Kaka zangu siku hizi wanawake wazuri ni wengi mno, hao wenye mabody vinanda ndo balaa.. Sa sikieni wewe chagua mzuri wako mmoka weka ndani hao wazuri wengine achana nao utakuja kufa na UKIMWI bure...Halafu nyama ni ileile mnahangaika nn? au ndo viungo vya nyama tofauti? 🤔🤔
Nimemiss kuvaa UDSM ID.... 😀😀😀😀😀
Vile vitambulisho vinapendeza banaa... Mkubali mkataeee.... Where are My UDSM Alumni gang at???? 🤗🤗🤗
Bachelor of Arts in Sociology, In Health Management and Population Studies.
Drop your course. 👇👇👇👇
Jamani mmesikia kingereza cha ndugu yetu Samatta???? Eeeeeeish Samatta kampita mpaka Waziri wetu aaah siyo kweli.. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kinge kimanyooka!!! Kwahyo tunakubaliana team yetu nyingine ya Taifa ni Aston Villa?
Naomba niulize kitu waislam... Eti kwenye video ya Harmonize kushoto/kulia pale alipoonekana kavaa kanzu na wale wamama wamevaa hijab na kwa mziki wa aina kama ile ni sawa?
Ila wanaume wa Dar bana ni wakuwakagua sana.. unaweza muonaa hivyo kumbe ndo vile.... okay, to cut the story short one of my friend is heartbroken rn.. Kagundua mchizi ndo vile... and mchizi choose the guy over her.. Smh! Kaguweni wanaume zenu jamani!💔
Nawaambiaje siku moja ntakuja kuwa Mtangazaji mkubwa wa redio, ntakuja kumiliki mgahawa mkubwa na wote mlionifollow na msionifollow na hao celebs wenu watakuja mgahawani na picha watapiga na hashtag ya kibabe..
#MariamKhanFoodPorn
.
Mark my Tweet.
Mark my Tweet.
Dada kama anavaa safari boots na mfanano wa viatu Kama hivyo, Tumia Condom
Ana matege, Tumia Condom
Ana IST, Tumia Condom
Ana Kipara halafu kaachia midevu au hata kiuchebe, Sis tumieni Condom
Ana mke, Tumieni Condom
Mmanyema, Tumieni Condom. nawajua Kaka zangu wa Kigoma. 😀😀😀😀
Nimepoteza Babu yangu. Amefariki akiwa na umri wa miaka 98. Moyo wangu unalia sana. Alikuwa mshakaji wangu wa dhahabu kabisa.💔💔💔💔💔💔
I am so sad right now. 😔😔😔
Block 89, opinions zenu kuhusu Burna tumezisikia, ila niwaambie tu Kijana Mchomaji hawajui, na wala hajali.. 😂😂😂😂 Afu pia siyo Kobe as Kobe its pronounced Kobi.. 😂😂😂 Afu mwambieni Boss wenu awapeleke na shule mko local sana! Its time muwe professional! Aibu yenu! 🚮🚮
Money doesn't need noisy!! That is why they don't play music at banks.
Vijana tupunguze unnecessary brags! If you got the shit let that shit make the noise..Habari sijuii I have this and this it's annoying kwakweli.
Stop being insecure!! Naweza nikakupenda hata Kama huna kitu.
Zamani kidogo ilikuwa ukipelekwa kwa wazazi wa boyfriend wako unakuwa na uhakikaa kidogo kwamba yes He is mine, na kweli inakuwa hivyo kijana atafanya jambo, lakini siku hizi kupelekwa kwa wazazi siyo guarantee tena,atakupeleka na bado anaweza kukuacha solemba. Shida kubwa ni nn?
