📚 BD, PMSD|🌍10 Years in Community Development 💼 Managing Development Programs ❤️ Serving Underprivileged Communities ⚽ Man Utd & Simba SC Fan | 📖 James 1:27
@MariaSTsehai
Muungano ni Tanganyika na Zanzibar (1 ipo nyingine inafichwa kwa makusudi)
Tanganyika sio Tanzania Bara (ukisema Tanzania Bara tunavyo visiwa huku Bara kwamba vinafutika?) Tanganyika ni nchi huru ilipata uhuru wake 9 Disemba 1961. Tanzania bara haijawahi kupata uhuru na haipo
@julip202
Lazima mkataba wa kazi uwe umeisha, au umeachishwa kazi na muajiri. Unaenda ofisi za NSSF ukiwa na barua ya kuachishwa kazi, cheti ya Elimu, NIDA ID, Bank statement. Watakupa 33% ya mshahara wako kwa mieizi 6. Then utasubiria ipite mieizi 18 ili upewe kiasi kilichobaki
@Adventure_36
Serikali yetu hufanya vitu pasi na kuhusisha sawasawa bongo zao, gari ikitoka TMK au Urafiki au Shekilango na abiria hadi mbezi stand ya Magufuli wanapungukiwa nini? Hivi usiku wa saa 9 serikali inajua gharama za usafiri kwa mtu anae toka Kigamboni au Mbagala? Hii serikali ni 0
@MariaSTsehai
Masaa 19 yalopita Zuhura aliweka hii. Spana zimekua kali, ila atuambie tu kwanini Bandari za Tanganyika zimeuzwa Dubai na sio za Zanzibar? Kwanini Shaka ni DC huku Tanganyika na hakuna Mtanganyika DC huko Zaznibar? Aseme kwanini Mwinyi ni Rais Zanzibar na Tanganyika haina Rais?
@TuliaAckson
2 hrs kwakweli ni matumizi mabaya ya muda kumjadili MP kusimamishwa vikao 15! Huko kwenye kamati isingewezekana kumpa hiyo adhabu? Halafu waliochangia hoja yake mbona wamem disrespect sana Mhe. Mpina na mbaya zaidi sijaona kama tuhuma zake zimejibiwa si wachangiaji au wala kamati
@ayubu_madenge
Msigwa bana ulipokua Mwenyekiti ulishinda chaguzi kwahiyo CDM walitenda haki? Wewe kushindwa chaguzi CDM haitendi haki? Kama unavyohimiza CCM iheshimu matokeo ya uchaguzi wewe ndio ilitakiwa uoneshe hiyo heshima? Busara ingekua kusubiri hatma ya Rufaa na sio kufanya press.
@ayubu_madenge
Ambae anaenda na motorcade ni Joe Biden tu na the Royal familiy, wengine wote iwe from Africa, Asia na Australia wote wanaenda na usafiri wa pamoja. Na ni vile event inatarajiw kuwa na watu wengi sana, kila Rais angeenda na Motorcade ingekua kasheshe
@officielsalome
Sio England tu, ilikua Belgium, Wales, German, Denmark, Netherland na Switzerland. Na vyama vya hizo nchi wamesema leo captain wa timu zao hawatavaa cause FIFA imesema ita weka vikwazo vya kimichezo ikiwemo hizo yellow cards
@tanpol
Ni AIBU sana
Mnakaa na mtuhumiwa kwa siku 29 kinyume na sheria ya adhabu Penal Code na mko relaxed kabisa kutoa taarifa kama hii. Ndugu zake wamemtafuta kote hadi vituo vyenu na mkasema hamko nae??
