Livingstone lile Profile Banner
Livingstone lile Profile
Livingstone lile

@LileLivingstone

Followers
1,933
Following
6,041
Media
74
Statuses
578

CHADEMA member Arumeru Arusha Tanzania

Joined October 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
@AbroadTanzania Waooh ni muda wa kuangalia notification vizuri sasa
0
0
18
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Na huyu ndiye kamanda @DEUSDEDITHSOKA Kwa Kiswahili Temeke patachimbika
@DEUSDEDITHSOKA
DEUSDEDITH SOKA
3 months
Location ni Moja siku ya Jumapili 26 May 2024. Majira ya saa 12:00 Mchana tutakuwa na Maandamano Mjini #Temeke Tutaanzia Pale kwa Azizi Ali kuelekea VIWANJA VYA Mwembe yanga tutakapomalizia na Mkutano Mkubwa wa Hadhara Mh @TunduALissu ataitikisa Temeke #KaribuTmkKiumeni
7
51
133
0
10
17
@LileLivingstone
Livingstone lile
11 days
Amen
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
11 days
“NO WEAPON FORMED AGAINST YOU SHALL PROSPER, AND YOU WILL REFUTE EVERY TONGUE THAT ACCUSES YOU, THIS IS THE HERITAGE OF THE SERVANTS OF THE LORD. AND THEIR VINDICATION IS FROM ME,” DECLARES THE LORD. - ISAIAH 54:17 “Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila
Tweet media one
Tweet media two
35
227
723
0
3
15
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Cheo kinakufaa Majukumu yanakufaa Tunataka msimamo imara usiotetereka Kwa namna yeyote Ile nikutakie majukumu mema @SheilaMchamba
Tweet media one
@SheilaMchamba
Sheila Mchamba
1 month
Chama kimelea Chama kimekuza Nina furaha sana kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza la Vijana BAVICHA jimbo la kigamboni. CHADEMA hatugawani vyeo, tunagawana majukumu. Ninaenda kuwatumikia vijana wa kigamboni kwa kadri Mungu atakavo nijaalia
Tweet media one
153
163
1K
1
2
12
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Mapambano yaendelee Hakika tunaweza
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
3 months
Tukishikamana tunaweza Tuhanasishane kila mtu unayemjua atoe sh 1,000 au 500 Tukiamua watu elfu 10 kutoa sh 1,000 kwa siku tunapata milioni 10 🔥 ndani ya mwezi tunamalizia kilichobaki 👊🏽 Hatuhutaji pesa nyingi kutoka kila mwananchi kufikia malengo tunahitaji wengi watoe
Tweet media one
22
134
458
0
5
11
@LileLivingstone
Livingstone lile
7 months
@godbless_lema Na Bunge liwe linakutana online wakiwa vitandani mwao ili jua na vumbi visiwaletee madhara viongozi wetu
0
1
10
@LileLivingstone
Livingstone lile
10 months
@eastafricatv Mpira siyo siasa,wala siyo sinema za kuedit hivyo mpira ni kama uwekezaji unabadilika kulingana na tabia ya kitu halisi gamondi anauwa mbwea watatu mpaka wa nne kwa jiwe moja ni vigumu kunielewa ila any way.
0
0
8
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 year
@privaldinho Kaka privaldinho kitu usichokijua ni kwamba wewe unabishana na mwanasiasa siyo kwamba hawajui kiukweli mwasiasa anajua Kila kitu na atataka ajue zaidi hakuna kitu kisichokuwa na changamoto sidhani kama nchi za wenzetu zina Kila kitu kusiwepo na matatizo Kwa mwananchi mmoja mmoja
1
0
6
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Mapambano yaendelee
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
3 months
Kwa nini mchango wetu wa hiari kwa @TunduALissu unawatia hasira machawa,kunguni na viroboto wa madhulmat: 👉🏽 Mchango ulianzia kwetu wananchi tena tuliamua wenyewe - tumeamua tunatekeleza nje ya mifumo rasmi! 👉🏽 Pesa ndani ya masaa 24 kufika milioni 10 tena kupitia michango
Tweet media one
32
103
424
0
3
7
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Moto unaanza kuwaka Ubatizo wa Moto unakuja
@clementmanang
Clement A Manang
3 months
Kaskazini nabiii kazini 🔥🔥🔥
Tweet media one
0
5
16
0
3
6
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Nguvu moja
@DedanWangwe
Dedan Chacha Wangwe
3 months
Tweet media one
0
4
15
0
1
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
7 months
@earadiofm Msisimamie mitihani na mitutu. Silas hizo zitumike kulinda rasilimali za taifa
1
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
7 months
@IAMartin_ Mimi ni moja ya mwanafunzi wa Alex G malasusa Kwa heshima yake sitomtusi Ila nitakuwa kinyume nae na endapo hatosimamia haki na kweli basi sitosita kumsema zaidi
0
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
5 months
@millardayo Kuna jirani yangu hapa hata chura Tu akilia lazima aogope
2
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
7 months
@Roma_Mkatoliki Wewe mpak 2028 ndo utavuta mskaji wangu
1
0
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
@AbroadTanzania Kwani Siri Ipo wapi
0
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 year
@KassimMajaliwa_ Ramadan Kareem Mh Kassim majaliwa mungu azidi kukupa nguvu ya kulitumikia Taifa letu ila ombi langu kwako Huyo mtu ana paswa kuwa uraiani.
