LONEWOLF🐺 Profile Banner
LONEWOLF🐺 Profile
LONEWOLF🐺

@rastaclaaaat

Followers
7,000
Following
3,753
Media
528
Statuses
29,225

| Cattrovert | Chelsea Fan | I’m Hyper Vigilant | Real Lover |

Joined March 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 months
There something about Hijab maaan can’t even explain 🥰❤️ and the way everyone around her is stunned in a good way it’s amazing 🤩
22
104
705
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
7 days
Sasa huyu alipanda aje huko juu🙌🏾😂
132
3K
10K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex Girls stop doing anal sex.
254
92
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Kaka zangu siku hizi wanawake wazuri ni wengi mno, hao wenye mabody vinanda ndo balaa.. Sa sikieni wewe chagua mzuri wako mmoka weka ndani hao wazuri wengine achana nao utakuja kufa na UKIMWI bure...Halafu nyama ni ileile mnahangaika nn? au ndo viungo vya nyama tofauti? 🤔🤔
292
56
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Nimemiss kuvaa UDSM ID.... 😀😀😀😀😀 Vile vitambulisho vinapendeza banaa... Mkubali mkataeee.... Where are My UDSM Alumni gang at???? 🤗🤗🤗 Bachelor of Arts in Sociology, In Health Management and Population Studies. Drop your course. 👇👇👇👇
272
17
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Hakuna viumbe Cheap kama wanaume.. Hawa viumbe hawajui na hawawezi kusema hapana.. Ukiwabeep tu wanakupigia!!!!! 😀
220
23
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Mwanaume mwenye miaka 28 na Mwanamke mwenye miaka 26, mkubwa Mwanamke mwenye miaka 26. Sidhani kama kuna mtu atabisha kwenye hili. 🙄
270
34
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Jamani mmesikia kingereza cha ndugu yetu Samatta???? Eeeeeeish Samatta kampita mpaka Waziri wetu aaah siyo kweli.. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kinge kimanyooka!!! Kwahyo tunakubaliana team yetu nyingine ya Taifa ni Aston Villa?
80
16
1K
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Naomba niulize kitu waislam... Eti kwenye video ya Harmonize kushoto/kulia pale alipoonekana kavaa kanzu na wale wamama wamevaa hijab na kwa mziki wa aina kama ile ni sawa?
434
27
990
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Ila wanaume wa Dar bana ni wakuwakagua sana.. unaweza muonaa hivyo kumbe ndo vile.... okay, to cut the story short one of my friend is heartbroken rn.. Kagundua mchizi ndo vile... and mchizi choose the guy over her.. Smh! Kaguweni wanaume zenu jamani!💔
239
22
870
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Natamani kupendwa.
433
19
873
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Nawaambiaje siku moja ntakuja kuwa Mtangazaji mkubwa wa redio, ntakuja kumiliki mgahawa mkubwa na wote mlionifollow na msionifollow na hao celebs wenu watakuja mgahawani na picha watapiga na hashtag ya kibabe.. #MariamKhanFoodPorn . Mark my Tweet. Mark my Tweet.
123
26
807
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Dada kama anavaa safari boots na mfanano wa viatu Kama hivyo, Tumia Condom Ana matege, Tumia Condom Ana IST, Tumia Condom Ana Kipara halafu kaachia midevu au hata kiuchebe, Sis tumieni Condom Ana mke, Tumieni Condom Mmanyema, Tumieni Condom. nawajua Kaka zangu wa Kigoma. 😀😀😀😀
111
18
751
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Kiuno kinauma kama kidonda.. kubabeki!! 😣😣😣 Msiniambie ninywe Mifupen, nishakunywa!! Nifanye nini kipoee??
