![Blackwell Kayuni Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1815701204233502725/cIVQfej8_x96.png)
Blackwell Kayuni
@KayuniBlack2000
Followers
14
Following
52
Statuses
101
Joined July 2024
@Sativa255 Kweli fadhira Mfadhiri mbuzi unaweza kunywa hata supu na siyo binadamu Ww hukutakiwa hata kutikisa vidole kumkebehi Bon, Ila Mungu siyo Katavi
0
0
1
@LembrusMchome @TunduALissu @freemanmbowetz @ChademaTz @EduTalkTz @ExMayorUbungo @HecheJohn @HildaNewton21 Acha apate haki yake ya kikatiba pumbafu zake
1
0
1
@earadiofm Unaongea kama mlevi vile, Familia Ya Mbowe mtafuta makovu yao kwa kuwaambia maneno yapi? Fikiri watoto wake walisikia Baba yao mwizi, Baba Yao analamba asali, Baba yao anatumika na Mfumo, Baba yao anaingiza hela za Chama kwa Account yake binafsi, Baba yao akaitwa Nkurunzinza Aman
1
0
3
@swahilitimes Umeona maumivu eeeeh Ndivyo Mbowe naye aliumia alipozushiwa Ila ww hata sura inaonesha umelamba kweli
0
0
2
@BSMwandenuka @PMadeleka Huyu ndiye @PMadeleka tunayemjua Huyu wa leo ni yupi tena? Isije kuwa wahuni wametengenezaππππππ
0
0
3
@Ntobi_ Akae hata Miezi 8 aliyokaa Mbowe akitoka lazima aje kuomba radhi kwa ule mharo wa kusema Chadema ni Chama Cha Kigaidi Wenzie wakati wanaadhimia kuzeeka kwa hekima nadhani hakuhudhuria kikao Acha afunzwe
0
0
4
@MachumuKadutu @DrWilbrodSlaa @SautiWatanzania @mdudenyagali @MariaSTsehai @Hofa_Remmy16 @gidionalex31 @PMadeleka @HecheJohn @John_Pambalu Huo mda wa kuandika mnapata wapi? Kinuke Kinuke Kinuke Kinukisheni hapohapo wamlete hata kwa bodaboda
0
1
1
@Tanzania_News2 @MsigwaPeter @ChademaTz πππππile mihela tuliambiwa ipo ni mda mwafaka inunue meza na mazaga kibao hapo HQ @freemanmbowetz tutazidi kukukumbuka Mwenyekiti wetu bora na wa viwango kabisa
1
1
1
@IamLyenda @jjmnyika Mtalia mpaka lini enyi Makqmanda Jasiri? Huu mda siyo wa kucheka na Police ni mwendo wa kukiwasha kama tulivyokubariana kwenye vipaumbele amka fika Officen Makao Makuu acha kuandikia kitandani
0
1
5