@Sirjeff_D
@Eric__Bernard
Tunamshukuru Mungu ni mzima. Ila aliefanya hivi asijione kua ni mtu bingwa sana maumivu ulomsababishia huyu mwamba yatakurudia tu. Hii nchi huru sana na kila mtu ana haki ya kuishi, kutoa maoni na kukosoa. Aliemteka huyu ni Coward sana na ni muoga sana. Be safe brother
@MsigwaGerson
Yani hadi mnaweka jina la mtu aliekufa kateuliwa DED Kilolo hadi mnaandika hamkujua kua mtu kafariki? Mmeona mmechemka mkafuta haraka na mbaya zaidi hata hamjasema mmekosea
@IAMartin_
Sio kwa Ubaya
CDM inapaswa kutuambia vipi itakitenga chama na Serikali. Maana uhuni wa CCM ni mkubwa mno. Mtumishi wa umma anaambiwa anatekeleza ilani ya chama ambayo ni maslahi ya chama tu, na sio kutekeleza Dira ya Taifa
@ayubu_madenge
Unites vs Arsenal msimu huu Garnacho anafunga goli ili tuongoze 2-1 tunaibiwa wazi kweupe na VAR ikiwepo mkashangilia sana. gane yenu na Liverpool Captain wenu anashika kwenye box VAR inaipga kimya. Kutesa kwa zamu
@George_Ambangil
Conte na Zidane wako sehemu hawana dili, msimu wa 4 huu tumekomaa na Legend na hana dalili ya kubeba hata carabao achilia mbali community shield
@HKigwangalla
Unalipwa mshahara usiokatwa kodi, unakunja milioni 12 kwa mwezi, baada ya miaka mitano unapokea kiinua mgongo cha 250 hakikatwi kodi. Sisi tu mmeminnya fao la kujitoa NSSF na PSSSF , hayo tu yanatosha kusema hamjali maisha ya Watanzania wengi. Bashiru hajakosea kuwaita wanyonyaji
@ayubu_madenge
Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 toka alipoteuliwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan Luteni Jenerali Mathew Mkingule, anayo nafasi kubwa ya kushika nafasi hiyo baada ya Jenerali Mabeyo kustaafu.
@JamiiForums
Wewe sio Serikali, Serikali ni wananchi ambao wewe unawatumikia. Acha mikwara tatueni kero za kikodi za wafanyabiashara na mambo mengine yaendelee.
@MariaSTsehai
#Katibampyasasa
#Tanganyikayetuirudi
Muungano miyeyusho tunaungana then kuna mambo yanakua yao wao pekee halafu yetu tunafaidi wote. Tanganyika ni nchi huru ndio maana kila ikifika 9 Disemba hua wanashindwa kusema ni sherehe za nchi ipi? Maana Tanzania haijawahi kudai uhuru??
@JMakamba
Matumizi mabaya ya michango ya wanachama wa NSSF, Wao wako na makazi duni mnekuja na hata na project ya affordable house hata kwa Milioni 35 ili wastafu wawe na makazi bora. Nyie mnapeleka a mult billion project Kenya?
@ikulumawasliano
@venusnyota
Wizara ya TAMISEMI nayo inahitaji reform ni kubwa mno, ndio maana kila wakati Waziri anabadilishwa, Afya, TARURA, Elimu, Serikali za Mitaa zote hizo zibebwe na Wizara moja?
