Devota Minja Profile Banner
Devota Minja Profile
Devota Minja

@DevotaMinja

Followers
15,907
Following
6,238
Media
257
Statuses
772

Professional journalist ,worked with ITV /Radio one 2002-2015 Former Mp Morogoro region (special seat)2015-2020. To date Chairperson of Bawacha Morogoro region.

Morogoro, Tanzania
Joined February 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Salute kwenu watu wa Morogoro Mjini 🔥🔥🔥
Tweet media one
16
64
595
@DevotaMinja
Devota Minja
4 years
Katibu mkuu tumekuelewa sana Mimi kama mkiti Bawacha mkoa wa Morogoro naungana na wenyeviti wengine wa Bawacha mikoa mbalimbali nchini kwa kauli moja kuwa hatuungi mkono usaliti huu wa GENGE la watu wachache !
Tweet media one
203
255
4K
@DevotaMinja
Devota Minja
4 years
Tweet media one
85
149
2K
@DevotaMinja
Devota Minja
7 months
Huyu Mzee tumeandana pamoja mguu kwa mguu kutoka Buguruni hadi UN hakika watu wamechoka Nchi hii inahitaji mabadiliko
Tweet media one
24
157
1K
@DevotaMinja
Devota Minja
7 months
Mguu kwa mguu kutoka Buguruni hadi ubalozi wa UN ✌️✌️✌️
Tweet media one
8
98
1K
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
The dead are arising ! ujumbe Mbowe leo mahakamani 🙏🙏✌️✌️💪💪💪
Tweet media one
16
119
1K
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Sauti ya Mbowe yenye matumaini imesikika leo akisalimia wananchi waliojitokeza mahakamani
26
146
695
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Ni tabasamu la matumaini leo mahakamani mhe Mbowe Mungu yupo🙏🙏
Tweet media one
7
79
675
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Thanks Bawacha 💪💪
Tweet media one
14
41
660
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Sauti ya Freeman Mbowe iliojaa ujasiri 💪💪imesikika mapema leo mahakamani akisalimia makamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
21
85
521
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
#katibaMpya Ni lazima ,Mhe Mbowe
9
66
486
@DevotaMinja
Devota Minja
11 months
Tulipambana pamoja wakati nikiwa ITV/Radio one ulikua kaka mwema mpole na msikivu , Pumzika kwa amani kaka yangu Shaban Tolle , vita umevipigana na mwendo umeumaliza Mwenyezi Mungu akuepusha na adhabu ya kaburi
Tweet media one
26
27
473
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Chadema digital jimbo la Morogoro mjini ukiendelea kata kwa kata hakuna atakaeachwa bila kusajiliwa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
54
474
@DevotaMinja
Devota Minja
6 months
Kuandamana ni Maumivu lakini hatutajali iwe mvua au jua tutaendelea kuandamana hadi kieleweke ✌️⁦ @freemanmbowetz
5
76
476
@DevotaMinja
Devota Minja
7 months
🔥🔥🔥🔥💪🏽💪🏽💪🏽Maandamano yaliongozwa na ⁦ @freemanmbowetz ⁩ ✌️✌️✌️✌️✌️
3
76
458
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Kwa hili la Mkataba wa Bandari Rais hana pa kujificha ⁦⁦ @TunduALissu ⁩ , Mkutano Kawe jijini Dar salaam
14
125
431
@DevotaMinja
Devota Minja
9 months
Wajibu wa kupambania Taifa hili ni kwa Vizazi vya sasa na vya baadae. Mhe Lissu akiteta na watoto mapema leo jiji ni Dar es salaam ⁦ @TunduALissu
Tweet media one
5
45
409
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Kumbe kuna wakati ⁦ @tanpol ⁩ hizi sheria wanazisoma na kuzielewa vizuri
37
89
394
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Nia ipo, uwezo upo, dhamira ipo na nguvu ipo 💪 inawezekana
Tweet media one
44
52
384
@DevotaMinja
Devota Minja
6 months
Ushirikiano wa namna hii mnngeuonyesha mpaka kwenye uchaguzi hii nchi ingepiga hatua sana ⁦ @tanpol
Tweet media one
9
56
384
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
🎼🎼🎼 Katibaaaa 🎼🎼 mashahidi🎼🎼wa michongooo🎼🎼🎼Bawacha wakiimba wakati Mbowe anarudishwa gerezani
10
66
373
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Nikifundisha Bawacha kikundi cha Tuamke, Kidatu-Kilombero, Mkoa wa Morogoro namna ya kutengeneza mkaa nafuu ili kuinua kipato cha wanawake .
