mungu baba muweza wa vyote mjuv wa vyote uliye weza kumfinyanga huyu kiumbe kumfanya kua mrembo machon mwangu nakushukuru tena nasema asante sana kwa haya maisha🙏🙏
Nilipasua saizo Sasuke anaskia kulia ,nikaorder Uber tukaenda kwa bar flani apo hainanga kelele nikabuy Gilbeys mzinga na chaser,buana it was drama after drama Jamaa alikua analia buana na mimi pia nakuanga emotional nikishakunywa na pia ilipata kama jolly amenitenda,
Tukielekea CP Day 2023 (6/10/2023) na Maadhimisho yake tutafanya 7/10/2023 pale Genesis International Schoo - Masaki! (75kids & 75parents)
Wataalamu wa Afya kutoka MOI.
Bado
- Soft Drinks
- T-Shirt 200
- 75 plates of lunch
Tunaomba Michango:
0717746979 - Tayanah Tibenda.
we unazan walio kaa kikao na wakaamua kwenda na mpango wao hawakuwaza hzo blah blah za vikwazo vya kiuchum sjui
hzo vitu zinafanya kaz kwetu tu sie akina kajamba nan tunao ishi kwa misaada kiduku kapigwa hzo spana na bado anaendelea na harakat zake
#UZI
💨 MAREKANI KUMNYAMAZISHA URUSI?
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.
Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi 👇
1 :"maliza basi na ww bwana lisaa lizima upo kiunoni jaman agh"
camera man : "itabid umuongezee hela hata 10k"
1 :"basi staki tena hata hiyo pesa yako baki nayo nimechoka"
jamaa :"embu tulia bwana s unalipwa"
1 :"hata kama unalipa ndio humalizi tu"
dada poa wanapitia maguku😅
external hdd gb 500
imejaa movies,series,animation
special package ya adult firm(chonda) za kutosha sio short crip ni movies
sina bei mie 60k tu
0713895176 🙂🙂
nb: HATA USIPO RT NITAUZA TU😎
🚨
#Tanzania
EXCLUSIVE footage sent yday from Pololeti Game Reserve Loliondo of an unmarked plane landing and taking off! MANY QUESTIONS!
Ndugu zetu waMaasai walituma JANA ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti - SIKILIZENI
@WMaliasili
kulikoni?
Moja ya Wachambuzi Bora. Kama hayuko hapa ni tatizo hilo:
1. Amri Kiemba Ramadhan
2. George Ambangile
3. Geoffrey Lea
4. Lukinja Tigana
5. Farhan Kihamu
6. Ally Mayay Tembele/Musa Mwakisu
NB: Usichanganye Watangazaji wa Mambo ya Mpira, Wadau wa Mpira na (Wachambuzi wa Mpira).📌
I have met and talked to people with world wide fame and power,
I have walked the corridors of power in major capital cities,
I have dined with the rich,
But neither money nor power motivates me
I am motivated by VALUES
Code yangu ya maisha SIYO pesa wala cheo
#TembeaNjiaYako
Kuna kipindi fulani kule Facebook watu walikua na kafasheni kakua na mahusiano miongoni mwa Facebookers kama humu tu watu wanavyofosi
#WeMetOnTwitter
nachojua tu mahusiano mengi hayakuisha vizuri, watu walidhalilishana kwa matusi hadi wengine waliacha kabisa kuwa active users.
natafuta kama hiki kiwe lita 12 nataka vinne anayejua wap vinapatikana au muuzaj dm au nipigie 0713895176 asante
rt ifike mbali
NB :hata usipo rt nitavipata tu we baki na roho mbaya yako
Kwa kuwa muda huu sina mb za kutosha, kesho nikipata kifurushi naomba ifunguliwe space niwepo mimi na
@itshappie
na wote tu prove kwamba mimi sihusiki na account yake na yeye a prove kwamba sio parody
Usioe kwa sababu umri umeenda,
Usioe kwa sababu umepata pesa,
Usioe kwa sababu ametaka umuoe,
Usioe kwa sababu kuridhisha mtu,
Usioe kwa sababu unataka ngono,
Usioe kwa sababu unataka mtoto,
OA kwa sababu upo tayari kwa 100% kubeba majukumu na kuwajibika kama Baba wa familia.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, Dar es Salaam.
Taarifa ya kifo chake imetangazwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango.
ww sio kocha
ww sio kocha msaidiz
ww sio dr wa timu
ww sio mjumbe wa kamatii kuu
ww sio mwenyekiti wala makamo
ww sio mshauri wa timu
ww hurip mishahara
ww huna kadi ya uanachama
hata pesa ya kuchangia uwanja hujatoa
WEWE HUNA MAMLAKA YA KUHOJI WHY NANI AJAPANGWA
hawa Act na Chadema wako kama wake wenza wanamgombea mume kira mmona anajitutumua kua yeye ni mkali kuliko mwenzake nin hiki kinacho endelea kati yao 😅😅
kuna mwanangu aliachwa na manz ake akaja geto aliiweka hiyo ngoma send my love kwa ripit mod 😅😅😅 ndio niliijulia hapo yule mwana sjui kama atakuja kupenda tena kmmk😅😅😅😅😅