Thadei Mhabuka Profile Banner
Thadei Mhabuka Profile
Thadei Mhabuka

@mhabukat

Followers
53,631
Following
58,954
Media
355
Statuses
23,513

Hata ukisema ukweli watakuona mbaya wapate sababu yakukudhuru.

Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Yuko wapi Martin malanja masses jamani mbona sku 2 hizi sjamwona mtandaoni.
Tweet media one
11
36
195
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Heshima kwake msomi huyu kwakweli anawabana kwenye kona vibaya sana mpk wanashindwa kuhema.
@jioni_sana
🇨🇺
1 year
Wakili amshukia Makame Mbarawa na Spika Tulia
44
259
631
7
32
114
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Inauma sana kweli binadam kuchezea dam ya binadam mwingne kisa tu madaraka
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
2 years
Damu ya Ben wa Saanane iendelee kukulilia.
Tweet media one
92
114
1K
9
25
109
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Kiukweli kila mtanzania anajua hawa ndugu zetu wamewekwa kizuizini wakiwa hawna makosa yoyote ila ni kutokana na msimamo wào wa kuusemea ukweli kuhusu swala mkataba wa kuwapa bandari DP WORLD kwa mkataba ambao hauko wazi ilikuwa ni vema kutoka kutoa majibu lakn sio kwa hivi.
Tweet media one
7
23
99
@mhabukat
Thadei Mhabuka
8 months
Kama kweli ni kweli itatakiwa jeshi la police lisajiriwe kama chama cha siasa na wanatakiwa wawe hadharani sio kufichama fichama
@Mwabuk2Boniface
Boniface Mwabukusi
8 months
Jeshi la Polishi Muachieni Mara moja Deusdedit Soka acheni kujiingiza kwenye mambo ya Siasa mkitaka Siasa Vueni Magwanda
Tweet media one
30
165
731
1
28
93
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
@kigogo2014 Kwenye hili kigogo unanifurahisha kwenye kumchoma sindano bila ganzi lakin kwenye kutupiga piga nawe wenzio kisa umeyofautiana nao kidogo hapo naw nakuona kama jobu ndugae vile
0
0
67
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Ashukuriwe mungu alie juu mungu asipo panga binadamu yeyote hawezi fanikisha hata akitekeleza mpangaji wa njama mungu alishafanya yake kwasasa imebaki funzo kwa walio baki duniani wenye kutaka kuingilia mamlaka ya mungu ya nani aishi na nani asiishi.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
1 year
Mungu ndo mweza yote! Mijitu yenye roho ya kishetani ya Dola walitaka kumtoa roho @TunduALissu - ila he is stronger than ever Mashangazi nje ya zawadi kuna maneno yamegusa roho ya wengi “ulikufa na ulifufuka, sasa hivi unatupambania watanzania” AMEN 🙏🏽 Alafu instructions huyu
61
260
1K
0
12
69
@mhabukat
Thadei Mhabuka
20 days
@mwigulunchemba1 Watu wanatekwa nakupotezwa na vyombo vyake vya dola ye ye amekaa kaa kimya halafu anajitokeza MTU kama wewe ambae ni mnufaika Wa mfumo unajitokeza unaanza kusifia mm nafkir uchawa ndo unaliangamiza taifa hili kifupi kunatakiwa mabadrko makubwa Sana ya mfumo Wa uongozi nchi hii.
