababu hautofunguka or kupasua kioo cha mbele sababu maji yakiingia yatazamisha gari,the best solution ni kupasua kioo cha nyuma magari yote yapo design kufloat after kupasua kioo cha nyuma
@millardayo
millardayo
1 year
Gari (Prado) lenye namba za usajili T 273 CMX limeacha barabara na kisha kubomoa kingo za daraja la Tanzanite Jijini Dar es salaam na kutumbukia chini ya daraja hili (eneo la Bahari) usiku wa kuamkia leo September 03,2023. @AyoTV_ imefika eneo la tukio na kuongea na Mkaguzi
86
47
604
21
60
225
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Unalipia streaming apps na mwezi unaisha hujaangalia kitu,3rd floor kumanyokoo
23
16
220
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Women create rules for men they don't like,they bend it for men they like.
@WaizerEsya
Mansours’ 🤎🇵🇸🇰🇪
2 years
Men, we got 100s of those “Hi” “Hey” DMs, what makes you think we will answer yours, get creative, duhhh🙄
13
6
113
29
73
219
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Mimi ningekuwa Ngwair ningemtokea jamaa usiku nimkabe,RESPECT ni muhimu
40
19
186
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
She asked "is that Joseph??" Like Mother Mary
10
7
166
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
2025 haitabiriki,lolote litaweza kutokea ngoja tusubiri
10
9
170
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Tanganyika ngumu sana,kila Rais akitoka anasubiri miaka 15 anakiri alifanya makosa na anatoa kitabu tusubiri kitabu cha mama na waarabu
17
30
169
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Freedom ya kweli ni financial freedom,mengine kelele tu !
4
32
167
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Local brands
Tweet media one
Tweet media two
20
21
167
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
I woke up to some good news,Praises to the most high,Allah !
4
8
156
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Nahama space moja hadi nyingine,ningekuwa serious na shule kama hivi ningekuwa Tanzania One
18
8
144
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
MaHR wanadhani kampuni ni zao kmmk
22
7
140
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Filter zipigwe marufuku
24
8
139
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
👀
Tweet media one
@DadaConso
Rajamu
2 years
Tuesdays.
Tweet media one
12
3
68
62
11
131
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Y'all spend real money on fake watches,shockingly
12
9
128
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Si kama wewe tu na pinned tweet yako “Can’t wait to celebrate my achievements with my Mom❤️”
@_Mrc_09
Ethan Hunt🤟🏾💥
1 year
Ila wababa wanakuaga wap?? Neymar na Messi tu
31
12
286
70
16
133
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Sunglasses and advil
Tweet media one
@mimudsouza
Shamy
1 year
😹😹😹
Tweet media one
25
7
178
16
10
125
@kaskazinian
RAS 🦅
5 months
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inatumia nguvu nyingi kwa wanaokula mchana kuliko wanaolawiti watoto
@millardayo
millardayo
5 months
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja Zanzibar ACP Abubakar Khamis Ally amesema Jeshi hilo litaendelea kuwakamata wale wote wataoonekana au kukutwa wakila chakula mchana hadharani katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani. ACP Ally amenukuliwa na AyoTV akisema “Kwa
286
45
707
14
57
112
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
“Mimi nasafiri sana ila wewe ni kiguu na njia”
Tweet media one
13
13
110
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Burna Boy gave us AFRICAN GIANT album,a masterpiece
2
38
97
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
“Wapi wanauza mihogo ya kukaanga”
Tweet media one
19
2
104
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Friends of Man City
Tweet media one
3
11
102
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
John Pombe Joseph Magufuli >>>>>> John Wick
13
16
83
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@LuckyLu____
FUNDI JUMA 🇿🇦
2 years
June photo dumps let’s have it.
