Malkia Profile Banner
Malkia Profile
Malkia

@20qnana

Followers
7,425
Following
2,008
Media
1,298
Statuses
105,200

Nutritionist at Kukeke Gang, Nutritionist Local Miyeyusho Gang😍

Tanzania
Joined December 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@20qnana
Malkia
2 years
Happy birthday to me, namuomba Allah anijaalie upendo, furaha, matendo mema na mali yenye khery na mimi. Najipenda sana ❤️
Tweet media one
305
92
2K
@20qnana
Malkia
2 years
Hii hamjaona wenetu? Km bado nawasanua Zanzibar is magical 😍
Tweet media one
30
102
1K
@20qnana
Malkia
1 year
Naam hakuna Cha Afya ya Akili wala nini tufate huu ushauri 👇
82
437
1K
@20qnana
Malkia
3 years
Hakuna neema kubwa nitakayoifurahia kama kuolewa na mwanamme mwembamba mrefu, hana kitambi halafu anajua wajibu wake Alhamdulillah can’t wait ❤️🥰
237
45
1K
@20qnana
Malkia
3 years
Nyie mnaosafiri kuelekea vijijini kwenu:; msinunue vitu mjini; kanunueni vitu kwenye yale, Maduka yaliyopo vijijini kwenu kwa sababu Ndo wana wakopeshaga wazazi wako na ndugu zako wakati haupo.✍🏼
42
123
1K
@20qnana
Malkia
3 years
Fanya starehe zote ila epuka zifuatazo 👇🏻 1. Dawa za kulevya 2. Mapenzi kinyume na maumbile 3. Kusagana Kwasababu hapa kutoboa na kurudi kwenye hali ya kawaida ni Mungu tu apende Ukweli mchungu
72
69
888
@20qnana
Malkia
3 years
Natafuta Mume Awe mwenye kuijuia dini ya kiislam Kabila: lolote kasoro pwani na morogoro Awe na shughuli ya kumuingizia kipato halali Miaka:35 hadi 45 Awe tayari kupokea watoto wangu wawili Nb: siko tayari kwa mathna Shukran
335
41
809
@20qnana
Malkia
3 years
Leo nimefedheheshwa sana, kweli mwanamme unaomba no public tena bank watu wote wanaangalia? Alishindwa ata kunisbr nitoke anifate kwa nyuma? Nimejiskia vby sana😭
88
20
593
@20qnana
Malkia
3 years
Atokee wa kuniowa sasa tupendane mpk nisahau kila kitu, anipende mpaka niogope, anitunze, anijali na aniongoze kwenye mambo mema, awe Imam niwe maamuma, tufunge kila J3 na Alhamis tutoe zakkah na sadaka yaani tuishi mpaka tujione karibu na pepo Assalam alaykum Asubuh njema
141
33
578
@20qnana
Malkia
3 years
Mrembo hataki kuchamba na maji anasema sio salama ila anakausha mkojo na kushinda nao siku nzima 😂
49
16
566
@20qnana
Malkia
2 years
Kumbe Dj Khaled ni Muslim?
@Daliamoh9
Dalia♥️🕌
2 years
Khaleeed ❤️
Tweet media one
9
9
177
63
8
570
@20qnana
Malkia
3 years
Uke wenza una raha sana hasa mkipendana na kutokufatiliana, utaenjoy na kujiona mpya kila siku. Tuwache uwoga kuwa na mwenzio kunajenga Afya, kunaongeza furaha na baraka. I say yes to polygamy how about you?