3
6
68
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
Naamu ndo maneno wanayo takiwa kuambiwa sahz CCM haya
1
8
67
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 months
@MsigwaPeter Njaa kitu kibaya Sana unaonaje uachane na neno mchungaji Mana unanajisi Hilo jina tafadhari una ndimi mbili tofauti
8
2
60
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 months
@ComradeKawaida @ccm_tanzania Umemwambia waziri mwenye dhamana mawasliano unapendekeza mtandao wa Twitter marufu kama x uzimwe Tanzania naww unatwiter huku uku unakotaka kuzimwe mamaako mwakani atarudishwa kizimkazi kwa kishindo sie wa Tanganyika sio wajinga sbr mda ufke
1
5
58
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Hakika jeshi la police Tanzania limepoteza sifa ya uadilifu katka utendaji wake wa kazi haiwezekan unfanyie mtu unyama wa kiasi hicho hata kama anakosa alilokosea lkn sio kumdharirisha mtu kiivo wako wapi watu wa haki za binadam mbona watu wanaumizwa na kudharirishwa kiivo.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
2 years
Ukatili Polisi‼️ 2/4 Shuhuda wa ukatili wa polisi wakati wa ukamataji wa watu waliotuhumiwa kuwa majambazi anaeleza kuwa Baba yake alivyodhalilishwa akiwa uchi wa mnyama mbele ya watoto wake Victim recounts Police brutality in #Tanzania that her father was subjected to!
26
95
227
5
21
54
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 months
🤣🤣🤣
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
3 months
‼️Kumbuka LIKE yako imefichwa‼️Muwe na amani 😂na usipite bila kucheka 🤣 Bi Kizimkazi: “Nageuka chura masikio sisikii kabisa” Vijana wa hovyo: 👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
217
217
4K
0
6
57
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@SuphianJuma @TunduALissu @SuluhuSamia Kwani serikali iliyompiga risasi lisu ni ya chauma chini ya mzee ubwabwa?
0
3
54
@mhabukat
Thadei Mhabuka
7 days
@Twaha_Mwaipaya Mm naona hawa wakija hakuna cha kusema nini nikumalizana nao tu mana hata ukikaa kimya kwa lengo la kusema Bora unyamaze kama mondi alivo imba kufa uta kufa tu hatutakiwi kuogopa chochote woga wetu ndo ulio tufkisha hapa watajibiwa Madrid watakavyo kuja mpka badae tutaheshimiana.
1
1
59
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@Usalama_W_Taifa Huyo mungu amuongezee adhabu ya kaburi huko aliko muuaji mkubwa huyo alituulia vijana kama huyu na wengneo wengi huyo kwenye uongozi alikuwa anapwaya sana.
Tweet media one
13
4
51
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
🤣🤣🤣
@Ujuguhapa
Ujuguhapa
5 months
Tweet media one
41
78
1K
1
4
51
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
@godbless_lema Hawezi kukubali hata useme wao wawe 5 lisu pekeake hawatakuwa tayr
5
0
52
@mhabukat
Thadei Mhabuka
28 days
@MsigwaPeter Kwa sasa huaminiki wewe mpenda madaraka ambae ukipata madaraka husahau kuwekeza badae madaraka yakitoka unahamishia akili tumboni na njaa inahamia kichwani hauna jipya endelea kuitumikia ndoa yako mpya kaka etu kumbuka kuwekeza mana umri wako huo Uwe unabebeshwa picha kaa mbele.
4
4
51
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Hawa sio waharifu na hawana mafunzo yoyote ya kijeshi ila tatzo hapo ni kutaka kuwaziba mdomo kwenye swala la mkataba wa DP WORLD tunataka kujua mkataba ni wa miaka mingap na Tanganyika tutanufaika na kiasi gani kupitia uwekezaji huo toeni majibu sio kutumia mamlka vibaya.
Tweet media one
3
20
49
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
Tweet media one
0
2
48
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
@IAMartin_ Wao police wanafkir kuwashikiria kwa mda mrefu Hao ndugu zetu ndo Kuta fanya watu waogope kusema move Yao wanayo tufanyia sie wananchi ikiwepo na watu ndugu zetu kuchukuliwa na wao na kupotea mazima wajitokeze wajibu kwa hoja kwa hv kunaonyesha kuna kitu ww nataka kisifichuke.
0
3
47
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@halimamdee Naww unasema hvo vp hapo ulipo bungeni unapong'ang'ania upo kiuhalali?
2
0
45
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Hakika shangazi huo ndo ukweli.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
2 years
Lessons from Kenya 🇰🇪 Hakuna Tume Huru bila #KatibaMpya iliyo bora inayoweka mifumo imara ikiwemo Mahakama inayojitegemea, kupunguza madaraka ya Rais Sijui na hili wamelidaka walioenda ku-observe na kujifunza? 🧐 Tupiganie #KatibaMpya with commitment 💪🏽 #TutaelewanaTu lakini!