Tweet media one
1
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Mnatukosea Sana watu wa kijijini mnataka tuje tutapeliwe siyo, Boni yai nakuita mara tatu @ExMayorUbungo tunaomba mayai Kwanza ya kuchemsha Kesho asubuhi
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
1 month
Wanangu wa Mabibo wanataka Kutapeliwa Kizembe sana,ngoja nikawatonye fasta. Mtu ajakanyaga mtaani miaka 4, anakuja kutokea kapanda juu ya pikipiki na uongo wa kugawa mashamba bila mbegu,mbolea,madawa,pesa ya Vibarua na shamba lenyewe usikute ni kijiji kwao Singida. Hayo mambo
Tweet media one
180
111
1K
0
0
5
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@godbless_lema Nipo natokea maroroni hapa na kikosi changu
0
0
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
21 days
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
21 days
President @SuluhuSamia 's administration has intensified its crackdown on opposition, arresting hundreds of CHADEMA youth, including prominent leaders @TunduALissu and @jjmnyika , on the eve of #WorldYouthDay . Lissu and Mnyika were quarantined before being taken to an undisclosed
Tweet media one
10
172
297
0
1
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
8 months
@YerickoNyerereT Kwa kiasi Fulani naweza kukuelewa kabisa sina Shaka kabisa Ila ni Kwa namna gani tunaweza ibadilisha hizi dini ambazo zimekuwa kikwazo Kwa kila Jambo liwe zuri au Baya ilihali viongozi wakubwa wa dini hizi au niseme biashara hizi wenyewe wamepotoka
0
0
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
John Danielson Pallangyo ni mwizi Bungeni anasinzia Vya kutosha nimefatilia vikao kadhaa Vya bunge hata kuchangia hoja hawezi meru tusimame wenyewe inatosha sasa Vijana wa meru lazima tuungane tena tuitete meru yetu hata Kwa Damu #katibaMpyaniSasa @TuliaAckson HatumtakiJonhD
@clementmanang
Clement A Manang
2 months
John D uko wapi MERU inateketea namna hii? Vilio vya wana Meru kuporwa ardhi huvioni? Unajua hamkushinda wewe na baraza la madiwani mlipora uchaguzi kwa kumwaga damu Umeenda bungeni uko kimya huna habari na wana Meru baraza lako la madiwani linauza Meru kama vichaa
Tweet media one
2
5
13
0
2
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
5 months
@fumbokhanJr @millardayo Na huyo mskaji ni Muslim
0
0
4
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Tweet media one
0
1
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@DChevichenko @YerickoNyerereT @IAMartin_ Muulizeni joti muigizaji wenu kilichomkuta uku ni heri ukapambana na chui porini lakini cy huyo mwamba
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
28 days
Tutapiga Kura na kuzilinda @SheilaMchamba
@SheilaMchamba
Sheila Mchamba
28 days
Tutapiga kura na tutazilinda
Tweet media one
114
522
2K
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
14 days
Ole wenu
@JoelyMeitaya
Joel Ole Meitaya💧
14 days
Mara hii tutakuwa makini sana kuwajua Hawa maaskari mmoja mmoja hakuna atakaye kwepa bila kujulikana,Ole wenu mjaribu kuvunja sheria na kufanya uhuni,orodha ya wote mliotumwa na TAWA,NCAA,TANAPA,na TANPOL mnajulikana. Wakati huu ,HAKI ITASHINDA .
Tweet media one
9
95
314
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Tuombe msamaha kabla ya Saa mbili kama ukikaidi uwe na usiku mwema @fumbokhanJr
@fumbokhanJr
Fumbo Khan
1 month
Jezi kama vitenge vya Congo hakuna Jezi hapa, Jezi Mbaya.
