Nipashe Tanzania Profile Banner
Nipashe Tanzania Profile
Nipashe Tanzania

@Nipashetz

Followers
206,258
Following
5
Media
50,128
Statuses
54,543

The Guardian Ltd Home of Great Newspapers Mikocheni Light Industrial Area P.O. Box 31042 Dar es salaam Tel:+255 745 700 710 customerrelations @guardian .co.tz

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 month
📢📢📢 OFA OFA OFA Kwa wasomaji wetu Je unataka kusoma gazeti lako la Nipashe au The Guardian BURE mtandaoni? Basi fanya yafuatayo Comment neno “Nipashe” katika kurasa za Nipashe ( @NipasheTz ) kwa Facebook na Instagram, na utapokea maelekezo DM namna gani utaweza kujisomea
Tweet media one
4
1
11
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila amesema kuwa anaunga mkono mabadiliko ya Katiba Mpya akieleza, Katiba ya sasa inasema Rais akifa Makamo ndiye anakua Rais, amedai inawezekana akapatikana Makamu wa Rais mchawi akamroga Rais ili yeye awe Rais wa nchi.
Tweet media one
488
269
3K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI BAADHI ya wanafunzi wa udaktari kutoka Chuo Kikuu cha Tiba, Sayansi na na Teknolojia (UMST) cha Khartoum, wamefurahishwa na mapokezi waliyoyapata Tanzania na kueleza kuwa ni matarajio yao  kuwa watamaliza masomo yao ya vitendo salama./
Tweet media one
73
73
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
21 days
#Video Edger Mwakalebela maarufu kama Sativa ambae anadaiwa kutekwa Dar es Salaam siku chache zilizopita amesema baada ya kutekwa alipelekwa kituo cha OysterBay. Sativa ameyasema hayo wakati akiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mpimbwe alipokuwa akipatiwa matibabu kabla ya
528
787
3K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MWANAFUNZI wa kidato cha nne Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST), Madeleine Kimario, amechangisha Sh. milioni 100 kwa ajili ya kusaidia mazoezi tiba kwa watoto wenye tatizo la usonji.
Tweet media one
169
117
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI BAADHI ya wasomi, wazazi na wadau wa elimu nchini wameeleza mtazamo wao kuhusu wimbi la sasa la wahitimu wengi wa kidato cha nne, kuachana na masomo ya kidato cha tano na kutimkia vyuo vya kati kusomea fani mbalimbali. /
Tweet media one
118
72
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#NUKUU “Mimi sijawahi kuwa na mkwe anaitwa @zittokabwe wao wanafanya starehe zao kichakani huko wanaendelea, sina mkwe anawezwa kuitwa hivyo na sitegemei kama atakuwa mkwe katika familia yangu." Abdallah Bulembo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
387
69
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI KAPTENI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Exavery Mroso (28) kutoka Kikosi cha Jeshi (603 KJ) cha Anga Kituo cha Banana,Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani kwa madai ya kuingilia mfumo, kubadili neno la siri na kuwazuia viongozi kufanya kazi./
Tweet media one
73
65
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele ameomba kuondoka kwenye kikosi hicho na kwenda kutafuta changamoto nyingine huku klabu ya Kaizer Chief ikatajwa kumtaka Mkongomani huyo. /
Tweet media one
58
58
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO UONGOZI wa klabu ya Yanga wapo ‘kazini’ kusaka Kocha Mkuu wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa Mtunisia, Nasreddine Nabi huku Mkongomani Florent Ibenge akipewa nafasi kubwa kutuwa kikoni hapo. /
Tweet media one
24
45
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI WANANCHI wa kijiji cha Miyuguyu kata ya Kiloleli mkoani Shinyanga, wamechangishana na kutafuta nyumba kwa ajili ya mwalimu wa kike aliyejulikana kwa jina la Getrude Missana aliyekuwa anaishi katika ofisi moja iliyopo katika shule ya msingi Miyuguyu.