39
71
390
0
2
41
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
@TanzaniaOneJezi Hakika huenda nchi ingekuwa imekomboka tayri kutoka kwa mikono ya hawa mahalamia
0
1
47
@mhabukat
Thadei Mhabuka
10 days
@Jambotv_ Alie sitisha huduma hzo ni serikali ya CHADEMA iliyo kuwa madarakani mwaka 2021 hadi 23/08/2024 hongera CCM kwakuchukua maamzi hayo yaliyo kuwa yamesitishwa na CHADEMA
1
9
47
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@ExMayorUbungo Mharibifu wa uchaguzi wetu 2020
Tweet media one
10
3
44
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
@tanpol @TBConlineTZ @ITVTZ @MwananchiNews @Mwanahalisitz @Nipashetz @millardayo Kwanini msiache ccm wakawa wanasimama wenyewe bila kuwasaidia kwanini mnakimbilia kuwakamata watu wanao kosoa viongozi waliopo madarakani ushauŕ wangu badrkeni msikubali kutumika kisiasa kumbukeni kuna leo na kesho kwa katiba ya Tanzania 🇹🇿 kuandamana kwa amani sio kosa.
2
7
45
@mhabukat
Thadei Mhabuka
15 days
@Aduiwayanga Tanzania yetu wajinga wamebaki wachache Sana huenda niwewe pekeako
7
1
46
@mhabukat
Thadei Mhabuka
14 days
Hivi kuna mda unaweza usiamini hivi mambo haya yanatokea Tanzania kweli? Inasikitisha sana kifupi inatakiwa jeshi la police lifumuliwe liundwe upya kuna shida sana kwa watu wa kitengo hicho katka utaftaji haki.
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
14 days
GERALD IBRAHIM SHUJAA ALIYETEKWA NA KUPOTEZWA KWA KOSA KULISAIDIA JESHI LA POLISI. Gerald Ibrahim maarufu kama SERIKALI ni mkulima na mfanyabiashara pia ni mkazi wa Kijiji cha Mpeta, Wilaya ya Uvinza, Mkoani Kigoma. Mwaka 2018 yalitokea mapigano baina ya wananchi na Jeshi la
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
402
631
3K
1
17
46
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 months
@ComradeKawaida Usipost kitu chochote huku x tafta sehemu kupost Mambo yako anza kuzoea mapema.
0
0
44
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@RealHauleGluck @rollymsouth Ww pekeako na nduguyo ndo hamuelewi umhm wa katba mpy
Tweet media one
2
6
42
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@PMadeleka @SuluhuSamia Ulisimamia kwenye ukweli sku zote ulipaza sauti juu ya swala hili leo naona mkuu wa nchi analiongelea hongera kaka madereka
1
0
41
@mhabukat
Thadei Mhabuka
7 months
@__abdulazack @Manka_Komu Maandamano ya kumsubiri makonda mpka kumpokea yalitumia masaa mangapi je hapo hawakupoteza hela na ikiwa huyo boda boda kila saa anaingiza 15,000 manaake kwa sku anaingiza 150,000 Mara kwa mwezi 4,500,000 he ni kweli hayo ndo maisha ya boda boda? Acheni kupika vitu via uongo.
3
9
41
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
Kiongozi wangu anaonyesha tabasamu kama hajatengenezewa kesi ya mchango.