101
29
359
11
21
76
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
Sisi kama Galatasaray,tumerudisha zoteeee 😂😂🔥🔥🔥
9
11
77
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
“Makongo Juu kama LA” - Barcity Baby
@rollymsouth
Madenge
1 year
Kesho viwanja vya Songas kuanzia saa1 asubuhi tuna bonanza
Tweet media one
35
28
458
1
1
73
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Kuna mtu ni shabiki wa Man Utd na jana alienda kwa Kizz Daniel,premium tears
12
1
72
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Wote mliopo mbali na familia zenu,this holiday season Mungu awape nguvu 🙏🏾
2
6
71
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Vile napitia tweets za @spana_Konki ilikuwa balaaa 💀
3
2
74
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Turespect ya nini while ndo wanachotakiwa kufanya
16
23
73
@kaskazinian
RAS 🦅
2 months
System haina urafiki wa kudumu na mtu,utatumika and utupwe tu kama used condom siku yako inakuja,tupo hapa
1
19
70
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Haha,alikuwa anarudi Bongo anagombea mademu na TID miyeyusho
@BillyWellz
Billy
1 year
Aisee Hasheem thabeet alikuwa drafted no 2 kwa NBA 2009?aisee jamaa sijui alifeli wapi
9
1
27
20
2
65
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
Sisi kama Luton tumerudisha na kuongeza 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
11
17
68
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Utaratibu ni ule ule WASIKUELEWE
1
14
64
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Hope he will be a free man today,all prayers to Freeman Aikaeli Mbowe
3
7
64
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Kubalance shobo ni MUHIMU sana !!
2
7
60
@kaskazinian
RAS 🦅
11 months
Mwl.J.K.Nyerere alitaka awe Rais wa SMZ,Wanzanzibari walikataa wakasema ni muarabu,hakuwa Rais,siku hizi Wanzanzibari wanasema wao ni waarabu,haha
@ThabitSenior
Thabit Jacob, PhD
11 months
When Balozi Salim joined the 2005 CCM presidential primary race, his opponents launched relentless attacks & said some of the nastiest things against him. Y'all remember.. Those same people will be singing lots of praises today. Hypocrisy is such a valuable asset in politics
Tweet media one
76
102
671
19
16
62
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Conso anasema kwenye talking stage swali muhimu ni "Una akili sawa sawa?" Nimekubali 🙌🏾
3
21
61
@kaskazinian
RAS 🦅
11 months
Climate change agenda ni scam, but kuna hela nyingi,tafuta chance ingia kwenye hizo campaign,POVERTY NDO COMMON ENEMY
7
15
59
@kaskazinian
RAS 🦅
10 months
DO NOT OPEN UP cause no one cares die like real men.
@DadaConso
Rajamu
10 months
Happy Men's day kaka zangu, ikitokea umebanwa sana.. tafadhali sana, tafuta mtu ongea nae. Mzazi, mlezi, rafiki, kiongozi wa dini etc Watu wa kukusaidia wapo, ni wewe tu unatakiwa ku-reach out. Other than that, nawapenda na nafurahi uwepo wenu katika hii Dunia. ☺️
11
31
137
8
22
59
@kaskazinian
RAS 🦅
5 months
Space ya Vijana na fursa za uwekezaji haifiki hata watu 100,tunasafari ndefu sana,haha
16
7
57
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Katombwe
40
4
56
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Favs wao wamezingua wamekuja na "i'm dissapointed,yani sijategemea kabisa" wangekuwa wengine ni mute,unfollow na block zingewahusu,wanasub pembeni kabisa.....double standards na UNAFKI
5
18
54
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
Muda ndo huu,Man Itd fans meltdown haha
6
7
55
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Umefanikiwa acha kuniambia ni "Mungu tu" nipe connection na usinifichie white
3
10
55
@kaskazinian
RAS 🦅
10 months
Allah tuepushe na goli 5
Tweet media one
21
6
54
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Married men wamesaidia wanawake wengi kuliko financial institutions
@jwise017
NYANI MZEE
1 year
Married men sio watu wazuri kabisa, anampenda na kumjali mchepuko mpaka mchepuko ukitaka kwenda kwa bwana ake unaomba ruhusa 🙌🏽🙌🏽😂
15
9
178
8
22
53
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Serikali si ina wajinga wengi sana yani tuna mbuga za wanyama,madini,natural gas,bandari ambayo inahudumia 5 land locked countries and pato la taifa linaongozaa kuchangiwa na sigara Sisi ni failed state na kituko
@julip202
Julip20
1 year
@nicklilly_ Serikali itakosa kodi. Unajua fegi inachangia kiasi gani kwenye pato la taifa??