Tweet media one
191
31
935
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
Ni kweli hata kama Tairi lilikuwa na pancha lina muhimu wake safarini @rose_mayemba polee sana
@rose_mayemba
Rose Mayemba
2 months
Nimetumia muda mrefu kuyatafakari maamuzi yako yaliyourarua Moyo wangu. Ningepata Dk moja ya kuzungumza nawe kabla pengine ningekushauri vinginevyo. Ni kujidanganya nikisema kila kitu kiko sawa baada ya kuondoka kwako. Hata hivyo,najua unavyojisikia, nimechagua kukuelewa. 👋🙏.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
156
57
644
0
1
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
5 months
@godbless_lema Kama sauti ya mungu ikisema Sisi ni Nani wa kupinga tutakuwa na Amani siku zote
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
@AbroadTanzania Notification on kuna jipya as usual
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@DChevichenko @YerickoNyerereT @IAMartin_ Unatafuta vita ya mwili na nafasi Kwa brigeria na utakipata unachotaka
1
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Wahuni siyo watu Daah @Getrude_mollel
Tweet media one
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
1 month
Gari ya Serikali ambayo alikuwa akiitumia NAPE NNAUYE ikiondoka kwa kasi ya nguri mkia juu ukumbi wa Mlimani City na kumuacha NAPE akiwa ukumbini kama mgeni rasmi katika ugawaji tuzo za Women Digital Award 2023/24 (kulia). Dereva wa Serikali wamefanya kama tulivyowaagiza.
282
299
3K
2
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 years
@millardayo Kazi nzuri hakuwa wa kuisifu kazi hiyo Ila ni kazi kubwa ✌️
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Nchi yangu Tanzania yetu
@eastafricatv
EastAfricaTV
1 month
"TLS mnalo jukumu kama chama kuchagua viongozi watakaoendeleza mshikamano wa chama chenu, watakaokuwa na kiu ya kuishauri na wakati mwingine kuikosoa serikali, jambo ambalo mmekuwa mkilifanya, naamini mtakuwa na viongozi ambao watakuwa na matamko ya kitaaluma, nitoe wito kwa
Tweet media one
80
65
1K
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
24 days
Yanga bingwa @Yanga1935
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Mwenyewekiti wangu tutavalishwa Sanda kweli? @John_Pambalu
@John_Pambalu
John Pambalu
1 month
Nikikumbuka kuna watu wanavaa SANDA basi ninachanganyikiwa kabisa
Tweet media one
25
11
222
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
18 days
Okay tunaomboleza tu na hatujui Nani amekufa
@mangekimambi
Mange Kimambi
18 days
Kama nilivyowaambia before, Samia anafatisha kila kitu kilichomuwezesha Magufuli kuwa dikteta na kumfikisha sehemu ambayo hata katiba ilikuwa inaenda kubadilishwa. Kila mtu aliemuwezesha Magufuli kupata absolute power anarudishwa serikalini na kila mtu ambae alimpinga Magufuli
Tweet media one
346
200
3K
0
1
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
9 months
@mwigulunchemba1 Ni vema Kwa sasa bendera zote ziwe nusu mlingoti kama ishara ya maombolezo yetu
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Niliishia Low School ila maombi yangu kwake ni ashinde @PMadeleka
@PMadeleka
Peter Madeleka
1 month
Nilipokuwa NASOTA RUMANDE, ni wewe BONIFACE MWABUKUSIS ⁦ @Mwabuk2Boniface ⁩ uliyeamua BILA WOGA, KUHANGAIKA PAMOJA NAMI. Wakati huo, wengine wote WALIUFYATA. Kwa sababu hiyo, Mimi na Mke wangu, JAMILA ILOMO, kwenye URAIS WA TLS, KURA ni kwa MWABUKUSI.💐🌹🌷
Tweet media one
78
354
2K
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
@iammpemba Duuh siamini macho yangu
2
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Brother umesahau 2028 ndo unavuta @Roma_Mkatoliki #Nipeni_maua_yangu
@Roma_Mkatoliki
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
1 month
Naongea na wife 📞 ananambia Ba Ivan uwe unanishirikisha kila kitu, ukifa huko nitaishi vipi na watoto!!😁 Yani wanawake bana, huwa wanaonaga kama sisi wanaume tu ndo’ tunatanguliaga kukata moto😁 wao AAAAAH!! Mbona wao hawatushirikishi wakipokea mchezo🙄
78
101
2K
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Umoja ni Nguvu kemea uonevu Popote pale Uoga ni dhambi kubwa sana
Tweet media one
1
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Hii ndiyo Sababu inayonifanya nisiende eneo Hili milelena milele
Tweet media one
0
0
3
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
Tweet media one
5
2
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
10 months
@Roma_Mkatoliki Uzuri jina kahawa ni jina tu kama lilivyo mtoto wa kiume kuitwa Gift
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
11 days
Asante sana @naythetrueboy sauti yako ni sauti ya wengi
@naythetrueboy
#Naythetrueboy
11 days
Mungu Akulinde na Kukupigania Kamanda🙏
Tweet media one
24
306
1K
0
2
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@DEUSDEDITHSOKA Ameona bango linalowatetea
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
5 months
@BOSSferdd Kwanza kabisa namshukuru Mheshiwa..........
