kingongosha Profile Banner
Binamu12 Profile
Binamu12

@kingongosha

Followers
194
Following
3K
Statuses
9K

conflict=change

Tanzania
Joined May 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@kingongosha
Binamu12
3 years
🙏
Tweet media one
0
0
7
@kingongosha
Binamu12
17 hours
@LifeOfJuma @Nassibmkomwa_ Hawaogopwi wameshtukiwa.... bila shaka matokeo unayo ya match ya leo.
0
0
0
@kingongosha
Binamu12
17 hours
@TriciaAbou Hata Ile clip ilivujaga ya yule Mzee match ya Azam iliaminishwa hivi hivi Yanga mpaka baada ya muda zilipokuja kuonekana akiwa anashangilia Azam. Hapo sioni mtu wa Yanga ila inasemwa Yanga. Ila wewe tu unapenda sana shiriki. Mada zako nyingi unapendelea haya mambo, unayapenda
0
0
1
@kingongosha
Binamu12
20 hours
@sideayoub @ze_mandevu Mafaniko ya utapeli?
1
0
2
@kingongosha
Binamu12
21 hours
@Ndolezi_Petro @kangungu1 @elyneema Huu ni msimamo wa CDM sio lazima wewe ukubaliano nao na chama chako. Kama wewe unaona taratibu za kisheria za uchaguzi ziko sawa endelea na chama chako usiungane na CDM inayotaka hayo mabadiliko.
1
0
19
@kingongosha
Binamu12
22 hours
@Buberwa_ Anzia hapo hapo..... wenzako walianza na cement pekee na walipiga hatua. Usianze kujifanya kuna mshikaji.
2
0
9
@kingongosha
Binamu12
23 hours
@444holywitch Sio poa
0
0
0
@kingongosha
Binamu12
1 day
@LubinzaLucas @KamigakikuMbise @EJ_Mwita Hoja yako ni sahihi..... nakubaliana nayo. Sio hoja ya mwana kuwa hawapo kwa kivuli niko hiyo filed miaka 70.
1
0
1
@kingongosha
Binamu12
1 day
Tweet media one
2
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
@KamigakikuMbise @EJ_Mwita Uwe unafanya research kabla ya kujibu na kupunguza ujuaji.
1
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
@JosephStan61007 @husseinuddy @munyamambogo Ila amekufa kwa shida gani?
0
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
0
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
@wiittole5867 @EJ_Mwita Lowassa alikuwa mfugaji mkubwa na tajiri kabla ya iko kiti. Mzee wa nyuki ndie aliyeendaga kutembelea project za ufugaji na kilimo
1
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
@jwise017 Shida ni bongo wamenyooka kwenye majibu au ndio wao wamejikita kunusuru mahusiano 🤔
0
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
@Eric__Bernard Ben imetosha sasa 😃
0
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
@jobGulam @Cheupe1997 @Big_Nicky01 Sawa sikupingi... ukipata wasaa upitie na 𝟭𝟯𝗵𝗿𝘀 [𝗧𝗵𝗲 𝘀𝗲𝗰𝗿𝗲𝘁 𝘀𝗼𝗹𝗱𝗶𝗲𝗿𝘀 𝗶𝗻 𝗕𝗲𝗻𝗴𝗵𝗮𝘇𝗶]
1
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
@jobGulam @Cheupe1997 @Big_Nicky01 Umeitazama kaka? 🤔
2
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
@dakika0 @billyshankly18 @Sativa255 Nashindwa kuelewa mi nilidhani punters wanaheshimiana kwa vita wanayopigwa na wakuda. 🤔
1
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
@billyshankly18 @Sativa255 Well said.... Alafu inakuwaje punter unakandia predictions za punter mwengine 🤔
1
0
0
@kingongosha
Binamu12
2 days
@TriciaAbou @Sativa255 Inakuwaje punter anabeza predictions za punter mwenzie? 🤔
0
0
1
@kingongosha
Binamu12
2 days
0
0
0