Ni vyema tukazingatia wajibu wetu katika kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, na badala ya kulaumu walimu, ni wakati wa wazazi pia kutimiza wajibu wao wa kuwalea vyema watoto, na hasa kuwahimiza kuuacha tamaa na kutaka kuhurumiwa.
Nitaendelea kupinga na kukemea ukatili kwa watoto.
#VIDEO
Kupitia
#SupaBreakfast
leo uliibuka mjadala wa kuongezeka kwa matukio ya ukosefu wa maadili shuleni, huku matukio kadhaa ya walimu kudaiwa kubaka wanafunzi yakiripotiwa, Mtangazaji
@kissadaniel2
anasema pamoja na kuwalaumu baadhi ya walimu ila kuna baadhi ya wanafunzi
#SupaBreakfast
Baada ya kile kinachoendelea nchini Kenya baadhi ya wananchi kuandamana kutokana na gharama za maisha, Mzee wa Kuchechemua
@exaudwamtei
anakwambia Mwanasiasa mkongwe wa nchini humo Raila Odinga anawafundisha Wakenya uvivu wa kufikiri.
“Kichwa kikijaa zaidi tiba yangu ni wajukuu, napiga tu simu nileteeni hao, wanakuja pale kwa masaa kadhaa na kupiga kelele, panda shuka kwenye ngazi, wakirudi wanakokaa basi ubongo umepumzika” - Rais Samia
#Mirrorupdates
#RaisSamia
Mungu awabariki wababa wote wanaoamini kwenye ndoto za watoto wao, na kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha ndoto za watoto zinatimia kwa namna yoyote.
Hakika uthubutu chanya wa watoto hasa wa kike hujengwa kwenye kuaminiwa na kupendwa na baba zao.
Happy Father’s Day
“Huwa naingia kwenye mitandao, Taarabu kidogo, iyo ndo sana hata nikiwa na mafile mezani, hicho kitu changu pembeni, kazi na dawa” - Rais Samia Suluhu Hassan
#Mirrorupdates
RaisSamia
Ni vyema tukazingatia wajibu wetu
katika kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, badala ya kulaumu walimu tu, ni wakati wa wazazi pia kutimiza wajibu wao wa kuwalea vyema watoto, na hasa kuwahimiza kuacha tamaa na kutaka
kuhurumiwa.
Siungi mkono ukatili kwa watoto.
@Kiganyi_
Aisee kuna mtangazaji mwanamke East Africa radio anatetea mwalimu kubaka mtoto Mwanza, anadai kwanini asibake mwingine au darasa zima ambake huyo? Sijawahi kumsikiliza mtangazaji mjinga kama huyu, anaitwa Kisa.
Kwa mtazamo wangu naona hii tabia inakuwa kwa kasi mno!! watoto wanaamshwa mapema sana kwenda shule wengine hadi saa 10 alfajiri, masomo wanakuja kuanza saa 2 🙌🏽🙌🏽 ni mateso mno kwa watoto!!! Sijui wewe unatazama hili vipi?
Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
Niliajiriwa nikiwa mdogo sana, 1977 nikiwa na miaka 17, nilipoenda kwenye ajira mara ya kwaza wakasema rudi nyumbani tutakuwa tunafanya ‘child labor’ - Samia Suluhu Hassan
#HappybirthdaySamia
#Mirrorupdates
Wakati ambao mataifa mengine yanapambana kuwa na amani kama Tanzania wengine wanaona maandamani, migomo na vurugu ni kitu cha kuiga tu 🙌🏽🙌🏽
Ni mtazamo wangu tu, Ruksa kila mtu atazame apendavyo.
“Ninapopata kijinafasi cha kupumzika zaidi huwa naongeza ujuzi wa kazi, kuangalia wengine wanafanya nini, kuingia kwenye mitandao kuona mambo haya yametoka wapi? yalipotokea walichukua uamuzi gani” - Rais Samia Suluhu Hassan
#Mirrorupdates
#RaisSamia
“Niwaombe sana vijana nendeni kasimameni, yale mliyoyazoea acheni, saizi ndio vifitina vitakuja, simu siku moja unapoke fitina 100, acheni hizo nendeni kasimameni fanyeni chaguzi zenu” - Rais Samia Suluhu Hassan
“Huwa nawaambia wasaidizi wangu amueni, fanyeni maamuzi, anayekosea sitakifukuza, nitakurekebusha mara ya kwanza, mara ya pili mara tatu, mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi” - Rais Samia Suluhu Hassan.