Ms_Genya Profile Banner
Ms_Genya Profile
Ms_Genya

@ScholaDecaprado

Followers
14,771
Following
550
Media
3,337
Statuses
224,928

Industrial Relations Expert | I Can't Compete with Your Mother and I Won't | #SOSDiplomats | SDG Champion, goal # 8 Decent Work and Economic Growth ✊ |

darwin,down,d-salaam.
Joined May 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
7 years
JESUS is the REAL deal 👌🏽👌🏽
21
102
463
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Wangapi wanaamini Jina La YESU ni Ngome imara??
86
85
2K
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Chanzo cha picha na video za utupu kuvujishwa kila mara huwa ni nini?
212
36
1K
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Hakuna Mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke Mtii. 🤗
53
106
1K
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Dinning Table kama hii kuagiza from China ni Elfu 80 😂😂😂😂😂😂🙌 🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
93
19
915
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
2016- 2017 - 2018 - 2019 🤗
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
113
45
892
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Dear Men, Babe wako akiwa mjamzito kindly jitahidi kumsomea Bible kwa ile miezi yote 9 mtoto akiwa Tumboni(hasa Vitabu 4 vya Injili na Zaburi ya 91), Speak to Your Unborn baby kama Mnaonana Face to face, Tamka vile unatamani aje kuwa mtoto wa aina gani, Mtie Moyo sana Babe wako.
48
118
910
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Tuache Kulalamika kuhusu fake friends tushakuwa Watu wazima, tufanye kazi, tulia kwako angalia TV, kula vizuri, soma hata bible, peruzi insta, lala, Alafu uone kama Microwave, friji, au kabati vimekusnitch!! 😅😅
59
115
906
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
BirdCage Veil for the Queen 😍❤🙌 #GilbertWedsSchola
Tweet media one
Tweet media two
101
71
668
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Monday With Babe 😍😍 @officielsalome
Tweet media one
38
22
665
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Hivi Tulikubaliana Ukiwa na Miaka 30 unapaswa kuwa na nini Na nini??
89
16
596
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Mi nalipaje Uber elfu 50 from posta to kijitonyama 😭😭😭😭??
96
9
545
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Madereva wa Bolt ni Vichefuchefu Sana 🙌
38
8
533
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Looks like wanawake wengi wamedanganywa na wakaka kuwa wao ni usalama wa taifa, blah! blah! Ukipitia insta Story ya Lulu utagundua wengine hadi waliolewa wakijua Mwanaume ni usalama wa taifa kumbe Hamna kitu, nini kinatuponza sana sana??
115
28
529
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Ukimpenda Mtu ni lazima umpe, sijui unampa nini ila lazma umpe 😂😂😂😂
48
15
520
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kila Mwanamke anamuhitaji Mwanaume.
42
44
524
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Ni mimi tu sipendi mtu aniite dear au??
82
7
497
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nyie, YESU Mzuri Jamani.. 😘😍❤👌
36
30
465
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Tulikubaliana kuwa Missed call moja inatosha jamani, Six missed Calls for What?? 🙄😒
47
15
465
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kumtegemea MUNGU 100% kuna Faida.
14
28
410
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Tunamuongelea Saa ngapi yule Dada aliyepewa Million 100 kama zawadi kwenye Sendoff yake?? 😩😩😩😔
25
5
411
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Leo ndo nimejua kuwa Mume anauma 🙌🙌
29
11
403
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Happy Birthday Twin 😍 @JuliethSebbaMD , May Exodus 12:36 Be Your Portion this New Season, You're a Blessing Babe Mzuri and I Love You ❤
Tweet media one
23
19
395
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Hivi guys mama'ko asipompenda/mkubali mwanamke unaye date nae sasa hivi utafanyaje??
51
14
389
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kuna watu kila Weekend Lazma Watoke, Miili yenu inapumzika saa ngapi??? 😂😂
21
7
384
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Ukikaa Kwenye Maombi kwa Muda mrefu Utakuwa na Msimamo wa Mahusiano Yako na MUNGU, ya kwamba Ananafasi ya Pekee Ndani ya Moyo wako ~ Mwl Mwakasege ✊
6
44
368
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Mwl. Mwakasege Vs Mwamposa 😆😆😆👌
56
1
349
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Eti Twitter Malezi Mtoto wa Kiume anatakiwa kutahiriwa akiwa na umri gani??
