Gift Macha Profile
Gift Macha

@gift_macha

Followers
355,239
Following
115
Media
2,669
Statuses
4,118

Media Influencer

Joined August 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Tumehangaika na Wazungu miaka mingi kumbe kocha wa maana alikuwa hapo Tanga tu
Tweet media one
165
159
6K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mmemsema mke wa Masanja wiki nzima kumbe hana hatia aisee
Tweet media one
644
182
6K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Confirmed: Rasmi Shiza Kichuya asaini Simba
Tweet media one
179
97
5K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Whozu akimzalisha na huyu inabidi apewe tuzo
Tweet media one
196
69
5K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Haijalishi matokeo.. Ila kumtoa chama dakika ya 32 ni kumkosea heshima MVP wa Ligi yetu
Tweet media one
444
108
5K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
"Katibu hakuwa na uhusiano na Mke wa Masanja," Polisi
Tweet media one
433
102
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hii ndege haijaanguka.. Imetua kwa dharura kwenye maji... Hivi mnaelewa maana ya ndege kuanguka?
Tweet media one
495
135
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kama unaamini Yanga atakwenda kushinda Sudan.. Andika Amen
Tweet media one
1K
103
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Yanga wameshinda mechi ya ubingwa.. Sioni timu nyingine ya kuwazuia Yanga msimu huu
Tweet media one
215
91
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Itachukua miaka mingi sana Tanzania kupata kipa Bora kama Aishi Manula
Tweet media one
163
82
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Clatous Chama.. Anazidi kutukumbusha kuwa mtasajili wachezaji wengi.. Ila kwenye Ligi yetu yeye ndio Mfalme
Tweet media one
141
79
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Simba wanaupa heshima kubwa sana mpira wa Tanzania huko Afrika.. Popote ulipo simama uwapigie makofi...
Tweet media one
100
117
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Nataka nijiweke hapa kwa @officielsalome .. Mnanishaurije ndugu zangu?
Tweet media one
483
85
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Maisha ya Bongo sinema sana
Tweet media one
144
64
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Wananchi bhana 🙌🙌
Tweet media one
109
110
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Ni haki ya beki kumkaba straika.. Ila hili la jana la wachezaji wa Kagera kumchezea rafu za makusudi Phiri halikubaliki.. Waamuzi wanapaswa kuwalinda wachezaji aina ya Phiri..
Tweet media one
402
109
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Ila Goli Saba ni nyingi aisee 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Tuseme tu Simba ni timu kubwa Afrika
Tweet media one
63
112
4K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mpaka sasa hii ndio jezi kali zaidi.. Hakuna ubishi
Tweet media one
221
105
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mmh... Hii Simba ina watu nyie.. Hatari sana
Tweet media one
85
83
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
“Wewe unanifatafata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi kwa lolote,kwa chochote na huwezi kunifanya chochote. Nina uwezo wa kukufanya chochote na huna cha kunifanya.” Maneno ya Hajji Manara aliyomwambia rais Karia siku ya fainali ya ASFC kule Arusha.
Tweet media one
496
172
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Rest in peace Dad 😭😭
Tweet media one
330
63
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Huwa nasema kila siku.. Lakini leo narudia tena.. Kwenye Ligi yetu hakuna mchezaji wa kufananishwa na Chama... HAKUNA..Chama yupo mmoja tu.. Anaishi dunia ya peke yake..
Tweet media one
199
121
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
George Mpole amesema ameshindwa kufunga katika mechi mbili za mwanzo za Ligi Kuu kwasababu mabeki wa timu pinzani wanamkamia sana
Tweet media one
210
41
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Ile Simba ya Aussems.. Simba ya Sven.. Simba ya Gomes.. Na hii Simba ya Mgunda.. Ipi imechangamka zaidi
Tweet media one
286
66
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Pamoja na sare ya jana.. Ukweli ni kwamba Simba msimu huu wako vizuri kuliko Yanga.. Wanapiga pasi.. Wanashambulia kwa mipango.. Na wanatumia nafasi vizuri..
