George Rugambwa Profile Banner
George Rugambwa Profile
George Rugambwa

@georgerugambwa

Followers
54,125
Following
17,141
Media
402
Statuses
77,686

Thinker, Mtanzania, Mdadisi, Mkapaism.

Tanzania
Joined April 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@georgerugambwa
George Rugambwa
1 month
Mmasai wa Tanzania ana macho matatu. Mnapenda kufanya watu wajinga sana. Mtachambuka mmoja mmoja.
Tweet media one
642
66
2K
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kwa unavozani unahisi huyu jamaa atakaa kimya kweli bila ku respond..!!?
Tweet media one
76
37
1K
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mwamba katika hustling za Hapa na pale Kuhakikisha anaenda sawa na utandawazi..!!💔
Tweet media one
139
34
1K
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Dr professor, Diamond Platinum chibudenga dangote Nassibu 🔥🙌 taja jina lingine litakalo mfaa huyu professor
Tweet media one
71
42
790
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Vya design hii wanagoma bana😀😀
Tweet media one
126
52
746
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Text gani toka kwa mpenzi Wako Huwa inakukera Sana ..!!?
120
49
654
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Yupi Ni upcoming GOT kwenye industry ya bongo flavor..!!?
Tweet media one
Tweet media two
67
16
601
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Incase Unamtongoza akagoma Plan B Yako Huwa Ni Nini bro..!?
89
37
583
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mlisema tukope hela bank tulete huku ,,NA kumbe 1kg Ni 400 😂😂💔🚮
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
79
44
579
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Bongo flavor kwa Sasa Iko mabegani kwa huyu kijana ,Tuonyeshe kumbless hata kwa likes tu..!!
Tweet media one
14
17
555
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mwanamke akiwa na Marafiki wengi wa kiume,,Hilo Ni tatizo..!!
42
41
539
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Tangazo la hovyo kuwahi kuona Lina rushwa kwenye TV lilikua linahusu Nini..!?
39
32
490
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Incase umefukuzwa kazi Plan B Yako Ni Nini..!?
68
23
494
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kitu gani Cha kipuuzi ushawahi fanya Kipindi unasoma ..!?
75
26
487
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Msanii Gani unahisi kakata tamaa Na safari ya kimziki..!?
74
29
481
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiachana Na mpenzi Wako,, Nani mwingine anakuonaga Ukiwa uchi..!?😳
70
27
463
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Brand gani ya smartphone hautokuja utumie..!?
99
25
450
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
App gani inaongoza kwa kutumika Sana kwenye simu yako..!?
65
30
450
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mbio za marathon za Kuinuana zinaanza saivi Leta Handle..!!🐝🍜🚏
134
56
431
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiona mama Yako mzazi Anachepuka ,,utaweza mwambie Baba ako..!?
57
27
426
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Jeans lako la gharama kubwa kuwahi Kununua ilikua shingapi..!?
99
36
428
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiachana Na biashara ya madawa ya kulevya unaambiwa human traffic ndio inafuatia kua na faida kubwa...!!🤔
31
17
424
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kaa Ukijua Boss Wako Hajari kuhusu Future yako..!!
41
71
413
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Idea gani Kali ya biashara ,,ulitamani vijana Wengine tuijue..!?
27
27
409
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
BASATA eenh Kuna deal Diamond anakaribia kuwapeni Kaeni mkao wa kula Sasa..!!💔😂
16
16
408
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiachana Na kifo kitu gani kingine kinaumiza Sana..!!?
59
22
392
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Yajayo yanafurahisha..!!😀
Tweet media one
36
48
386
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Leo ndio siku nauaga Umasikini..!✊🙏
Tweet media one
Tweet media two
90
24
390
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Zawadi Gani kubwa kuwahi Kuumpa mpenzi Wako..!?
52
28
372
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiachana Na fedha Ni kitu gani kingine kinatakiwa kiwemo mfukoni mwa Mwanaume..!?
77
25
355
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kazi gani Ni rahisi Sana kutajirika..!?