Tweet media one
0
10
39
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Hakika tumefika kubaya
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
2 years
Ukatili Polisi ‼️ #Tanzania Huyu ni shuhuda wa tukio la ukamataji wa watu waliotuhumiwa kuwa majambazi Serengeti na baadaye kuuawa. Binti huyu walitaka kumlazimisha afanye mapenzi na Baba yake, huku baba alipigwa vibaya akiwa uchi wa mnyama mbele ya watoto na baadaye kuuawa 1/4
177
397
1K
1
14
38
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
@Mchambuzi5 Mungu atasimama nawe mpaka ufanikishe zoezi hilo yuwajue wahuska wa mchoro wa kesi ya kiongozi wetu asie na makuu
0
1
38
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Nchi hii inatakiwa mabadrko haraka sana
@godbless_lema
Godbless E.J. Lema
2 years
Huu ujasiri wanapewa vijana wa CCM na SpikaTulia utaleta mauaji Nchini.Hii ni hatari sana.Tanzania kuna Sheria zinazo endesha Nchi. Kauli hii inapaswa kukemewa vikali sana kabla haijaleta madhara. Imagine huyu ni Spika wa Bunge. Tuna safari ndefu sana kama Nchi
165
126
619
9
8
37
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 months
@tanpol Mbona viongoz wenu wanakopa kila kukicha wanakopa na hamuwambii jmn kuwa wasizieishe kukopa
3
2
38
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Hakika freedom is coming to morow navutiwaga sana na wimbo huu na vibe la chama changu.
@VitusNkuna
Vitus Nkuna
1 year
Freedom is coming tomorrow!. Hapa ni mida hii Mkutano wa hadhara wa CHADEMA Iringa Mjini. #KatibaMpya #PeoplesPower
7
70
276
0
5
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Na huo ndo ukweli shida ya huyu nape anauchukia ukweli hapend kuambiwa ukweli
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
2 years
Mbona waziri Nape anavyobrock watu hachukuliwi hatua yoyote, nchi hii imepata mawaziri mizigo hawawezi kutupeleka mbele.
Tweet media one
39
20
215
1
7
36
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 months
@Jambotv_ @MsigwaPeter @ChademaTz @freemanmbowetz Msigwa jamn hadi sasa hajajua yuko CCM au CHADEMA mana anakuwa kwenye jukwaa LA CCM lkn anakuwa anaihutubia CHADEMA mda wote hatuambii CCM inampango gani na kutunasua wananchi katika maisha haya magumu tunayoishi.
3
4
38
@mhabukat
Thadei Mhabuka
6 months
@DChevichenko @sukununu01 @IAMartin_ @tanpol Naamu naona bado chawa mnaendelea kunipendekeza pa1 na rais kusema hataki chawa.
1
0
37
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Tutashinda tu sisi wananchi tuko nyuma yako ndugu yetu.
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
1 year
Nay wa Mitego amefunguliwa kesi ya uchochezi, kwenye suala la uvumilivu wa kukosolewa Serikali ya SAMIA imekata Shanga.
19
142
592
0
10
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
8 months
Hata mimi nitaandamana bila kukosa
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
8 months
Mimi nitaandamana wewe Je......? 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐢𝐭𝐚𝐤𝐚 𝐒𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢 1. Kuondoa Miswada mibovu mitatu bungeni 2. Kupunguza gharama za maisha 3. Kusikiliza na kuheshimu maoni ya watu 𝐙𝐢𝐦𝐞𝐛𝐚𝐤𝐢 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝐭𝐢𝐬𝐚 (𝟎𝟗) kuelekea maandamano ya amani tarehe 24 Januari 2024.
Tweet media one
132
184
1K
2
5
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 month
@ExMayorUbungo Sema hofu yangu Mambo haya yanaonekana kuwa na Baraka za watawala toka juu hv my rais tarifa hizi hazipati? Au amewaamini Sana wazir wa Mambo ya ndani na IGP juu ya kauli zao za kuwa hakuna utekeji nchi iko salama Mambo haya yanaumiza Sana juzi tu shadrack chaula katekwa.
1
6
36
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@IAMartin_ Ngoja nichelew kulala labda nitajua chochote
0
0
36
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Nakielewa sana chama hicho
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Watu zaidi ya ELFU NNE walifika Shinyanga kushiriki na BAVICHA kuadhimisha siku ya vijana Duniani. Hakuna aliyelipwa posho, mavazi (sare), nauli, chakula, malazi. Hakika CHADEMA ni chama cha mfano. Tofauti na wapinzani wetu, bila kusombwa na posho, hawatokei. Nguvu ya umma! 👊🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
111
773
1
9
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Duhuu mcha mungu mnyenyekevu akiwa kwenye majukum yake
@KumbushoDawson
Kumbusho Dawson Kagine
4 years
"Baki na MAVI yako nyumbani"- Rais @MagufuliJP Rais Magufuli akiwambia wananchi wawe wanabaki na MAVI yao nyumbani kwao, alafu sisi anatutaka tukosoe serikali yake kwa STAHA. Nini maoni yako???