81
36
547
@20qnana
Malkia
3 years
Madeni challenge Kama ukifa leo familia yako utawaachia mzigo wa deni bei gani? Mimi: 200K 🥲
144
13
534
@20qnana
Malkia
3 years
Mkiambiwa wanawake wasiende sokoni muwe mnaelewa kuna huyo kaka kila nikienda anahakikisha napata kila ninachotaka hata kama pesa sina baadae anabeba na mizigo mpk ninapofika, namwambia mpenz wangu asijesema sijamwambia muuzaji anaupiga mwingi 😂
86
23
519
@20qnana
Malkia
3 years
ANATAFUTWA MUME Kabila: Lolote kutokea Pemba Umri: Wowote, umri ni namba tu Kazi: Yeyote ila asiwe muajiriwa wa serikali Ndoa: Hata akiwa na mke haina shida Muonekano: Mrefu na Handsome Dini: Awe anafata muongozo wa dini Anapoishi: Popote ispokua Dar Shukran Assalam alaykum
166
17
499
@20qnana
Malkia
2 years
Feeling calm and serenity 😍
Tweet media one
43
13
456
@20qnana
Malkia
3 years
Nimechagua kuanza harakati za kuhamasisha ndoa na kupinga mahusiano yasio rasmi, najua itakua ngumu kueleweka hilo kwangu sina neno muhimu ujumbe ufike nikiweza kufanikiwa hata kwa mtu mmoja basi Alhamdulillah na nikikosa pia Alhamdulillah kwa kua sijatumwa ni maamuzi yangu tu
79
35
449
@20qnana
Malkia
2 years
Wanaume wengi wa zama hizi hawana sifa za kiume ie 1. Mkikosana kidogo siri zote hadharani 2. Wanapenda mtelezo 3. Hawako proud na kuhudumia 4. Hawako romantic 5. Hawajali Wanaume wa zamani kina baba zetu Alhamdulillah anaskia raha kudaiwa hiki n kile tena utamskia
140
23
432
@20qnana
Malkia
2 years
Leo Tumbatu kutoa elimu dhidi ya kupunguza udhalilishaji 🥰
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
77
22
433
@20qnana
Malkia
2 years
Time for soup Mchicha Samaki Mayai☺️
Tweet media one
88
9
409
@20qnana
Malkia
3 years
Ogopeni wanaume wapole na innocent appearance mtanishkuru
55
10
392
@20qnana
Malkia
2 years
Natafuta Mchumba Habari Malkia, mimi ni kijana ambae nasoma chuo ila bahati Nzuri Au mbaya siwezi kuzini na uwezo wa kuhudumia mke kwa sasa sina. Naomba nisaidie kupata mke wa kuowa ambae kwa kipindi hiki cha masomo atajihudumia mwenyewe mpaka nitapomaliza. Shukran A. Alaykum
118
25
393
@20qnana
Malkia
2 years
Kuna mwaka nlienda nje ya Tz ila niwe mkweli sikumiss Nchi yangu hata siku 1 hata kwa dakika, na sasa natamani tena niende Nchi yyt nikapumzike maana yanayoendelea hayavumiliki. Yaa rabb tunakuomba utufanyie wepesi wananchi wa Nchi hii kwasababu tumechoka ni vile hatuna namna 😭
42
23
370
@20qnana
Malkia
2 years
Mama Cheichei @SuluhuSamia tulikua tunaombi, Kutokana na soko la ajira kuwa gumu kiTaifa na kiMataifa tunaomba hawa @nssftz wale vijana wote ambao wameachishwa kazi either kwa mkataba kwisha au vyenginevyo wawape pesa zao ili wakainvest kwasababu sheria ilipo sasa sio rafiki kwa
28
53
360
@20qnana
Malkia
2 years
Uwekezaji mkubwa wa vijana wa Tz ni ngono na mapenzi japo mtapinga
36
17
333
@20qnana
Malkia
2 years
Kule kwa mwamposa kuna nn? Mbona umati ule na haupungui unaongezeka kila leo, mtusanue hebu 🥹
42
7
337
@20qnana
Malkia
2 years
Kwann lakini 😀
49
71
332
@20qnana
Malkia
2 years
Happy Tanganyika day 💪🏻
Tweet media one
30
42
288
@20qnana
Malkia
3 years
WaZanzibar tunaelewa utaendelea kukaa nyumbani mpaka uowe au uolewe, unataka uhame nyumbani kisa nini? Unataka uhuru uhuru gani wa kufanya uzinzi na uasharati halafu wazee wakutizame tu? Unatakiwa uelimishwe kwanza na kama huskii upigwe na usiposikia ufukuzwe uko dunia ikakufunze
42
34
279
@20qnana
Malkia
3 years
Jinsi ya kuwa na matiti mazuri na yenye mvuto 1. Hakikisha huvui bra mpaka muda wa kulala na uvae bra tight sio loose 2. Fanya upward massage atleast 7times unaweza kufanya zaid sio lazma mafuta 3. Hakikisha ukiwa unalala umeyalalia 4. Hakikisha humpi mwanamme ayavuruge na kama
77
11
270
@20qnana
Malkia
7 months
Chi chi chi chidi beeeeeenz😍
16
53
280
@20qnana
Malkia
2 years