Tweet media one
103
72
2K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MAHAKAMA Kuu jijini Dar es Salaam, imeamuru mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya sheria katika Chuo Kikuu Tumaini Dar es Salaam (Tudarco), Mwajuma Malulu, kurudishwa chuoni baada ya kufukuzwa kwa madai ya kukiuka kanuni za mitihani. /
Tweet media one
35
49
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#HABARI Chama cha @ACTwazalendo kimebainisha msimamo kuhusu uwezekano wa kumpa nafasi ya kuwa mgombea wake wa urais, aliyekuwa kada wa @ccm_tanzania @BenMembe
Tweet media one
151
61
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
6 months
#MaandamanoCHADEMA MZEE Gregory Gabone (69), akisubiri maandamano karibu na ofisi za Umoja wa Mataifa leo. Gabone ambaye ni Mwenyekiti wa wazee wa CHADEMA Mkoa wa Kagera, ametokea kijijini Bugene, Karagwe mkoani Kagera kushiriki maandamano hayo leo.
Tweet media one
29
164
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
2 years
Tunawatakia Jumapili Njema
166
402
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
2 years
#HABARI WAKAZI wa Jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil./
Tweet media one
282
111
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI KIKOKOTOO cha mafao asilimia 33 kimeendelea kuwa mwiba huku wabunge wakihoji serikali kwa nini kikokotoo hicho hakifanani na kile kinachotumika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Usalama wa Taifa./
Tweet media one
35
39
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO KIUNGO wa Azam FC, Sospeter Bajana ambaye anatajwa kuwaniwa na Simba amesema kwamba yupo kwenye mazungumzo na timu zote mbili na anachoangalia ni maslahi zaidi. /
Tweet media one
5
14
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI PURUKUSHANI za vuta nikuvute zimeibuka kati ya polisi na Wakili wa Kujitegemea, Baraka Mkama, katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya wakili huyo kuzuia askari kuwakamata wateja wake./
Tweet media one
38
46
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI SERIKALI imelieleza Bunge kuwa hairuhusu uraia pacha kwa watu wazima isipokuwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18./
Tweet media one
91
32
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI RAIS Samia Suluhu Hassan, amepiga marufuku uuzaji wa chakula nje ya nchi huku akiagiza kila Mtanzania kuhifadhi chakula, kwa ajili ya kukabiliana na uhaba wa chakula na mfumuko wa bei unaoendelea kupaa ulimwenguni kote. /
Tweet media one
81
34
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
#NipasheBUNGENI Kamati ya Maadili ya Bunge: Tulimuuliza CAG Assad kama ataacha kulitumia neno udhaifu akasisitiza ataendelea kulitumia na hakujutia kulitumia dhidi ya Bunge. CAG hakuomba msamaha wala kujutia na akasisitiza ataendelea kulitumia neno hilo. #NipasheMwangaWaJamii
Tweet media one
176
189
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI Magari 7 yaliyojaza askari wenye silaha za moto, mabomu pamoja na mbwa yamezingira Ofisi za @ChademaTz Kanda ya Victoria jijini Mwanza kuzuia maombi ya kumuombea Mwenyekiti wa CHADEMA, @freemanmbowetz , yaliyopangwa kufanyika katika ofisi hizo./
Tweet media one
56
150
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
“Embu jifikirie umenikamatia ng’ombe wangu 100, yani naona zinaenda sina uwezo wa kwenda Polisi kuna bunduki, haya nina kosa unazichukuwa ng’ombe zangu unaziuza mimi ninarudi masikini halafu baada ya miezi sita unaanza kunihudumia na fedha za Tasaf, hiyo ni akili gani jamani."
Tweet media one
33
51
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
#CAGBUNGENI Prof Assad: Hatujakurupuka kufanya mkutano huu hapa ofisini kwetu. Tulihisi mapema hatutakaribishwa bungeni. Tumeongea nanyi hapa kwetu, hata kama ninyi waandishi wa habari hamtatoa hiki tulichozungumza, sisi tutatoa kwa umma. #NipasheMwangaWaJamii
Tweet media one
68
193
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
10 months
#HABARI MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Tundu Lissu, ameondoka nchini juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi, nchini Kenya, ambako alianza rasmi safari ya kwenda katika mataifa ya Ubelgiji na Marekani. Lissu, atakaa nje ya nchi kwa
Tweet media one
241
60
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge Mbogwe, Nicodemus Maganga, kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Tweet media one
Tweet media two
129
86
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI JESHI la Polisi mkoani Arusha, linamshikia Blandina Fred mkazi wa Kijiji cha IIkirev, Kata ya Olturoto wilayani Arumeru, kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma kisu mpangaji mwenzake, Erick Adam kisa shilingi 1000 ya mchango wa umeme. /
Tweet media one
39
26
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili JESHI la Polisi mkoani Mwanza linatarajia kumfikisha mahakamani Mbunge wa Nzega Vijijini (CCM), Dk. Hamis Kigwangalla kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi mlinzi wake, Jumanne Omary (66). /
Tweet media one
75
45
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amesema suala la marekebisho ya katiba haliepukiki Tanzania kwani Katiba sio jiwe au amri ya Mungu.