196
15
741
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Nimepoteza Babu yangu. Amefariki akiwa na umri wa miaka 98. Moyo wangu unalia sana. Alikuwa mshakaji wangu wa dhahabu kabisa.💔💔💔💔💔💔 I am so sad right now. 😔😔😔
156
22
742
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Block 89, opinions zenu kuhusu Burna tumezisikia, ila niwaambie tu Kijana Mchomaji hawajui, na wala hajali.. 😂😂😂😂 Afu pia siyo Kobe as Kobe its pronounced Kobi.. 😂😂😂 Afu mwambieni Boss wenu awapeleke na shule mko local sana! Its time muwe professional! Aibu yenu! 🚮🚮
61
28
656
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Money doesn't need noisy!! That is why they don't play music at banks. Vijana tupunguze unnecessary brags! If you got the shit let that shit make the noise..Habari sijuii I have this and this it's annoying kwakweli. Stop being insecure!! Naweza nikakupenda hata Kama huna kitu.
79
25
632
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Zamani kidogo ilikuwa ukipelekwa kwa wazazi wa boyfriend wako unakuwa na uhakikaa kidogo kwamba yes He is mine, na kweli inakuwa hivyo kijana atafanya jambo, lakini siku hizi kupelekwa kwa wazazi siyo guarantee tena,atakupeleka na bado anaweza kukuacha solemba. Shida kubwa ni nn?
124
20
611
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Sihitaji mume ambae nitakuwa chaguo lake la kwanza Ila nahitaji niwe chaguo lake la pekee... 🤗🤗🤗🤗🤗
211
11
578
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Guys nna shida kama ya 500k hiviii nani mwenye roho nzuri na upendo wa Agape anaweza kunitumia mm Dada ake faster???? 🤔🤔🤔🤔🤔
137
14
567
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Sikia, nna 26 years, nikilala kuangalia juu nyonyo nazo zinaangalia juu, ndiyo sina mtoto, ndiyo sina bf, sifinywifinywi kama avocado gengeni, siyo mjeuri, ila jeuri ya kukwambia wewe siyo type yangu nnayo, sijarogwa! Unasemaje?. 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@chibelube
Genious✍️
4 years
Dem una 23yrs, ukilala umeangalia juu Nyonyo zinalala kwa makwapa, huna mtoto, huna real boyfriend, kazi ni kufinywafinywa kama avocado gengeni, alafu uko na jeuri ya kuniambia mimi sio type yako, umerogwa wewe sio bure.😂😂😂🙌
288
118
2K
152
19
578
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Uko kwenye chumba kimoja na Wakazi na Roma Mkatoliki then boom simu yako ikapoteaa.. nani utamuhisi kachukua?? 😀😀😀😀
85
8
513
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
I am beautiful, you can't come here and compare me with anyone.. Nna uzuri wangu kivyangu! sifanani na yoyote! Huyo mdada wa kichaga mnaenipambanisha nae nakusema yeye ni mzuri zaidi yangu, sasa nawaambia hivi yeye ni mzuri wa kichaga na mm ni mzuri wa kimanyema. Smh!
84
13
506
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Nimemiss kupenda mtu... 😛😛😛😛😛😛
155
13
483
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Aliesema mwanaume awe na sura nzuri nani?? Mwanaume awe na Grey, White, and black tshirts yani kazidisha sana blue dark, avae short zile, anukie, hair cut moja smart, be tall, kuwa na hela, kuwa mweusi, na usinuke mdomo.. baaaasi!
59
21
463
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Dear future boyfriend nakuomba tafadhali usinitambulishe kwa ndugu yako yoyote mpaka pale utakaponichagua kuwa mkeo..Maana nimeshachoka kuwa na urafiki na ndugu wa exes! I am too good and I know your relatives won't let go of me even if you will! So please!
58
23
462
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Mwanaume wa kitanzania yuko tayari kumuoa mdada alietoa mimba sita na kukataa kabisa kumuoa mdada mwenye katoto kake kamojaa tu.. Eti Kaka zangu niambieni mnapajua mnapofeli????
105
24
455
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Married men please leave me alone! Married men please leave me alone! Married men please leave me alone! Married men please leave me alone! Married men please leave me alone! Married men please leave me alone! Married men please leave me alone!
93
8
444
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Yani sasa hivi ukiingia Twitter when you scrolling kati ya tweet 10 basi tweet 8 it's all about sex.. 🙄🙄🙄 Ndo nn sasa??? Ni kwamba sex is all what we can talk about or ndo genye mshindo???? SMH! Sipendii!!