Tweet media one
234
98
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Tatizo la Simba lilianza baada kocha wa Simba kumtoa Chama.. Leo Chama alikuwa kwenye kiwango bora sana.. Hakustahili kutoka
Tweet media one
202
58
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mandonga anastahili kuvuna anachopata sasa.. Alifanya promo kubwa sana.. Anajua kucheza na Media.. Halafu anapendwa.. Muache apige pesa
Tweet media one
62
61
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hii pesa Msuva anatakiwa kulipwa na Wydad anaweza kudhamini timu tano za Daraja la Kati kwenye Ligi Kuu... Tukiwaambia wachezaji wakacheze nje wawe wanaelewa... Bongo kuna pesa, ila nje kuna utajiri
Tweet media one
88
56
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mfano Kundi B likiwa hivi, Simba watamaliza na alama ngapi? 1. Wydad Athletic 2. Mamelodi Sundowns 3. Simba SC 4. Vipers
Tweet media one
474
86
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Itachukua miaka mingi kwa Tanzania kupata kipa bora kama Aishi Manula.
Tweet media one
167
71
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
MAKOCHA KUTOKA TANGA WAMEIPA HESHIMA NCHI
Tweet media one
49
67
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Asanteni nyote.. Rest in Peace Dad 😭
Tweet media one
138
52
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mamelodi Sudowns 5-2 Al Ahly … Hawa Mamelodi siyo timu ya kukutana nayo kabisa kwa sasa
Tweet media one
94
32
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
“Yanga ina quality kubwa kuliko Al Hilal, mtu anayeweza kunichallenge aniambie wanatuzidi wapi ? Fedha na uwekezaji Yanga ndiyo nyumbani kwake,” Ally Kamwe
Tweet media one
225
73
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Wayne Rooney ana miaka 36 kweli?
Tweet media one
148
48
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Huku Phiri.. Kule Mayele.. Ukiambiwa uchukue mmoja.. Unaondoka na nani?
Tweet media one
389
67
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Rabbi Hume.. Zile picha za magoli makali ya Sakho na Phiri ni kazi ya mikono yake.. Amepewa vifaa vya kisasa.. Halafu anapiga picha za viwango vya dunia
Tweet media one
33
58
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Simba siyo timu kubwa hapa Tanzania tu, kwa sasa ni timu kubwa Afrika
Tweet media one
63
76
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Robo fainali Simba inaweza kukutana na Mamelodi Sundowns, Al Hilal, JS Kabylie, CR Belouizdad, Esperance de Tunis ama mabingwa watetezi Wydad Athletic Club… Unatamani Mnyama akutane na nani?
Tweet media one
277
66
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hapa kuna kocha mmoja kashika hatma ya kibarua cha mwingine
Tweet media one
90
67
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hivi hili gari la Kipanya liliishia wapi?
Tweet media one
325
65
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hizi nguo mbona mtaani sijaona mtu hata mmoja amevaa?
Tweet media one
406
60
3K
@gift_macha
Gift Macha
11 months
Ally Kamwe.. Huyu Mwamba ana ubunifu sana katika kazi yake.. Yaani anaweza kulifanya tukio dogo kuwa kubwa.. Yanga hapa wamepata mtu sahihi sana
Tweet media one
65
72
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Barbara Gonzalez.. Tangu aingie Simba amesaini mikataba na M Bet, Africarrier, Emirates Aluminium, Azam TV na Vunjabei ambayo inaipatia Simba zaidi ya Shilingi Bilioni 63.. Hakika huyu dada ni Mwamba 🙌
Tweet media one
102
103
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Umekionaje kiwango cha Feisal katika mechi mbili za Stars dhidi ya Uganda?
Tweet media one
252
47
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Jean Baleke.. Hapa Simba wamepata straika.. The guy is simply deadly.. Ndani ya mechi chache tu kaweka Magoli SABA kambani
Tweet media one
32
58
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Israel Patrick Mwenda... Ametusahaulisha kabisa kama Shomari Kapombe hayupo.. Bwana mdogo yupo katika kiwango bora sana
Tweet media one
73
65
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
This lady.. She was there for me.. Kila sekunde.. Hakuniacha mpweke.. Najivunia kumpenda huyu Dada.. Amenifungulia dunia.. Kama ni mke, nimepata kweli
Tweet media one
183
58
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Hapa kwa @AliKamwe Yanga imelamba dume
Tweet media one
98
60
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Ni mchezaji gani unadhani kafurahia zaidi habari za huyu mwamba kuondoka?
Tweet media one
410
79
3K
@gift_macha
Gift Macha
3 months
RASMI.. George Mpole amejiunga na Yanga kama mchezaji huru
Tweet media one
63
63
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Niliwahi kubuni hiki kibanda nikafanya biashara ya Chips ila nilifilisika fasta sana.. Mademu wanakopa sana
Tweet media one
134
41
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Jean Baleke.. Hakuna straika amefunga magoli mengi zaidi yake tangu alipotua nchini.. Huyu mwamba ni Hatari sana mbele ya lango
Tweet media one
45
53
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Stephane Aziz Ki... Ishu yake huyu mwamba bado ngumu... Bado ngumu
Tweet media one
188
57
3K
@gift_macha
Gift Macha
3 months
RASMI.. Clatous Chama ni Mali ya Yanga.. Deal Done.. Wameshakubaliana Kila kitu na msimu ujao atacheza Yanga.. Nimeufunga mjadala..
