Bwoi sama Profile Banner
Bwoi sama Profile
Bwoi sama

@Bwoisama

Followers
4,335
Following
3,241
Media
1,674
Statuses
18,714

|| @chelseafc ||Content creator||Ubuntu||Teacher|| @youngAfricansSC ||

Joined February 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Hivi kwanini finalist wa UDOM mnapeana mimba sana, au nyie mme ajiriwa?🤔🙌
Tweet media one
72
58
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Panda daladala yakutoka Gerezani to Mbagala afu sema hivi "Hivi Magufuli tutakuja kumsahau kweli?"😓 Afu kaa kimya😁
Tweet media one
Tweet media two
57
69
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
No Yanga fans will pass without liking and Reposting this post.🔰🔰🔰💚💚💚💚💚💛
Tweet media one
6
50
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Tumalize ubishi apa Retweet chama. Like Pacome.
Tweet media one
Tweet media two
15
121
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi kwanini mwanamke akisupport Harakati zako unafanikiwa haraka?🤔
Tweet media one
28
29
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Itoshe kusema Ujana audumu. 🙌
Tweet media one
94
30
1K
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Umemtambua nani Kwenye hii picha?
Tweet media one
49
38
792
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Leo nimejalibu kula chipsi na pepsi ya baridi oya acheni wadada wapewe mimba tu😁🙌
Tweet media one
82
47
780
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Kuna mda unataka kuwaonea huruma ila ukikumbuka huyo mtoto alipatikanaje unaendelea na safari tu😔😁
Tweet media one
75
45
699
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi uisha wahi mtongoza bekitatu afu akukatalie oya ninyumbani kwenu ila utapaona jehanam?😂🙌
Tweet media one
50
41
666
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi uyu mwamba itakuwa amesoma chuo gani apa Bongo?
Tweet media one
78
24
588
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi ni sawa Muslims kusupport pombe?
Tweet media one
240
23
515
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Kuna degree ukisoma jitahidi ujue kuendesha hata boda boda tu😁🙌
Tweet media one
37
24
467
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Ambagile itakuwa kasoma chuo gani?🤔
Tweet media one
23
16
433
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi Tanuli kwa kingereza linaitwaje?
Tweet media one
163
28
395
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi kwanini wanawake wengi walio soma hawadumu kwenye ndoa?🤔
Tweet media one
165
24
384
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Martin amesomea nini kwani? mana siasa yupo vizuri ukija kwenye IT yupo mmh uyu mtu 🙌🤔
Tweet media one
62
17
374
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Sema waislamu wa sheria kali sana wakuu.
Tweet media one
37
16
352
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Tanzania kunachuo wanafunzi wake wanajituma kimasomo kushinda UDSM kwel?🙌🤔
Tweet media one
69
18
351
@Bwoisama
Bwoi sama
10 months
Huyu jamaa ni wawapi, mbona ana Trend sana?
Tweet media one
23
17
298
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi kwanini Wanajeshi hawaruhusiwi kufuga ndevu? 🤔
Tweet media one
35
13
284
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Hivi Ukitoa hili jengo UDOM wanabaki na nini?
Tweet media one
51
33
242
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Mr Blue hata kuja kutoa ngoma Kali tena kama .....?👇
Tweet media one
66
13
222
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Iv kunamaji yenye ubora kushinda dew drop?
Tweet media one
60
13
206
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Alhamdulillah +1, Happy birthday to Me.!🎂
Tweet media one
20
29
199
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Reporta wa Chuga ninani? mana The madevu mbeya Aliua sana.😁✌
Tweet media one
2
14
195
@Bwoisama
Bwoi sama
7 months
Umeelewa nn kupitia hii picha?🤔
Tweet media one
55
16
176
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi kwanini wanafunzi wengi wa UDOM ni wajuaji?
Tweet media one
24
14
172
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Boda boda au Muuza chipsi, Akikwambia achana na uyo mwanamke oya zingatia ushauri 🙌 Niulize kwa nini?👇
Tweet media one
11
16
157
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Kama demu wako anapata siti kwenye mwendo kasi Gerezani to kimara bro oa iyo kiumbe inaweza wa pambania watoto ata ukifa.