98
14
442
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Ila hili swala la Mitchel mimi na Lusako @LusakoWaKwanza tulilihisi nakumbuka tulidiscuss wenyewe kwa simu tukamaliza! Nakumbuka nilimwambia Lusako I have a very strong feeling there is no such a thing. Hakuna Mitchel wala hakuna aliekufa.Then Booom! It is what it is bby!
67
11
443
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
No darling... if my Man can't do that... I will teach him how to do so... Teaching is easy! STD's are real woman!! So I no go cheat!!! Periodt!!
66
40
433
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
25 days
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
47
38
454
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Eti ni kweli akili za wanawake 50 ni sawa na akili za mwanaume mmoja tena akiwa amelewa??. 😀
62
14
401
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Mahari siyo wingi wa pesa. Bali, ni ishara ya Heshima kwa mwanamke na familia yake... Kwahyo wadada tusiwakomoee vijana wa watu jamani.. Wanataka sana kutuoa tatizo mdada anataka kuolewa kwa 6M.. Are you serious?????
85
24
407
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Mapigo ya moyo yanadunda kwa kasi, napumua kama sipumui, kichwa nakiskia kizito, Jana usiku nimekula fruits tu asubuhi nimeamka sijala chochote mpaka muda huu, lakini eti nahisi tumbo limejaa.. And I don't feel like doing anything! laying on bed feels so sick. 😒😒😒
108
13
394
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Toxic relationship siyo mpaka acheat tu... Unaweza ukawa kwenye mahusiano na mwanaume anajiona mzuri kushinda wewe mwanamke... 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
52
10
383
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Wilaya ya ILala Kata Msongola Kituo Mbondole Sekondari Nipo hapa naandikisha wazee kwa vijana vitambulisho vya kupiga kura... Ni haki yako kuwa na kitambulisho cha kupiga kura... Kama unaishi Msongola fanya kujisogeza utanikuta mtoto mzuri nikuhudumie. #BVR
51
20
380
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Kwa stage ambayo Diamond amefikia hahitaji kufanya wala kuongea hayo anayoyaongea.. Tuseme anataka fame? No! anataka nn sasa?? The guy has everything, the guy ameshapiga hatua kwenye mziki wake na watanzania wote tunalijua hilo.. asa mbona mchizi amekuwa na maneno mengi?
77
15
371
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Kuna one of my friend, he is married! Aliwahi kuniambia.Mariam," mwanaume kuoa kuna mambo mengi sana na kuna vitu vingi sana vinavyomfanya mwanaume amuoe huyo aliemuoa. One thing I want to tell you, Kuoa hakumfanyi mwanaume asipende tena" Guys hii statement ina ukweli??? How?
55
11
365
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Wapendwa hivii ukiwa disappointed na mtu uliekuwa unamrespect kupita maelezo, afu akafanya kitu cha kipumbavu unabakia unajiuliza kwamba hivi ni yeye kweli?? Ukiwa katika hali hiyo nini cha kuzingatia na kufanya muda huo? I swear guys I am so hurt and disappointed!💔
89
13
319
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
I have blocked 185 people.... Smh!! 🙆🙆
107
6
318
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Nobody is a nicer than a guy who hasn't fvcked you yet!!
49
12
325
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu Wanaume wa Dar waaminifu. Case Closed!!
71
23
308
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
16 days
Vijana fanyeni kazi kwa bidii mpate gari za ndoto zenu🌚
261
25
329
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Ni ngumu sana kugundua mahali fulani kuna upendo kama huo upendo ukitolewa in a hard way... Wanaume wengi wakiafrika wanapenda sana ila wanapenda in a hard way...So as woman itakuhitaji akili nyingi utumie ili kuugundua na kuona huo upendo. Sasa najiuliza kwann?
53
16
308
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
I have 476 DM requests that I never accept, plus I have 221 Direct messages that I never reply... Who am I????
