Malafyale Profile Banner
Malafyale Profile
Malafyale

@MwansasuSnr

Followers
7,838
Following
1,339
Media
7,281
Statuses
121,485

*DHANA YA MAISHA NI UONGO*

Dar Es Salaam-Tanzania
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
#MFANYABIASHARA Je, wajua kwamba ukifikisha Mauzo ya Milioni 100 kwa Mwaka unapaswa kuaandaa Hesabu za Mwaka zitakazoonesha Mapato yako na Matumizi ili kuonesha pato lako halisi na ulipe kodi stahili, kutokufanya hivyo unakuwa umefanya kosa ambalo utapigwa Penalty?
21
76
244
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Qatar wanatufundisha kwamba Financial Freedom ndio msingi Mkuu wa Uhuru wowote. Kipato huleta Misimamo, wamepata World Cup na wamekataa kila kitu wanachoona kwao sio sawa. Tutafute pesa tupate Uhuru wa Kiuchumi, na tusisahau Maskini hana Kiapo.
96
392
2K
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
"Nami sitawaambia kwamba Mudy ni kapuku" 😂😂😂😂
386
510
2K
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Sema hawa Viazi 😂😂😂😂😂
Tweet media one
160
65
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Sema tutafute Hela wanangu, hamna kitu nishai kama kupanda Boda mshkaki na mpenzi wako au ile mnapanda Daladala halafu mmesimama Konda anawagasigasi oya Tolu na huyo shori hapo rudini nyuma msisubiri kupangwa, nyinyi watu wazima sio Nyanya 😂😂
166
139
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Next Level vs Baba Levo
Tweet media one
Tweet media two
81
83
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Mtu anamtext Marehemu haamini kama anefariki halafu anapost screenshot 🚮
76
40
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
1 year
Mpwa gani katengeneza hii? Wapwa wataniua hawa 😂😂😂😂
354
215
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Kijana anayeishi kwa Semina na Makongamano anaulumu vijana wenye Degree wasiozalisha na yeye kitu pekee anazalisha ni Hotuba
83
133
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Juzi niko na mdogo wangu mmoja ananiambia yupo kwenye Group Moja la Whatsapp linaitwa WANAZI humo wanapeana Updates za mabus na namna yameingia kwenye Terminal mbalimbali, siku hiyo ndio nikajua Dunia ina mambo mbalimbali sana
100
43
1K
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Kushuka kwenye pantoni na kuanza kukimbia ni aina nyingine ya uchizi
92
46
974
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
Tulioko Tabora tufanye kaBonanza ketu Mnadani hapa, Nyama nyingi pesa chache 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
62
21
975
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Mitandao ni ya kukaa nayo kitaalamu, humu unaweza kupangiwa malezi na namna ya kulea mwanao na mtu anayefanya abortion 😎
45
70
904
@MwansasuSnr
Malafyale
4 months
Dj piga ile ngoma ya Ali Kiba anaimba "Mali ni nyingi nyumbani, kipi kilikukimbiza" imuendee Foseli halafu usipige chikichi chikichiiiiii 😂😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
38
71
950
@MwansasuSnr
Malafyale
23 days
Nimesoma mahali kwamba marehemu ni Mstaafu wa JWTZ, Imagine Mwanajeshi Mstaafu yanamkuta hayo, ushawaza sisi Sungusungu, Ulinzi Shirikishi na Wapwa tukiwa radar? Inatisha
18
107
915
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Dada Neema Lugangira yupo kimya anasubiri kauli ya Mama achukue wamama wa UWT Kagera kuanzisha maandamano ya kupinga ukatili
75
110
873
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
"Pale Ubungo chini ya Flyover kuna bonge la handaki la chini kwa chini limeenda hadi Ikulu unaambiwa" 😁
Tweet media one
146
57
823
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Mama yangu alifariki tarehe 15/03/2002 leo tarehe 14/03/2022 Mke wangu amenizalia Mtoto wa Kike, amenirejeshea Mama yangu katika hali nyingine. Mungu wetu ni Muaminifu 🙏
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Sema wakina Mama Mungu awapiganie 🙌🙌🙌
1
6
24
131
48
819
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Oya Nyieee Njaa kali 🤣🤣🤣🤣🤣 Jeshiiiiiiiiiiiii kapiga tukio
190
184
793
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
Wasafi Media na habari za Familia ya Naseeb, hata Esma akinunua gari nayo ni habari. Hizi Ndio habari za siku hizi ama mimi ndio nazeeka?
