Mwambieni Rajabu tuna muheshimu sana , hii chuma imekuja kwa Upendo ulotukuka kabisa 🙌. Shinyanga ,Tanzania angali chuma ya pili ikiingia aibu naona mimi 😀
Kutoka Mwenge ITV ,moro,dodoma,singida,Tabora -Shinyanga Stand nasubiria parcel yangu 🙏🙏🙏
Mitano tena kwa muuzaji wa simu Tanzania muaminifu kuliko wote
Cc
@bohny_chengula
Daah kwani huyu Mkurugenzi amewakosea nini wanazi ? Mnaharibu mali za watu bure ,unapiga Kioo cha mbele kama SIO USENGE ni nini ? Kila mtu ana time table yake shida nini ? T 836 EBR
WANACHUO NA FORM SIX TUNAWATAKIA MASOMO MEMA LAKINI TUNASHUKURU KWA BAADHI YENU MLIOTUUZIA SIMU ZENU KWA BEI NAFUU TUNAOMBA TENA MKIJA MUJE NA MAIPHONE ,MASAMSUNG PLEASE INFINIX MSIJE NAZO 🙏
Huyu ana benz kama sikosea mbili au moja pamoja na kifungashio scania SIO chinise mmeniweka kabatini , kazi ya Uadimin hutakiwi kuwa na Hasira , Mwambieni kuna ameniweka kabatini lakini nitaona tweet zake hii ndio dawa yake
@FTBandFTR
.