Vagaza Profile
Vagaza

@Cheupe1997

Followers
990
Following
18K
Statuses
1K

Jobless

Joined September 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Cheupe1997
Vagaza
11 hours
@Big_Nicky01 Ongezea na hii
Tweet media one
0
0
1
@Cheupe1997
Vagaza
22 hours
@Big_Nicky01 Ukirud nambie nkupe nyengie
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
1 day
@Rydx_017 @athanas_pius @babalao__ @DullahTheking2 @MissChelsea1221 @Balyx_ Sema watanzania tunaacha mambo ya maana tunadeal na m Mambo ya hanasa mfano hapa mwisho momo kaongea jambo la msingi sana kuhusu mtoto wa kike kwenye famili ila hakuba media utakutia wamecut ile sehem na kupost
1
0
1
@Cheupe1997
Vagaza
2 days
@DullahTheking2 Sema kuna namna flani kuna vitu vmepotea kwenye mziki yani huwezi kuta msanii mmoja mwenye anaekupa vitu wingi kwa wakati mmoja na ukimkuta basi atakuwa na shida ya uwasilishaji (mfano zamani alikuwepo juma nature)
0
0
2
@Cheupe1997
Vagaza
2 days
@EBF2033 Wote kika mmoja apate nafasi yake
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
3 days
@PlanetFutbal Mwenzake mapenz yake kaonyesha kwa mobeto
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
4 days
@chapo255 The hata katika biashara inatokea mteja kupewa bei tofauti na mwengine kwa bidhaa moja ambayo mwengine anaweza kupewa hata bure.
0
0
1
@Cheupe1997
Vagaza
4 days
@chapo255 Awali ya yote kwanza tungejiuliza mikataba yao inafanana?
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
4 days
@TwevePauLo Kuhusu dini ya kweli kila mtu anaamini dini yake ndio ya kweli ila sjuw kwann wakristo hii dini inachezewa sana kupitiliza yan ukiristo wa zama hizi ni tofauti kubwa na wa zamani zaman ilikuwa uislamu na ukiristo karb ya sawa kii iman ila tofaut ni nan mung wa kweli ila sas mmh
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
9 days
@chapo255 Naomba zile caption baada ya breezy kucheza comasava walisemaje?
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
10 days
@DullahTheking2 Binafsi ni mpenzi wa kalamu iliyotukuka napenda sana namna uandishi na jinsi ya uwasilishaji wa msanii. Nitamzingatia zaidi mboso then jay melody na nitamtoa mario kwenye list yangu (binafsi)
1
0
5
@Cheupe1997
Vagaza
13 days
@babalao__ Watuambie kwa kingereza imesemwaje
0
0
1
@Cheupe1997
Vagaza
15 days
@nyuki_malkia Linatumika kukatia nyama za wapinzani kama buchani vile
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
15 days
@Labella_Mafia95 Wew na nani?
0
0
0
@Cheupe1997
Vagaza
15 days
@1MarongoBradley Si tumempleka ali kamwe akawe kituko caf na sisi
0
0
1
@Cheupe1997
Vagaza
16 days
@Wizdomtz Vocha
0
0
0