72
23
751
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Mussa Ndile, IFM pale ikifika kipindi cha uchaguzi wanakuja wana wenye Vibunda mabango kibao wananadi sera na chawa ila mwana alikuwa hana bango wala nini, anapiga sera class kwa class anasomba kijiji baadae Wakuu wanalima jina lake 😂😂😂😂
@omari_manyama
Omari Omari
3 months
Who is this guy? .Akili kubwa
139
253
1K
53
87
781
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
😂😂😂😂😂
82
143
753
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
MATAGA wanavyoenda na MAMBO ya TOZO
74
144
738
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Sisi sio kwamba tuna Safari ndefu hapana, SISI HATUNA SAFARI KABISA
40
66
700
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
"sorry if what i'm drinking is your RENT" 😂😂😂😂😂 Taita Mtata 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌
Tweet media one
51
23
718
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
123
189
723
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Humu Ukiona mtu kaweka Avi amevaa Suti kaa nae chonjo.
34
27
699
@MwansasuSnr
Malafyale
10 months
Wana wa Israel wakivuka Bahari ya Sham bila muujiza wa fimbo ya Musa 😂
Tweet media one
77
93
719
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Nimetoka home niingie Super Market Mara Paap Wananchi hawa hapa nikaomba 📷 kadhaa 💛💚
Tweet media one
Tweet media two
21
22
691
@MwansasuSnr
Malafyale
1 year
Ladies and Gentlemen Mabibi na Mabwana Hii ndio Yanga Africa 🌍 @yangasc1935 💛💚 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
Tweet media one
9
23
666
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Oyaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂
127
133
628
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
77
10
594
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
Jabir Hamza 😂😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
57
38
596
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Edo Kumwembe 'The Living Legend' 🤝 Hii ni moja ya Sababu kwa nini Heshima ya Edo huwa iko pale tu miaka yote.
Tweet media one
40
40
591
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Bashite kila mtu anaruka nae 😂😂😂😂
Tweet media one
28
26
581
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Siku kama ya leo kuna Manzi (church gal) alimuaga mwanangu anaenda kwenye mkesha wa Christmass, akamwambia si unajua sisi Wana Kwaya lazima tuwepo kwenye Ibada. Tupo zetu Coco Beach tunakula Mitingasi manzi huyu hapa kabambiwa na msela, mwanangu kidogo ameze fegi 😂😂😂😂
46
31
559
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
B+ ya Commerce B+ ya Uchumi na A ya Accountancy. Huyo mdada aheshimiwe aisee 🙌
46
14
554
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
Story zikishakoleaga ndio Mwaisa huwa anaibuka kama Undertaker na uteuzi na kuapisha juu 😁
35
12
548
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kwenye maofisi haya ukiwa Muajiriwa wa kawaida unaona Management miyeyusho ila ukiingia kwenye management unaanza kuona miyeyusho ya wafanyakazi. Hii imenifundisha sana kusikiliza pande zote na kutatua matatizo kwa kukaa na pande zote
26
54
564
@MwansasuSnr
Malafyale
4 years
Nimetoka KKOO kwenda MAPIPA Boda kanichaj 2k natoka Mapipa kurud KKOO Boda mwingine ananiambia 4k, nimemwambia nimekuja huku kwa 2k kasema hailipi nimegeuka nimeona daladala tupu nakimbilia Boda ananifata kuniambia panda twende km simsikii, nimelipa zangu 400 nimesave 1600 safi
43
20
558
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
BAHARIA anapelekwa shule, kamba mguuni na fimbo, hilo begi lake tu linaonesha kuwa huyu ni BAHARIA 😂😂😂😂😂
85
71
543
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Shomari Kapombe alionesha ishara ya Msalaba?
