Oii
#jamaayangu
huyu haina kujieleza sana ,kiboko ya mabishoo kama Burna Boy 😁,miaka 13 iliopita aliweka rekodi ya kushinda tunzo tano za TMA ndani ya usiku mmoja.
Fundi kabisa katika uandishi wa nyimbo mwenye tungo za kusisimua,muite asilimia ,asirimaile ,Twenty Paaa ,👇🏾