Nyie mnaosafiri kuelekea vijijini kwenu:; msinunue vitu mjini; kanunueni vitu kwenye yale, Maduka yaliyopo vijijini kwenu kwa sababu
Ndo wana wakopeshaga wazazi wako na ndugu zako wakati haupo.✍🏼
Fanya starehe zote ila epuka zifuatazo 👇🏻
1. Dawa za kulevya
2. Mapenzi kinyume na maumbile
3. Kusagana
Kwasababu hapa kutoboa na kurudi kwenye hali ya kawaida ni Mungu tu apende
Ukweli mchungu
Natafuta Mume
Awe mwenye kuijuia dini ya kiislam
Kabila: lolote kasoro pwani na morogoro
Awe na shughuli ya kumuingizia kipato halali
Miaka:35 hadi 45
Awe tayari kupokea watoto wangu wawili
Nb: siko tayari kwa mathna
Shukran
Leo nimefedheheshwa sana, kweli mwanamme unaomba no public tena bank watu wote wanaangalia? Alishindwa ata kunisbr nitoke anifate kwa nyuma? Nimejiskia vby sana😭
Atokee wa kuniowa sasa tupendane mpk nisahau kila kitu, anipende mpaka niogope, anitunze, anijali na aniongoze kwenye mambo mema, awe Imam niwe maamuma, tufunge kila J3 na Alhamis tutoe zakkah na sadaka yaani tuishi mpaka tujione karibu na pepo
Assalam alaykum
Asubuh njema
Uke wenza una raha sana hasa mkipendana na kutokufatiliana, utaenjoy na kujiona mpya kila siku.
Tuwache uwoga kuwa na mwenzio kunajenga Afya, kunaongeza furaha na baraka.
I say yes to polygamy how about you?
Mkiambiwa wanawake wasiende sokoni muwe mnaelewa kuna huyo kaka kila nikienda anahakikisha napata kila ninachotaka hata kama pesa sina baadae anabeba na mizigo mpk ninapofika, namwambia mpenz wangu asijesema sijamwambia muuzaji anaupiga mwingi 😂
ANATAFUTWA MUME
Kabila: Lolote kutokea Pemba
Umri: Wowote, umri ni namba tu
Kazi: Yeyote ila asiwe muajiriwa wa serikali
Ndoa: Hata akiwa na mke haina shida
Muonekano: Mrefu na Handsome
Dini: Awe anafata muongozo wa dini
Anapoishi: Popote ispokua Dar
Shukran
Assalam alaykum
Nimechagua kuanza harakati za kuhamasisha ndoa na kupinga mahusiano yasio rasmi, najua itakua ngumu kueleweka hilo kwangu sina neno muhimu ujumbe ufike nikiweza kufanikiwa hata kwa mtu mmoja basi Alhamdulillah na nikikosa pia Alhamdulillah kwa kua sijatumwa ni maamuzi yangu tu
Wanaume wengi wa zama hizi hawana sifa za kiume ie
1. Mkikosana kidogo siri zote hadharani
2. Wanapenda mtelezo
3. Hawako proud na kuhudumia
4. Hawako romantic
5. Hawajali
Wanaume wa zamani kina baba zetu Alhamdulillah anaskia raha kudaiwa hiki n kile tena utamskia
Natafuta Mchumba
Habari Malkia, mimi ni kijana ambae nasoma chuo ila bahati Nzuri Au mbaya siwezi kuzini na uwezo wa kuhudumia mke kwa sasa sina.
Naomba nisaidie kupata mke wa kuowa ambae kwa kipindi hiki cha masomo atajihudumia mwenyewe mpaka nitapomaliza.
Shukran
A. Alaykum
Kuna mwaka nlienda nje ya Tz ila niwe mkweli sikumiss Nchi yangu hata siku 1 hata kwa dakika, na sasa natamani tena niende Nchi yyt nikapumzike maana yanayoendelea hayavumiliki.
Yaa rabb tunakuomba utufanyie wepesi wananchi wa Nchi hii kwasababu tumechoka ni vile hatuna namna 😭
Mama Cheichei
@SuluhuSamia
tulikua tunaombi, Kutokana na soko la ajira kuwa gumu kiTaifa na kiMataifa tunaomba hawa
@nssftz
wale vijana wote ambao wameachishwa kazi either kwa mkataba kwisha au vyenginevyo wawape pesa zao ili wakainvest kwasababu sheria ilipo sasa sio rafiki kwa
WaZanzibar tunaelewa utaendelea kukaa nyumbani mpaka uowe au uolewe, unataka uhame nyumbani kisa nini? Unataka uhuru uhuru gani wa kufanya uzinzi na uasharati halafu wazee wakutizame tu?
Unatakiwa uelimishwe kwanza na kama huskii upigwe na usiposikia ufukuzwe uko dunia ikakufunze
Jinsi ya kuwa na matiti mazuri na yenye mvuto
1. Hakikisha huvui bra mpaka muda wa kulala na uvae bra tight sio loose
2. Fanya upward massage atleast 7times unaweza kufanya zaid sio lazma mafuta
3. Hakikisha ukiwa unalala umeyalalia
4. Hakikisha humpi mwanamme ayavuruge na kama
Kuwa mwanamme haikuhalalishii kuwa mchafu (kunuka) kwa namna yoyote ile Wala kuwa na ngozi ngumu kama mamba, mnatakiwa mjipambe mpendeze kwa ajili yetu km ambavyo tunatakiwa tujipambe tupendeze kwa ajili yenu
Baadhi yenu wanaume WACHAFU na MNA NGOZI NGUMU MNABOA
Assalam alaykum
Sikuwahi kuexperience kitu kikanifanya nikose raha na majuto ila huu mwaka 2023 niliyopitia nimejuta na nitaendelea kujuta sijui mpaka lini, sikuwahi kupitia maumivu km niliyopitia mwaka huu ila yote kwa yote Alhamdulillah naamini nitashinda
@CarolNdosi
Si juzi tu hapa ulishiriki kwenye kufedheheshwa kwa Baba wa Maryam tena alifedheheshwa na binti yake mwenyewe? Ukamtetea sana na kumuunga mkono?