99
2
287
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
It's Sunday...!!!! Nani anataka nije kwakee tudiscuss siasa??? 😂😂😂😂
34
4
291
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Nawakumbusha ndugu zangu mlioko kwenye mitoko Leo... wale wadada wakalii ndo wengi ni HIV positive, na wale wakaka presentable mnawaita wenyewe ndo wengi ukiambiwa anakunywa ARV utakataa.. So msidanganyike na mionekano mtumie condom... Safe sex!
33
17
286
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Nikikumbuka niliwahi kuwa na mcrush Muheshimiwa Kigwangalla halafu nikisoma tweet zake za chatu!! Yani inakuja kama pumu halafu inakataa, masikio yananiuma, kifua kinabana, miguu ndo hainyanyuki yanii!!! Ni nini hikii???
17
5
284
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
I think he doesn't know what to do with me, cuz I am not impressed by his money... Mchizi hamiini that I am not after his money... 😂😂😂😂😂😂
43
8
284
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Kibakuli bana etii Dodo.. 😀😀😀😀😀😀😀 Yani si ni bora nijinyonge kuliko niache shughuli zangu nisikilize Dodo tf! Dodo ndo nn?? wimbo mbaya sana uleeee..
51
12
268
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 years
I dont find Mandonga funny😒 hajawahi kunichekesha kwa chochote..eti “nikipigwa kama nimepiga na nikipiga kama nimepiga”watu kicheko..Mnacheka nn guys??mnamchuza mwenzenu saa hii anajihisi half comedian half boxer😫
164
15
279
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Dada angu kipenzi naomba nikwambie kitu mwanaume wa peke yako duniani hayupo labda awe amekuja na mafuriko lakini kama kazaliwa either kwa njia ya kawaida au kwa operation hakuna huyo mwanaume.. Na kama mnaniona mm muongo waulizeni Mama zenu wanajua ukweli. Watawaambia!
37
19
255
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Girlfriend wako mzuri? Au ndo ana confidence??😀😀😀😀
42
8
253
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
3 months
@brokenx21
✨ 𝟚 𝟘 𝟚 𝟜 ✨
3 months
Sema dresses huwapendeza sana dada zetu!
0
5
23
75
38
272
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
This coming TOT Bonanza will be my first Bonanza to attend inshaallah. But since sina hata nnaemfaham napata hisia I will be lonely..😫 I want someone to show me around there and give me company. Who is ready??
38
2
253
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Familia yangu ya Twitter where are you at? Nataka niwaambie nawapenda sana❤. Nawashukuru sana kwa maneno yenu ya faraja na dua zenu. Babu kashapumzika, Mungu akamsamehe madhambi yake🙏. Amiin! Love.
26
3
257
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
3 months
🐺
@itssme_mimi10
MIMI
3 months
Which colour are you wearing today??
69
2
103
46
26
260
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Goooooood moooorning Manchester United Fans... Swalaaamaaaaaa!! mwajionaje na hali asubuhiiii hiii???? Kayfal haal??? 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
34
9
233
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
To My Beloved Future Husband. I DONT CARE WHAT WILL GOING TO HAPPEN BUT DIVORCE IS NOT AN OPTION. Your Beautiful, Mariam.
26
11
231
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
27 days
Look deep into my eyes and find yourself.
Tweet media one
39
27
241
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Hivi kwani Mbosso kawafanya nn watu wa Mombasa?? Yani wanampenda balaa... huwaambii kitu kuhusu Mbosso...
23
5
227
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Hey guys I want to tell you that I have a boyfriend and to be honest we are in a good state. but you know what? 🤔 I am free! Don't let my boyfriend stopping you from marrying me. Just shoot!!!
