Mimi siwezi kufanya kazi na
@FidQ
... Ni mbishiiiiiii sanaaaaaaa 😰😰.. Kaangalieni full clip () mniambie shida iko wapi 😒. Nimejaribu nimeshindwa. 🤷🏽♂️
#WANAtour
#TutapimaTu
Zenji Kuna sehemu nyingi za kuenjoy bei cheap msiogope ndugu zangu hata wazungu wakija zenji syo kwa wana hela wao wenyewe wana weka akiba miaka minne uko hata wewe unaeza kuja yan ukiweka pesa
Mnahangaika na watu hawawajui na hawana hata muda na nyinyi pia,kaeni chini mfanye project zenu wawaongelee pia mpate deals muingize hela msiishi kwa mihemko.
“NLITENGENEZA BEAT YA HAWATUWEZI NKIWA KWENYE DEPRESSION/NI MOJA YA BEAT ZANGU TANO BORA” - MAJANI
Baada ya salamu za heshima
toka kwa Lord Eyes
@P_Majani
alitisimulia namna alivotengeneza mdundo ambao ameweke kwenye top 5 yake wa “Hawatuwezi” akiwa katika msongo wa mawazo👇🏾
Asilimia 90% ya hip hop bongo hasa kwenye media wamepewa sapoti ya kutosha na
@Jabirsaleh
anastahili heshima mwana km unabisha hilo endelea kubisha ila ukweli ndyoo huoo