mKigoma ⚓ Profile Banner
mKigoma ⚓ Profile
mKigoma ⚓

@husseinabui

Followers
9,438
Following
1,361
Media
2,583
Statuses
102,403

Muslim.. (Salafy)

sumbawanga
Joined June 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Yes it's me... now i get paid bro.. Zaidi ya hata ambacho ungenilipa...
212
399
2K
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
BAKWATA wamejuwa kuwakomesha aise... Kumbe NTWARA waliona na taarifa wakatoa wazee wakaiminya taarifa 🤣🤣🤣.. Tukiwaambiaga hawa watu hawapo kwaajili ya waislam mnabisha haya mmefunga siku ya Eid...
125
70
970
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Chaguaneni mkimakiza lazima nicheze hamtaki naondoka na mpira wangu... 🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
36
50
809
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Utakuta muislam na yeye kakazana "HAPPY MOTHER'S DAY" .. Anadondosha masifa kemkem. Swali ni je!? Siku hii inatambulika katika dini yako!? Siku hii si katika tamaduni za kiislam. Usifuate mkumbu wa kidunia Mche Allah ndugu yangu muislam.
162
30
558
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Nisaidie kuRT elmu iwafikie wengi..
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
379
530
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Mmekunywa chai!?...
Tweet media one
58
17
421
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Kuna miji ina GUEST HOUSE halafu kuna MOROGORO 🙌🙌... Kunamtaa nipo hapa kwanzia mwanzo mpaka mwisho ni nyumba za wageni tu.. Nazinajaza fresh tu..
54
12
319
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Mwanamke yoyote anayepiga picha kuonyesha maungo/utupu wake na kupost mitandaoni huyo ni malaya..
39
11
300
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
"Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,"... Qur'an 2:2 #SomaQuran
Tweet media one
12
34
300
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Remember your final destination ..
Tweet media one
19
29
286
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
KUSIGA PRODUCTS wamekuletea HAND WASH zilizokatika harufu ya LEMON ORANGE LAVENDER na STRAWBERRY Zipo katika ujazo wa mil 500 kwa 3500/= Jumla na rejareja. 📲0654708888 au DM. Nisaidie ku-RT huenda mteja wangu ukawa wewe au yupo kwa TL yako 🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
109
272
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Leo wakati napitia sanduku langu si nikakutana na haya makaratasi.. Daah!! Nina cha kumuonyesha mwanangu ngoja niyatunze tu...
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
58
9
271
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
FACTS KUHUSU QURAN TUKUFU. 1) KITABU PEKEE KILICHO KARIRIWA NA WATU WENGI DUNIANI. 2) KITABU PEKEE KEYBOARD YYTE DUNIANI HAIWEZI ANDIKA. 3)KITABU PEKEE AMBACHO MPAKA LEO HAKIJABADILISHWA HATA NUKTA, (NA UKIBADILI HAKISOMEKI NA HAKILETI MAANA) 4) KITABU PEKEE AMBACHO HATA MZAWA
Tweet media one
35
53
275
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Hakuna ajuae ni lini na muda gani atakuwa hivi. Tumche Allah sana.
Tweet media one
14
44
264
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Nimeiokota mpyaa..na nimefanikiwa kuirejesha kwa mwenyewe.. Juzi usiku pia niliokota Samsung na nikairejesha kwa mwenyewe..
Tweet media one
Tweet media two
40
9
239
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Muislam: Jenga mazoea ya kuisoma Qur'an kila siku walau aya 5 tu. Kama unaweza kusoma vitabu mbalimbali/magazeti kwanini ushindwe Qur'an!?. Hujui basi jibidiishe Kujifunza. Quran ni kinga na mtetezi kwa waisomayo siku ya Qyama lakini pia ni uongofu kwa wenyehofu na ALLAH.