38
6
225
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
3 months
Rich kids wa Upanga bana sijui huwa wanajiona kina nani😂😂 Yes I said No to you na hakuna kitu utafanya😂
19
12
242
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Nilimuuliza mbona unalike every woman’s picture here, likes zako ni picha tu za wadada akanijibu yeye ni big supporter of woman empowerment and everytime he sees a chance to uplift a woman he gonna do that even if it takes to like their pictures💔💔😂 kila nikikumbuka naisha😂
30
22
235
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
So what this??? How can you be my boyfriend??? I don't even know you... 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
59
9
217
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
My dear sisters siyo kila ex wako anapotaka kurudi kwako anarudi kwa mapenzi, hapana! wengine wanakumbuka tu gharama zao walizotumia kwako wanapata hasira, anakurubuni anarudi kukudinya mara kadhaa anaamsha! These capital letter D aren't loyal kabisa.. 🙄🙄
34
16
213
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Wimbo mmbaya bwana Kiba.. 🙄🙄🙄
28
4
209
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Explaining myself is a lot of work. We ni judge tu mzee😒
42
31
225
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
I think sex partner is good than being fooled in the name of love.
29
11
206
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Speaking of that, 2 years I go I had a boyfriend who wanted me to bleach my colour tena alikuwa ananinunulia kabisa mikorogo ya gharama nikawa situmii, nisipotumia ananikasirikia, alikuwa anataka mm niwe mweupe nikakataa cuz I love my colour..
@MiriamMkanaka
MIRIAM💜
4 years
Ladies usibadilishe muoenekano wako kisa tu mahusiano yanakufanya ufanye hivyo asipokupenda kwa uhalisia wako hatokupenda ata ukibidilika ☺️
31
18
382
19
4
201
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Kama hauna kitu ukanitaka nikakukataa usije ukafikiri nimekukataa sababu hauna hela hapana, it's not always about the money, kuna kutokukupenda pia, kama ambavyo wapo wenye hela wananifata na nawakataa. Kama hauna hela na nimekukataa hata uje uwe nazo ntakukataa tu.
44
4
201
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Ladies hebu mkubalieni huyo kaka jamanii mtampa depression mana naskia mnamtolea nje sana😂😂 look at him now he needs to go extra to prove to you ladies na bado mnakaza, aki muhurumieni atachizi😂😂 kuna mtu kaniambia ananunua audience naishaaaa🤣😂
26
17
215
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Behind every tweet there’s someone saying “huyu nae” but it’s okay mi si ndugu yako!!
Tweet media one
30
19
207
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
I want my own boyfriend lakini ndo hivyo nimezaliwa Tanzania na kushare ni lazima... So yeah naelewa... 🙄🙄
20
5
198
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
If you are reading this... I am beautiful😛😛😛
25
2
189
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
1 month
Nimeambiwa niulizie kituo kinaitwa “Tobo La Pili” nimechoka🤦🏾‍♀️ Im done with Zanzibar people😆😆
34
10
200
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Ankal Mondi ana mambo yake tu personal ambayo honestly speaking hayatuhusu.. Ila when it comes to his music Ankal knows what he is doing.. Y'all all heard me or shud I increase the volume???
17
9
182
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 years
Mi ni Simba damdam ila hizi Jersey hapana😭
58
8
187
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Mwanaume akiomba kakwama Ila Mwanamke akiomba omba omba?? Ok.
29
12
196
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Siyo vibaya kuwa na mtu tajiri sana kuliko Mimi, na ikitokea ntaikubali tu hiyo hali, ila personally I wud rather be with someone ambae niko nae level sawa so we can hustle together and get that paper, au kama akinizidi basii asinizidi saaana. Unajua kwann? Comfortability!
16
7
182
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Guys inabidi sasa niache kula kucha.. nisaidieni kunipa tips, vitu vya kufanya kuacha kula kucha aisee... nimekuwa nikila kucha zangu kwa takriban miaka 16 sasa... Nataka niache!
51
2
174
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Miri Mimi napika mpaka vitumbua vya samaki unavijua vitumbua vya samaki wewe? 😂😂😂😂😂😂😂 Lakini that Nigga never act right! Yani hawa viumbe ni wa kuowaombea kwakweli sijui wanataka nn? mana unaweza kujua kupika na bado asikuchague. 😂😂😂😂😂😂😂
@MiriamMkanaka
MIRIAM💜
4 years
Am sorry nko against kdogo na ww unaolewaje hujui kupika, mtakula mahotelin mpaka lini, sawa kama hujui kupika basi onesha nia ya kujifunza kupika so kwa vile mpenzi wako anajua hujui basi na ww unakaa tu 🙌🏿🙌🏿🤭Aisee hapana kwa kweli vingine ulivyo ongea i agree📌
51
10
267
39
3
178
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Incase unadhani ushajionea yote kwa hii dunia🤦🏾‍♀️💔💔💔
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
43
21
189
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
9 days
Tanzanian men will always complain that their marriage is not doing well lakini mke wake anapata mimba kila mwaka.