1
0
0
8
17
52
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Ukiona mtu amereply/quote tweet zaidi ya mara moja ujue ameumia
9
3
49
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Mwanafunzi wa darasa la 7 amebakwa na Mwalimu mkuu mara 3,akabakwa na mwalimu mwingine,akabakwa tena na Mwenyekiti wa shule Mwanafunzi ana mimba,balaa sana
13
6
49
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
Mr Ben muda huu,haha
20
5
49
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
When you come from nothing,family is all you got
2
9
45
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Tweet media one
@kadasu69
Ju
1 year
Kuna Madj wanaboa sana mxiuu
1
0
1
9
7
45
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
@WithoutInterne Same energy 😂🤣
Tweet media one
0
1
41
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Kuna Ugunduzi na Utundu,huo ni Utundu
@ItsKamala
Kamala Dickson
1 year
University should be a place of innovation University of Dar es Salaam 👇
Tweet media one
51
13
175
30
6
44
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Humu sio salama,Somebarry alikuwa hana analojua kumbe watu wana softcopy ya passport yake 💀
5
1
36
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
“Niite tajiri wa mipango kasoro pesa” 😂🤣😂
@rollymsouth
Madenge
1 year
Ndinga la Efm na TvE kitaa,route kama zote buree na muhasibu wa daladala #HiiHauijui
161
154
2K
1
1
41
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
“Nitakutumia picha” nyoko mtumie mama yako
31
3
41
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Nape Moses Nnauye yupo sahihi,sisi ndo ambao hatuna akili tunatawaliwa zaidi ya miaka 60 na CCM,huduma tu ya maji bado inasumbua hadi leo
6
6
42
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Someday someone will choose you,and will keep on choosing you everyday
3
7
40
@kaskazinian
RAS 🦅
7 months
Hakuna kitu rahisi kama kuwa kiongozi wa Tanzania,haha
9
5
41
@kaskazinian
RAS 🦅
10 months
Fuso ina turubai ila mzigo unaonekana
9
3
39
@kaskazinian
RAS 🦅
9 months
Vibonge waachane na public transport,wanazingua kinoma
14
5
39
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Aisha yupo zake Kibada hana hili wala lile kumbe ana trend humu
9
0
36
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Bangi ipo kundu moja na heroin kwa sheria za Tanzania,shauri yako
32
2
38
@kaskazinian
RAS 🦅
3 months
Wabunge na viongozi wa CCM wanakamatwa wanasafirisha wahamiaji haramu,silaha,wengine wanabaka na kufanya vitendo vya kikatili kama Pauline Gekul hakuna kitu wanafanywa,inasikitisha sana
4
16
39
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@LuckyLu____
FUNDI JUMA 🇿🇦
2 years
August photodumps, let’s have it.
106
27
415
1
6
37
@kaskazinian
RAS 🦅
10 months
Challenge zote zitakuja ila Tuturi na Silhouette will be legendary
8
8
38
@kaskazinian
RAS 🦅
10 months
Hii nchi inapokea hela kila sehemu kama malaya.