Tweet media one
9
66
230
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
MUISLAM: Tufanye challenge yenye manufaa kila siku tusome sura moja moja.. kwa wakati wako hakikisha umesoma surah husika. Allah ajaalie kheri... Tuanze na juzuu ya 30... Surah An Naba.. #Thread
Tweet media one
16
58
223
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Hakika Waumini ni wale ambao anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu, na wanapo somewa Aya zake huwazidisha Imani, na wakamtegemea Mola wao Mlezi." Qur'an 8:2
Tweet media one
5
32
214
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
26
7
205
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Rate ya single mothers ni kubwa sana kizazi chetu.. Shida nini!?...
39
10
195
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Huyu ni wewe!?...
Tweet media one
@ahmedsalimasas
Ahmed Asas
3 years
Kama Vipo mama awe anaongea kila asubuhi halafu ndo tuingie kazini.
64
56
1K
11
23
185
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Masha'allah Kinadada jifunzeni Quran maana hakuna kitu hampendi kama mambo ya dini. Oleweni na watu wanaoijua dini ni msaada mkubwa kwenu mali/nasaba na uzuri nivyamuda mchache. Tumche Allah ukweli wa kumcha.
22
45
172
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Kila nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu Sisi mtarejeshwa." Qur'an 21:35
Tweet media one
3
34
187
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
Kuna umuhimu wowote wa kusave namba ya Ex wako!? Msaada 🙏..
53
8
172
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa moyo wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu." Qur'an 64:11
Tweet media one
1
31
174
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
10
11
168
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Mtume wa Allah kasema.. waoneeni watu huruma na Allah atakuoneeni huruma wasameheni wanaokukoseeni na Allah atakusameheni mnapomkosea. Kapokea Imam Ahmad na Imam Bukhariy katika kitabu chake Al-Adab Al-Mufrad na Imam At tabarani shaykh Al Albaniy kasema ni hadithy sahihi.
6
25
163
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam una 25+yrs kwanini ukomae na mambo ya dating kwanini usipambanie ndoa. Karibia sisi sote tumekuwa katika haya mazingira ya kudate.. waislam vijana tuachane na hili tukimbilie halali na tuiache haram. ZINAA ni njia mbaya tena ni uchafu.
13
23
159
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
#TweetYaHeshima2018 kwa @MarekaMalili . Umekuwa na mchango mkubwa sana humu twitani.Kusaidia wengine kimawazo,kuchangia mijadala mbalimbali kwa kuhamasisha na kwa hoja pia.. 👊✊
Tweet media one
7
40
151
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
Baada ya serikali kuhamia DODOMA na yale matatizo ya wanaume wa Dar yote wamehamishiwa WANAUME wa Dodoma.. Asanteni wagogo kwa kutupokea kijiti 😂
17
23
147
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam msiba huu... Allah atuhifadhi na hizi fitna....
36
24
153
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam nakumbusha tu katika imani ya kiislam sherehe ya kuzaliwa (maulidi/birthday) hakuna na haifai kwa muislam kuishereheke yake au ya mtu yoyote yule. Kushiriki au kusherehekea ni kwenda kinyume na uislam (uzushi).
54
23
153
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam Mola wetu Mlezi, wala usitutwike tusiyo na uwezo nayo.
Tweet media one
7
11
155
@husseinabui
mKigoma ⚓
9 months
83
37
151
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam ilishawahi kuwakuta kama hii!?... 🤣🤣🤣🤣
36
39
142
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Kwahiyo umeenda kushtaki juu ya haya yaliyotokea!?...
9
5
129
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Aliyeelewa anieleweshe...😇
45
18
137
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Alhamdulillah I'm a Muslim 🙏
2
9
138
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Mpaka niweze kutumia hayo madude sio leo.. ukiumia nenda hosp nimelifuga tatizo kwa miaka kadha nikisikia maumivu na tumia dawa za maumivu naendelea na maisha.. Mpira unaraha yake na hasara zake ni kama hizi but Alhamdulillah OP imeenda poa.