96
117
553
1
8
34
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 months
@JamiiForums Ndugai alituonya hatuskusikia kwanini kila sku tuw wakukopa jman serikali na viongoz wake wanatakiwa wajitathimini kwan hatua nyingne mbadala ya Mbadal wa kupata HeLa tunaumia Sana wananchi kila sku mikop kwanin wasipunguze hata mishahara Yao na watendaji wai kunusur Mambo hayo.
1
2
34
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Haswaaa nipo upande huu
@Godwin_Godwin3
GODWIN GWAVALE
2 years
CHAGUZI HURU. Katiba itoe mwongozo wa ukuaji wa demokrasia kwa kuweka Tume Huru ya Uchaguzi itakayosimamia na kutekeleza majukumu yake pasipo kuingiliwa na mtu, ama Taasisi yoyote ya kiserikali. Itasaidia kuondoa Viongozi wasiojali Wananchi. #KatibaMpya #WenyeNchiWananchi
Tweet media one
1
1
2
0
1
32
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
@TanzaniaLeaks Kuumwa kwa binadam ni kawaida ila ya mungu ni mengi tunamwachia hata akiamua lile wanalopenda wa Tanzania 🇹🇿 wengi sawa tu mana mungu anaipenda nchi hii ila wao wakiingia pale ikulu wanajisahau sana.
1
0
34
@mhabukat
Thadei Mhabuka
17 days
@RashdaZunde Tafta mtu mngine wa kuongea nae kwani lazima uongee nayeye?
7
2
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
9 months
Tweet media one
0
0
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
28 days
@BabaMwita Wakili msomi kwa sahz mtu mwenye ushawishi mkubwa kwa wanchi wa nje ya chama na ndani ya chama ni lisu pekeake wala chama kisipindishe maneno kila mtu anajua umhimu wa mtu kama lisu nchi hii kwa sasa.
2
3
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Kwasasa serikali iliyopo madarakani imeshapotez ushawishi kwa wananchi kwa aslimia kubwa san kulko mda mngn wwt toka ilipo ingia madarakani hasa kutokana na sakata hili la bandari kubinafsishw kwa mkatab usio wazi kama huu na kutumia nguvu kuwaziba mdom wale wakosoaji wa mkataba.
Tweet media one
0
14
35
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 months
@MwanzoTvPlus Nafarijika kusikia mtu makini kama huyo kaka yangu Boniface kajujumele mwambukusi kupitishwa jina lake.
3
0
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
10 months
@tanpol @TuliaAckson Mna ubaguzi sana nyìe mnajiita jeshi la kulinda raia na mali zake kumbe mpo kwaajiri ya kulinda ccm na watu wake mnatakiwa mjitafakari.
0
3
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@IAMartin_ Anatakiwa ahamie Burundi 🇧🇮 yeye sisi wananchi wenye nchi tunasema tozo hatutaki tusipangiane na atuambie hao watu twaweza likichukua tafit kwanani kuhus wananchi kukubali tozo
0
0
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@eastafricatv @SuluhuSamia Lita 45 kwa sku ng'ombe anakunywa jmn?
Tweet media one
3
1
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@PMadeleka Kaka peter madeleka umeongea ukweli wako ww hata kesho utaondoka duniani utaenda peponi 1kwa1 binafs nakuelewaga sana mungu akujalie afya nja zaidi ili tuje tuone maombi ya mungu yanavyojibiwa kwakuwa adhibu hao wote waliotumika vibaya wakiwa mamlakani.
1
3
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Jeshi la police Tanzania inatakiwa lifumuliwe liundwe upya
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 years
Hii NCHI ya ajabu sana.....Polisi wanakamata watuhumiwa wanaodai ni wa ujambazi, alafu wanawapeleka Porini na kuwapiga RISASI. Serekali ya Rais @SuluhuSamia bado wako kimya mpaka sasa, ndg wamesusia MAITI hizo mpaka sasa. VITISHO VINAENDELEA.