Tweet media one
16
44
364
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ukerewe leo ✌️✌️✌️, Alafu hata haturingi 😀😀⁦ @freemanmbowetz
Tweet media one
12
52
365
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Asitutishe maandamano yako pale pale
17
34
353
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Kazi imefanyika Sawa Sawa kanda ya Kati yenye mikoa ya Morogoro Dodoma na Singida 🙏🙏 ⁦ @TunduALissu
Tweet media one
4
52
345
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Tweet media one
8
27
314
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Watu wamepewa RUSHWA kutetea mkataba wa Bandari ⁦ @TunduALissu
14
93
325
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
CHADEMA Kufanya mikutano nchi nzima Oparation “ OKOA BANDARI ZETU” ⁦ @freemanmbowetz
6
74
321
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Makam mwenyekiti wa Chadema Taifa l⁦ @TunduALissu ⁩ akisalimiana wananchi katika soko la sabasaba mjini Dodoma leo May 9,2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
47
319
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Wako Imara kuliko jana 💪💪⁦ @freemanmbowetz ⁩ ⁦ @TunduALissu
Tweet media one
2
40
319
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Ivi anaesema 2025 ni mwaka wa kuchagua mwanamke huku anatumia mapolisi kupambana na wanawake. #TumeHuruYaUchaguzi
19
58
301
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Apewe maua yake Prof Shivji ni mmoja wa wanazuoni wachache wenye kulitakia mema Taifa hili 🙏
Tweet media one
10
88
308
@DevotaMinja
Devota Minja
6 months
Mungu akupe nguvu mama Regina Lowassa, Wanawake wa Bawacha tunakuombea historia ya kazi yako haitafutika ⁦ @BawachaTaifa ⁩ ⁦ @CatherineRuge
Tweet media one
2
24
296
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Askari wakiimarisha ulinzi kwenye mikutano ya Chadema Kigoma huku waki🦻🦻🦻🦻 nondo jinsi fedha zao za kufa na kuzikana zilivyopigwa . Mikutano ya hadhara Raha sana 👌🏾👌🏾😀😀
Tweet media one
10
40
293
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ni Katiba Mpya , Katiba Mpya, Katiba Mpya Tu! ⁦ @jjmnyika
Tweet media one
5
64
291
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Kwa hili la BANDARI Rais hachomoki @TunduALissu
7
82
293
@DevotaMinja
Devota Minja
8 months
TUME ya Uchaguzi haiaminiki na haiwatendei haki wagombea 🙏🙏Baba Askofu Ruwa’ichi akitoa maoni ⁦ @TEC_kurasini
9
78
281
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Makam mwenyekiti Chadema Taifa ⁦ @TunduALissu ⁩ akiwa Dumila akiteta na jambo na mgombea wa Chadema 2020 Salvatory Sege akieleza kero za jimbo la Kilosa
Tweet media one
4
44
271
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Hata tufungwe magerezani , hutuwezi kurudi nyuma. 🎶🎶 #𝗙𝗿𝗲𝗲𝗠𝘄𝗮𝗶𝗽𝗮𝘆𝗮
11
57
268
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Tuvushe Mbowe tuvusheee tuvushe Mwamba tuvusheee🎼🎼🎼 Bawacha Iringa 🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻
6
35
259
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Wakili msomi anaeitendea Haki taaluma yake bila uwoga @Mwabuk2Boniface Watanzania tunakusindikiza kwa Maombi 🙏🙏
Tweet media one
6
38
266
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Kongamano na kudai Katiba mpya sambamba na kusajili wanachama kidigital katika jimbo la Mlimba 28/8 , mgeni rasmi katibu mkuu wa Chadema ⁦ @jjmnyika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
34
256
@DevotaMinja
Devota Minja
8 months
MAANDAMANO yako Pale pale na Hakuna wa Kuyasitisha 💪🏽💪🏽⁦⁦ @jjmnyika
9
69
258
@DevotaMinja
Devota Minja
4 years
Tweet media one
3
16
254
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
UKWELI MTUPU ⁦ @TunduALissu
Tweet media one
5
55
247
@DevotaMinja
Devota Minja
11 months
Iko siku lazima mbuzi ataje aliemfunga kamba , kutoka gerezani hadi kwenye magwanda ya kijani 🙌
Tweet media one
26
30
243
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Usajili Chadema digital ukiendelea kwenye vikundi vya vikoba kata ya Kihonda maghorofani jimbo la Morogoro mjini kila mtu atafikiwa ✌️✌️✌️
6
36
227
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
🙏🙏Baba askofu SHOO
4
44
224
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Ilikua ni siku ya furaha kwangu niliposalimiana na makam mwenyekiti Chadema mhe Tundu Lissu ,mapema leo alipowasili uwanja wa mwl Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam
Tweet media one
4
13
224
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Shinyanga operation Okoa Bandari ⁦ @TunduALissu
Tweet media one
0
33
224
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Makam mwenyekiti mhe Lissu akiingia Morogoro Mjini
Tweet media one
3
23
216
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
😂😂Mkiishiwa ubunifu muombe msaada sio kutumia mapolisi kuwaumiza wanawake wenzenu
Tweet media one
13
35
214
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ni mwendo wa Katiba Mpya, Katiba Mpya, KatibaMpya tu! ⁦ @freemanmbowetz ⁩ ⁦ @salum_mwalimu
Tweet media one
5
39
214
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Ukiona imefikia hatua askari wanafungia watu mahakamani eti ili wasimuage Mbowe ujue wameishiwa mbinu na kesi ya kubumba itawaumbua tu !