Sikia, nna 26 years, nikilala kuangalia juu nyonyo nazo zinaangalia juu, ndiyo sina mtoto, ndiyo sina bf, sifinywifinywi kama avocado gengeni, siyo mjeuri, ila jeuri ya kukwambia wewe siyo type yangu nnayo, sijarogwa! Unasemaje?. 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Dem una 23yrs, ukilala umeangalia juu Nyonyo zinalala kwa makwapa, huna mtoto, huna real boyfriend, kazi ni kufinywafinywa kama avocado gengeni, alafu uko na jeuri ya kuniambia mimi sio type yako, umerogwa wewe sio bure.😂😂😂🙌
I am beautiful, you can't come here and compare me with anyone.. Nna uzuri wangu kivyangu! sifanani na yoyote! Huyo mdada wa kichaga mnaenipambanisha nae nakusema yeye ni mzuri zaidi yangu, sasa nawaambia hivi yeye ni mzuri wa kichaga na mm ni mzuri wa kimanyema. Smh!
Aliesema mwanaume awe na sura nzuri nani?? Mwanaume awe na Grey, White, and black tshirts yani kazidisha sana blue dark, avae short zile, anukie, hair cut moja smart, be tall, kuwa na hela, kuwa mweusi, na usinuke mdomo.. baaaasi!
Dear future boyfriend nakuomba tafadhali usinitambulishe kwa ndugu yako yoyote mpaka pale utakaponichagua kuwa mkeo..Maana nimeshachoka kuwa na urafiki na ndugu wa exes! I am too good and I know your relatives won't let go of me even if you will! So please!
Mwanaume wa kitanzania yuko tayari kumuoa mdada alietoa mimba sita na kukataa kabisa kumuoa mdada mwenye katoto kake kamojaa tu..
Eti Kaka zangu niambieni mnapajua mnapofeli????
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Married men please leave me alone!
Yani sasa hivi ukiingia Twitter when you scrolling kati ya tweet 10 basi tweet 8 it's all about sex.. 🙄🙄🙄
Ndo nn sasa??? Ni kwamba sex is all what we can talk about or ndo genye mshindo???? SMH!
Sipendii!!
Ila hili swala la Mitchel mimi na Lusako
@LusakoWaKwanza
tulilihisi nakumbuka tulidiscuss wenyewe kwa simu tukamaliza! Nakumbuka nilimwambia Lusako I have a very strong feeling there is no such a thing. Hakuna Mitchel wala hakuna aliekufa.Then Booom! It is what it is bby!
Mahari siyo wingi wa pesa. Bali, ni ishara ya Heshima kwa mwanamke na familia yake...
Kwahyo wadada tusiwakomoee vijana wa watu jamani.. Wanataka sana kutuoa tatizo mdada anataka kuolewa kwa 6M.. Are you serious?????
Mapigo ya moyo yanadunda kwa kasi, napumua kama sipumui, kichwa nakiskia kizito, Jana usiku nimekula fruits tu asubuhi nimeamka sijala chochote mpaka muda huu, lakini eti nahisi tumbo limejaa.. And I don't feel like doing anything! laying on bed feels so sick. 😒😒😒
Wilaya ya ILala
Kata Msongola
Kituo Mbondole Sekondari
Nipo hapa naandikisha wazee kwa vijana vitambulisho vya kupiga kura... Ni haki yako kuwa na kitambulisho cha kupiga kura... Kama unaishi Msongola fanya kujisogeza utanikuta mtoto mzuri nikuhudumie.
#BVR
Kwa stage ambayo Diamond amefikia hahitaji kufanya wala kuongea hayo anayoyaongea.. Tuseme anataka fame? No! anataka nn sasa?? The guy has everything, the guy ameshapiga hatua kwenye mziki wake na watanzania wote tunalijua hilo.. asa mbona mchizi amekuwa na maneno mengi?
Kuna one of my friend, he is married! Aliwahi kuniambia.Mariam," mwanaume kuoa kuna mambo mengi sana na kuna vitu vingi sana vinavyomfanya mwanaume amuoe huyo aliemuoa. One thing I want to tell you, Kuoa hakumfanyi mwanaume asipende tena" Guys hii statement ina ukweli??? How?