19
13
186
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Kaka wifi yangu ana mguu mzuri au ndo hivyo bora anatembea?? 🤔🤔🤔😂😂😂😂
19
4
167
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
1 month
Lakini yule jamaa kwani ni kitu gani anataka kuprove?? Mbona ni mtu mzima sana kuact anavyoact💀 hana marafiki wenye akili timamu wa kumshtua like oyaa mzee unajichoresha hana???
20
11
183
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Katika sala zetu tunazosali kila siku tusisahau kumuomba Mungu atuepushe na situation ya kuwa accused of something you did no do, and you have nothing to prove that you did not do it! This situation is hurts and scary and disturbing AF! Mungu akatuepushe na husda zote j4 hii. 🙏
12
12
170
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
5 years
Queen Darlin kwann anaimba?? 🤔🤔
52
1
166
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Watanzania wakikuchoka bana😂😂 Zamaradi maskini ana kazi ya kujitetea huko IG raia wanasema gari si ya mumewe ni ya serikali ilipata ajali kwenye msafara Zamaradi nae anasema gari ya mumewe na yeye alikuwepo kwenye msafara😂😂 Alooo!!
7
4
176
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
3 months
Mi na fundi wangu tukitoa kitu Come shine with us guys☺️ Tupo Tandika stand ya magari ya sinza. Karibuni sana.
Tweet media one
Tweet media two
@anthonystilldey
𝔸𝕟𝕥𝕙𝕠𝕟𝕪 ℕ𝕠𝕥 𝕁𝕠𝕤𝕙𝕦𝕒👾
3 months
With just a picture, tell us what you do for a living.
3K
779
12K
46
31
175
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
11 days
Msichanganye takle kubwa na takle lililokaa vizuri naomba tuelewane hapo tafadhali…Unaweza ukawa na takle kubwa na bado ukawa shapeless au una takle na kitambi ndio nn sasa😒
25
12
173
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
1 month
Guys when it’s comes to friends chagua marafiki ambao wana vyeo CCM huko like Chama kinawatambua just be around them save their numbers and when they call shika simu zao on time kuna vitu huwezi solve kama huna rafiki kada wa CCM😂
33
9
170
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Nyie watu wameanza bana kulala na Nyoka😭😭 Hii ni gani tena???
53
19
169
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Ila humu ndani kuna watu wana shobo.. 😀😀 yanii utakuta mwanaume mzima anashobokea mwanaume mwenzie.. 😀😀😀 watu wanakukataa ilaa umo tu.. jikaze basi!!! Kaza mtoto wa kiume shauri yako!!
17
4
154
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Mnajua mm shida yangu huwa ni nini?😂 Mimi sio kwamba sipati mtu wa kunipenda shida ni kwamba wananipenda kidogo na mm staki😒 mi nataka kupendwa sana. I love hard so I need someone ambae atanipenda sanaaa nikiona tu unanipenda kawaida kawaida nakuacha aisee💔💔😂
33
14
165
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
2 months
Halafu baadae binti wa watu katoboa muanze kusema ooh anadanga💔💔 Anajizima data maskeen kutangaza biashara yake kudos to Tessy wallah! Kanajituma haka kadada👏🏾👏🏾🙌🏾
13
18
164
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
4 years
Instead of Valentine's day, we should just have a second Independence Day... I hate Valentine Day!
17
4
147
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
17 days
Kijana ni broke lakini relationship imeshikiliwa na inches💔😂
14
10
160
@rastaclaaaat
LONEWOLF🐺
3 months
Cheusi.
Tweet media one
@_Mrc_09
Ethan Hunt🤟🏾💥
3 months
B&W let's see yours 👇🏾
Tweet media one
25
8
54
22
16
159