Topic tunazoziweza sisi
1. Simba Vs medali za kafu
2. Diamond Vs Kiba
3. Sex tape ya bongo movie imevuja
4. Subaru na Crown ipi inakimbia sana
5. Challenge za wasanii mitandaoni
Mambo ya msingi kama haki za raia utasikia “mimi sipendi siasa”, “wanapinga kila kitu” waseng nyie!
Kuna one of my very good friend (female) aliniambia yani boni wewe unahitaji like 3 years of building yourself financially ndio uanze kupambana na haya mambo ya mahusiano, moyoni nilisema lakini kweli. ila kajuaje?
Wanawake wananusa future zetu na akikwambia wewe kweli ingia
Kilele cha maandamano ya CHADEMA Mwanza leo. Mbowe ndani, Slaa ndani, Lissu ndani, wote walikuwepo. Hawa ndo walisema leo Mwanza itasimama 😁😁😁😁 Mungu nifundishe kunyamaza mimi.
Heshima na pongezi kwa
@zittokabwe
, katika vijana waliofanikiwa (Late youth) wewe ni mfano mkubwa sana,
@ACTwazalendo
ya leo sio sawa na miaka mitano iliyopita, historia yako katika nchii haitafutika... hongera sana
This generation! Girlfriend tu unaona mzigo? We unaweza kuwaongoza watanzania M63? Ukiwalipa mshahara si utatangaza kwenye TV “unamuona yule namlipa hela nyingi”
Support kwa girlfriend inakufanya uyabebe Majukumu na uwe humble
Sema me hua naona bora useme tu kwamba mimi natiana kwa bei fulani, hizi harakati sijui za kuhudumiwa hata Rais mwenyewe kashindwa kutuhudumia sisi ndio tutaweza kuwahudumia!
Think about a sales personnel wa bank vile they struggle kumfungulisha account mtu, bank company they sometimes introduce account ambazo hazina makato jus to reach everyone… sasa leo mtu wa marketing ataenda na sound gani kwa mteja aeleweke!? Hahaa
Sema humu namo hapaeleweki, ile agenda yenu ya kutokuponda biashara ya “vijana wenzenu” iliishia wapi? Au inategemea na kijana mwenyewe kama yupo kwenye circle yenu?
Fikiria kuna watu wamefanya sherehe kusikia eti sina mtaji ila waambieni siwachukii. Chuki haijengi tupendane na kusameheana kwa makosa tuliokosea hapo nyuma. "Mungu nae anahukumu mwisho wa maisha yetu" sio kwa kosa la jana na leo kwakua kuna kutubu na kujirudi.🙏
#CHAMPsoap
🔥🔥
#WasafiFestival
is bigger than Fiesta. Stage, Artists noma aisee....vibe kama lote. Respect to Fiesta thou!
Any
#TOT
uliopo reply, tell the location nikufuate tupeane Cheers...
Nasherekea
@ACTwazalendo
yangu na Upinzani kwa ujumla kujivua Uchafuzi wa Uchaguzi wa Magufuli.
Tatizo umaarufu na hela za haraka bila shule hua hazidumu, na bahati nzuri watu wote waliokosa shule hua wanajipimia kwa walioenda shule so yeah, hua wanadiss ila wanakubali kwamba shule muhimu 😅😅
Hata hao waliopita wanaweza leta maendeleo pia. Tumekazania tu upande flani upite Ila hata hao pia wangeweza zingua. Kusema ni rahisi kuliko Kutimiza Ahadi ya Maneno yako.
Mkishakua na circle yenu ya watu kadhaa, mkapata namba ya msanii mmoja wa bongo fleva na mchezaji mmoja wa Yanga/ Simba kwenye circle baasi the tunaobaki sisi ndio viande hahaa!
Leo nimeingiwa unyonge baada ya kuona picha hii ya Wasaidizi wa Ofisi ya Rais, nimeangalia mara Kadhaa sijapata kuona sura ya kijana, Hii ni ishara njema kuwa Vijana tuna kazi ya kufanya kuaminisha Mamlaka kuwa tunaweza.
Mie naamini kuna vijana wanaweza sana kumsaidia Rais.
Polisi jijini Dar es Salaam, leo wamemsaka Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ZITTO KABWE kwenye ofisi za Makao Makuu ya chama hicho kutokana na sababu ambazo hazijajulikana, lakini hawakufanikiwa kumpata.
#KwanzaHabari
Unasema wewe ni mzalendo wa nchi?? Kuna huyo mwana anaitwa Mgalah wa mbeya alikuja na katiba ya nchi jeshini (JKT) ile tukidoji mwana anaenda piga msuli katiba😂😂😂
Nina swali lingine wakubwa.
Je kwa nyakati hizi za ukuaji wa Teknologia ni ujuzi gani Graduates wanatakiwa kuwa nao kabla hawajaingia soko la ajira na ujasiriamali?
@ILO_EASTAFRICA
#UjuziEndelevuKwaVijana
@DigitalMigrant1
😆😆😆😆😆kuna ile ya kupeana mikono, after corona hakuna kupeana mikono mlume na mwaka sijatimba ikafika muda wa kupeana mikono naona watu wanainama mi natoa mkono kumpa mwana akanikacha kw akuinama oyaa 😂😂😂
Ninavyo mwelewa rais JPM
1. Ana dira ya kujenga uchumi wa kitaifa mtaji wa ndani na kujitegemea
2. Uwajibikaji ni msingi wa uzalishaji
3.bila ulinzi wa rasilimali/ambazo ndio mtaji Biashara yetu ya maendeleo itakufa
4. Miundo mbinu ni dada wa uchumi
5. JPM is bold 💪
@MarekaMalili
Unafeli nana Maggie! Unafeli!
Ukiangalia kama kwa dini ya Kiislam, Mke kazi yake ni kukuzalia watoto tu! Yaani hata kumyonyesha mtoto mume inabidi umbembeleze!