76
13
362
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Most Women don't have a Problem with a broke Man, they have a problem with a Man who's Comfortable being Broke 😏
22
34
350
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Unazaliwa Tz, unasoma Tz, Unapata kazi Tz, unaoa/kuolewa Tz, unapata Watoto Tz, wanasoma na kupata kazi Tz unakufa hujawahi kutoka nje ya Tz 🙌
70
9
346
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Tweet media one
14
41
343
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Jamani tusaidiane Jambo, Tunakutana/tumeonana viwanja tupunguze Kusalimia, umenikuta nimekaa kwenye meza na mtu unakuja unajichekesha Schola mambo, without knowing Mimi labda nimedanganya jina naitwa Lisa,au Loving, au Harriet mwishoe unipeperushie ndege wangu 😂😂😂😂
42
3
326
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Nani amewahi kuagiza Vyombo, house and office decor kwenye haya magroup ya WhatsApp ya watu wanaoagiza toka China?? Maana mambo ni mengi kidogo 😂😂😂
41
9
329
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Me Mzuri Jamani 😍🙌👌
@Joh_tegA
tegA™️
4 years
E B O N Y • I am bLAk. Without apology • #icreate
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
62
442
62
31
322
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Kuna 4G Alafu kuna 4G ya Ukweli 🤗👌 @VodacomTanzania #Kimbizana4Gyaukweli
Tweet media one
32
20
317
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Mnashangaa kuombea Fridge? Mmewahi kuombea Mtungi wa Gesi usiishe kwa sababu huna hela na haukuisha??? 😅😅😅 Ebu Tupunguzeni makasiriko kwanza, Haya mambo yapo na yanawezekana kwake Yeye AAMINIE..
30
16
317
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kila mtu akipiga Picha kwenye Sunkissed lazma awe mzuri, tujitahidi kupiga picha kwenye vivuli ili tusiwaconfuse Masponsor jamani 😂😂😂
12
4
311
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Am So Excited 😭🙌, Nyie YESU anajibu Maombi.. 05/07/2020
11
15
313
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Hivi kawaida mtu si unatakiwa umtumie mtu picha akikuomba?? Ama unatakiwa kuzituma randomly??
14
2
314
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kwani kumshusha mtu busha shingapi?? 😆😆😆
42
7
300
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Twitter Wherever, Umeenda kumtembelea Mama Mkwe na akakuona kuwa wewe ni mjamzito, then anakuita chemba ili akuchanje kukuwekea ulinzi wewe na mwanao, Wewe hutaki hizo chanjo koz hujawahi but babe anakwambia huwezi kumkatalia mama'ke utaonekana huna heshima, unafanyaje hapo? 😂😂
83
9
299
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nipe Raha Za Dunia niwe mtu kwenye watu 😅👌
19
3
306
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nyie, YESU Mzuri 😍👌
13
26
299
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
MUNGU Hawezi Kukuacha njiani.. Safari yako aliianzisha mwenyewe.. Asingetaka angekuacha mwanzoni.. Unakokwenda Yeye anajua.. 🙌🙌🙌
9
34
299
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
Ila kuna Wanaume Wanajali jamani 😍😍😍 MUNGU wa Mbinguni Awabariki wanaume wooooote...
36
43
297
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Mahusiano ni Gharama jamaniii 😭😭😭😭😭 asikwambie mtu 😩🙌
24
14
292
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
There's something about hawa ndugu zetu Muslims 🙌🙌 Wana highest Level of Customer Care when it comes to business ni mara chache umkute anakujibu vibaya ukimuuliza kitu kuhusu bidhaa anayouza,... And then kuna Sisi Wakristo 😂😂😂🙌 Haki Damu ya YESU ikatusafishe kwa upya 😏
30
24
287
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nyie wapi napata cake Nzuri na bei nzuri sasa hivi??
