![Lembrus Mchome Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1640342871516540928/-9s-cPdF_x96.jpg)
Lembrus Mchome
@LembrusMchome
Followers
24K
Following
4K
Statuses
5K
Mwenyekiti Mstaafu Bavicha Mkoa wa Kilimanjaro. katibu chadema wilaya ya Mwanga. Mratibu msaidizi mkoa wa Arusha. Mtetezi na mpenda Haki
Joined June 2020
Mwaka 2017 nikiwa nagombea udiwani kata ya Lembeni (uchaguzi mdogo) Kaka @derickmagoma alifika kuninadi hapa ni kijiji cha Kiruru Ibwe ijewa tulikutana na shida ya maji na hayo mawe ni folen. Pumzika kwa amani brother Magoma
0
1
25
Kaka,rafiki,mwalimu na shujaa @derickmagoma amepumzika. Nimebahatika kufanya kazi za siasa na magoma alikua mtu jasiri,mbunifu na kiongozi hakika ni pigs kubwa kwa wote waliowahi siku ngumu sana Mungu ampe pumziko la amani giant Dr Magoma (PhD)
0
0
0
Babu Dr Slaa aliwahi kuongea maneno makali na machafu sana yanayohalalisha jinai dhid ya Mwenyekiti @TunduALissu na hata kwa mstaafu @freemanmbowetz na @ChademaTz kwa ujumla. Haya anayopitia ni matunda ya tabia yake ya uropokaji bila kuchuja.
22
16
127
Kesho ntafika @tanpol kwaajili ya kutoa taarifa juu ya hili. Ila kimsingi ntajihadhari sana na kulinda maisha yangu.
42
4
39
Kaka @PMadeleka mbona haya mambo ya mapendano mapendano tulishayakataa. Unaturudisha misiri sasa.
61
14
97
@MachumuKadutu @DrWilbrodSlaa @SautiWatanzania @mdudenyagali @MariaSTsehai @Hofa_Remmy16 @gidionalex31 @PMadeleka @HecheJohn @John_Pambalu @AdvMahinyila itisha vijana chap tukalianzishe saivi ni mwendo wa nginjanginja hakuna mbwela
23
2
40
Mwamba @freemanmbowetz anawatakieni nyote ijumaa njema. Daima atabaki mwalimu na kiongozi bora katika maisha yetu wengiiiii. Haijaisha.
138
31
366
@godbless_lema Ndoto nzuri sana usiamke mapema broo. Jipe muda wa kuendelea ili ufaidi. Sintayasahau mateso ya 2020 nlipaswa kubeba mzigo mzito uliotaka kunivunja mabega.
16
3
58
@millardayo @godbless_lema atakua amepata shida ya afya ya akili anajua @freemanmbowetz hana dhiki ya magari ila boss wake Lema wa sasa anashida ya gari na ndio maana alichangisha kwa shida kubwa, anajua familia ya FAM ndio ya kwanza kuongiza gari ya gharama zama za Nyerere,kujitoa tu fahamu
79
7
66
Kaka @godbless_lema umesikia wap @freemanmbowetz anashida ya magari?. Wewe unaujua ukweli kuhusu maisha yake ila uliamua kujitoa ufahamu. FAM sio wa level hizo. Kuna vikao vya machame ukumbuke.
181
16
168
Kabla ya kua @ChademaTz alikua ni mkufunzi mzuri wa masomo ya sayansi akaamua kuacha kazi na kujiunga na chadema,amekua front daima akipigani chama, amekua ni mtu field kila siku hajawahi kuwaogopa maccm leo umwitaje mtu kama huyu mhuni, ni kukosa utu na uungwana
161
30
432
RT @Tanzania_News2: wala sio Kamati ya Utendaji ya Bavicha Taifa. After all kwani Mwenyekiti @TunduALissu hataki kukosolewa!? Je anatangaza…
0
4
0
@joeselasini @jjmnyika @ChademaTz @ExMayorUbungo @freemanmbowetz @HecheJohn @HildaNewton21 @HKigwangalla @IAMartin_ @John_Pambalu Mzee una pumzi lakin usije omba pooo
1
0
1
@jjmnyika uliruhusu mwenyekiti wako atukanwe anenewe maneno mabaya juu yake hukuwahi kutoka na kuwajulisha watanzania walau nusu ya matendo yake mema kwa chama hiki. Baada ya uchaguzi ndio unayataja mazuri yake. @freemanmbowetz atabaki kua icon kwenye taifa hili.
89
18
118