Tweet media one
5
23
133
6
7
32
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@IAMartin_ Nape amejisahau madaraka yanawalevya ccm wakiwa nayo inaumiza san kuona wale tulio watetea kipindi wanashuughulikiwa wametugeuka nao bad ya kupata madaraka
3
2
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
9 days
@TuliaAckson Mh madam speker hv nikweli umezuia mjadala wa utekaji usijadiriwe bungeni juzi au kwavile nyie familia zenu zinalindwa kumbukeni wa nao tekwa na kupotezwa ni wa Tanzania na ndo walipa Kodi ambazo nyie mnalipwa mishahara vile vile kumbka madaraka huwa yanapita fkirieni kwa makini.
1
6
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 months
@Jambotv_ Ole wao wajaribu sahzi watajuta tutalipa kwa kadri watakavo kuwa wamefanya
0
5
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@SuluhuSamia @WilliamsRuto Unashiriki sherehe za wenzio huku umesahau huku mnakandamiza upinzani mnaminya demokrasia mnakuwa mnasifia chaguzi za wenzenu kiukweli mh raisi mnakitu cha kujifunza maneno yale uliyosema hata tusipowapigia kura ccm mtaunda serikali maneno yale ulitakiwa uyatubu mh raisi.
0
0
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Watajifanya hawayaoni hayo watapita bila kusoma hapo
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Ndugu @hamdu_shaka huyu ni mwenyekiti mstaafu wa UVCCM wilaya ya Tarime, Godfrey Francis, wakati anazungumza haya, ulikuwa bado upo nyumbani kwenu Oman? Hii nchi CCM mnaongoza kwa ubaguzi wa kisiasa na kiitikadi. Mmeliharibu taifa letu, linahitaji marekebisho ninyi mkiwa pembeni.
17
89
409
0
13
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
8 days
@tanpol @ITVTZ @TBConlineTZ @Nipashetz @MwananchiNews @Mwanahalisitz @Jambotv_ @millardayo @Hakingowi Nafkiri jeshi la police jikiteni katika utaratibu wakufanya kazi ya kulinda raia na Mali zake na sio kutumika kisiasa kama mnavofanya sasa mana watu wanao potea asilimia kubwa inaonyesha wanachukuliwa na nyie wenyewe halafu mwisho wa sku watu hawaonekani tena hata vituon hawapo.
0
2
33
@mhabukat
Thadei Mhabuka
7 months
@EduTalkTz Watu wasio julkana kupita bila kupingwa kuengua wapinzani kuweka fom 1 ya uraisi ili asichalenjiwe mkurugenzi nimekupa mshahara gari ya kutembelea unapolice mahakam una isiraha unatangaza mpinzani ameshinda kifupi huyu ndo alie haribu nchi yetu meirudisha nyima hatua99 katka 100
8
1
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Heri ya kumbukizi ya kuzaliwa kiongozi were kaka etu mungu aendelee kukupa afya njema zaidi hakika wewe ni kiongozi usiyekubali kuyumbishwa.
Tweet media one
0
7
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@ExMayorUbungo Jamaaa lile kilikuwa dikteta kweli tena lenye roho mbaya sana.
1
0
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
Msimamo kama huu utafanya police kuto endelea kugeuza silaha zetu na kutupiga
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
4 months
Hongereni sana Watu wa Kijiji cha Komela kaskazini, Marangu mkoani kilimanjaro, mmekinukisha hadi askari wa KINAPA waliofanya Mauaji wamekamatwa.. Huu ndiyo uwe moto na msimamo wetu anapo uwawa mtanzania mwenzetu. Kazi kwenu Watu wa Nyamongo
70
202
1K
0
11
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
Hatimae police wamesema mhaini mzee wilbrod slaa adhaminiwe.