Wapendwa hivii ukiwa disappointed na mtu uliekuwa unamrespect kupita maelezo, afu akafanya kitu cha kipumbavu unabakia unajiuliza kwamba hivi ni yeye kweli?? Ukiwa katika hali hiyo nini cha kuzingatia na kufanya muda huo? I swear guys I am so hurt and disappointed!💔
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu
Wanaume wa Dar waaminifu.
Case Closed!!
Ni ngumu sana kugundua mahali fulani kuna upendo kama huo upendo ukitolewa in a hard way... Wanaume wengi wakiafrika wanapenda sana ila wanapenda in a hard way...So as woman itakuhitaji akili nyingi utumie ili kuugundua na kuona huo upendo. Sasa najiuliza kwann?
Nawakumbusha ndugu zangu mlioko kwenye mitoko Leo... wale wadada wakalii ndo wengi ni HIV positive, na wale wakaka presentable mnawaita wenyewe ndo wengi ukiambiwa anakunywa ARV utakataa.. So msidanganyike na mionekano mtumie condom... Safe sex!
Nikikumbuka niliwahi kuwa na mcrush Muheshimiwa Kigwangalla halafu nikisoma tweet zake za chatu!! Yani inakuja kama pumu halafu inakataa, masikio yananiuma, kifua kinabana, miguu ndo hainyanyuki yanii!!! Ni nini hikii???
I dont find Mandonga funny😒 hajawahi kunichekesha kwa chochote..eti “nikipigwa kama nimepiga na nikipiga kama nimepiga”watu kicheko..Mnacheka nn guys??mnamchuza mwenzenu saa hii anajihisi half comedian half boxer😫
Dada angu kipenzi naomba nikwambie kitu mwanaume wa peke yako duniani hayupo labda awe amekuja na mafuriko lakini kama kazaliwa either kwa njia ya kawaida au kwa operation hakuna huyo mwanaume.. Na kama mnaniona mm muongo waulizeni Mama zenu wanajua ukweli. Watawaambia!
This coming TOT Bonanza will be my first Bonanza to attend inshaallah. But since sina hata nnaemfaham napata hisia I will be lonely..😫 I want someone to show me around there and give me company. Who is ready??
Familia yangu ya Twitter where are you at? Nataka niwaambie nawapenda sana❤. Nawashukuru sana kwa maneno yenu ya faraja na dua zenu. Babu kashapumzika, Mungu akamsamehe madhambi yake🙏. Amiin!
Love.
Hey guys I want to tell you that I have a boyfriend and to be honest we are in a good state. but you know what? 🤔 I am free! Don't let my boyfriend stopping you from marrying me. Just shoot!!!
Nilimuuliza mbona unalike every woman’s picture here, likes zako ni picha tu za wadada akanijibu yeye ni big supporter of woman empowerment and everytime he sees a chance to uplift a woman he gonna do that even if it takes to like their pictures💔💔😂 kila nikikumbuka naisha😂
My dear sisters siyo kila ex wako anapotaka kurudi kwako anarudi kwa mapenzi, hapana! wengine wanakumbuka tu gharama zao walizotumia kwako wanapata hasira, anakurubuni anarudi kukudinya mara kadhaa anaamsha! These capital letter D aren't loyal kabisa.. 🙄🙄
Speaking of that, 2 years I go I had a boyfriend who wanted me to bleach my colour tena alikuwa ananinunulia kabisa mikorogo ya gharama nikawa situmii, nisipotumia ananikasirikia, alikuwa anataka mm niwe mweupe nikakataa cuz I love my colour..
Kama hauna kitu ukanitaka nikakukataa usije ukafikiri nimekukataa sababu hauna hela hapana, it's not always about the money, kuna kutokukupenda pia, kama ambavyo wapo wenye hela wananifata na nawakataa. Kama hauna hela na nimekukataa hata uje uwe nazo ntakukataa tu.