Tweet media one
36
170
981
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakiko tayari kwenda kwenye uchaguzi mkuu bila Katiba mpya, sheria mpya ya uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi./
Tweet media one
35
56
1K
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI JESHI la Kujenga Taifa (JKT), limetangaza kuchukua wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita mwaka 2023 wa shule za Tanzania Bara kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria baada ya kuboresha miundombinu ya kambi zake./
Tweet media one
24
27
990
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI ZAIDI ya walimu 200 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara wamewasilisha katika ofisi ya Ofisa Utumishi Wilaya, barua za maombi ya kujiondoa katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT) huku wengine 120 wakijiondoa katika chama hicho.../
Tweet media one
61
55
997
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amepokea ripoti ya awali kuhusu hali ya mashirika ya umma, akimpa kazi ya mwisho Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, kumalizia tathmini ili achukue uamuzi mgumu. /
Tweet media one
63
25
972
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania Sweden, Wilbroad Slaa, amesema haoni sababu inayowezesha wabunge 19 wanaoongozwa na Halima Mdee kuendelea kuwapo bungeni ilihali chama chao kilishafanya uamuzi dhidi yao. /
Tweet media one
Tweet media two
27
33
962
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MKUU wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amemjia juu Mwenyekiti Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe juu ya kauli zake za ukosoaji katika sakata la Mkataba wa uwekezaji wa Bandari na kueleza kuwa hiyo ni hatua kubwa..../
Tweet media one
118
22
964
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI BALOZI Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji na Kampuni ya DP World ya Dubai./
Tweet media one
50
35
953
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
2 years
#HABARI MWENYEKITI wa @ChademaTz , @freemanmbowetz leo ameifahamisha Mahakama kwamba wanakosa haki ya kula chakula wawapo Mahakamani (Ubungo) na gerezani kwa miezi mitano./
Tweet media one
41
108
913
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO KOCHA Mkuu wa Simba, Robert Oliveira ‘Robertinho’, amesema mipango yake ni kuona Simba inafanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa na sasa anaumiza kichwa kuona namna gani anakiandaa kikosi chake kwa ajili ya michuano hiyo. /
Tweet media one
8
18
926
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amesema suala la marekebisho ya katiba haliepukiki Tanzania kwani Katiba sio jiwe au amri ya Mungu. /
Tweet media one
32
124
908
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI DEREVA  wa basi la Saratoga linalofanya safari kati ya Dar es Salaam na Kigoma, Yassin Shabani, amejeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Pwani, Tumbi, baada ya kupigwa na askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ)./
Tweet media one
53
25
914
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO LIONEL Messi amethibitisha kuwa “hafikirii” kama atacheza Kombe lingine la Dunia baada ya kuiongoza Argentina kutwaa ubingwa wa mashindano hayo mwaka jana nchini Qatar. /
Tweet media one
1
14
915
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI Diwani wa Mbagala Kuu Shabani. Othman Abubakari (CCM), amefariki dunia katika moja ya nyumba ya kulala wageni iliyoyopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
263
66
887
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI DEREVA wa Gari la kubebea wagonjwa katika Hospitali Maalumu ya Magonjwa ambukizi ya Taifa Kibong’oto iliyopo wilayani Siha Aliru Tibiika, amelalamikia kitendo cha kupigwa makofi na Askari Polisi akimtuhumu kuwa alitaka kumgonga. /
Tweet media one
28
27
907
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mpango wa kutoshiriki uchaguzi wa madiwani wa kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi./
Tweet media one
39
42
895
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeelezwa kuwa Happiness Fredrick, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kabla ya kunyongwa na anayedaiwa mpenzi wake, alimtumia mama yake ujumbe mfupi kwa simu wamuombee yupo kwenye wakati mgumu.