Tweet media one
62
4
133
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam MADHAMBI TUNAYOPASWA KUYAEPUKA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
27
131
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam ukilala ukiamka kumbuka hapa lazima utaingia tu. Ijenge dunia kwa ajili ya hapo na akhera yako.usiipende tunia ukapitiliza kuwa na kiasi kumbuka hii dunia si chochote. Tumche Allah/tutende mema na tutubie mara nyingi pale tunapomkosea Allah.
Tweet media one
4
20
128
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
"Na iogopeni Siku ambayo mtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, kisha kila nafsi italipwa ilicho chuma. Nao hawatadhulumiwa." Qur'an 2:281
Tweet media one
1
29
130
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Eti ulishasikia nini kuhusu wanawake wakirangi!?.. Nata tangaza ndoa nipeni code mapemaa.. Me: Wazuri You:.....
62
4
121
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
4
6
129
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
💍...
Tweet media one
21
6
126
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Dada kaslimu bhana ... Allah amfanyie wepesi tu..
Tweet media one
19
11
125
@husseinabui
mKigoma ⚓
7 months
#Muislam Ikhuwa kwa wale ambao leo ni ramadhani 1 msiwabeze wala kuwaona watakaofunga kesho kutwa hapo sawa. Swala la mwezi lina khitilafu na kila mmoja anafuata lileanaloona kwa elmu yake yupo sawa. Tumuombe Allah atufanyie wepesi katika funga zetu.
9
27
126
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
3
15
127
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam vile tumeipuuza swala mpaka mtu akikukumbusha kuhusu ibada unamuona Adui na unamchukia. Na mtu akitimiza swala tano basi atapewa majina ya dhihaka na kuonekana kapitwa na wakati mshamba kabisa. Tumche Allah muda wetu hapa ni mchache sana.
3
26
125
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
0
15
117
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Price 35000/= tshs
Tweet media one
Tweet media two
22
34
112
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya Kesho. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari ya mnayo yatenda." "Wala msiwe kama wale walio msahau Mwenyezi Mungu, na Yeye akawasahaulisha nafsi zao.
Tweet media one
2
18
114
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
@mwalashajr Nilishamuomba sana Allah juu ya hili nanimekuwa nikiwasaidia watu hata kabla sijapata kibarua..
4
1
115
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
5
10
114
@husseinabui
mKigoma ⚓
7 months
#Muislam Hakuna funga ya asie swali. Kama unafunga na hauswali jitahidi usishinde na njaa tu we kula tu. Sababu hajaja hadithi wa athari yoyote inayosema mtu afunge na asiswali. Funga iende na ibada ya swala.
31
24
113
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
Mko wapi!? Ghetto life
Tweet media one
21
7
107
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam anajiona fahari kukwambia kasoma zaidi ya vitabu 40 visivyokuwa vya dini kwa miaka zaidi ya 10 ila haijui Qur'an na wala hana mpango wa kujifunza. Mtu aise ijua Qur'an huyu kala hasara na unaswali vipi hauijui Qur'an!? Tujifunze na tuipende kuisoma Qur'an.
Tweet media one
Tweet media two
5
12
109
@husseinabui
mKigoma ⚓
7 years
Akili ya @KennedyMmari alipoalikwa kwenye BD ya @MarekaMalili 😂😂.. Watu tushamiss vitu vya @CarolNdosi afu unataka kutuletea usanii.. Usitutanie bro 😂😂
15
9
105
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Easy sunday to you all..
Tweet media one
Tweet media two
29
11
108
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Amekula hasara Muislam ambae mpaka sasa huijui Quran wala hana muda wa kujifunza. Nakukumbusha Quran ni msaada mkubwa katika maisha yetu ya dunia/kaburini na kesho Akhera tujiilazimishe kuijua walau kuisoma tu. Allah atufanyie wepesi. #SomaQuran
Tweet media one
7
34
105
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
I was born a muslim, I am a muslim and In’Sha’Allah I will die a Muslim. And You?