Tweet media one
0
10
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Kiukweli nchi hii watu wameumizwa sana
2
5
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
@swahilitimes Nyie wandishi wa habari akili mnawekaga wapi kwanini mnasema raisi ametoa hela au ametoa kitu Fulani mnamanisha ametoa mfukoni mwake sio Kodi zetu sie wananchi kwanini mnaandka hbr kama ndo mnajifunza kuandka vile kwaanini mnanadika kichawa hvo?
6
2
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
@TanzaniaLeaks Hivi hawa waliopo madarakani ni watawala? Au ni viongozi kama ni viongozi mbona hawataki kutuskiliza wananchi tunataka nini
4
0
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
Kwanini watofautiane mitazamo kati ya wale walio stafu na ambao wapo madarakani
Tweet media one
1
9
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
Mambo haya yanaumiza sana kiukweli kama watawala wataamua kulinyamazia kimya hili jambo kuna umhm wa kila mtu kufanya dolia kuwasaka hawa wtu wanao itwa police Tanzania 🇹🇿 kuanza kulipa visasi mana itaonekn upole wetu unatuponza mpk wanakuwa na mamlka hayo dahaa inaumiza sana.
@PatrickJAssenga
Patrick John Assenga
2 years
Raia wanauliwa na POLISI majumbani mwao na VITUONI, lakini Rais @SuluhuSamia umekaa kimya na hakuna hatua yoyote uliyochukua mpaka sasa. Hapa ni sawa na umebariki MAUWAJI haya 🤔🤔🤔
Tweet media one
15
46
245
2
7
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@MwanzoTv Nahis hana akili timamu huyo waziri hvi mnaumia sana mnavoona wananchi tunajua upigaji wenu mnaanza kuibuka kusema huko mtaani kila mt anajifanya mchumi badilikeni ili muongoze kwa amani kama haiwezkn mtaendelea kuambiwa ukweli tu bila kuogopa vitisho vyenu kifupi tumewachoka.
Tweet media one
4
4
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@Rungekuta69 Jmn jibu kamili ni lipi katka swali hili mana mm niliipenda nipate jibu sahihi mana nimiongoni mwa vitu vinavyo niacha was kila sku kama yupo mwenye jibu sahihi tafadhari jmn
11
0
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
Uhuru wa maoni wanna uimba kuwa upo upo scheme gani sjawahi kuona kosa LA huyu jamaa mnamuonea tu mnapenda watu wanao sifia mda wote kwa viongozi.
@DunyaRango
Dunya 🌑🌑
5 months
Tanzania ukitoa maoni kama haya unatekwa! Huyu ni mkazi wa mbeya katekwa na police kwa kukodoa na kusema ukweli uzembe wa serikali CCM
23
94
315
2
15
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
18 days
@SuluhuSamia Mh raisi pole na majkum kuna ishu ya utekaj swala hili linachafua Sana sura ya nchi wazir wako mwenye dhamana alisema hakuna utekaji lkn watu wanazidi kupotea kumbk nao wanawatu wanao wategemea binafsi hili linaniuma Sana kama mwananchi naww umekuw kimya unaamini kweli ni drama?
0
5
31
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
@Getrude_mollel @420Cousin @__abdulazack Sie tunao changia moyo wetu mweupe kabisa Ila mnaumia mmesahau kuwa nyie mpo madarakani zaid ya miaka 60 lakn bdo Barbara Changamoto madarasa hamna maji kero madawati madawa mahospitali hamna wakati miaka yote mnakusanya Kodi wenyewe hebu jitathimini kabla ya kwanza.
3
1
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
@Wakazi Walio taka kumuua wamekufa wao yy bdo anaishi
1
0
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
9 months
@Getrude_mollel Mimi nitakichangia asbh mchana jioni mana furaha yangu nikuona chama kinasonga mbele halafu mchango ninao toa ni jasho langu wala si lenu nyie chawa wa kusifia vongozi hadi wakifanya kitu tofauti.
3
0
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@Fredric04571505 @samwel_ek Hata mfanye mazoezi mwezi mzi.a muiamshe yanga usku wa manane yanga wakiwa wamekesha bar wanakunywa pombe watawashuhurkia watarudi kuendelea kunywa pombe
2
1
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
@YerickoNyerereT Dahaaa pole yake suluhusho ya Mambo yote haya ni katiba mpya tuungane kwa pa1 tumaandamane kwa wingi tudai katiba yetu.