Tweet media one
26
33
874
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
10 months
#HABARI WAKILI wa Utetezi, Peter Kibatala katika kesi ya mauaji ya dada wa marehemu Erasto Msuya ‘Bilionea Msuya’, Aneth Msuya, amedai mahakamani wana taarifa aliyekuja kutoa ushahidi kama dada wa kazi wa marehemu si Getruda Mfuru, bali ni askari kutoka Zanzibar. Alidai hayo
Tweet media one
36
109
869
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#TETESI DILI la kiungo mshambuliaji wa Al Ahly, Luis Miquissone, kurejea klabu yake ya zamani, Simba kuelekea msimu mpya wa 2023/24, ni kama limefikia asilimia 80, lakini shida ni maslahi binafsi ya winga huyo hatari, imeelezwa./
Tweet media one
3
21
862
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI ASKOFU Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, ameishauri serikali kuwajengea uwezo wananchi, ili waendeleze miradi iliyopo nchini ukiwamo uendelezaji wa bandari kuliko kutegemea wawekezaji wa kigeni..
Tweet media one
33
65
842
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepokea kielelezo cha gari aina ya Landrover lenye namba za usajili T 429 BYY kinachohusishwa katika mauji ya mdogo wa marehemu Erasto Msuya, maarufu Bilionea Msuya, Aneth Msuya, baada ya gari hilo kuhifadhiwa../
Tweet media one
10
26
844
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI WAJAWAZITO zaidi ya 2,000 wamejitokeza katika mbio za Mamathon zilizozinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jokate Mwegelo, kati yao saba walipata uchungu wakiwa katika mbio na kupelekwa hospitali./
Tweet media one
35
20
843
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili SERIKALI imesema nchi tano zikiwamo China, Marekani na Uingereza zimeonyesha nia ya kuwekeza kwenye ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) ushoroba wa Mtwara kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP). /
Tweet media one
62
33
828
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MGOMO wa wafanyabiashara Kariakoo, jijini Dar es Salaam, umeingia siku ya pili huku baadhi wakisema wanasubiri kikao kitakachofanyika leo kati ya viongozi wao na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,kwa ajili ya kutatua kero walizoziainisha kwa muda mrefu./
Tweet media one
3
30
820
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO WINGA wa RS Berkane ya Morocco, Victorien Adebayor, amekubali kujiunga na klabu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa ligi baada ya mazungumzo na viongozi wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam. /
Tweet media one
3
25
812
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka wa Wananchi wa Kijiji cha Ng’ambi na vijiji jirani kuacha kuuza ardhi kwa wageni kwa sababu mradi wa umwagiliaji utawanufaisha kiuchumi./
Tweet media one
87
24
804
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI WADAU wa elimu walioshiriki Kongamano la Sera na Mitaala ya Elimu, wametoa mapendekezo kadhaa ikiwamo kufuta mitihani ya kitaifa ya darasa la nne, la sita na kidato cha pili./
Tweet media one
55
19
809
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
SWALI: Zipo taarifa kwamba hauko sawa na familia yako. Kuna ukweli upi katika hili daktari? DK. SLAA: Nina watoto wawili na mama wa kwanza ambaye hatujafunga ndoa, Rose Kamili, ambao leo ni watu wazima. Baadaye nikafunga ndoa kule Canada na Josephine lakini tulikuwa...
Tweet media one
31
13
802
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili RAIS Samia Suluhu Hassan, kesho Juni 12,2023 anatarajia kuanza ziara yake ya kikazi siku tatu mkoani Mwanza yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya kimkakati, kuzungumza na wananchi pamoja na kufungua Tamasha kubwa..../
Tweet media one
34
10
802
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#HABARI Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema kuwa ataandika barua ya kuomba ridhaa ya chama chake kugombea kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajika kufanyika Mwezi Oktoba, Mwaka huu.