3
37
215
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Pamoja na magumu anayopitia lakini bado Mbowe anatabasamu kwamba iko siku haki itasimama ✌️
3
44
204
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Jimbo la Solwa limeitika ✌️✌️⁦ @freemanmbowetz
Tweet media one
5
16
211
@DevotaMinja
Devota Minja
7 months
Huwezi Kuandika historia ya Marehemu Lowassa ukaacha kuandika neno CHADEMA ✌️ @freemanmbowetz leo kwenye mazishi Monduli
5
36
204
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Makam mwenyekiti Chadema Taifa ⁦ @TunduALissu ⁩ akiisalimiana na wananchi wa wa Mtinko jimbo la Singida Kaskazini .
0
35
197
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
🎶🎶🎶🎵🎵 Viongozi wa Bawacha Arusha
8
40
185
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Haya sasa tusikie watasema nini tena? ✌️✌️✌️✌️✌️✌️Tumejiandaa na Tupo tayari kuongoza Nchi
Tweet media one
11
32
189
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Hii picha inaongea inareflect maisha ya wananchi wetu .Hii inaonesha namna gari maisha ya umasikini yanavyowaumiza wananchi .Hata hivyo nawapongeza wananchi wa Kigoma kwa juhudi zao wamesema lazima ⁦ @TunduALissu ⁩ ahutubie.
Tweet media one
5
34
184
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Mtoto akisikiliza spana za bandari kutoka kwa ⁦⁦ @freemanmbowetz ⁩ Kishapu Ni hivi Ivi hawa watoto kesho watarithi nini kama Rasilimali zote ikiwemo Bandari zote zimeshapigwa mnada??
Tweet media one
4
26
183
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ni VIONGOZI they are always happy ✌️✌️
Tweet media one
2
24
184
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Milo mitatu kwa siku ni shida alafu serikali inataka kukopesha smart phone , Mahitaji ya watanzania ni smart phone?? 😤
Tweet media one
72
24
185
@DevotaMinja
Devota Minja
6 months
Bawacha Dodoma siku ya mwanamke duniani,🔥🔥🔥✌️✌️
4
25
180
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
🎶🎶🎶🎵🎵 Viongozi wa Bawacha Arusha
11
40
183
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Geita wamesema HAPANA Kuuzwa kwa Bandari zetu ⁦ @freemanmbowetz
Tweet media one
0
39
179
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Hii nchi tunachezewa sana
Tweet media one
24
20
180
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Zamani askari akifanikiwa kuzuia msafara wa Chadema anapandishwa cheo ,hata mjisafishe hamtatakata ⁦ @tanpol
Tweet media one
18
26
177
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Usajili Chadema digital unaendelea katika jimbo la Morogoro mjini hakuna ataeachwa tutawafikia wote ✌️✌️✌️
Tweet media one
3
20
167
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Makam mwenyekiti Chadema Taifa akipokelewa na Ngoma ya asili Kibaigwa @TunduALissu
4
37
170
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ukisikia KUUZA Nchi ndio huku ⁦ @TunduALissu
6
65
171
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Ivi hizo pesa za tozo zimefanya kazi gani ? @mwigulunchemba1
Tweet media one
17
22
166
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Hapa NI KATIBA MPYA TU ahsanteni wanwake wa Kigoma kwa kujitokeza kwa wingi kwenye Mikutano ya hadhara Lazima Katiba Mpya ipatikane .