56
7
541
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Zama zinabadilika sana, leo Story ni Mayele amekabwa watu wamesahau kama Chama alicheza na akafanyiwa sub mapema tu
40
27
552
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
✌️
Tweet media one
19
13
517
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Kuna ambae hajapendezwa na huduma ya leo?Kama unaona Ruvu wameonewa leta Timu yako tuone 😁 Yanga Afrikaaaaaa 💛💚💛💚
Tweet media one
25
15
500
@MwansasuSnr
Malafyale
2 months
Sema wanetu Spana ya kujaa kwenye supu mmetutwanga nayo bwana 😂😂😂😂🙌🙌🙌
40
27
516
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Djigui Diarra appreciation tweet 👏
6
30
481
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Yanayoendelea leo
122
141
472
@MwansasuSnr
Malafyale
8 months
Chid Benz anajivuniaga sana Ngoma Itambae (Dar Es Salaam Stand Up) ila Masha Allah ndio the Most loved and respected song ya Benzino
24
25
485
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Ukisoma comment za Wadau kwenye hii ajali ya Ndege ndio utagundua Umaskini ni tatizo kubwa sana hapa Nchini. Mtu anaandika 'wapanda ndege ndio muwe na heshima sasa' hivi Kupanda Ndege kuna uhusiano gani na dharau?
59
44
478
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Nimeangalia hii Video nikajiambia kweli sisi tunaemdesha VIBAKULI tutafute Hela tununue MADUNGU JESHI 😂😂😂😂
68
70
467
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kuna mtu alisemA TAMADUZI MUZIK iliua ndoto za Marapper wengi, SMH Boshoo Ninja 🔥
47
98
468
@MwansasuSnr
Malafyale
1 year
Fainali Bebebeibeeeeeee @yangasc1935 💚💛🔥🔥🔥🔥
10
33
479
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Watu wanasema Miujiza haipo ila ama kwa hakika story yote ya Bwana Matarra ni muujiza, mtu alifungwa mwaka umepita, akiwa hana hili wala lile akaja mtu humu kusema watu wakafuatilia akachangiwa leo yuko huru. God is Good all the time 🙏 S/O kwa watu waliosimamia zoezi hili 👊
9
114
477
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kama Michael Jackson kama Michael Jackson kama Michael Jackson Yanga Afrikaaaaaaaaaaaaa Beibiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
62
49
469
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
John Heche appreciation Tweet Mwamba kwelikweli
14
36
462
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Elites Twitter ukiwashinda kwenye arguments wanapokimbilia "naona nimekupa attention ya kutosha"
Tweet media one
56
39
455
@MwansasuSnr
Malafyale
23 days
Tangia siku ile Mbowe ameita press na watu waliopotelewa ndugu zao, pamoja na kutaja majina ya baadhi ya watuhumiwa kwenye taasisi zetu za Usalama na hakuna hatua ilichukuliwa ama kukanusha, Utetezi au kumuhoji Mbowe ndio siku nilithibitisha kuwa IMBOMBO JILIPO.
10
74
467
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Baba yenu Raila naona anapelekewa pumzi ya moto
24
10
449
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kifo hakijawahi kuzoeleka, aendelee kupumzika kwa Amani Tweep mwenzetu Mitchey 😭😭😭😭😎
Tweet media one
84
13
444
@MwansasuSnr
Malafyale
1 month
Dada Neema ashashona sare za UWT Kagera na kuandaa mabango, anasubiri tu Mama atoe tamko akusanye wamama aende Barabarani kwenye Maandamano ya kumpongeza Mama na kulaani vikali tukio lile.
31
55
453
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
"Ugonjwa wenyewe ugonjwa basi? ni kaugonjwa tu"-Mgosi wa Ndima Meja Kunta wa Rap 1002 😂😂
@JamiiForums
Jamii Forums
5 years
ITALIA IMEATHIRIKA ZAIDI KWA #COVID19 KULIKO CHINA > Idadi ya vifo vitokanavyo na #Covid19 imefikia 3,405 nchini Italia huku ikiipiku China ambapo virusi hivyo vilianzia kukiwa na vifo 3,245 > Vifo vipya 427 vimetokea jana nchini Italia Soma - #JFLeo
Tweet media one
50
77
1K
24
23
429
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Mbowe yuko huru Leo na Tanzania nzima ina furaha 🙏
13
28
419
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Safari Suit ipo mchawi Uteuzi, Ifike Muda mama anipeleke hata kwetu Busokelo. Komredi kama Komredi, Komredi wa Mchongo
Tweet media one
45
21
421
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Friday nimempeleka Mwaisa kufanya Interview kwenye shule nyingine ili January aanze huko tukafanya zoezi fresh sasa naona Mazingira yamempendeza, leo kaamshwa ajiandae kwenda shule kuvalishwa Uniform za shule yake ya sasa kagomea watu anasema yeye haitaki hiyo shule 🙌 😂😂
37
8
420
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Bashite ndio kama hivyo mlivyosikia, WANAJIPIGIA TU 😂😂
Tweet media one
39
22
421
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Hivi inakuaje mtu unakuwa na maoni kwenye kila kitu!?
