Nimejaribu sana kumtetea Mpambazi na mapishi yake nikaishia kuulizwa "Kwa nini haoshi sufuria na anauza sabuni?" nikagundua kwamba ile vita ngumu sana nimuachie tu apambane mwenyewe🤦🏿♂️🤦🏿♂️🤦🏿♂️
Tweep:Leo nimepata ajali mbaya sana nashukuru Mungu nimepona lakini nimekatwa mguu🙏🏿
MUDI MABIRIANI:Pole sana ndugu kwa ajali hiyo mbaya lakini pia karibu MUDI MABIRIANI upate biriani poa kabisa na tamu kuna hii special ukila huo mguu wako uliokatika utaota tena.
@DrEliDavid
@elonmusk
We are 7.7 Billion people on earth, with $ 8.4 B WFP raised it means each person could get at least $ 1 Billion plus some pocket change.
ATM huwa zinadharau sana, inakwambia kabisa "Inssufient balance" na bado inakuuliza "Do you want to perform other activities?" like what activities you stupid machine.🤦🏿♂️
Unabisha na mtu humu kumbe wakati Nyerere anachanganya mchanga wa muungano yeye ndio alikuwa kapiga magoti pale chini kashikilia chungu.
#Neardeathtwitter
Almost 4 days kwa Wapare Mwanga milimani kabisa Kisangara Juu has been great, no phone calls no internet just foods, drinks, Misa Takatifu and enjoying nature, Wapare are such welcoming people, I will definitely come back up here.
Nigeria has already moved to the next phase of new artists the likes of Omah Lay, Joeboy, Fireboy DML and Rema and here we are still stuck with Diamond, Alikiba and Harmonize.