Tweet media one
21
50
800
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI SERIKALI imeombwa kuchapisha noti mpya zenye picha ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. John Magufuli, kwa ajili ya kumbukumbu na kuenzi kazi nzuri alizolifanyia taifa wakati wa uhai na uongozi wake./
Tweet media one
773
44
774
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MAISHA mapya ya majeruhi wa ajali ya basi la mwendo wa haraka (mwendokasi) , Osam Milanzi, baada ya kuruhusiwa kutoka hospitalini, yamegeuka kitendawili kwa ndugu, jamaa na marafiki kutokana na kupoteza kumbukumbu.../
Tweet media one
64
23
790
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI FAMILIA ya marehemu Nusura Hassan Abdallah, aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), imefunguka ikisema taarifa za kifo cha mtoto wao walizipata kutoka kwa mchumba wake, Juma Kundiya ambaye ni mwalimu wa sekondari iliyoko Marangu..../
Tweet media one
83
36
780
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#coronavirus Msanii @MwanaFA amesema baada ya kufanya vipimo vya COVID-19 amekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Ameeleza kuwa Jumanne alirejea nchini akitokea Afrika Kusini akawa hajisikii vizuri ndio akachukua uamuzi wa kupima.
65
69
767
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
"Hatukuwa na chochote cha kupoteza, ndio maana mechi imekuwa kama ilivyokuwa ndio maana nikapanga wachezaji watakaoweza kukaba zaidi kuliko kushambulia, sikuwaweka Djuma Shabani na Lomalisa" -kocha wa @yangasc1935 Nasredine Nabi.
Tweet media one
21
23
791
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema pamoja na mvua zinazoendelea kunyesha lakini bado hazijasaidia kutoa kiwango cha juu cha maji kinachoweza kupata umeme wa uhakika./
Tweet media one
113
30
780
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
Ukikutana na Mbunge wa Kawe @halimamdee na Mbunge wa Arusha mjini @godbless_lema utawaambia nini ? Funguka
Tweet media one
165
33
762
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
10 months
#HABARI MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema kabla ya Uchaguzi Mkuu na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao, kuna haja kufanya kila linalowezekana kubadili katiba ili kuwaondoa walimu kuusimamia. Amesema mabadiliko wanayoyataka
Tweet media one
71
108
778
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili MKAGUZI wa Jeshi la Polisi, Ally Babu amefunga ndoa ya kijeshi na mchumba wake, Selani Sumai ambapo tukio hilo lilikuwa kivutio kwa wakazi wa Arusha na kwa walioshiriki kutokana na kufanyika kwa matukio mbalimbali ya kijeshi ikiwamo.../
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
47
27
771
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni imeiamrisha Hospitali ya Muhimbili kuwapima watuhumiwa watatu ambao ni Noel Ndale Mushi, Kelvin Maliki Ngao na David Brayan Johnson kama wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Tweet media one
134
28
769
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI Mufti wa Tanzania, Shekhe Aboubakar Zuber, ameziomba mamlaka zinazohusika na kesi inayowakabili viongozi wa Uamsho iharakishwe kusikilizwa ili hatima yao ijulikane.
Tweet media one
Tweet media two
188
48
728
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kesho Juni 19, 2023 ataanza ziara ya kikazi ya siku saba nchini Uingereza zikiwa zimepita wiki mbili tangu alipofanya ziara kama hiyo katika nchi za Italia na Ujerumani./
Tweet media one
18
38
744
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#BREAKINGNEWS Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Kairuki, Dar es Salaam. Taarifa za awali zinaeleza kuwa alipata changamoto ya kifua na kupelekwa alfajiri ya leo Hospitalini hapo na baadaye kufariki.
Tweet media one
61
46
740
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
#CAGBUNGENI CAG: Neno 'dhaifu' naendelea kusisitiza ni lugha ya kawaida katika ukaguzi wetu. Na tutaendelea kulitumia. #NipasheMwangaWaJamii
Tweet media one
38
126
713
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#VIDEO Hali ilivyokuwa leo katika Mto Ruaha Mdogo eneo la Tosamaganga, mkoani Iringa. 📹 @vedasto_msungu
79
74
718
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI MBUNGE wa Ilala Azzan Zungu ametaka kuwepo na kodi ya uzalendo itakayokatwa katika mitandao ya simu kwa kila Mtanzania kwa siku kama chanzo kipya cha mapato kwa Serikali.
