JamineJames😋 Profile
JamineJames😋

@theJamiineApple

Followers
1K
Following
474
Statuses
14K

@yangasc1935 @realmadrid

Tabata, Dar es Salaam Tanzania
Joined October 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 year
"Huwezi kuingia kwenye ndoa na ukataka kuishi na kufanya utakavyo. Ndoa ni taasisi ina kanuni zake. Sentensi za hutaki uulizwe, hutaki ufatwefatwe, usiniingilie, nipe uhuru wangu sio za taasisi hii. Ukiona taasisi ngumu chagua kuwa Singo"
7
16
61
@theJamiineApple
JamineJames😋
13 hours
Yule Wakili mshamba sana, huwezi kukulia Lindi ukawa mjanja😂😂😂
0
0
4
@theJamiineApple
JamineJames😋
13 hours
@spana_Konki Jana ukiachana na PERFUME kumbe kuna biashara nyingine 😂😂😂😂😂😂
1
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
15 hours
Mbona nafasi ya Mwenyekiti hamjataka kuheshimu na mmekubali uhuni, wakishuka kwenye nafasi ambazo mnagombania ndio mnaanza kushtuka
@TheRealEkiswaga
Enock Kiswaga
20 hours
@kingongosha @MwanaFA Lazima tujenge utamaduni wa kuheshimu sauti za watu katika Kura
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
16 hours
Jack Banana anakutana na Wasanii wakubwa wa Marekani kama vile yupo SINZA na anafawafanyia interview freeee😂😂😂
0
1
3
@theJamiineApple
JamineJames😋
17 hours
Mchezo ambao hauwezi kubebwa na show ya Mziki ni Football. Hata aperform Nani mashabiki wa football wafocus kwenye Mechi na matokeo yake
0
2
5
@theJamiineApple
JamineJames😋
18 hours
@TheRealEkiswaga @salim_alkhasas Mngekuwa hamuwaogopi mngekuwa mshawataja...angekuwa mtu kama sufiani angekuwa ameshatajwa ila sababu ni mabig wings hamuwezi wataja
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
18 hours
Ndio maana TTCL amelala, maana ashaambiwa asifanye ushindani ila ingekuwa inafanya ushindani TTCL ingekuwa kampuni kubwa sana ya Mawasiliano Tz kwa namna ambavyo wapo kila sehemu
@swahilitimes
Swahili Times
19 hours
“Yale mashirika ya umma ambayo tumesema yafanye biashara, yafanye biashara kweli bila kuingizia serikali gharama yoyote, lakini tusingetaka kuona mashirika ya umma yashindane na Sekta Binafsi. Tumeshakubaliana kwamba muhimili wa uchumi wa nchi hii ni uimara ya sekta binafsi.” – Profesa Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji
Tweet media one
0
0
1
@theJamiineApple
JamineJames😋
19 hours
@CharlesChelsea_ 😂😂 Gold Digger
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
21 hours
Fundi Juma ile video ya Mwasha kwake ni mwiba mkali maana atakufa na njaaa kazi yake kuuza pussy
4
1
39
@theJamiineApple
JamineJames😋
21 hours
@LuckyLu____ Nilitaka kushangaa malaya ukubaliane na hayo maneno ya Mwasha...ni ngumu sana maana utakufa na njaaa
2
0
4
@theJamiineApple
JamineJames😋
21 hours
Msaada! Watu wa tech nimesahau password Samsung s20 natoaje hii lock?
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
22 hours
👍
@Agriculfuture
Agriculture Insider
2 days
This is how to care for poultry farming.
1
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
23 hours
@Eric__Bernard Jana wakati wamepost ulikuwa umelewa
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
Nataka kujaribu phone off Monday to Friday nione maisha bila simu yanaenda vipi.
0
0
1
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
So kanye naye ni public figure?
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
Malema anajibizana na Elon Musk mwenye X yake jamaa haogopi anaweza kufutiwa account muda wowote 😂😂😂
0
0
3
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
@TOTTechs @Positivenga1 Sijui kwanini na wao wamekaa kimya nazani itawaaribia na kupunguza uaminifu wangetoa statement.
0
0
1
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
Game ya Houston na Toronto ndio game mbovu ya kikapy ambayo nimewai kuangalia Tangu nimeanza kuangalia NBA Game gani hiii kmmk
0
0
1
@theJamiineApple
JamineJames😋
1 day
@Athman_Sungura Thank you.
0
0
0
@theJamiineApple
JamineJames😋
2 days
@Athman_Sungura Asante sana ngoja safari ya kujichanga ianze
1
0
0