32
1
278
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
So Jana Mimi na wenzangu pamoja na Pastor Wetu wa Homecell/LifeCentre/Jumuiya @SamSasali tulipata Nafasi ya Kwenda Kumtembelea YESU gereza la Segerea 🤗🤗 na tukapata kibali cha kuingia gereza la wanawake Lenye wanawake 196 ambao % kubwa ni Mahabusu na wafungwa ni wachache.
Tweet media one
24
36
290
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Ikawe ni Wiki yenye mguso wa kiMungu kwenye kila ulifanyalo..
9
24
290
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Haya maombolezo ni kwamba J3 hatuendi Job ama?
11
6
280
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
Mwanaume wa Tanzania Ukim-cheat tu ni Kama Umemuulia Mama'ke Mzaziii ☻
20
22
289
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Natamani kama nikipata nafasi ya Uraisi niweze kuwaonesha hazina ya vijana katika kichwa ~ @masoudkipanya #JukwaaLaVijanaTZ #TYF2022
6
15
275
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Mwanaume Mtanashati unanukaje Jasho saa sita hii? 😩😩😩
39
5
270
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Mwanamke unakulaje slice 6 za mkate?😩😩
37
5
271
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
His Favorite, Favorite 😎✊
Tweet media one
29
19
272
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
One of the weekend nilipata nafasi ya kwenda Gereza la Segerea kutembelea wafungwa na tulipata nafasi ya kuongea na wafungwa Wanawake, 😭😭🙌 natamani wanasheria wangeweza kujitokeza na Kutoa msaada kwa wafungwa ambao hawana uwezo wa kuwalipa wanasheria na hawana msaada wowote..
19
46
273
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
NI KWELI KUNA MABWANA WENGI LAKINI WEWE NI BWANA WA MABWANA, Thank You for the Priceless Gift of Life, Am Awake, Healthy and Grateful ❤
4
21
272
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Unampigia mtu simu tangu asuhuhi, apokei na hakutafuti tena.
30
5
262
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Wapi naweza kujifunza Kung~fu?
35
8
260
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nimeitwa dia tena Jamani 😩😩😩😩
34
6
252
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Katika Siku nimebugi ni Leo 😭😭 Mimi wa kuwahi k/koo alafu maduka Yanafunguliwa saa 4 kweli jamani?? 😩😩
8
2
255
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
1 year
Telescope imekubali @rollymsouth 🤗❤️✊️ hongera Sana hii ni kubwa kuliko, Nenda Ukafanikiwe 👊
Tweet media one
2
14
259
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Ila Tabata Watu wanajua kula bata 😂😂😂😂🙌
22
7
244
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Nimjibuje jamani 😂😂🙌
Tweet media one
110
5
244
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
YESU Kimbilio Hajawahi kuniacha.
6
10
241
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Happy Birthday to the Love Of My Life 😍, Mshkaji wangu 😘, You Allow Me to Stop existing and start Living , I never Lived before I met You, What Else Can I ask GOD than Keeping You Alive For Me?? You're my Sunshine🌞 and I'll never hide myself From Your Light ☀👌 Nakupenda ❤
Tweet media one
56
23
240
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Mtu anakupigia Simu oooh!! Mimi ndo natembea na Mume wako, Unamjibu tu mkimaliza kutembea kimbieni 😂😂😂👌
25
2
235
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Nyama Kilo, Mchele nusu kilo Pilau, random Tuesday 😅😅😋😋
Tweet media one
41
27
243
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Nyie Watu huko Kwenu nyama kilo ni shilling ngapi??
65
10
236
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Inuka Uangaze, maana Utukufu wa BWANA umekuzukia Leo.
6
10
241
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Have You looked in the Mirror lately and criticize your body? We may Not be aware of it, but we're often self-conscious of our body shape, size and weight by telling ourselves we're too thin, too fat, too light or too dark 😅 #SOSDiplomats #UstawiSalamaMtandaoni
Tweet media one
4
23
240
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Hizi Mvua Gani hazina hata Radi?? 😩😩
30
4
231
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Pesa ni Jawabu la mambo Yote.
32
6
231
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Mnawezaje kuwa na Harusi ya watu 500?? 😂😂😂😂 Binafsi I can't, I won't
22
4
242
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Kumtegemea MUNGU kuna faida.