Tweet media one
190
59
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kweli kadaka penalti.. Ila amefungwa goli jepesi sana.. Goli la pili lile.. Ni jepesi..
Tweet media one
205
32
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kwahiyo Manzoki atacheza dhidi ya Yanga leo... Halafu tena tarehe 13..
Tweet media one
46
35
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Bila wachezaji TISA nyota.. Simba imepata alama tatu ngumu pale Dodoma.. Hii ndio maana halisi ya timu kubwa 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
37
51
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Sema katika jezi zote za Simba.. Hii imekaa kipekee sana
Tweet media one
73
53
3K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Achana na kiwango chake cha jana.. Ninachomsifu huyu Bwana Mdogo, Ally Salim amekubali kuwa golikipa namba tatu Simba kwa mwaka wa tatu sasa.. Na bado amezidi kuwa imara.. Atafika mbali.
Tweet media one
34
62
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Tuache utani.. Hii Simba inapiga soka safi sana
Tweet media one
83
49
3K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Yanga ikiwa na mziki kamili ilichemka hapa Ihefu.. Azam hivyo hivyo.. Ila Simba bila wachezaji SABA wa kikosi cha kwanza imeshinda.. Wanastahili pongezi.. Ila huyu Baleke ni mtu hatari sana.
Tweet media one
130
82
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Ni kweli Simba amewahi kuzifunga Al Ahly, Zamalek.. JS Soura.. na nyinginezo.. Ila alizifunga hapa Dar siyo Arabuni.. Mwaka 2003 Simba alimfunga Zamalek 1-0 Dar.. Akapoteza 1-0 Misri na kushinda kwa matuta.. Msichanganye vitu.. Yanga ameshinda 1-0 Tunisia.. Ni Historia
360
120
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Huu Muunganiko wa Janza na Maxime.. Tusipokwenda AFCON basi kuna mkono wa mtu
Tweet media one
84
25
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Napenda sana huu utani wa Kibwana.. Job na Mshery.. Ni wazi kuwa wanaenjoy sana soka.. Kizazi kipya..
Tweet media one
23
48
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Naambiwa Simba imepata straika mpya.. Ni mchezaji mkubwa sana na ana uzoefu na mashindano ya Afrika.. Soon nitaweka jina lake na CV yake hapa...
Tweet media one
78
63
3K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Kijana wetu Ally Kamwe amegundua makosa yake na kumuomba Radhi Mgunda.. Kama familia ya soka tumsamehe.. Ni kijana bado ana safari ndefu..
Tweet media one
333
74
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Tshabalala na familia yake waenda mapumzikoni Dubai.. Inapendeza sana..
Tweet media one
75
45
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Sina Baba.. Sina Mama.. Walau nioe sasa.. Upweke utaniua
Tweet media one
145
48
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Reliants Lusajo.. Mechi mbili, magoli MATATU.... Mayele amepata mshindani mpya
Tweet media one
118
34
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Swahiba wangu Ally Kamwe amemua kuingia Mtaani kufanya hamasa.. Yanga haitaki kitu kingine zaidi ya ushindi mbele ya TP Mazembe
Tweet media one
143
31
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Nini kimeikwamisha Yanga kushindwa kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa? 1. Kocha hana mbinu nzuri 2. Wachezaji hawana uzoefu 3. Mpinzani mgumu
Tweet media one
489
64
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kama bado haupo Group la Team Brazil.. Tuma namba yako DM.. Tafadhal ni DM siyo kwenye Comment
Tweet media one
183
61
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Gael Bigirimana vs Habibu Kyombo.. Yanga vs Simba.. Nani amefanya usajili wa maana zaidi leo?
Tweet media one
328
52
2K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Hii Simba pale Mbele ni hatari sana… Baleke, Phiri, Onana, Kramo, Saido, Kibu, Sakho… Halafu nyuma yao anacheza Chama..
Tweet media one
82
68
3K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mshauri lolote Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez
Tweet media one
394
60
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Simba imewekeza kwa Wanaume.. Ikawekeza kwa Wanawake.. Kwa kifupi Simba ni chuo cha soka..