@lifeofmshaba
Kama ilivyofutika Serikali ya Tanganyika basi na hii ya Zanzibar ifutike tubakie na nchi mona yenye Rais mmoja, Bunge Moja Mahakam moja mifumo ya kikodi ifanane na umeme hivyo hivyo. Kama hawataki Muungano ufe Tanganyika irejee Tanzania ife na Zanzibara akae kivyake
@George_Ambangil
Hakuna kuuza tiketi, hakuna kuuza jezi, team haitauzwa, hakuna kuuza wala kununua wachezaji. Siasa za Ukraine na Russia zinaimaliza hii team
@ExMayorUbungo
Uongozi wote bodi ya upande wa Rais wa Kudumu na bodi ya Mashabiki zote zivunjwe zipishe. Tutakua na wakati mgumu kumpata tajiri aina ya MO ila bora kuanza upya. Kuliko kujaza bodi ya wachumia tumbo
@MariaSTsehai
@SuluhuSamia
Watu kutekwa na wao kuthibitisha haiwezi kuwa drama Mhe. Rais
Ila sawa wewe una vyombo vya ulinzi wanakupa taarifa ila la kutekwa wakaamua kusema ni drama ni sawa. Polisi wamekaa na mtu kwa siku 29 bila taarifa yao rasmi hadi ndugu walienda kumtafuta na Polisi wakasema hawako nae
@TitoMagoti
Mengine yote sahihi, ila la kuzuiwa kwenda US sio ishu maana alideal na masuala ya ushoga na usagaji ambayo ni kinyume na Maagizo ya Allah/Mungu na Utamaduni wetu wa Kitanzania na Afrika
@Eric__Bernard
Hata Paka aliepo saivi akiondoka nyie vibaraka wake mtakua wa kwanza kudiss harakati zake hasa za kuuza ngozi za panya kwa vipande vya fedha
@SuluhuSamia
@EmmanuelMacron
Pamoja na pongezi hizo, tunaomba urejeshe FAO LA Kujitoa katika mifuko ya Hifadhi ya jamii hasa NSSF, kazi za mikataba zinaisha kusubiria kwa miaka 55 ni uonevu, rejesheni fao hilo tujitoe na tujiajiri
@neemalugangira
19 days za kupotea mtoto huu ni uzembe, kutoa matamko na watuhumiwa kukamatea for just one day ni maigizo, then wewe hapo kubeba watu 15+ na sare za CCM na kuita hayo ni maandamano ni maigizo.
Pole kwa Mama mtoto na ndugu wa karibu waliekua nae for 19 days kumtafuta mtoto wake.
@Jambotv_
@TonnyAdamms
CCM sio muamuzi wa kuamua lini mjadala wa katiba uwe hii sio katiba ya ccm ni katiba ya Watanzania wote. Sasa kwannini CCM mjiamlie ni lini mchakato wa Katiba uwe?? Acheni janja janja Katiba mpya ikileta TUME HURU YA UCHAGUZI ambayo Rais sio mteuaji. Chama hiki mnazika
@ITVTANZANIA
Serikali yetu hufanya vitu pasi na kuhusisha sawasawa bongo zao, gari ikitoka TMK au Urafiki au Shekilango na abiria hadi mbezi stand ya Magufuli wanapungukiwa nini? Hivi usiku wa saa 9 serikali inajua gharama za usafiri kwa mtu anae toka Kigamboni au Mbagala? Hii serikali ni 0
@ChademaTz
@MariaSTsehai
@tanpol
Sema huu ukurasa mko slow sana aisee, hatupati clip video kwa wakati yani mpo nyuma sana kuuhabarisha umma. Mkizingatia media karibu zote hazitoi support
@SimbaSCTanzania
You have nothing to prove concentration iwe kushinda mechi na sio haya majigambo ambayo tukifungwa mtaanza kutia huruma zisizo na msingi. Akili iwe kwenye maandalizi ya kushinda mechi tambo zenu hazitakua na maana kama kutakua na poor performance na matokeo mabovu
@funjojr
Toka awe Rais, Dola hakuna (hao watalii wanatalii bure?? vifurushi vya data bei juu, sukari bei jui, mafuta bei juu, huduma za hospitali bei juu, mikopo vyuoni hamna, ajira hamna, mradi ya mkakati ya JPM hali mbaya, upigaji na matumizi mabaya ya fedha ya umma yako juu. TOKA HAPA
@TunduALissu
Tunahitaji katiba Mpya ndiyo KATIBA MPYA ambayo Spika wa Bunge hatatokana na chama chochote cha Siasa ili aliongoze Bunge kuifanya kazi yake sawa sawa ya Bunge kusimamia serikali, na sio bunge kuwa mtetezi wa serikali.
Tunahitaji katiba mpya sasa.