3
2
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
@Jambotv_ @Nnauye_Nape Huyu nae huaminiki hata kidg kuna mda anazikana kauli zake mwenyew
Tweet media one
1
1
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
@Mchambuzi5 Kaka huyo hana madhara alishajulkana kitambo mm naona waende tu mm nabaki na chama changu ambacho ninaimani nacho
5
0
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
26 days
@MsigwaPeter Msukuma aliwahi tuambia ww wanakulea kama unabisha ujitokeze hukuweza jitokeza.
0
4
30
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 months
@Jambotv_ Zito ametukosea Sana katika kuna kitu amekimbilia kwenda kukificha huko licha ya kuwa nae amekuwa mtu wetu wa karibu katka kupambania afya ya ndugu yetu irejee katka hali ya kawaida lkn tyr kitendo alichofanya kinaruhusu kundi linalo hisiwa kuhusika liwe sehem yetu wataka haki.
2
0
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@lifeofmshaba Kuna shida kwenye mfumo mzima wa uongozi huko
3
3
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
1 year
@TuliaAckson Hatukupendi hata kidg mana ww ni speaker wa hovyo kulko wote walio wahi kuhudm bungeni
2
4
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
5 months
@Jambotv_ Kipindi cha Miaka ya tawala 4 amefanya makubwa he kipindi kingine walio kuwa wanaongoza hii nchi ni serikali ya chadema? Kiijumla sioni kitu wanacho fanya bungeni zaidi ya kumsfia raisi kumwona kama mungu.
3
3
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
6 months
Hahahaaaa
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
6 months
HAWA TUNAHAMA NAO 👜🦍⚽KAMA TULIVYOSEMA NDO TUMEANZA LIGI🤭 #NextMatch Ihefu fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️28.02.2024 🕓Saa 8 Mchana 🏟️Ccm Liti Nb: Utaratibu ni uleule, Mapigo ni yaleyale na Mwendo ni uleule "Shujaa hasaliti chama" 🦍💪 #mapigonamwendo
Tweet media one
134
151
2K
0
1
29
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@SuluhuSamia Mpka sasa hakuna box la kura feki likiloingizwa wala kutekwa mgombea yeyote wa upinzani mh rais kuna kitu cha kujifunza hapo kwani nchi yetu vijana tulio wengi tumekata tamaa ya kupig kura mana tunapiga nyie mnasema wazi kuw hata ukipiga kura kungne sisi tutaunda serikali tu.
2
2
26
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
Hili jeshi la police limepoteza sifa ya kuwa walinzi wa wananchi na Mali za wemekuwa maadui wauwaji wa raia wasio na hatia kiukweli mpka wananipa hasira Sana haha Mimi nionapo watu wenye dhamana ya kulinda raia ndo wanaua raia inaumiza Sana.
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
4 months
HABARI MBAYA NA YA KUSIKITISHA KUHUSU MAUAJI YA NYAMONGO, TARIME. Leo mwili wa marehemu Emmanuel Nyakorenga mkazi wa kijiji cha Kewanja ulipasuliwa na kufanyiwa uchunguzi. Madaktari na Polisi walioshiriki zoezi hilo,Walitoa risasi ndani ya mwili wa marehemu Kisha wamekimbia na
126
232
792
0
7
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
2 years
@godbless_lema Huyu alikuwa nikiongozi katili zaidi kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
6
2
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
4 months
@MariaSTsehai Shangazi wa taifa amesema mm nani nipinge nitakuwa nimewadharau wazazi wangu huyu MTU aitwaye lisu ni mpango wa mungu.
1
5
28
@mhabukat
Thadei Mhabuka
3 years
Mm nina uhakika kuwa huwezi kuwa sehem ya kupanga kufanya ugaidi ili nchi istawalike kama wasemavyo wao mwisho wa sku haki utaenda kusimama tu
Tweet media one
0
7
28