Malkia Nyuki Profile Banner
Malkia Nyuki Profile
Malkia Nyuki

@nyuki__malkia

Followers
484
Following
340
Media
460
Statuses
3,029

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@SportsarenatzTz Hii nayo bado ipo hajaifuta😆😆😆
Tweet media one
1
1
37
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@swahilitimes Manara ashaanza yake huku
Tweet media one
4
0
38
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
@millardayo Kama umefurahi ndalichako kutolewa pokea ajira mwaka huu
6
2
35
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@ze_mandevu Hapo ni wapi tena🤔🤔
5
0
34
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@SharonMontana20 Tuache tu unafki alipokuwa hai hukuweza kupata hiyo discovery alipokufa ndio uliipata
2
3
27
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
8 months
@babalao__ Hata huyo ndugu yenu mi sikuvitaka vita mbona sikigombana na madam rita ni presha kuhofia nampita akiskia khoooh! Gonga like kama unakubali huu mstari
0
2
26
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Dah zile odds tatu😪😪😪
Tweet media one
0
2
23
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@ze_mandevu Na bado wanasumbua watu hakuna kupita kwenye barabara ya mwendokasi
1
0
22
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@IdrisSultan Ninatengeneza keki za aina zote na sherehe zote natamani nipate mtaji ili nami niweze kuajiri vijana wenzangu na kuweza kuwapatia mafunzo @IdrisSultan
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
28
21
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@IdrisSultan Haya nishatumiwa tyr hapo @IdrisSultan
Tweet media one
0
1
21
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Kwani hawajamwona MADOPE
Tweet media one
2
4
19
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Hii ni fashion au ushamba
Tweet media one
0
1
14
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Oya jini linataka damu huku😅😅😅🙌
Tweet media one
1
1
17
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kafanyaje ety mbona anatrend sana leo huku X.
Tweet media one
4
1
16
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@fumbokhanJr Sasa wewe una miaka 45 nawe
2
0
17
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Tangu lini picha ikaziba saa kwenye screen😂😂😂🙌
@iamcleopatricia
Ms Bee🌹
7 months
Tweet media one
16
3
45
12
1
15
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
@millardayo Sasa hapo mbna bado wameegemea udini mbna bagamoyo muslim ni weng but wakristo wanaheshimiwa na waislam wanaheshimiwa na wakristo
1
0
16
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kwa hiyo @fumbokhanJr hii sio ya leo au.
Tweet media one
1
2
16
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nina shida na followers 500 chapu nisaidieni kuretweet please ukinifollow nakufollow back now🙏🙏
4
10
16
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Utelezi upo wa kutosha😂😂😂
Tweet media one
1
2
14
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@Noedson_tz Huyo hapo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
3
15
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nimeshangaa followers wangu wa blue tick mbona wamepungua nikagundua kumbe vifurushi vyao vimeisha😆😆😆😆
3
5
14
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Haya sasa nireview walioniunfollow niwateketeze kama moto wa jehanam
6
2
14
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Unakuta nae et analalamika followers wapengungua🚮🚮🚮🚮🚮
Tweet media one
3
4
13
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Wakati unakimbia mafuriko wenzio wanaokota vitu vyako vilivyosombwa na maji kwenda kuuza vitu used. Mnaouza vitu used mtupunguzie bei basi maana ni vitu vyetu hivyo vilivyobebwa na maji🙏.
1
5
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Yaliyojiri huko instagram.
Tweet media one
Tweet media two
3
2
14
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Hivi ndani ya mwendokasi zile TV ni za urembo au hawajui kuziwasha
1
1
13
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
0
0
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kumbe leo ni birthday yangu nilikuwa sina hata habari.
Tweet media one
3
1
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kafanyaje ety mbna ana trend ivo.
Tweet media one
1
3
13
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ngoja nilale sasa ila mkumbuke kusali msije mkaingia majaribuni.
0
2
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kwani vipi mbona usafiri wa kaskazini unasumbua leo?