1
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
28 days
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
28 days
TUSIKAE KIMYA ,TUSIMSALITI DIONIZI KIPANYA..! DIONIZ KIPANYA ni Kiongozi wa Chadema Wilaya ya Sumbawanga Mjini, Mkoa wa Rukwa nafasi ya Katibu Mwenezi wa CHADEMA. DIONIZ ametekwa siku ya tarehe 26 July 2024 akiwa nyumbani kwao Sumbawanga na watu wanaodhaniwa kuwa ni askari wa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
45
671
2K
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
4 months
Ningekuwa nauweza uchawa ningekuwa chawa wako Ila nimekujua Tu kwenye harati za katiba Mpya Ninachoweza kukupatia Kwa sasa ni jina nitakuita Sarafina wa lissu ukiachana na Sarafina wa Nelson Mandela umebaki wewe tu
@SheilaMchamba
Sheila Mchamba
4 months
Saturdays are for weddings #hewhofindsawifefindsagoodthing
Tweet media one
11
16
330
1
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
22 days
Logarithmic
Tweet media one
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 year
@TBConlineTZ Bado tumefungwa sana ni vema taasisi kama TBC mngetafuta walimu muhimu wa fikra za mwafrika hapo ukimchukua Prince katega wa pili na Mimi pia mkitupa kipindi tutakomboa kizazi flani ambacho kitasaidia wengine
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
11 days
Bwana asipoulinda mji alindaye akesha bure @DEUSDEDITHSOKA atakuwa salama tu watesi wake wameogopa kila sekunde iliyopo mbele yao @HildaNewton21
@HildaNewton21
Hilda Newton
11 days
Moyo wangu unavuja damu, nasikia maumivu makali sana, namuomba Mungu wa mbinguni akutetee na kukufunika kwa mkono wake wenye nguvu.🙏😭😭😭😭
Tweet media one
57
269
2K
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
11 days
Kataa ukatili
@vicensiashule
Vicensia Shule
11 days
Tafadhali @tanpol msiue raia. Polisi msiue raia. Tafadhali sana polisi acheni kuua raia. Mtailetea hii nchi matatizo makubwa. #KataaUkatiliWaPolisi #KataaUkatiliWaPolisi #KataaUkatiliWaPolisi
6
34
104
0
1
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
4 months
Elimu haina mwisho Mitaala inabadilika badilika
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi kwanini wanawake wengi walio soma hawadumu kwenye ndoa?🤔
Tweet media one
164
24
382
0
1
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
@millardayo
millardayo
2 months
Kituo cha Televisheni cha KTN Nchini Kenya kimesema kimepokea vitisho kutoka kwa Serikali ikitishia kukifungia kituo hicho kutokana na habari inazorusha kuhusu maandamano yanayoendelea Nchini humo. Mtangazaji wa Habari wa Kituo hicho amenukuliwa akisoma tamko rasmi la Runinga
Tweet media one
498
221
3K
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
28 days
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
28 days
Kelele zetu zikiwa tu ndogo wanammaliza. Kimsingi wasiojulikana ni hawa JAMAA zetu mnaowajua.