Ladies hebu mkubalieni huyo kaka jamanii mtampa depression mana naskia mnamtolea nje sana😂😂 look at him now he needs to go extra to prove to you ladies na bado mnakaza, aki muhurumieni atachizi😂😂 kuna mtu kaniambia ananunua audience naishaaaa🤣😂
Ankal Mondi ana mambo yake tu personal ambayo honestly speaking hayatuhusu.. Ila when it comes to his music Ankal knows what he is doing.. Y'all all heard me or shud I increase the volume???
Siyo vibaya kuwa na mtu tajiri sana kuliko Mimi, na ikitokea ntaikubali tu hiyo hali, ila personally I wud rather be with someone ambae niko nae level sawa so we can hustle together and get that paper, au kama akinizidi basii asinizidi saaana. Unajua kwann? Comfortability!
Guys inabidi sasa niache kula kucha.. nisaidieni kunipa tips, vitu vya kufanya kuacha kula kucha aisee... nimekuwa nikila kucha zangu kwa takriban miaka 16 sasa... Nataka niache!
Miri Mimi napika mpaka vitumbua vya samaki unavijua vitumbua vya samaki wewe? 😂😂😂😂😂😂😂 Lakini that Nigga never act right! Yani hawa viumbe ni wa kuowaombea kwakweli sijui wanataka nn? mana unaweza kujua kupika na bado asikuchague. 😂😂😂😂😂😂😂
Am sorry nko against kdogo na ww unaolewaje hujui kupika, mtakula mahotelin mpaka lini, sawa kama hujui kupika basi onesha nia ya kujifunza kupika so kwa vile mpenzi wako anajua hujui basi na ww unakaa tu 🙌🏿🙌🏿🤭Aisee hapana kwa kweli vingine ulivyo ongea i agree📌
Lakini yule jamaa kwani ni kitu gani anataka kuprove?? Mbona ni mtu mzima sana kuact anavyoact💀 hana marafiki wenye akili timamu wa kumshtua like oyaa mzee unajichoresha hana???
Katika sala zetu tunazosali kila siku tusisahau kumuomba Mungu atuepushe na situation ya kuwa accused of something you did no do, and you have nothing to prove that you did not do it! This situation is hurts and scary and disturbing AF!
Mungu akatuepushe na husda zote j4 hii. 🙏
Watanzania wakikuchoka bana😂😂 Zamaradi maskini ana kazi ya kujitetea huko IG raia wanasema gari si ya mumewe ni ya serikali ilipata ajali kwenye msafara Zamaradi nae anasema gari ya mumewe na yeye alikuwepo kwenye msafara😂😂 Alooo!!
Msichanganye takle kubwa na takle lililokaa vizuri naomba tuelewane hapo tafadhali…Unaweza ukawa na takle kubwa na bado ukawa shapeless au una takle na kitambi ndio nn sasa😒
Guys when it’s comes to friends chagua marafiki ambao wana vyeo CCM huko like Chama kinawatambua just be around them save their numbers and when they call shika simu zao on time kuna vitu huwezi solve kama huna rafiki kada wa CCM😂
Ila humu ndani kuna watu wana shobo.. 😀😀 yanii utakuta mwanaume mzima anashobokea mwanaume mwenzie.. 😀😀😀 watu wanakukataa ilaa umo tu.. jikaze basi!!! Kaza mtoto wa kiume shauri yako!!
Mnajua mm shida yangu huwa ni nini?😂 Mimi sio kwamba sipati mtu wa kunipenda shida ni kwamba wananipenda kidogo na mm staki😒 mi nataka kupendwa sana. I love hard so I need someone ambae atanipenda sanaaa nikiona tu unanipenda kawaida kawaida nakuacha aisee💔💔😂
Halafu baadae binti wa watu katoboa muanze kusema ooh anadanga💔💔 Anajizima data maskeen kutangaza biashara yake kudos to Tessy wallah! Kanajituma haka kadada👏🏾👏🏾🙌🏾