0
2
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nasubiri zawadi.
Tweet media one
3
2
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Kuna UE na mathematics exam hivi ni vitu viwili tofauti😰😰😰
1
2
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Chota Chama. Chota Mihela
Tweet media one
Tweet media two
3
2
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Tuwaulize nyie mlioomboleza ivi mkifa na nyie bendera zitapepea nusu mlingoti?
0
2
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ukute wanasimba wanatamani congo ifungwe kesho ili inonga aje kuwaokoa kwenye mechi ya azam😂😂😂😂congo hawafungwi ng'ooooo.
1
5
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
1
1
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nafollow back now ebu nifollow
6
4
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Nilishasema sterling ni tapeli ona sasa hadi now mpira upo hewani haujarudi
1
4
12
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Nikajua nimeona kila kitu kumbe ndio naanza kuona vitu vyenyewe
Tweet media one
0
3
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nataka mke! 1.Awe na Nyege Kama @nyuki_malkia 2.Awe mzuri Kama @Leeza_billy 3.Awe lishangazi Kama @iamcleopatricia 4.Awe na Macho Kama @amprincess9 5.Awe anajua Kuikatikia Kama @Ugeniaconso 6.Awe modo Kama @Neypaul01 NB walio Baki wote wa humu Wanakua Michepuko yangu😘
4
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Umeme ni huku oysterbay tu ndio hamna au hata huko vijiji vya daslam na nje ya mji haupo?
0
3
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Back ground inaongea hii nchi haiwezi ishi bila yanga😂😂😂 hapo ni mechi ya simba ila background wanaonekana max na pacome
Tweet media one
0
2
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Alafu alikiba hana mambo ya ajabu kama kwevo redio yake haibagui ngoma zote anapiga zta kama ana bifu na msanii
2
1
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
Tweet media one
0
1
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Artist: Treyzah Song: Nimempata🎵🎵🙌
Tweet media one
1
3
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Kuna kitu mahala haiwezekani msiba utangazwe saa 2 usiku then muda huohuo azamtv washaandaa uzi mrefu wenye RIP za kutosha ndani kuhusu mwinyi
0
2
11
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kwa hiyo JWTZ leo chadema wamewazuia kufanya usafi🤣🤣🤣
0
5
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Tegeta😂😂😂
Tweet media one
2
3
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
X imetulia kwa dakika kadhaa jam imehamia youtube
1
3
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ivi nyie mnaosema hamli mchana nikiwapa pizza za mlimani city mtaacha kula au ndo kupretend maisha🚮🚮
1
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Baby nipo hapa nje nimevaa kama mange kimambi
Tweet media one
1
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@Ireneigora Mim namwambia si una shida wewe nipatie namba za huyo mtu nimpigie uongee naye but simu nashika mm mwenyewe nakuwekea loud speaker uongee nae
0
0
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
8 months
0
0
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Lait tajiri wetu bhakresa angekuwa anapenda umaarufu sijui ingekuwaje yani.
0
4
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@fumbokhanJr Cha msing wanakula ela yao ya robo
1
0
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ngoja nilale sasa ila kuweni makini na wanawake wanaotokea morogoro
1
4
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Mamaaaa clean sheet hiyo inaondoka😄😄😄 Ali kamwe kwani jana tumetokaje ety kwa Aziz K na Diarra. Tunaomba matokeo please maana Tv zetu zimebebwa na maji hatukuweza kuangalia mechi.
Tweet media one
2
1
10
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Siwezi ishi bila yeye @Ugeniaconso
Tweet media one
1
4
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Haya video nimewawekea👇👇
Tweet media one
1
2
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nipeni tofauti hapo
Tweet media one
Tweet media two
0
1
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Mbona hauview status zangu Status zenyewe sasa👇
Tweet media one
0
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
Ivi kwann sherehe za wakristo kama leo pasaka miji inakuwa imetulia watu wapo majumbani barabarani hamna magari lkn za waislam ndio kwanza kila mtu na mambo yake na maduka yanafunguliwa kama kawaida.