19
17
103
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
0
7
103
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Paaap! Kawa #Muislam
Tweet media one
10
3
100
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
#Tweetyaheshima2018 kwa @masoudkipanya .. Amekuwa na mchango mkubwa katika utangazaji na sanaa yake ya katuni.. Tumepata ujumbe Kupitia michoro yake na pia kaweza kufikisha ujumbe wetu kwa watawala na watawaliwa..
Tweet media one
4
21
94
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu." Qur'an 6:59
Tweet media one
3
13
99
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam Qur'an 4:171..
2
17
98
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
Kuipata halali ni kazi sana... Subra/imani na uvumilivu vyahitajika sana.
6
10
98
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam "Mola wetu Mlezi! Usitufanyie mtihani kwa walio kufuru. Na tusamehe, Mola wetu Mlezi. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima." Qur'an 60:5
Tweet media one
4
16
96
@husseinabui
mKigoma ⚓
3 years
EID MUBARAK
Tweet media one
15
10
98
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
#TweetYaheshima2018 kwa @CarolNdosi .. mjasiliamali aliyechangia watu wengi kujiajiri kupitia tamasha la @NyamaChomaFest na anaendeleakutoa elimu ya ujasilia mali katika semina mbalimbali.. Lakini pia anapigania haki na usawa kwa wajasilia mali wadogo..
Tweet media one
1
22
94
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Sijui zinafanana hizi picha!? .... 😂😂
Tweet media one
@RealHauleGluck
The Magna Carta 同理心 人性
4 years
Wanafunzi wa chuo cha Uhasibu- Arusha waandamana baada ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu @HESLB @HESLBTanzania kukata pesa zao za kujikimu.
Tweet media one
85
47
1K
32
21
94
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 months
Hili jambo lingekuwa limetokea katika shule ya kiislam/madrasa au zanzibar wala usengesema mnahitaji tamko Bali mngeruka nao baada tu ya clip kusambazwa mitandaoni.
@rollymsouth
Madenge
6 months
Iyo shule ya Mount Moriah isipotoa tamko kuhusu mwanafunzi wao kulawitiwa tutaijazia kunguni na hawana cha kutufanya,tutaichafua shule bando tunalo.
119
174
2K
48
4
94
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Napenda kuwasikiliza wasomi hawa wa Qur'an Saad Al Ghamdi na Sheikh Maher Al Muaiqly.. Wewe je!?
24
22
95
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam "Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa hishima." Qur'an 17:23
Tweet media one
2
19
92
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam Qur'an kila siku watu wanafanya tafiti za aya zake na bado hawaimalizi.. Naam hakika Qur'an ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake.
6
30
93
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam Amesema mtume (ﷺ) "Anaporamba mbwa kwenye chombo cha mmoja wenu, basi akioshe mara saba, mojawapo kwa mchanga" [Muslim, Ahmad na Abu Daawuwd].
8
33
94
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam Marriage is one of the reasons for happiness.❤️
Tweet media one
2
14
95
@husseinabui
mKigoma ⚓
7 years
"ukweli unafungwa pingu uongo uzidi kuenea" @FidQ
3
16
87
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam unamiaka 20+ ,30+ kusoma Qur'an hujui na huna juhudi zozote za kutaka kuijua ndugu umekula hasara tena kubwa sana. Umri haukusubiri na pumzi isikudanganye tia juhudi uijue..
7
15
92
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
#Al_hadith Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kuna watu saba (7) ambao Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) atawafunika katika kivuli chake katika siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa kivuli chake Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa)”: #QuranNaSunnah
4
9
88
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam hakikisha unakuwa na hichi kitabu kinaitwa Hisn Al Muslim.. Mahususi kwa Nyiradi za kila siku.