Tweet media one
70
86
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kusema kweli.. Kuna namna Yanga wanazimudu hizi Dabi siku hizi.. Leo Simba walikuwa vizuri.. Lakini Yanga wamecheza kikubwa sana
Tweet media one
91
58
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Yanga atapata alama SABA nyumbani na TATU ugenini .... Na atakwenda Robo fainali CAF.. Kama unaamini andika neno AMEN
Tweet media one
281
84
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Nina suti.. Nina viatu.. Nina mchumba... Hapo nimebakisha nini ili niweze kuoa?
Tweet media one
540
34
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kwahiyo Maafisa Habari wengine kufanya Media Tour ilikuwa sawa... Ila kwa kuwa @AliKamwe amefanya Media Tour wiki moja akaujaza Uwanja wa Mkapa tunaona siyo sawa.. Mbona watu tunakuwa na wivu hivyo?
Tweet media one
171
45
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Nipangie safu ya kiungo ya Azam na fundi wa mpira, Fei Toto akiwemo.. Twende kazi..
Tweet media one
42
40
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Pape Sakho na Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez wameshindwa kuondoka Morocco kurejea Misri baada ya timu kadhaa kutaka kumsajili nyota huyo kwa haraka.. Wanataka kumalizana na Simba leo ama kesho. Baadhi ya Timu za Morocco na Ulaya zimeongeza nguvu kuinasa saini ya Sakho.
Tweet media one
91
82
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Comrade Ally Kamwe.. Anafanya kazi kubwa sana pale Yanga.. Ni wazi kuwa Yanga imepata Afisa Habari wa maana sana
Tweet media one
85
53
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Azam FC imetoa ofa kwa mashabiki wake kesho.. Ukienda Chamazi umevaa jezi ya Azam FC unaingia bure.. Jezi ya msimu wowote..
Tweet media one
37
45
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kusema Mayele ameifunga 'Hatrick' timu dhaifu ni kuukosea adabu mpira wa miguu.. Mbona anapozifunga Simba, Azam na wengineo huwa tunakaa kimya?
Tweet media one
231
80
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kuna mtu kutoka Ghana kaniambia huyu Augustine Okrah anajua boli kuliko Chama.. Acha tusubiri tuone..
Tweet media one
65
42
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kupata ushindi kwenye ardhi ya Mwarabu...Nielewe vizuri.. Siyo kumtoa Mwarabu.. Bali kupata ushindi katika ardhi yake.. Kweli Yanga ni DUDE kubwa..
Tweet media one
190
92
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Rasmi leo Barbara Gonzalez amemaliza utumishi wake kama Mtendaji Mkuu wa Simba
Tweet media one
31
35
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Singida Big Stars yatimkia Mwanza kujifua zaidi na Ligi Kuu
Tweet media one
10
22
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Kwa kifupi ishu ya Fei Toto bado ngumu... Yanga inafanya jutihada za kumbakisha ila bado ngoma ni ngumu sana..
Tweet media one
125
42
2K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Manula, Kapombe, Zimbwe Jr, Inonga, Marlone , Ngoma, Mzamiru, Chama, Kramo, Baleke, Onana, Saido… HAPO VIPI?
Tweet media one
98
61
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Mwaka 2015 aliyekuwa kocha wa Simba, Dylan Kerr alisema endapo Ajibu atajituma kwa asilimia 60 tu ya uwezo wake angeweza kucheza Ulaya.. Miaka saba baadaye Ajibu yupo Singida..
Tweet media one
90
46
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Huyu ni nani mbona anatrend?
Tweet media one
185
70
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
"Mimi siyo Bondia oya oya kama hao wengine mnaowashabikia," Hassan Mwakinyo
Tweet media one
111
40
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Singida Big Stars ikishinda mechi mbili zijazo za Ligi Kuu rasmi itakua imekata tiketi ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika mwakani kwa mara ya kwanza katika historia
Tweet media one
23
31
2K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Rasmi sasa Luis Miquissone ni mali ya Simba mpaka 2026
Tweet media one
21
64
2K
@gift_macha
Gift Macha
1 year
Jana ilikua mechi ya mwisho kwa kiungo, Clatous Chama kutumikia adhabu ya kufungiwa mechi tatu.. Jumapili anaruhusiwa kucheza mchezo wa Fainali
Tweet media one
29
41
2K
@gift_macha
Gift Macha
2 years
Wachezaji wa Simba haya mambo huwa wanajifunzia wapi?
Tweet media one
52
51
2K
@gift_macha
Gift Macha
7 days
Sema Simba inapokuja michuano ya CAF inakua hatari sana
Tweet media one
24
47
2K