2
1
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nje ya mji mmesikia tangazo??
Tweet media one
1
2
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nauliza kipo wapi sasa kipo wapiiiiii kamati ya hamasa nauliza tena kipo wapiiiiiiiiii😏😏😏😏😏😏🤏🕶😐😎
Tweet media one
1
3
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ivi tutafanyaje kama tumesubiri muda wote huu alafu diamond atutapeli.
0
2
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Straika wako amefunga klabu bingwa😅😅??
0
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Hii kitaalamu inaitwaje
Tweet media one
2
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Hivi nikiwa na laki moja naweza kupata chakula gani hapo Johari Rotana hotel Dar es salaam
0
4
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kwa msiba huu kwahiyo samia kesho ataenda kwa papa kama alivyoalikwa au ataghairi. Ngoja tuone
Tweet media one
0
1
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Kumbe valentine day ni siku ya jumatano ya majivu na wakristo ata hamsemi mnataka tukazini siku ya toba au?
0
2
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Mbona hii inatrend sana eti nyie mnaoitwa kelvin mmemfanyaje huyu cheusi mangala.
Tweet media one
0
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
@spana_Konki 😂😂😂😂👐 bonny amepiga kwenye mshono jmn
0
0
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@rollymsouth Ndio maisha waliyoyachagua baada ya kazi kukosekana sasa watafanyaje zaidi ya kufanya ivo maana hata ukijaribu kuangalia wanaoambiwa hujambo mwanangu ni watu ambao wanajiweza kabisa.
0
0
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Tweet media one
0
1
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
@MsomiKhan18 NIT😁😁
2
0
9
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
On mood! Sitaki nishauriwe.
Tweet media one
0
3
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Hujasoma international school of Tanganyika Hujasoma Morogoro international Hujasoma Feza schools Hujasoma Martin Luther Sasa uwesoma syllabus ipi ya Cambridge🚮🚮
1
1
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
"Baba wa mbinguni, asante kwa siku hii uliyotujalia. Tunakuja mbele zako usiku huu, tukiomba ulinde na kutuongoza. Utusamehe makosa yetu na utulinde dhidi ya mabaya. Tufundishe kuenenda kwa njia zako na kutusaidia kuwa nuru kwa wengine. Amina."
1
3
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Yn parody anapewa grey tick na elon musk😂😂😂🙌
0
4
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Hapa dasilamu ni jengo lipi lina free wifi nikapoteze muda hapo.
0
1
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ngoja nilale sasa ila kuweni makini kesho usije kuwa takataka ukapitiwa na JWTZ.
0
4
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Tegeta jichanganye upitilize tutakuokota kigamboni
Tweet media one
2
3
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Wenzenu tanzania january tunaokota magari nyie mnaokota nini ety.
1
1
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
8 months
@iamchukaelc Any one repost my account @blueboytz
0
0
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Yani @YoungAfricansSC wanapost mashabiki wao kisha wanasema "miongoni mwa mashabiki wenye raha zaidi duniani" huku bruno gomez na prince dube wakiomba kufutiwa mkataba. Shtukaaaaa😄😄😄
0
2
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
@millardayo Napenda kumshukuru mama samia kwani nitakuwa nafanya kazi dar nalala moro😆😆
2
0
6
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
@MariaSTsehai Znzibar hakuna kula mchana😪
1
3
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
5 months
@ze_mandevu Kama kimepanda aende mbeya akasikilize kero sasa
0
0
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Nitumie lugha gani ili mnifollow ety
3
3
7
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Hakuna Afcon leo tulitegemea tulale mapema ila kuna kazombie kamesema tusubiri hadi saa 6 dah.
0
2
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
6 months
Prince dube kafuta pacha zote za @azamfc ila hii ameibakiza 😃😃😃 shtukaaaa
Tweet media one
3
1
8
@nyuki__malkia
Malkia Nyuki
7 months
Ole wako ununfollow usiku huu wa leo.
Tweet media one
3
1
7