Msaada tutani Natafuta mtu aniazime Milioni Tatu (Tsh. 3,000,000) nitarejesha kila mwezi Milioni Moja. Msiniambie niende bank nitawablock Shukran 🤝
48
8
267
@20qnana
Malkia
2 years
It’s a time 🥰 Pilao Nyama #ChakulaTibaNaNawal
Tweet media one
Tweet media two
48
18
258
@20qnana
Malkia
2 years
Mskilizeni Gentleman
Tweet media one
46
23
256
@20qnana
Malkia
2 years
Dunia Iko speed sana imagine tupo space wanaume wanasutana kisa dem 😀
21
8
257
@20qnana
Malkia
2 years
Kuwa mwanamme haikuhalalishii kuwa mchafu (kunuka) kwa namna yoyote ile Wala kuwa na ngozi ngumu kama mamba, mnatakiwa mjipambe mpendeze kwa ajili yetu km ambavyo tunatakiwa tujipambe tupendeze kwa ajili yenu Baadhi yenu wanaume WACHAFU na MNA NGOZI NGUMU MNABOA Assalam alaykum
88
11
262
@20qnana
Malkia
10 months
Sikuwahi kuexperience kitu kikanifanya nikose raha na majuto ila huu mwaka 2023 niliyopitia nimejuta na nitaendelea kujuta sijui mpaka lini, sikuwahi kupitia maumivu km niliyopitia mwaka huu ila yote kwa yote Alhamdulillah naamini nitashinda
66
21
256
@20qnana
Malkia
2 years
Mtu amenitokea jana ata sijamkubalia leo anapiga video call niongee na mamake aaah mtakuja mtuuwe 😀
40
3
241
@20qnana
Malkia
2 years
Wanaume mumepatwa na nini? Hemu muje tuzungumze hizi ashk majnuni mbona mtihani sasa?
Tweet media one
Tweet media two
102
14
224
@20qnana
Malkia
3 years
@CarolNdosi Si juzi tu hapa ulishiriki kwenye kufedheheshwa kwa Baba wa Maryam tena alifedheheshwa na binti yake mwenyewe? Ukamtetea sana na kumuunga mkono? Hayo ndio maisha tuliyoyachagua kukataa ukweli, kufata mabaya ya wazungu na kuyaacha mema yao. tunajenga chuki kwa vitendo na maneno
23
22
224
@20qnana
Malkia
2 years
Tukule 🥰
Tweet media one
33
3
218
@20qnana
Malkia
2 years
Mjumbe hauwawi na sio kwa ubaya 😀
Tweet media one
23
11
224
@20qnana
Malkia
3 years
Nimepigiwa sim na baby akaniimbia nyimbo ya celine dion “Because you love me” then kanibusu na kunambia nilale 😍 Tafuteni wanaume wenye pesa na wenye mahaba mtainjoy sana wacheni hao walalamishi I love him today, tomorrow and forever ❤️
43
4
213
@20qnana
Malkia
2 years
Inna lillah wainna ilayh rajiun😭
Tweet media one
66
14
214
@20qnana
Malkia
2 years
Nyie 😀
Tweet media one
37
7
212
@20qnana
Malkia
2 years
Mtu ana pesa na bado mwili umekatika katika 😋 halafu kuna ww pesa huna ila tumbo refuuuuu kama mbirimbi 🤮
@moodewji
Mohammed Dewji MO
2 years
Tuifanye Tanzania kuwa sehemu kubwa ya mchezo wa ndondi Afrika! #MoBoxing
Tweet media one
237
131
3K
75
5
204
@20qnana
Malkia
3 years
Lunch time ❤️
Tweet media one
26
9
201
@20qnana
Malkia
3 years
Good Morning 😊
Tweet media one
32
2
207
@20qnana
Malkia
2 years
Jana usiku nimelia sana na leo nna maumivu makubwa, my totty rapped last night and am far from home. Sadly it is a boy 😭😭😭😭 Good Morning
51
8
205
@20qnana
Malkia
2 years
Mwanamme haongei sana
22
8
199
@20qnana
Malkia
2 years
Late lunch my fellas!! Cooked with passion, love and joy☺️ #ChakulaTibaNaNawal
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
32
19
192
@20qnana
Malkia
2 years
Zanzibar 🥰
Tweet media one
22
9
198
@20qnana
Malkia
2 years
Leo mama kanipigia simu anasema salam zako bibi yako natoka kumuona anakuombea dua kila akisali uolewe anajiuliza na urembo wote kwanini hadi leo hajapata mtu nikajiskia vibaya ananiombea sn halafu mjukuu wake niko napambania QINTWAAR Aje ata mtoto wa bilionea basi bibi afrah
56
8
188
@20qnana
Malkia
3 years
Kama ningeulizwa nipewe nini duniani basi nisingesita kusema nipewe wewe mpk mwisho wa maisha yetu na baada ya kufuliwa nipewe tena wewe km malipo ya mema yng Nakupenda sana🤍
26
21
187
@20qnana
Malkia
3 years
Huu mwaka nimeanza na vibe sana ni either nimvue au anivue ila lazma biriani iliwe Allah atupe uhai na uzima Masharti hayajabadilika 😂
33
4
185
@20qnana
Malkia
1 year
Challenge Kitu gani wewe hufanyi na hutakaa ufanye?