Tweet media one
10
15
158
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi Juice kwa kiswahili inaitwaje wakuu?🤔
Tweet media one
91
10
156
@Bwoisama
Bwoi sama
6 months
Anaejua huu ugojwa unasababishwa nanin? na dawa yake niipi? naomba rt zenu
Tweet media one
78
15
149
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Usikute HESLB wameishiwa sms ?😞😕
Tweet media one
25
17
149
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi wale mapacha wa Aridhi waliishiaga wap?
Tweet media one
9
14
143
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Ogopeni matapeli Vyuo bado avijafunguliwa🙌😂
Tweet media one
9
10
132
@Bwoisama
Bwoi sama
7 months
Umeelewa nini kupitia hii picha ?
Tweet media one
14
15
134
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi UDOM ukitoa hili jengo wanabaki na nini?
Tweet media one
31
10
117
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Uludi nyumbani ukute mama anaosha vyombo alivo kwambia uoshe asubuhi🙌😁
Tweet media one
9
17
120
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
ndoto ya kila mwana Twitter nikuona hivi😁🙌
Tweet media one
6
12
116
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Asanteni sana wanangu kwakunifikisha 4k Mimi @bwoisama na follow back kama kawaida ✍️
Tweet media one
40
20
115
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Mbona Leo follows ni wengi kuna nini Leo🤔 Chapa handle yako apa chini twende na huu upepo👇
Tweet media one
71
18
109
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Tuwe tu wakweli ila Magufuli kodi zetu alizitendea sana haki. 😎
Tweet media one
9
6
109
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Eng Hersi kasoma chuo gani? mana mwamba anajua kuongea public siopowa
Tweet media one
7
8
111
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Waislamu wapogo smart sana linapo kuja swala la kifo, huwa wana tukumbusha kifo akiangalii cheo,pesa hata umaarufu wako.✍️
Tweet media one
8
15
110
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Iv kunachuo apa bongo kina pisi kali kushinda UDSM kwel?
Tweet media one
18
7
111
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Ili uufarahie Utumbo, inatakiwa ulie na chakula gani? 🤔 😋
Tweet media one
13
15
100
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Taja sifa moja za wanafunzi wa TIA?
Tweet media one
16
8
103
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Wakali wa location hapa wap?
Tweet media one
46
13
101
@Bwoisama
Bwoi sama
9 months
Mzee wako kipindi Said mwana wa Salimu Bakhresa anauza kalanga🤣
Tweet media one
4
10
100
@Bwoisama
Bwoi sama
10 months
Umeelewa nini kwenye hii picha? 🤔
Tweet media one
27
8
98
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi Davido angekuwa bongo unahisi angesoma chuo gani?
Tweet media one
22
10
96
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Wakali wa location hapo niwapi?
Tweet media one
Tweet media two
23
9
86
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Sema kuna mda kuwa na demu mkali ni bahati tu na wala sio pesa wanangu.👇
Tweet media one
5
8
89
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hii picha haita pata like na retweet kwa sababu mimi sio Simba.
Tweet media one
4
19
87
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Wakali wa location hapa ni wap?
Tweet media one
21
14
80
@Bwoisama
Bwoi sama
9 months
Kama unamdogo wako wakike kaenda chuo, muombee asitoke na magojwa tu, mana wanawindwa sana na wanakamatika kiulahisi 🤣🙌
Tweet media one
2
7
83
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Usije kopa hela ulipe deni, niliuze kwanini?
Tweet media one
8
10
83
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hata kama wew ni Sara utajua huyu mtu atatoboa kweli bila kuwa na D mbili?
Tweet media one
7
8
80
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Hivi kwanini Majaji wa Tanzania huwa wanavaa haya mawigi..?
Tweet media one
16
8
80
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Iv kwanini Udsm inazalisha wanafunzi ambao wanaweza kucompete kwenye soko la Ajila kushida Udom? Tatizo nini wakuu?
