kissa_daniel Profile
kissa_daniel

@kissadaniel2

Followers
873
Following
679
Media
13
Statuses
60
Explore trending content on Musk Viewer
@kissadaniel2
kissa_daniel
1 year
Ni vyema tukazingatia wajibu wetu katika kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, na badala ya kulaumu walimu, ni wakati wa wazazi pia kutimiza wajibu wao wa kuwalea vyema watoto, na hasa kuwahimiza kuuacha tamaa na kutaka kuhurumiwa. Nitaendelea kupinga na kukemea ukatili kwa watoto.
@earadiofm
EastAfricaRadio
1 year
#VIDEO Kupitia #SupaBreakfast leo uliibuka mjadala wa kuongezeka kwa matukio ya ukosefu wa maadili shuleni, huku matukio kadhaa ya walimu kudaiwa kubaka wanafunzi yakiripotiwa, Mtangazaji @kissadaniel2 anasema pamoja na kuwalaumu baadhi ya walimu ila kuna baadhi ya wanafunzi
4
1
37
0
4
10
@kissadaniel2
kissa_daniel
1 year
Mtazamo wangu kuhusu Maandamano yanayoendea kwa ndugu zetu Kenya
@earadiofm
EastAfricaRadio
1 year
#SupaBreakfast Baada ya kile kinachoendelea nchini Kenya baadhi ya wananchi kuandamana kutokana na gharama za maisha, Mzee wa Kuchechemua @exaudwamtei anakwambia Mwanasiasa mkongwe wa nchini humo Raila Odinga anawafundisha Wakenya uvivu wa kufikiri.
19
5
79
5
0
7
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Kichwa kikijaa zaidi tiba yangu ni wajukuu, napiga tu simu nileteeni hao, wanakuja pale kwa masaa kadhaa na kupiga kelele, panda shuka kwenye ngazi, wakirudi wanakokaa basi ubongo umepumzika” - Rais Samia #Mirrorupdates #RaisSamia
Tweet media one
0
0
6
@kissadaniel2
kissa_daniel
1 year
Mungu awabariki wababa wote wanaoamini kwenye ndoto za watoto wao, na kujitoa kwa hali na mali kuhakikisha ndoto za watoto zinatimia kwa namna yoyote. Hakika uthubutu chanya wa watoto hasa wa kike hujengwa kwenye kuaminiwa na kupendwa na baba zao. Happy Father’s Day
Tweet media one
0
1
6
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Huwa naingia kwenye mitandao, Taarabu kidogo, iyo ndo sana hata nikiwa na mafile mezani, hicho kitu changu pembeni, kazi na dawa” - Rais Samia Suluhu Hassan #Mirrorupdates RaisSamia
Tweet media one
0
1
5
@kissadaniel2
kissa_daniel
1 year
Ni vyema tukazingatia wajibu wetu katika kumlinda mtoto dhidi ya ukatili, badala ya kulaumu walimu tu, ni wakati wa wazazi pia kutimiza wajibu wao wa kuwalea vyema watoto, na hasa kuwahimiza kuacha tamaa na kutaka kuhurumiwa. Siungi mkono ukatili kwa watoto. @Kiganyi_
@Kiganyi_
M A G I R I
1 year
Aisee kuna mtangazaji mwanamke East Africa radio anatetea mwalimu kubaka mtoto Mwanza, anadai kwanini asibake mwingine au darasa zima ambake huyo? Sijawahi kumsikiliza mtangazaji mjinga kama huyu, anaitwa Kisa.
40
48
312
0
3
4
@kissadaniel2
kissa_daniel
2 months
Kwa mtazamo wangu naona hii tabia inakuwa kwa kasi mno!! watoto wanaamshwa mapema sana kwenda shule wengine hadi saa 10 alfajiri, masomo wanakuja kuanza saa 2 🙌🏽🙌🏽 ni mateso mno kwa watoto!!! Sijui wewe unatazama hili vipi?