@Eric__Bernard
Alichokerwa Spika ni kuona Mpina anaongea na Press kuhusu ushahidi kabla ya yeye kutoa maamuzi. Ila hoja za Mpina hazijajibiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge inaenda ufanyia kazi ushahidi na kumhoji Mpina. Kwahiyo tuliza mshono Odo
@EllyChris9
@julip202
Kuonesha kama wewe ni skilled au unskilled, ukiwa unskilled unapewa hela yote. Ukiwa skilled ndio unalipwa kwa huo utaratibu wa 33% kwa mieizi sita. Then baada ya mieizi 18 ndio unalipwa zilizobaki. Mimi nimetumia utaratibu huo na nimelipwa fedha zote mwezi April
@eastafricatv
🇹🇿 Tuachane na siasa za kipumbavu. Tuwe na Academy za Kisasa na Standards za kimataifa hata 4 hivi. Vijana wenye vipaji wawe recruited tupate wataalamu na walimu wazuri kila idara iwe chakula, Football, medical watu wa data. Tujipe muda wa miaka 10 kuwalea na matunda yatakuja
@TheChanzo
Watanzania ni wachache sana nchi za Ulaya, Asia, na Marekani kuliko Kenya kwa East Africa au Nigeria kwa West Africa. Tanzania bado tunajifungia sana na walio bahatika kwenda nje ni wachoyo kwa kuwashika mkono wanaotaka kwenda huko pia kutafuta fursa.
@MariaSTsehai
Katiba mpya inahitajika haraka sana, ili kiongozi wa umma aweze kuwajibishwa kwa uhalifu alioufanya. Katiba ya sasa inawapa nguvu ya kujiamlia kufanya uhuni na wanaishi huru na kulindwa juu
@SuluhuSamia
Mbali na mishahara kuna ile kasheshe ya michango ya Mifuko ya Jamii hasa kwa NSSF kwa watumishi wa sekta binafsi ambao wanafanya kazi kwa mikataba mifupi, ikiisha nikusubiri hadi miaka 55 ndio wapate hizo pesa ni uonevu sana, liangalie hilo Mhe. Rais na lifanyiwe kazi pia
@ayubu_madenge
Huyu Sancho kapewa fair treatment na ETH kapelekwa hadi Holland attrain peke ake kaanza rejeshwa kwenye timu polepole ila attitude yake haiko sawa. ETH alitaka muuza ila United board yake na recruitment team wababaishaji. Arteta wakati anaijenga Arsenal kaomdoa wangapi?
@George_Ambangil
Na kwa team anazo zizidi anagonga pass na migoli mingi, FERGIE once saidi if you want to win the tittle make sure you don’t lose to a top four team. Wengine unawafumua
@MalisaGJ_
Kwa hizo hesabu tu Bilioni 343.42 zimeliwa na hamna kitu tutawafanya?? Serikali inayochezea fedha ya umma kupitia mashirika ya umma ishakufa hiyo. Umma wenyewe haujajua tu namna ya kuwazika na kumaliza msiba. Mchi inatafunwa kama nzige wanavyoshambulia mazao
@IAMartin_
@Sativa255
Brutality, Kuna watu wanaamini kukosolewa kwa serikali ni wewe
@IAMartin_
na
@ExMayorUbungo
ndio mnawatuma watu? Mbona kuna watu wanatumwa kwa kupush reli wao hawatekwi? Hii mbaya sana na kwenda kinyume na Katiba ya nchi na Haki za Binadamu. We’re not safe at all. Ila siku yaja
@eastafricatv
Tanzania Bara kuna Mikoa 26. Anzeni kampeni ya mgao wa umeme Mkoa mmoja siku nzima 24 hrs unakua hauna umeme. Means Mkoa huo kwa mwezi utakosa umeme mara moja pekee na kwa mwaka mzima Mkoa mmoja utakoaa umeme mara 14 tu. Hii ya kukata kila siku imekua ukuda biashara zinakufa
@HecheJohn