Tweet media one
2
29
168
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Sirari Tarime , wakinamama wauza matunda , askari , mama lishe kila mmoja kwa namna yake wametulia wanasikiliza namna Bandari zimepigwa . ⁦ @freemanmbowetz
Tweet media one
Tweet media two
2
25
166
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Tuendelee kupanda MBEGU ya Imani ya kutaka mabadiliko na KATIBA Mpya ,miaka ijayo hawa watoto wata hakikisha nchi hii haichezewi .
Tweet media one
4
31
164
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Ipe neno picha hii @freemanmbowetz
Tweet media one
9
10
167
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Morogoro tukutane uwanja wa shule ya msingi KIWANJA CHA NDEGE 🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
36
159
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Ukweli utawaweka huru , endeleeni kusema Maaskofu 🙏🙏
Tweet media one
3
19
161
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Ivi hii ndio vibrant democracy ?
9
27
152
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Bawacha jimbo la Singida Magharibi leo Mei 10 ,2023 wakisalimiana na @TunduALissu
0
32
158
@DevotaMinja
Devota Minja
10 months
Kipo cha kujifunza hapa ⁦ @tanpol
Tweet media one
12
6
156
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
UWT kufanya jogging ruska lakini Bawacha kufanya jogging ni dhambi hizi double standards hazitavumilika kamwe ,Serikali inayotumia jeshi la polisi kupambana na wanawake haifai kuendea kuwa madarakani
8
39
153
@DevotaMinja
Devota Minja
11 months
Kwani ni chama gani kimekua madarakani kwa miaka 60?? Na kusababisha wananchi kuwa maskini ??
Tweet media one
26
28
155
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Hali ilivyo katika Viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza muda huu mkutano wa hadhara wa Chadema ✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Tweet media one
3
14
158
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Tutaanzia pale tulipoishia twende kazi !
@ExMayorUbungo
Boniface Jacob
2 years
ONE-TWO, ONE-TWO,MIC TEST Tunajaribu,Tunajaribu,Tunajaribu Kimara Mnatusikia.......? Manzese Mnatusikia.......?
Tweet media one
236
191
3K
2
17
152
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Aisee Ivi kumbe iko mikataba mingi watanzania hatuijui?⁦ @MakameMbarawa
Tweet media one
14
37
153
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Ahsante Morogoro ,asante rais wa miyoyo ya wanachi mhe ⁦ @TunduALissu
3
22
151
@DevotaMinja
Devota Minja
7 months
Serikali inayoogopa Mahojiano Haifai ,Vyombo vya habari havipo Huru 🤐🤐 @Nnauye_Nape @TunduALissu
@ChademaTz
CHADEMA Tanzania
7 months
"Nimekuja hapa (WASAFI), ningependa kujua huyo aliyeleta maelekezo kutoka juu ni nani? ili tumjue tumseme hadharani." Mhe. @TunduALissu
48
197
980
6
17
145
@DevotaMinja
Devota Minja
4 years
Tweet media one
0
9
143
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Tweet media one
3
14
145
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
Chadema Next level ✌️✌️
@ChademaTz
CHADEMA Tanzania
3 years
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe.Freeman Mbowe akihutubia baraza la mashauriano la Mkoa wa Arusha leo 26 Mei,2021 #TumeHuruyaUchaguzi #HakizaWatu #KatibaMpya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
39
264
2
11
138
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
INYESHE LIWAKE Bawacha kesho ni Maandamano tuuuu .
Tweet media one
7
34
136
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Ukweli utakuweka huru ,wanaomzunguka wamekusikia .
6
30
136
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Watanzania na Ulimwengu ujue haya yanafanyika tu kwasababu ya BANDARI lakini Aluta continua Mapambano ya Kupigania Badari hayatarudi nyuma
Tweet media one
3
40
132
@DevotaMinja
Devota Minja
2 years
Pamoja na maridhiano na CCM Swala la KATIBA Mpya ni lazima ⁦ @freemanmbowetz ⁩ , Rukwa .
5
29
132
@DevotaMinja
Devota Minja
11 months
Ilikua siku nzuri kwa Bawacha kupata mafunzo ya afya ya akili @ChrissMauki
Tweet media one
5
17
132
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Hii nyimbo ya enjoy ya Jux na hizo rangi pendwa za kizibao alizovaa nimemuelewa ameweza sana ⁦⁦ @Official_JUX
6
27
128
@DevotaMinja
Devota Minja
3 years
4
25
124
@DevotaMinja
Devota Minja
1 year
Kwa shilingi 2,500 tu unapata kadi ya Chadema ya kidigital unaunganishwa na kwenye mfumo wa makamanda wa Jeshi la Ukombozi ⁦ @freemanmbowetz
Tweet media one
3
20
122