@earadiofm
EastAfricaRadio
2 months
#SupaBreakfast : ''Unamuamsha mtoto asubuhi asubuhi anaamka anatetemeka baridi, kisa kwenda kumfundisha kuandika a,e,i,o,u saa 11 kweli?'' - @kissadaniel2 Tufuatilie muda huu kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaRadio #EastAfricaRadio #SupaBreakfast #HainaKuchoka
Tweet media one
59
9
216
3
0
4
@kissadaniel2
kissa_daniel
1 year
Jamani Why 😂😂😂🙌🏽
@moodewji
Mohammed Dewji MO
1 year
Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
2K
391
6K
2
0
4
@kissadaniel2
kissa_daniel
2 months
Its Friday 💥
1
0
3
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
Niliajiriwa nikiwa mdogo sana, 1977 nikiwa na miaka 17, nilipoenda kwenye ajira mara ya kwaza wakasema rudi nyumbani tutakuwa tunafanya ‘child labor’ - Samia Suluhu Hassan #HappybirthdaySamia #Mirrorupdates
Tweet media one
0
1
2
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 months
Wakati ambao mataifa mengine yanapambana kuwa na amani kama Tanzania wengine wanaona maandamani, migomo na vurugu ni kitu cha kuiga tu 🙌🏽🙌🏽 Ni mtazamo wangu tu, Ruksa kila mtu atazame apendavyo.
@earadiofm
EastAfricaRadio
3 months
#VIDEO Mtangazaji @kissadaniel2 anasema ndani ya kipindi kifupi ameona baadhi ya migomo ya vijana ambao wengine wanafanya wakitaka kuiga yaliyofanywa na vijana nchini Kenya ambapo anasema Tanzania ina njia zake za kutatua matatizo #SupaBreakfast #EastAfricaRadio @exaudwamtei
65
1
37
15
0
0
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
Klabu ya Yanga Sc imemtambulisha nyota wao mpya Chicho Ushindi aliyetokea Klabu ya TP Mazembe ya huko DRC.
Tweet media one
0
0
2
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Ninapopata kijinafasi cha kupumzika zaidi huwa naongeza ujuzi wa kazi, kuangalia wengine wanafanya nini, kuingia kwenye mitandao kuona mambo haya yametoka wapi? yalipotokea walichukua uamuzi gani” - Rais Samia Suluhu Hassan #Mirrorupdates #RaisSamia
Tweet media one
0
0
2
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Niwaombe sana vijana nendeni kasimameni, yale mliyoyazoea acheni, saizi ndio vifitina vitakuja, simu siku moja unapoke fitina 100, acheni hizo nendeni kasimameni fanyeni chaguzi zenu” - Rais Samia Suluhu Hassan
Tweet media one
0
0
2
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Huwa nawaambia wasaidizi wangu amueni, fanyeni maamuzi, anayekosea sitakifukuza, nitakurekebusha mara ya kwanza, mara ya pili mara tatu, mara ya nne unaendelea kukosea nitajua huwezi” - Rais Samia Suluhu Hassan.
Tweet media one
0
0
2
@kissadaniel2
kissa_daniel
7 months
@YerickoNyerereT @SuluhuSamia Kaka umesahau na hili kundi 🙏🏼
Tweet media one
0
0
1
@kissadaniel2
kissa_daniel
3 years
“Msitoe fursa kutumiwa kukipasua chama, jeuri yenu, majidai yenu, kwenda kwenu kifua mbele ni kwa sababu chama kiko Imara.” - Rais Samia Suluhu Hassan
Tweet media one
0
0
1
@kissadaniel2
kissa_daniel
25 days
Raha ya uchaguzi wote washiriki 😃
@earadiofm
EastAfricaRadio
25 days
#SupaBreakfast Mtangazaji @kissadaniel2 amesema kitendo cha @ChademaTz kutangaza kuwa kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika kila eneo ni cha kupongezwa #EastAfricaRadio
8
14
77
3
0
1
@kissadaniel2
kissa_daniel
2 months
Nikiseme hili ni boom ambalo kuna siku litaleta madhara watu tuelewe, hii ni hatari kwa kweli kwa watoto.
1
0
1
@kissadaniel2
kissa_daniel
2 years
@KibonaAgnes @PresenterNoah 😄😄😄 tulia Jembe langu
2
0
1
@kissadaniel2
kissa_daniel
25 days
2
0
1