Tweet media one
66
11
415
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
Ukiacha akina sie wengi ambao kwenye muziki wa Rap huwa tunaangalia vitu vingi tunaweza sema Roma hana style Roma sio muandishi mzuri, Roma anabwabwaja lakini ukweli usiopingika ni kuwa huko mtaani kwa wale watu wa kawaida huwaambii kitu chochote kuhusu ROMA. #AnaitwaRoma
Tweet media one
77
30
392
@MwansasuSnr
Malafyale
1 year
Sisi ni Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa @yangasc1935 @deo_tesha007
Tweet media one
5
13
423
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Tunawasemaga wakina Katambi humu kuhusu Mambo ya "Vijana Mjiajiri" kumbe tuna vijana wenzetu tunao humu utofauti wao na akina Katambi ni Madaraka tu.
29
30
402
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Kufika Jumatano Wiki Ijayo itakuwa imetimia mwaka Mmoja rasmi tangia Shaffih Dauda Kajuna almaarufu Digalla audanganye Umma 😂😂😂😂 Anniversary Ya Uongo
@shaffihdauda1
Shaffih Dauda
1 year
CEO Andre Mtine ameondoka @YoungAfricansSC
Tweet media one
279
134
3K
57
32
409
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Huyu Mzee anatemaga Madini sana tena kwa Lugha nyepesi. Namkubali sana
24
129
401
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
Dotto Imeli ni mfano mzuri kwa vijana wanaoliliaga follow back, likes, retweets na Reply. Jamaa alikuwa zake humu anaenjoy maisha na kutweet mambo yake mara ghafla CHAI YA KAGERA SHUGA ikampaisha.😁
20
22
382
@MwansasuSnr
Malafyale
1 month
Si mnaona namna mambo yanakwenda enhee? Waziri wa Jinsia kapiga kimya, Makarao wao ndio wamekuwa chombo cha hukumu, Wanasiasa wamekaa kimya wanangoja Mama aseme watoke mafichoni asiposema wao wanameza ulimi. Huu ndio Uhalisia wetu kama Taifa kwenye mambo yanayohusu Maslahi yao.
10
129
406
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Wanasema kiCorporate au sio?
Tweet media one
21
15
391
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Wakutafute wao uwe unakimbia sasa kutoka Dar Mpaka Katavi uone kama hata hapo Msamvu utatoboa
17
44
400
@MwansasuSnr
Malafyale
3 months
Picha ya Mwamposa tumeidiss lakin embu tujiulize mambo yafuatayo: - Fiesta na Wasafi Festival ikipiga nyomi tunatamba. - Simba na Yanga zikipiga sold out tunatamba. - CDM na CCM wakipiga nyomi mikutano tunatamba na picha za drone. Kwa nini si sawa watu kwenda kwenye wanachoamini?
43
40
399
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Wee Babula sasa ile Spesi mliyosema mmeongoza huko Twitter imetusaidia vipi?
Tweet media one
17
23
380
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Jongwe alishakula Mwewe yupo na Mwenyekiti
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Mzee FREEMAN Aikaeli Mbowe nyumbani rasmi…
Tweet media one
93
218
3K
14
14
380
@MwansasuSnr
Malafyale
7 months
"Ili mimi nirudi Yanga inabidi Injinia aondoke" ukiacha yale magoli ya kikatili hii ndio Joke ya Dunia Faila Sufi alituachia 😂😂😂😂😂
18
31
387
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Nani alifungua akaunti yake ya Twitter ili awe Influencer humu?