44
22
348
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Maisha Ni kifurushi kinacho beba Majuto ya baadhi ya Vitu..!!✊
9
33
347
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Hapa bongo Msanii gani unaona Yuko underrated..!?
38
31
348
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Wataalamu Mlisema hii ndiga Ni Aina Gani ya Gari..!?
Tweet media one
43
18
347
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kwenye physical appearance Yako Wanasema Mtu gani maarufu amefanana na wewe..!?
87
29
324
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kitu gani kinakutia Nguvu Uendelee Kupambana kwenye maisha..!!?
46
24
326
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Nyie bado Mmelala Mpaka saivi Hamuogopi maisha..!!?
25
38
317
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Watu Wakuinuana ndio tunapita saivi Leta Handle Yako..!!🦖🐥🌋
87
42
309
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Boss haaambiwi ukweli,, Shauri yako..!!😂
30
45
293
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukishindwa Kumuoa Yule uliyemharibu Basi utamuoa Yule aliyehaharibiwa Na wengine..!!
26
41
298
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Vijana Wanao Piga winger Pale Kariakoo Huezi amini Kama Ni Wahitimu Wa Vyuo vikuu..!!✊
15
29
300
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Akili ya Darasani Ni Tofauti Kabisa Na Akili ya maisha..!!
33
37
293
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ushawahi Kufa kisa Mapenzi..!?
59
22
284
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kutongoza hakuna mda Sahihi,,Amka Anza hata saivi bro..!!✊😂
24
36
292
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Chenji kubwa kuwahi kumuachia Mhudumu ilikua shingapi. !?
24
26
288
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Hakuna Kitu Kigumu Kama kuwashauri single mothers..!!🙌
19
29
296
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mtoto ako utamfundisha kitu gani ambacho shuleni hawafundishwi..!!?
33
21
281
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kuna mda Tunaongea Uongo kwasababu Tu Hatutaki Kuwa dissapoint..!!
15
28
273
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kitu gani Ni kitamu lakini hakiendani na muonekano wake..!!?
53
10
285
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Una uwezo wa kuongea Lugha ngapi .!?
40
17
277
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kitu gani kilikuwia ugumu kuachana nacho kwenye safari ya maisha Yako..!?
38
19
276
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Uchafu wa kwenye pua tunatakiwa tuwe tunautolea na Nini..!!?
29
27
271
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ttcl Wameamua Kutupa Na sisi Tutumie Kodi zetu ...!!😀😀
20
31
265
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiingia Kariakoo afu huna Ndevu lazima utapeliwe Tu..!!😂💔
21
35
273
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Sidhani Kama Kuna location nyingine kali kuishinda hii..!!🔥
Tweet media one
18
15
270
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Imagine Hospitali Ya wilaya Umeme Unakatika Na huduma zinasimama..!!💔😳🙌
21
29
274
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ingekua Kuiba sio Dhambi,, Ulitamani umwibie Nini jirani Yako..!?
26
22
273
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mkinga Mmoja alinambia Bora ufe uziache hela, Kuliko kuchezea hela ukiamini utakufa..!!😂🙌
10
27
266
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Dondosha picha ya kitu Cha zamani tuwakumbushe Watoto tuliko tokea..!! 🙌
Tweet media one
32
28
267
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ukiwa unapewa mshahara Wa 700K unatakiwa uhame mbagala ukakaage wapi..!?
22
21
267
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mmesema hii chuma tuwe tunaiitaje..!!?
Tweet media one
12
15
265
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Club gani toka bongo unaona inaweza fit kwenye EPL..!!?
36
13
263
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kuna Watu wamekuja DM Wanasema natumia misukule kukuza account yangu..!!😂💔
23
16
249
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Huwa Unanunua nguo kila baada ya mda Gani..!!?
42
22
255
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Wadada Wenye Matako Makubwa Wengi Hawana Msimamo..!!
46
33
259
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Njoeni na handle Tuinuane..!!🤖❄️🧅
61
32
253
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Hivi Ni Kwanini Watu Wa uyole Wanapenda kusoma Vyuo vya dar..!?