49
16
185
@20qnana
Malkia
3 years
Wanaume wenye ndevu, wanaovaa miwani, wapole, wanaoishi kwao, wasafi, wananukia, wanajua thamani ya utu, wana upendo, wana loyality Allah awafunhulie rizk, neema, baraka na furaha kwenye maisha yao. Mmoja wao atakuwa wangu In Shaa Allah 🥰
55
6
181
@20qnana
Malkia
3 years
Huwezi kuwa na heshima bila kuwa na mambo yafuatayo; 1. Ukweli 2. Uaminifu 3. Kutimiza ahadi 4. Kutenda unayoyasema Alhamdulillah it’s a new day with a new blessing! Assalam alaykum na Asubuh njema ❤️
17
30
178
@20qnana
Malkia
2 years
Nyerere’s Legacy
18
43
179
@20qnana
Malkia
3 years
Alhamdulillah leo nimevuna, nitafuta shamba sasa la kulima 😀
Tweet media one
26
5
173
@20qnana
Malkia
3 years
Am ready to give you everything without expecting any return because my heart is full of you I love you ❤️
24
5
172
@20qnana
Malkia
3 years
ANATAFUTWA MUME Habari, I am HIV/AIDS..Naishi dar,nafanya kazi kwenye private sector, Nina miaka 34 ,nina mtot 1 ana 10 years now.Naomba unitangaize kama nitampata mwenye hali kama yangu. Mie nipo seriously, ila awe na kazi na ajielewe. Shukran
36
15
165
@20qnana
Malkia
3 years
Je! Uliwahi kuona una pesa na ghafla unajikuta huna bila ya kujua ulichokifanya? Je! Umewahi kupanga jambo ukashindwa kulitimiza? Je! Ushakumbana na changamoto ya fedha kutotosha kwenye matumizi yako? Bajeti binafsi ndio jibu lako wahi sasa Ipo hard/soft copy 5,000/- @Chahali
Tweet media one
11
34
165
@20qnana
Malkia
1 year
Dunia Ina viumbe hii 😂
Tweet media one
44
5
166
@20qnana
Malkia
1 year
Hawa ndo wanatakiwa wawe na wake wengi sio mwenzangu na mm una nguvu zako za kiume tu unataka wake wengi unaishia kuwaweka njaa
48
24
165
@20qnana
Malkia
8 months
Haya maumivu ninayoyaskia hapa ni Allah pekee anajua. Niombeeni Allah anitie nguvu
29
12
166
@20qnana
Malkia
2 years
Bismillah! Leo tutakula pilipili kama tunda ☺️ Are you ready? If yes, then welcome 🤗
Tweet media one
Tweet media two
21
8
156
@20qnana
Malkia
3 years
Hari zenu wadau!! Kile kitabu chetu pendwa kilichokuwa kinasubiriwa sasa kipo tayari kwa bei ya Sh. 5,000/-tu wahi sasa Dar es Salaam Samora Avenue - NHC House no +255 714 526 062 Zanzibar Malindi na Fuoni Zanzibar 0624967254/0774654417 Shukran @Chahali
Tweet media one
Tweet media two
14
52
160
@20qnana
Malkia
3 years
It’s dinner time 🥰
Tweet media one
20
4
151
@20qnana
Malkia
2 years
Itoshe kusema vijana tatizo lao sio ajira, sio fedha wala sio chochote bali tatizo la vijana ni MAPENZI na AKILI Assalam alaykum Asubuh Njema Nawapenda ❤️
25
18
155
@20qnana
Malkia
2 years
Mwaka 2011 Kuna kijana 1 alinifata ana matatizo anahitaji ushauri na akaambiwa mimi naweza kumsaidia basi nkamwambia karibu nakuskiliza. Akajieleza weeee alipomaliza nkamuuliza unatumia Dawa za kulevya? Weee alikua mkali maneno yakamtoka alipomaliza nkamuuliza swali lile lile
14
11
149
@20qnana
Malkia
2 years
How I eat sandwich
Tweet media one
Tweet media two
37
6
146
@20qnana
Malkia
3 years