Tweet media one
684
48
695
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#Habari Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari @Nnauye_Nape amesema serikali ya Tanzania iliitaka kampuni ya Starlink inayomilikiwa na Elon Musk kuweka ofisi zake hapa nchini ili waweze kulinda data za watumiaji na kuwajibika kwa watanzania. #NipasheMwangaWaJamii
390
139
712
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
#NipasheHabari Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Husein Mwinyi, amesema amani iliyopo nchini haitokani na ukubwa wa majeshi au wingi wa askari, ila inatokana na utulivu wa wananchi wenyewe.
Tweet media one
90
107
707
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI WATUMISHI sita katika Halmashauri ya Mji Tunduma wilayani Momba wamefukuzwa kazi na wengine wawili kupewa adhabu ya kukatwa asilimia 15 ya mishahara yao kwa kipindi cha miaka mitatu baada ya kupatikana na makosa mbalimbali yakiwamo ya ubadhirifu. /
Tweet media one
15
19
698
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 months
(𝐈𝐦𝐞𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐰𝐚 𝐍𝐚 𝐂𝐡𝐫𝐢𝐬𝐭𝐢𝐧𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐤𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐞, 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐀𝐌) MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi. Amesema kwa siku anapata
Tweet media one
123
49
712
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'./
Tweet media one
278
60
676
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA), Easther Bulaya, ameliamsha upya Bungeni sakata la kikokotoo cha mafao ya wastaafu, akisema wafanyakazi bado wanalia na wanafanya kazi kwa kinyongo, kwa kuwa asilimia 33 inayotumika si haki yao./
Tweet media one
146
30
694
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#MICHEZO UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema upo makini katika mchakato wa kusaka kocha Mkuu na wameweka malengo ya kumpata kocha mwenye uwezo mkubwa na aliyefanikiwa kupata mataji Afrika. /
Tweet media one
3
9
694
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
10 months
#HABARI MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekataa pingamizi la Mbunge wa zamani wa viti Maalum (CCM), Vicky Kamata la kupinga mtoto wa ‘mumewe’, asiteuliwe kuwa msimamizi mirathi na mali za marehemu, Dk.Servacius Likwelile zenye thamani ya zaidi ya sh.bilioni
Tweet media one
92
60
690
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
#CAGBUNGENI Prof Assad: Jeshi la Polisi lilipa Sh. milioni 600 kwa ajili ya mafunzo ambayo hayakufanyika. #NipasheMwangaWaJamii
Tweet media one
57
125
664
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
3 years
#HABARI ZAIDI ya askari 10 baadhi yao wakiwa na silaha za moto wamedaiwa kuzingira ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( @ChademaTz ) Kanda ya Mbeya, katika kikao cha ndani cha viongozi wa Baraza la Wanawake wa chama hicho ( @BawachaTaifa ).
Tweet media one
84
106
660
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
2 years
Ni Kaka, Ni Godfather wa HIP HOP Bongo, Ni Mwanasiasa pia aliwahi kuwa Mbunge wa Mikumi CHADEMA, @ProfessorJayTz anahitaji msaada wako wa matibabu kupitia.. MPESA: 0757919192 Joseph Haule, TiGOPesa: 0715919192 Joseph Haule, CRDB account no: 0112044845200 Joseph Leonard Haule.
Tweet media one
19
151
664
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI JESHI la Kujenga Taifa (JKT), limesema litawachukulia hatua kali za kisheria yeyote atakayebainika kueneza taarifa za uzushi kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya Jeshi hilo kwamba kuna unyanyasaji wa kijinsia kwa vijana wanaohuhudhuria mafunzo ya.../
Tweet media one
71
16
668
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MFANYABIASHARA maarufu nchini Tanzania, Rostam Azizi, na Mbunge wa Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo, wamemshukia vikali Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kwa kutoa kauli za ubaguzi dhidi ya wazanzibari kwenye mjadala unaoendelea wa uwekezaji..../
Tweet media one
72
23
668
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI SAKATA la Wakili Baraka Mukama anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuzuia wateja wake kukamatwa, limechukua sura mpya baada ya mambo mengine kuibuka, ikiwamo namba ya uwakili anayodai yake, kusoma jina lingine./
Tweet media one
22
22
668
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
SWALI: Ulionekana kwenye jukwaa la CHADEMA hivi karibuni. Je, ni maandalizi ya kurejea katika siasa? DK. SLAA: Ninashukuru umeuliza hili. Kwanza kabisa, mtambue ya kwamba Karatu ni nyumbani kwangu na mimi ni mzee sawa na wazee wa Karatu.