26
10
358
@MwansasuSnr
Malafyale
1 month
Hans Rafael inabidi aambiwe kutaja maumbo mara pentagon mara hexagon haimfanyi kuwa mchambuzi mzuri
32
12
377
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
It seems Maradona wa Kusini alipokuwa bench alikuwa ametuweka kiporo watu wa Mtandaoni, nguvu anayotumia kupambana na watu wa humu ni kubwa kuliko kazi anayofanya. Smh
28
33
366
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Unawaza hapo Nikki ndio ana Masters asingemaliza La Saba angekuwa mpumbavu kiasi gani
28
19
359
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
Shaffih Dauda ni Nikki wa II wa kwenye soka- Wakusnooz 2020 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
17
18
356
@MwansasuSnr
Malafyale
5 years
"Naomba nicheki"- Chief Manjala 1986 😂😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
54
20
350
@MwansasuSnr
Malafyale
5 months
"kama wewe huna nikopee hata kwa mtu nitamrudishia"
57
24
364
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Huyo Dada kupenda attention amekuwa kama Suphian sasa
15
6
351
@MwansasuSnr
Malafyale
2 months
Katika Mahaba tulishazama Dimbwini/ lakini barua niliyopokea nashindwa hata kuamini/ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 BARUA
12
49
363
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Contract Extension Hatutaki Mchezo, Vifaa vyote tunahakikisha Vinasalia kwa miaka mingine zaidi kwa sababu #KibundaKipo 👏👏💛💚
Tweet media one
9
22
342
@MwansasuSnr
Malafyale
9 months
Dada wa Kazi kaenda kwao kusalimia sasa kuna chuma tumebaki nacho hapa namna kinatupeleka mimi na Mama wa Taifa tumekubaliana kwa kauli moja kuongeza mshahara wa yule Dada, Chuma kina hekaheka 🙌😂. Madada wa kazi wanapiga kazi kiukweli. Wanastahili pongezi na maokoto 👊
24
29
354
@MwansasuSnr
Malafyale
10 months
Nimefanya biashara from 2015-2019, hakuna hata siku moja nimewahi mjibu mteja kuwa sina chenji. Huwa nashangaa sana muuza bidhaa au mtoa huduma anaponijibu kuwa sina chenji, najiulizaga huyu Biashara ni yake au kaajiriwa? How comes unaacha kuuza kisa huna chenji? TAFUTA
52
40
349
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Stone Town
Tweet media one
41
6
336
@MwansasuSnr
Malafyale
1 month
WaTz ambao mna ndoto na mipango ya kufungua Kampuni, hakikisha unapata Tax Consultant atakayekuelezea obligations zako zote baada ya kukamilisha mchakato wa jambo hilo. Kampuni haiishii tu wewe kuwa na Certificate of Incorporation na TIN, kuna obligations nyinginezo. Ahsante
11
76
352
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Ok, tupate UZI KIDOGO wa ELIMU KUHUSIANA NA HILI TANGAZO NA KODI YA ZUIO KWA UCHACHE. Kwanza, KODI YA ZUIO ni Nini? 1/21 Kodi ya Zuio ni moja kati ya Kodi ya Mapato inayoelezewa vizuri na Sheria ya Kodi ya Mapato (INCOME TAX ACT) kuanzia Ibara ya 81-87,
Tweet media one
46
163
343
@MwansasuSnr
Malafyale
3 years
Dar Es Salaam hii hamna sehemu ina barabara mbovu kama Tabata kwa ujumla
52
11
328
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kaka @JabirSaleh nna Msanii wangu na Mmeneji hatuwezi kupata Intavyuu hapo Ladha 3600?😎😂😂
108
53
339
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Kwa nini mnapenda kulinganisha na nchi jirani kila linapokuja suala la kupanda kwa gharama za maisha? Sisi wengine hatujawahi kuishi Nchi yoyote isipokuwa hii tunayoishi, hizi gharama ni US vs US, ni Jana yetu vs Leo yetu, Gharama zimepanda acheni huu ujinga
@neemalugangira
Neema Lugangira
2 years
Nimepitia takwimu (source zipo chini) za gharama za data za intaneti na kwa kila GB 1 kwa nchi jirani Tanzania 0.71$ Kenya 0.84$ Rwanda 1.10$ Uganda 1.32$ Mozambique 1.33$ Zambia 1.36$ Burundi 1.85$ Malawi 2.42$ Botswana 15.55$ Mhe Waziri @Nnauye_Nape tufanyaje tushuke zaidi?
1K
86
1K
28
54
332
@MwansasuSnr
Malafyale
2 years
Hawa Wachambuzi nao tumekuja nao 2023, Huyu ni Mtu Mmoja ndani ya Wiki Moja 😂😂😂😂😂🙌
Tweet media one
Tweet media two
70
21
335
@MwansasuSnr
Malafyale
1 year
Naambiwa Innocent Mujwahuki a former Member wa Tamaduni Music na producer wa M-Lab ndio a man behind hii sound setup 🙌🙌🙌 Apewe Maua yake 👏👏
17
35
337
@MwansasuSnr
Malafyale
26 days
Aiseeeeee 😳😳😳😳😳😳
94
54
337