15
19
243
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ambao Mmelala Mpaka saivi Hela za kula Mchana Mtatoa wapi..!?
33
32
241
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Ndio nmetoka Kuzungusha CV huko🥺,,Wamesema Nlikazania Kutengeneza GPA Badala ya Connection..!!💔
Tweet media one
16
25
248
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Harmonize mnauhakika Hajala mtaji kweli..!??
19
20
252
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Nyie bado mmelala Mpaka saivi,Kodi ya Nyumba mtapata wapi..!!?
27
27
239
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Leteni Handle Tuinuke..!!🐹🍧🎑
78
46
251
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Njoeni na handle Tuinuane..!!🔥🌋🦩
61
40
246
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Fanya mitikasi zako lakini kaa ukijua uchawi upo mjomba..!!
15
16
244
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Bro Ni Mzungu hanaga noma pakia mzigo wote utoshe humo..!!😂💔
Tweet media one
9
16
258
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Maziwa mtindi Ni maziwa yaliyo oza bila Shaka..!?
17
17
237
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Jina zuri la kike kuwahi kulisikia kwako Ni lipi..!?
68
17
244
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mnaojua Magari hii Ni Gari gani..!?
Tweet media one
Tweet media two
45
7
246
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Hakikisha Mama Yako anajivunia Kukuzaa Wewe..!!
25
44
229
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Wadada Wenye Magari Huwa Tunawatongoza Vipi..!?
36
13
221
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Usiwahi Kumtext Mwanamke Kama Huna Sababu..!!
16
19
233
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kua Mtu wa kwanza Kupata Followers mwaka 2023 kwa Kuweka handle yako tu...!!🐦🍰🛣️
42
35
243
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Msanii gani ,,Unahisi Ni muongo Sana Mpaka kwenye real life..!?
16
13
232
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Jina la Chakula Cha kigeni ambacho umewahi kula..!?
30
10
230
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Changamoto sana kuongozana na Mtu anayesalimia kila Mtu road..!!
19
21
235
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Dogo Hajasema Kapata Division Ngapi,Ila nmeona Aki Google "How to apply security job"
11
18
235
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kwa sasa Diamond Anafanya Kazi zake kiutu Uzima Sana,,🙌🙌
10
15
233
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kama hujui Nini hiki,, kubali tu wewe Ni mtoto..!! Tu😳😳
Tweet media one
Tweet media two
49
16
226
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Mwanaume kua na dressing table Ni Hali ya sintofahamu kwa kweli..!!😂😂💔
10
22
221
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Account zinakua kwa Kuinuana Leta Handle Yako..!!🍁🐘🍿
83
42
223
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Watu Wa Mikoani Wanadhani Ukiwa na earphones za wireless Basi Maisha haya kusumbui..!!😂💔
21
29
222
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
msisahau kuacha handle ili muinuke..!!🐐🍭✈️
76
37
215
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kua Mwanaume sio kitu rahisi, imagine inaweza ukawa unaumwa,,Lakini Bado unaulizwa baba leo tutakula Nini..!?
17
27
217
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Leo Nimegundua kwanini ukiwa Mtu mzima Ndio unaanza kunywa pombe vizurii..!!
7
16
225
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Haifai Mwanaume Kupika pika kila siku ..!!
19
27
214
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Followers Hutafutwa Hasubuhi Jioni Tunahesabu Leta Handle Yako sasa..!!🦾🌿🌔
76
39
222
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Njoeni na handle zenu Tuinuke..!!🌀🦒🍠
78
36
219
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Wakishua Atajua hizi Tunguli😂💔
Tweet media one
33
23
218
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Kisanga gani uliwahi kutana nacho akati una chat Na mpenzi wa Mtu..!?
18
10
215
@georgerugambwa
George Rugambwa
2 years
Maisha Ni Mafupi Mno jitahidi Sana kipindi Cha Uhai wako Uwe umefika dar..!!
15
23
214