9
11
237
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Naombeni Dawa ya Flue 😪😪😪, I can't take it anymore
48
6
225
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
Mwanaume Unaombwa Vocha unatuma Mia 500?? What do i do with Mia 5??? 😂😂😂😂😆 Povu Ruksaaa
99
13
224
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Mithali 4:23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
4
30
231
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Hatari ni pale mtu sahihi anapokuja maishani mwako na wewe umeshachoka kuwaamini watu.
15
35
231
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
May We Receive emails this Week that starts with We are happy to inform You 😍🤗👌👌
13
29
229
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Basi leo Mimba Kaipata Mgumba Mate Mji Mzima 😏😏😏
18
23
220
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Kuna nywele nimeziona insta nikatamani kusuka naulizia Bei naambiwa Laki 220 🤣🤣🤣🤣🤣
23
4
232
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Nyie, Hela ya Kupewa na Babe for no reason ni tamu bhana, asikwambie mtu 😂😂😂😂😂😅👌👌
13
10
225
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Pale Babe anapokuhakikishia tutakapomaliza mjengo Wetu ataukatia bima kutoka @nic_tanzania 😍🤗🤗 Unakula kisinia bila Wasiwasi wowote kwa sababu babe ame #LindaMjengo na #SisiNdiyoBima hawana Shughuli ndogo ati 😅😅😅👌
Tweet media one
9
19
219
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Sisi wale tunaotaka kufunga ndoa kabla ya Quaresma ipi siku sahihi ??
18
3
218
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Dear My Fellow Ladies, Ukipata Muda Uwe una muombea Babe wako, they Go through a lot aisee..
10
26
217
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Juhudi za Kuutafuta Uso wa BWANA ni za MTU binafsi...
4
6
220
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Tujitahidi kupunguza Simu za Asubuhi, asubuhi hasa kama unapiga kusalimia... You can do that muda mwingine!!!
14
7
213
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Chai ya Maziwa Yenye Mdalasini, iriki na Vanilla + Sambusa za nyama za Moto 🤗🤗
14
4
206
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
Three Weeks ni mapema Sana jamani, mtu ku~move on 😂😂😂😂😂
28
2
211
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
Marafiki zetu wengi ni wale wasiotamani Wewe uwazidi kwenye Maendeleo, wanapenda ufanikiwe Yes, lakini sio kuwazidi, mchawi sio lazima awange usiku, hata kutomtakia mwenzio mafanikio kukuzidi nao ni Uchawi.
11
30
212
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
Tundu Lissu Is A Living Testimony... ✊🙌🏻
4
26
205
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
5 years
Am His Personal Doctor 😍🙌✊😎
Tweet media one
13
15
212
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
4 years
My Sis, Spoil Your Man.. Feed him when he's hungry, Be an ear and rub his back when he's stressed and having a bad day, be his Shoulder to Lean and cry On..., and Mostly PRAY For Him. There's nothing wrong with catering to your Man, He Deserves it.. 🤗
11
36
209
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
2 years
MUNGU habariki mtu asiye na Focus.
35
7
207
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
6 years
Wale Rafiki Zetu wa Qnet, Sijui Aim global kiukweli mnatukosea Sana... Ni bora Umwambie Mtu ukweli kulipo kumpa tumaini la Kupata kazi mtu Anakopa hadi Nauli kuwah Meeting just to find out ni Mambo ya Pyramid 🙄🙄 We don't have That Time Now... Uwiii.
28
40
211
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
3 years
Je, unajua unapotumia mitandao ya kijamii jina lako tu ni BRAND tosha? Tujitahidi kutumia mitandao kwa ufasaha kabisa ili kutunza heshima na brand yako. Maana Kiukweli Internet Never Forgets!! 😅😅👌 @MediaConvergecy @WomenAtWebTZ_MC #UstawiSalamaMitandaoni #SOSDiplomats
Tweet media one
13
32
202
@ScholaDecaprado
Ms_Genya
1 year
Kuna watu bado wanachemsha Maharage kwenye jiko la mkaa?? 🙄😒
76
5
208