Sheikh Hassan Saleh, jamaa anajua sana yaani hizi aya lazma moyo utikisike Subhana Allah
18
32
150
@20qnana
Malkia
3 years
Nampenda sana lakini naogopa sana Sijui woga nimeanza lini ila huo ndo ukweli 🥺
43
5
134
@20qnana
Malkia
2 years
Surely huyo alieleta haki sawa na mambo ya women empowerment alaaniwe sana, ametupa ya wanawake tudhalilike na kunyanyasika kabisa. Zamani wanawake tukiishi kwa raha tukienziwa na tukipata familia bora na kizazi bora ila zama hizi 🥹 Yaa Allah nifunze kunyamaza🥲
@RahmaMwita
Rahuuuum
2 years
Suala la kuolewa na Maternity ni changamoto kwa wachezaji wakike. Mikataba inatubana ukiolewa ama ukipata ujauzito nafasi yako anapewa mtu mwingine lakini kwa wanaume imekua haiwi ivyo wanaoa na kupata familia na kuendelea kwenye soka. #Siku16zaKupingaUkatili2022
Tweet media one
339
60
998
36
27
144
@20qnana
Malkia
3 years
Tukiwaambia Zanzibar hatukua maskini muelewe, mskilizeni baba wa Taifa la Zanzibar Hayat Sheikh Abeid Amani Karume Allah amswameh madhambi yake na amridhie
16
39
137
@20qnana
Malkia
2 years
Hamtaki nile kiporo? Huo muda wa kupika kila siku sina TUISHI TU 🥰
Tweet media one
27
1
139
@20qnana
Malkia
2 years
What’s a hubby to marry with 😍
Tweet media one
19
6
141
@20qnana
Malkia
2 years
Leo nna stress balaaaa 🤦🏻‍♀️
28
9
128
@20qnana
Malkia
3 years
Ana akili, utu, heshima na upendo Ulikua wapi siku zote, natamani ningekujua mapema 😍😉
11
6
134
@20qnana
Malkia
2 years
Mumefikia huku???
22
12
139
@20qnana
Malkia
3 years
Watu wanauliza Kwanini nimeacha kutafutia watu wachumba jibu sio kam nimeacha Ila wanaume wanaotaka Ndoa ni wengi wanawake hakuna Sasa zile takwimu za kuwa wanawake wako wengi kuliko wanaume sijui niziamini au nisiziamini? Niko dilemma Ila wanaume ambao wako nauhitaji ni wengi
40
7
129
@20qnana
Malkia
2 years
Tende (Dates) Tende ni tunda km yalivyo matunda mengine ila tunda hili tunaweza kusema ndio 1st class, miongoni mwa faida zake ni 1. Inasaidia kuongeza damu pamoja na nguvu mwilini 2. Ni kiuwa sumu pamoja na vichocheo vya maradhi mbali mbali kama Cancer, moyo, kutopata choo
Tweet media one
12
28
125
@20qnana
Malkia
3 years
Huwezi kuwa mtu mwema na heshima bila ya kuzingatia 👇🏻👇🏻👇🏻 Uaminifu Kutimiza ahadi Ukweli Haki Upendo Assalam alaykum Assubuh njema
8
13
126
@20qnana
Malkia
2 years
Tuishi humu 👇🏻👇🏻
Tweet media one
24
11
126
@20qnana
Malkia
6 months
Assalam alaykum, Tunakumbushana uchi wa mwanamke ni mwili mzima kasoro viganja vya mikono na uso enyi waumini. Eid Mubarak
14
19
133
@20qnana
Malkia
2 years
Leo ndo nimejua warembo na mahandsome wote tupo Yanga 💛💚
23
14
127
@20qnana
Malkia
2 years
Twitter wanyama msaada tutani. My cat amekua na tumbo kubwa nifanyeje? Hana stress wala discomfort ila mm ndio ananipa stress Nisaidieni🥲
24
3
122
@20qnana
Malkia
2 years
Hivi humu tl kuna bro peace and calm kama @MarekaMalili ? Jamaa ni hamble sana yaani huwa sijutii kumjua. Allah amuweke, amuongoze na amfungulie milango ya khery 😊
27
3
123