Tweet media one
Tweet media two
13
14
79
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Bado watu kumi tu nifike 5k Nifollow @Bwoisama nafollow back Masada weka Rt yako apo😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞😞
Tweet media one
14
18
75
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Neema Paulo itakuwa kasoma chuo gan? mana anajua kujipangilia adi sio powa.🙌
Tweet media one
10
8
79
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hakuna utajiri wa makundi, pambana kivyako mkuu😂😁 Gm familia 🇹🇿
Tweet media one
6
13
76
@Bwoisama
Bwoi sama
30 days
Ukiingia kwenye Dala dala sema ila Magufuli, halafu sikilizia. 🙌🤣
Tweet media one
19
32
74
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Airpods saivi Kila mtu anazo ukivaa unaonekana mshamba, sijui kwanini?😂🙌
Tweet media one
14
10
73
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi hiki kidude kinaitwaje wakuu ?🤔🙌
Tweet media one
17
13
74
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Ukipata offer ya Kusoma Masters Kati ya hivi Vyuo. UDSM SAUTI UDOM MZUMBE CHUO gani utakubali kwenda kusoma hapa.?
Tweet media one
26
23
69
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Harmonize hata kaa atoe tena ngoma kali kama....??👇👇👇
Tweet media one
12
11
74
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Saivi Kila mtu angekuwa na Ajira wallah 🙏
Tweet media one
4
10
74
@Bwoisama
Bwoi sama
15 days
Tujipost Leo😂
Tweet media one
6
9
73
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Wakali wa location hapi wapi?
Tweet media one
18
7
73
@Bwoisama
Bwoi sama
13 days
Hivi hii kwenye uislam inakubalika wakuu?🤔
Tweet media one
6
4
71
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
wakali wa location hapa ni wapo?
Tweet media one
13
7
72
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Itafika wakati machozi yako yatakudondoka, si kwa sababu ya matatizo yako, bali kwa sababu Mungu amejibu maombi yako Gm🇹🇿🙏
Tweet media one
8
22
70
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi kuna mademu Wana njaa kushinda CBE?
Tweet media one
5
8
68
@Bwoisama
Bwoi sama
5 months
Wapwa samahani, haya makopo kuning'iniza hivi huwa inamaanisha Nini!?🤔
Tweet media one
12
5
67
@Bwoisama
Bwoi sama
1 month
Wananchi shushen handle zenu tuinuane mana Leo follows niwengi sana🔥💚👇
Tweet media one
42
12
69
@Bwoisama
Bwoi sama
9 months
0
0
56
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Mnasema maskini atuenjoy iv mnajua utamu wa hivi vidude nyie wa kishua?
Tweet media one
6
4
67
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Imekuchukua mda gani kujua hawa jamaa ni mapacha?
Tweet media one
4
9
68
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Hivi Hawa makipa wa yanga wanamaanisha nini kuvaa miwani mda wa mazoezi?
Tweet media one
2
10
67
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Umasikini unatufanya tuamini pesa ni chanzo cha furaha Gm🇹🇿
Tweet media one
8
9
65
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Sema twende mbele turudi nyuma, au twende mbele wachaga ni watu❤
Tweet media one
7
8
67
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi Millard Ayo aonagi sheri nyingine paka kilasiku mafuta ya kipanda anatumia Total?🤔
Tweet media one
9
10
66
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Harmonize hata kuja kutoa ngoma Kali kama...?
Tweet media one
27
7
63
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Afadhali ni lisoma mapema mbona ninge kamatika wallah 😂🙌
Tweet media one
5
6
65
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Taja jina La Hili Tambala Kama Unalijua?
Tweet media one
18
8
65
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Mwamba anafanya tuone mziki ni kazi ngumu kiukweli, afu ukiludi kwa Nenga unaona kazi nyepesi tu kwenye mpira lunya angekuwa Nchimbi au kibu D😁🙌
Tweet media one
12
9
62
@Bwoisama
Bwoi sama
2 months
Mungu katuepushe na siku mbaya kazini🙏🌄
Tweet media one
5
13
62
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Tanzania hata kuja kutokea Raisi kama👇
Tweet media one
9
15
61
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi kwanini wanawake wa kijijini wakifika mjini wanabadilika sana?
Tweet media one
12
8
59
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi George Job kwa haraka itakuwa kasoma chuo gani?
Tweet media one
9
6
61
@Bwoisama
Bwoi sama
3 months
Hivi mwanaume unatakiwa uowe ukiwa na umri gani?🤔
Tweet media one
20
5
57
@Bwoisama
Bwoi sama
4 months
Dawa ya hii ni nini wadau?
Tweet media one
21
5
59