Tweet media one
5
192
504
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
28 days
Umoja wetu Nchi yetu Nguvu zetu @TunduALissu @MariaSTsehai
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
28 days
‼️🙌🏽 Pamoja hakuna kitu tunashimdwa‼️👊🏽 Tumevuka milioni 100 katika mchango wetu kuelekea kuhakikisha mwamba @TunduALissu anapata gari jingine madhubuti na salama kuzunguka nchi nzima kutoa elimu muhimu kuelekea uchaguzi na hatimaye kupata #KatibaMpya Shukrani za kipekee kwa
Tweet media one
38
212
832
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@IAMartin_ Ikawa mchana ikawa Usiku siku ya kwanza
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@gharib_mzinga 4 Nangwanda Sijaona
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
13 days
Kama mazungumzo yangeweza kutatua hili tatizo lingeshaisha mnatulazimisha tufikiri vingine @ortamisemitz @humanrightstz
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
13 days
Jamii ya watu kutoka MAASAI ina Wabunge kutoka miongoni mwa Jamii yao takribani sita (6) na Madiwani na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijini karibu wote kutoka CCM ktk maeneo yao. Na pia wanaye Mbunge wa Arika Mashariki. Wamaasai wa Ngorongoro na maeneo mengine wanateswa sana
38
211
753
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@IAMartin_ @Sirjeff_D Mpeni Dozi yake chapu
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
21 days
@ikulumawasliano @SuluhuSamia ni vema umerudi wanao tunateseka uku mbeya
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
9 months
Hii idadi ni kubwa mno ni vema bendera zote ziwe nusu mlingoti
Tweet media one
0
1
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 months
0
1
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@JustineEugene1 Tuachie Sarafina wetu Kwanza mpaka tupate Uhuru wa kweli
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
19 days
Umenena vilivyo @Getrude_mollel ila Sitaki kuamini kirahisi hivyo unajua mateso ya polisi wewe kwamba Mtu ajipeleke tu Siku nyingine jaribu kuandika Kwa type nzuri yenye kuvutia na kusomeka kirahisi wengi tunapenda kuendelea kusoma ngonjera na mashairi yako Amen
@Getrude_mollel
Getrude Mollel 🇹🇿
19 days
𝐍𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐕𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐰𝐚 𝐕𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐕𝐲𝐚 𝐔𝐩𝐢𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢 𝐖𝐚𝐧𝐚𝐯𝐲𝐨𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐕𝐲𝐚𝐦𝐚 𝐕𝐲𝐚𝐨 𝐧𝐚 𝐌𝐚𝐣𝐢𝐧𝐚 𝐘𝐚𝐨 𝐊𝐮𝐣𝐢𝐩𝐢𝐚 𝐅𝐞𝐝𝐡𝐚 𝐊𝐰𝐚 𝐊𝐮𝐡𝐮𝐣𝐮𝐚 𝐧𝐚 𝐔𝐳𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐢. 𝚄𝚠𝚊𝚗𝚓𝚊 𝚠𝚊 𝚜𝚒𝚊𝚜𝚊 𝚔𝚘𝚔𝚘𝚝𝚎 𝚙𝚊𝚕𝚎 𝚍𝚞𝚗𝚒𝚊𝚗𝚒
Tweet media one
44
34
87
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
13 days
Tweet media one
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 years
@ummymwalimu Uchunguzi,uchunguzi, uchunguzi mchele wa kesho unachambuliwa Leo mungu nifundishe kunyamaza
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
3 months
Chama kimeshinda Umoja wetu Nguvu yetu #follow #Like
@ChademaTz
CHADEMA Tanzania
3 months
Matokeo ya Uchaguzi Kanda ya Serengeti. 1. Gimbi Dotto Massaba kura 44= 49% 2. ⁠Lucas Ngoto Ngogo kura 45= 51% Nafasi ya Makamu Mwenyekiti mgombea alikuwa mmoja Jackson Scania Luyombya Matokeo kura za Ndio 56= 63%. Hapana kuta 33= 37% Nafasi ya Mtunza Hazina 1. Jackson
Tweet media one
5
20
148
0
0
1
@LileLivingstone
Livingstone lile
2 years
@SuluhuSamia Tumepokea Salam za rambirambi kutoka kwako mheshiwa Raisi ila ningeomba uagize bendera zote zishushwe nusu mlingoti
0
1
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@SimbaSCFansPage Shetani anatumia njia nyingi sana kutukatisha tamaa
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
10 months
@privaldinho Mbali ya kuwa mchezo ni sehemu ya burudani lakini ni njia pia ya kuimarisha ushirikiano,uhusiano mzuri na vitu vingine vya kuleta amani leo hii timu na taasisi kama hiyo imekuwa ni sehemu ya kuleta uhasama na ubaguzi asilia tuwe makini @Livingstone ####
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
1 month
Jezi ni Bora
Simba
2
Yanga
0
0
0
2
@LileLivingstone
Livingstone lile
6 months
@IAMartin_ @Joti nakupa polee tu
0
0
2