Hayo ndio maisha tuliyoyachagua kukataa ukweli, kufata mabaya ya wazungu na kuyaacha mema yao.
tunajenga chuki kwa vitendo na maneno
Nimepigiwa sim na baby akaniimbia nyimbo ya celine dion “Because you love me” then kanibusu na kunambia nilale 😍
Tafuteni wanaume wenye pesa na wenye mahaba mtainjoy sana wacheni hao walalamishi
I love him today, tomorrow and forever ❤️
Leo mama kanipigia simu anasema salam zako bibi yako natoka kumuona anakuombea dua kila akisali uolewe anajiuliza na urembo wote kwanini hadi leo hajapata mtu nikajiskia vibaya ananiombea sn halafu mjukuu wake niko napambania QINTWAAR
Aje ata mtoto wa bilionea basi bibi afrah
Kama ningeulizwa nipewe nini duniani basi nisingesita kusema nipewe wewe mpk mwisho wa maisha yetu na baada ya kufuliwa nipewe tena wewe km malipo ya mema yng
Nakupenda sana🤍
Wanaume wenye ndevu, wanaovaa miwani, wapole, wanaoishi kwao, wasafi, wananukia, wanajua thamani ya utu, wana upendo, wana loyality
Allah awafunhulie rizk, neema, baraka na furaha kwenye maisha yao.
Mmoja wao atakuwa wangu In Shaa Allah 🥰
Huwezi kuwa na heshima bila kuwa na mambo yafuatayo;
1. Ukweli
2. Uaminifu
3. Kutimiza ahadi
4. Kutenda unayoyasema
Alhamdulillah it’s a new day with a new blessing!
Assalam alaykum na Asubuh njema ❤️
ANATAFUTWA MUME
Habari, I am HIV/AIDS..Naishi dar,nafanya kazi kwenye private sector, Nina miaka 34 ,nina mtot 1 ana 10 years now.Naomba unitangaize kama nitampata mwenye hali kama yangu. Mie nipo seriously, ila awe na kazi na ajielewe.
Shukran
Je! Uliwahi kuona una pesa na ghafla unajikuta huna bila ya kujua ulichokifanya? Je! Umewahi kupanga jambo ukashindwa kulitimiza? Je! Ushakumbana na changamoto ya fedha kutotosha kwenye matumizi yako?
Bajeti binafsi ndio jibu lako wahi sasa
Ipo hard/soft copy 5,000/-
@Chahali
Hari zenu wadau!!
Kile kitabu chetu pendwa kilichokuwa kinasubiriwa sasa kipo tayari kwa bei ya Sh. 5,000/-tu wahi sasa
Dar es Salaam
Samora Avenue - NHC House
no +255 714 526 062
Zanzibar
Malindi na Fuoni Zanzibar
0624967254/0774654417
Shukran
@Chahali
Mwaka 2011
Kuna kijana 1 alinifata ana matatizo anahitaji ushauri na akaambiwa mimi naweza kumsaidia basi nkamwambia karibu nakuskiliza.
Akajieleza weeee alipomaliza nkamuuliza unatumia Dawa za kulevya? Weee alikua mkali maneno yakamtoka alipomaliza nkamuuliza swali lile lile
Surely huyo alieleta haki sawa na mambo ya women empowerment alaaniwe sana, ametupa ya wanawake tudhalilike na kunyanyasika kabisa.
Zamani wanawake tukiishi kwa raha tukienziwa na tukipata familia bora na kizazi bora ila zama hizi 🥹
Yaa Allah nifunze kunyamaza🥲
Suala la kuolewa na Maternity ni changamoto kwa wachezaji wakike. Mikataba inatubana ukiolewa ama ukipata ujauzito nafasi yako anapewa mtu mwingine lakini kwa wanaume imekua haiwi ivyo wanaoa na kupata familia na kuendelea kwenye soka.
#Siku16zaKupingaUkatili2022
Tukiwaambia Zanzibar hatukua maskini muelewe, mskilizeni baba wa Taifa la Zanzibar Hayat Sheikh Abeid Amani Karume Allah amswameh madhambi yake na amridhie
Watu wanauliza Kwanini nimeacha kutafutia watu wachumba jibu sio kam nimeacha Ila wanaume wanaotaka Ndoa ni wengi wanawake hakuna
Sasa zile takwimu za kuwa wanawake wako wengi kuliko wanaume sijui niziamini au nisiziamini?
Niko dilemma
Ila wanaume ambao wako nauhitaji ni wengi
Tende (Dates)
Tende ni tunda km yalivyo matunda mengine ila tunda hili tunaweza kusema ndio 1st class, miongoni mwa faida zake ni
1. Inasaidia kuongeza damu pamoja na nguvu mwilini
2. Ni kiuwa sumu pamoja na vichocheo vya maradhi mbali mbali kama Cancer, moyo, kutopata choo
Hivi humu tl kuna bro peace and calm kama
@MarekaMalili
?
Jamaa ni hamble sana yaani huwa sijutii kumjua.
Allah amuweke, amuongoze na amfungulie milango ya khery 😊