Tweet media one
5
16
90
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
WEMA USIZIDI UWEZO... #kitaaSwahili
Tweet media one
0
26
79
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
Beno Kakolanya and I Story Tumekuwa Sumbawanga nilisoma mwenge B yeye Mwenge A. nilimzidi darasa 1. Sec:Me ;sumbawanga Sec Beno : Kanda /Mbeya Tulicheza chandimu mpaka gozi pamoja. Tulikuwa pamoja kikosi cha U17 copa 2008 akiwa kipa mie fowadi.. #Thread
Tweet media one
18
18
81
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
#KitaaOLOJIA album ya @FidQ ipo tayari kukufikia Ingia hapa kwa maelezo zaidi ------>
Tweet media one
2
18
79
@husseinabui
mKigoma ⚓
4 years
Usiache SWALA sababu Kuna zaidi ya mamailioni makaburini wanatamani wapate UHAI kama wetu, walau dakika moja wapate kumsujudia Allah.. Ukumbusho: Swali kama unamuona Allah na kama haumuoni basi amini yeye anakuona.. #Muislam
2
11
84
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Before you judge ISLAM pick up a verse from the Qur'an read ,..your will never be the same again.
5
31
86
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
1
17
87
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Tweet media one
1
16
87
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam kazi sio RIZKI na RIZKI sio kazi. Unaweza kuwa na kazi na usiwe na RIZKI na unaweza kuwa huna kazi na ukapata RIZKI. Kazi ni asababu tu. Allah anasema tukimcha na kumtegemea atatupa RIZKI kama anavyowapa ndege. Tumche Allah sana.
3
10
84
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Unaukubali uislam unakataa muongozo wa mtume. Baadae unajitokeza eti unatetea wanawake wa kiislam.haya unayoyafanya ni kukhalifu yale aliyotufundisha mtume. uislam umekamilika na Allah anatujua zaidi hizi harakati zisikufanye ukamkufuru Allah. Ukhty mche Allah.
@SalhaBintiAziz
Salha Binti Aziz 🇹🇿
1 year
Mdahalo wa Kitaifa wa Mabadiliko ya Sheria ya ndoa Wabunge: 18 Viongozi wa Kimila: 18 Wadau wa NGOs: 18 Maaskofu: 18 Masheikh: Balehe! 🙂 Kweli tunashindwa kujitoa kulinda na kuwalea watoto kwenye maadili!? Tunashikilia ndoa za utotoni za kuendelea kuwatesa watoto hadi lini?!
Tweet media one
163
43
187
25
11
84
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Dear Allah, I know I’m not perfect, but thank you for loving me and making me a Muslim.
4
6
83
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Tweet media one
2
7
83
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
Tweet media one
2
7
83
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
Tweet media one
2
11
83
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
🤲
Tweet media one
4
9
83
@husseinabui
mKigoma ⚓
2 years
#Muislam "Na Sisi tunajua kwa hakika kuwa wewe kifua chako kinaona dhiki kwa hayo wayasemayo." "Basi mtakase Mola wako Mlezi kwa kumhimidi, na uwe miongoni wanao msujudia." Qur'an 15: 97 - 98
Tweet media one
0
10
81
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
Kumbuka 👇👇
Tweet media one
0
14
76
@husseinabui
mKigoma ⚓
5 years
"Nitaoga baadae kidogo" hii kauli imewalaza wengi bila kuoga..
11
6
75
@husseinabui
mKigoma ⚓
6 years
Chozi la mwanaume halina thamani yyte hapa duniani unaambiwa chenye thamani kwa mwanaume ni jasho lake tu sasa ww endelea kujiliza mtoto wa kiume Shubaamit
7
18
73
@husseinabui
mKigoma ⚓
1 year
#Muislam Aliulizwa Mtume wa Allah ﷺ kuhusu jambo ambalo litawaingiza wengi peponi akasema ﷺ: "Kumcha Allah na tabia njema" ~Imepokelewa na Tirmidhiy
1
14
77