Hao wanachojua ni kuandika Mama anaupiga Mwingi na mapambio front page kulinda ugali wao. Tulisoma sana Riwaya za waandishi makasuku ni wapuuzi
@lifeofmshaba
UN washindwe kutatua migogoro wa Rwanda na Congo, Russia na Ukraine, Isael na Palestine waje kutatua mgogoro kwenye hii nchi ambayo sukari iko bei juu na wapinzani wanataka katiba mpya ili wapate vyeo?? Kalagabao mkuu
@mwigulunchemba1
Punguzeni anasa bado hamsikii, Waziri unalipwa fedha ya Ubunge na Uwaziri still unakaa nyumba ya bure, gari la bure, huduma za afya bure, mafuta bure, muda wa maongezi na data bure. Ukimaliza Ubunge unapewa kiinua mgongo yani shida tupu. hamna uchungu na fedha ya umma. AIBU
@tanescoyetutz
Hamna lolote miaka zaidi ya 60 ya uhuru na mabadiliko ya tabia ya nchi mnajua ila bado mmeshupaza shingo kutumia maji kuzalisha umeme. Moja ya shirika la hovyo kabisa la umma hili
@tanescoyetutz
Hili shirika ni kichefuchefu tu. Climate change mnajua ipo na madhara yake yanaonekana nyie mmekomaa na maji tu ilhali tuna gas ya kutosha huko Mtwara. Miaka mitano ya JPM maji yalikua hayapungui?
@mshambuliaji
Mashabiki wa Africa wangapi wanaweza mudu gharama za kusafiri, kulala, chakula kwa sehumu fainali moja itakakofanyika? CAF wanaweka mechi mbili ili kuwanufaisha mashabiki wa timu ambazi zitacheza fainali kwa kununua tiketi za uwanjani na sio kusafiri
@Eric__Bernard
Nimeconclude wewe huna akili, kujiridhisha kabla haujatoa taarifa kwa umma ni key factor nje na hapo ni uzembe mkubwa. Na wala sio justification ya kwamba kisa wengine walikosea na sisi tukosee. Jambo dogo hivyo wameshindwa kujiridhisha vipi kwa mambo makubwa wanachemka mangapi?
@millardayo
Larry Madowo from Kenya na akawe Mwalimu wenu wa uandishi proper wa Habari achaneni na uchawa kwa Serikali. Ibueni madai ya wananchi na yapazieni sauti ili watawala wasikie
@SuluhuSamia
Mama tupo vijana wako tuliajiriwa na taasisi binafsi effect za corona zikashout down hizi ofisi, kuna michango yetu NSSF tunaambiwa kuipata ni hadi tuwe na miaka 55, mimi kwangu hiki naona sio sahihi, hizi pesa tukipewa ni mitaji tosha kabisa
@Jambotv_
@ikulumawasliano
yani hili ndio jukumu la msingi la DC? Yani hil ndio jukumu lake?? Kuna ishu ngapi za kukosa maji, umeme, usafiri wa umma mbovu, miundombinu ya barabara mibovu. Ila huyu kaona kuhangaika na tabia za binadamu ndio jukumu lake kuu??? Naombeni teuzi jamani
@iboysean
Anaauliza “unazika lini” zaidi ya mara moja anaambiwa “nasubiri watu kutoka Meru“ anarudia kuuliza swali lile lile. Waandishi wengi wa hizi online TV ni makanjanja sana. Tuna shida ya kutaka kuonekana misibani na kushiriki mazishi kuliko kushiriki nyakati za kuuguza. Pole Mzee
@George_Ambangil
Juve kafa huko matatu kwa bila
PSG nje
United nje
Juve nje
Waspain 3 wameenda robo
Waingereza 3 wameenda robo
Mreno mmoja na mjerumani mmoja
Naona Fainali kati ya Spain na England
@ayubu_madenge
Joe Biden nadhani ni umri unamuacha, alikua anashindwa kabisa kuunga sentensi na Trump akawa anamchapa kwa kejeli kubwa.
Debate Tz Upinzani wataweza kwenda ile chama Tawala mashaka makubwa. Mambo yao ni magumu sana kuyajibia