Tweet media one
4
18
667
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI JAJI mstaafu John Mgeta amesema changamoto iliyomuumiza katika kutekeleza majukumu yake ni kitendo cha aliyekuwa Waziri Mkuu, kudharau uamuzi wa mahakama kwa kuchana uamuzi aliotoa katika kesi ya mgogoro wa ardhi./
Tweet media one
56
38
660
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
5 years
“Mawazo hayapigwi rungu, mawazo yanashindwa na mawazo yaliyo bora zaidi”-Rais Mstaafu @jmkikwete #KumbukiziMiaka20Nyerere
Tweet media one
20
74
651
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#NipasheJumapili FAHAMU mgomo mwingine unaomnyemelea Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makalla, baada ya ule wa Dar es Salaam uliowahusisha wafanyabiashara wa Kariakoo kuhusu kero mbalimbali walizokuwa wakikumbana nazo. /
Tweet media one
30
13
660
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
"Mimi ni mfungwa wa kisiasa na 302, mimi nilijiandaa kufungwa na si kupigwa faini, nilikuwa sawasawa na sitapigia mtu yeyote magoti kwa kitisho cha gereza au kuniua kwa sababu yale ninayoyapigania, ninayaamini"-Mbunge Tarime Vijijini @HecheJohn
Tweet media one
8
40
649
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI BAADA ya wanyama kupewa majina ya watu maarufu kutoka nje ya nchi, Shirika la Hifadhi za Taifa za Tanzania (Tanapa) limeanzisha utaratibu maalumu wa kuwezesha watu wanaotaka baadhi ya wanyama waitwe majina yao kufanya hivyo lakini kwa kulipia Shilingi milioni tano.
Tweet media one
74
18
656
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
𝐌𝐀𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐌𝐙𝐎 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌𝐔 ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania Sweden, Dk. Wilbroad Slaa, Katika suala la mikutano ya hadhara, Magufuli alidanganywa na mawaziri wake waliomweleza kuwa uchaguzi huko Marekani ukiisha, siasa zinaendelea bungeni na nilikwenda nikawahoji...
Tweet media one
29
19
649
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,Albert Chalamila, amesema kampuni za maegesho barabarani zimeajiri vijana wasio waaminifu ambao wananyanyasa wananchi./
43
62
658
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
8 months
(𝐈𝐦𝐞𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐰𝐚 𝐍𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐖𝐞𝐭𝐮, 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐀𝐌) MWANAFUNZI wa udaktari, Ahlam Azam Mohamed, ameweka rekodi ya kuwa mwanafunzi mdogo kuliko wote kuwahi kutokea nchini kuhitimu Shahada ya Udaktari wa binadamu akiwa na miaka
Tweet media one
74
40
647
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
6 years
#BREAKINGNEWS Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameagiza makontena 20 ya samani yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, yapigwe mnada, na kwamba hajali vitisho vya mwanasiasa huyo na ameapa kusimamia sheria na kanuni za kodi zikizopo
Tweet media one
116
116
615
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
4 years
#NUKUU "Mahakama Kuu imetoa hukumu kuwa Rais wa Tanzania anaweza kushtakiwa kwa makosa ya uvunjaji wa Katiba.Jaji Lameck Mlacha ametoa hukumu hiyo katika hukumu ndogo kwenye shauri nililofungua kumshtaki Rais @MagufuliJP kwa kumvua uCAG Prof. Assad."- @zittokabwe
Tweet media one
24
55
624
@Nipashetz
Nipashe Tanzania
1 year
#HABARI KAMISHNA wa Polisi Zanzibar, Hamad Khamisi Hamad, amesema wanamchunguza askari wao anayetuhumiwa kwa ushoga na ikithibitika, atafukuzwa kazi na kushtakiwa mahakamani./
Tweet media one
92
24
627