@JamiiForums
Jamii Forums
10 months
#UCHUMI : Serikali ya #Tanzania kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, imetia saini ya Mkataba wa Msaada wa Tsh. Bilioni 56 kutoka Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Fedha zitakazotumika kugharamia maeneo Manne Tsh. Bilioni 8.15 zitafadhili Programu
Tweet media one
75
12
227
17
6
37
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Fei Toto vile anawaangalia Mayele na Morrison wakisherekea ubingwa
Tweet media one
4
5
33
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Dezemba
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
1
35
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Chid Benz kwenye prime yake ya Bongo Hip Hop alikuwa na reality show EAST AFRICA TV alimuweka sana Diamond kwenye spotlight,wema hauozi
@Elisafi_Fadhili
ELLY JR
1 year
Chidi benz ft Diamond Platnumz mkwaju mmoja wa moto sana🙌🙌
200
512
2K
6
4
36
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Wote mliopo mbali na familia zenu,this holiday season Mungu awape nguvu 🙏🏾
3
6
36
@kaskazinian
RAS 🦅
2 years
Cristiano Ronaldo watching Modric and Benzema beat PSG
Tweet media one
2
7
31
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Elon hana tofauti na wale landlord ambao hawana kazi wala mishe,wasumbufu kinoma
4
1
35
@kaskazinian
RAS 🦅
11 months
Chadema ndo wamekuwa wakiwasemea masheikh wa Uamsho miaka nenda miaka rudi,walipinga yalikuwa yametokea Zanzibar kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 ila ni wewe ulitweet ukasema hakuna kitu kama cha watu wenye imani yako kupigwa na kuumizwaZanzibar,ni sawa lakini
@RahmaMwita
Rahuuuum
11 months
@basaya2908 @DrCyrilo Siko hapa kufundisha wewe amua kuelewa ulichoelewa ni akili yako sio yangu. Kama nina Chuki Binafsi na Chadema ni kwa sababu wameonyesha chuki binafsi kwa imani yangu. Kwani lazima wote tuipende CDM???
15
0
6
9
18
35
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Black women in tech 🥳🥳🥳
@LadyLondon
lady .
3 years
Teaching @JoeBudden how to mute people on Instagram lol
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
51
625
0
6
33
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Pale unapo anza kumuamini mtu,ndo unapigwa matukio
8
7
33
@kaskazinian
RAS 🦅
3 months
Bamia za nini kwenye mchemsho?huna ute?
@samsiria
Big Sam
3 months
Kimetoka
Tweet media one
18
3
23
30
4
35
@kaskazinian
RAS 🦅
13 days
Serikali baada ya kupeleka JKT wanafunzi waliomaliza A level,ingewapeleka VETA
@DaveConscious
Trust The Process
14 days
Kuna Baadhi ya Skills Kama Plumbing, Carpentry n Welding Inabd Ziwe Zinafundishwa Mashuleni As Basic Skills Bhana. Jamaa Kaja Kufix Kitasa Hapa Kwa Kurekebisha Mbao Tu Kaondoka na 10K Kwa Kazi Ndogo Sana, Smh. Hizi Vitu Vidogo Inafaa Nivifahamu Sasa !!
3
4
7
5
15
35
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Bado Man Utd wafungwe siku iishe vizuri kabisa
11
4
34
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@Joki_Aaron
Dr. Joshua Kileo
3 years
Quote/ Reply with your 2021 travel pictures. 📸
11
10
65
6
4
34
@kaskazinian
RAS 🦅
2 months
Marioo hajawahi kutoa nyimbo ikafika level ya Sikati Tamaa,unasema vipi Marioo anamrudisha Darassa kwenye game,be serious
5
2
32
@kaskazinian
RAS 🦅
11 months
Mawaziri wamekuwa content creators kama baddies wa Tik Tok tuna hali mbaya,haha
@Eric__Bernard
MR BEN
11 months
Mwigulu na January sasa wote wanatengeneza video za namna hii.. Kuna nini?
45
21
253
4
6
32
@kaskazinian
RAS 🦅
3 years
PM ni muongo sana 😂🤣
@OleMtetezi
Mchokozi !!
3 years
Hii Nchi Ngumu Sana, Yaani Waziri Mkuu Anasema Hamna Corona Katibu Mkuu Wizara Ya Afya Anasema Maambukizi Ya Corona Yanaongezeka... Unaweza Kudhani Ni Kauli Za Nchi Mbili Tofauti
Tweet media one
Tweet media two
194
108
1K
5
2
31
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Fantasia - When I See You 🔥
6
8
33
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
Runtown gave us MAD OVER YOU
2
10
32
@kaskazinian
RAS 🦅
11 months
J Cole uwezo mdogo ila hype kubwa
29
3
32
@kaskazinian
RAS 🦅
1 year
God did it 🙏🏾
8
4
32
@kaskazinian
RAS 🦅
5 months
Kuma Nature alitisha sana kwenye HAKUNA KULALA 🐐🙌🏾
19
6
32