What Happened to you my good friend? Siku tatu zilizopita tumekula lunch wote... Umeumwaa lini? What happened? Anyway God knows better kuliko sisi wanadamu.
Katika miaka minne he was the second powerful man in the country. Just imagine alikuwa anauwezo wa kuwakataza wabunge wote wakamtii. Alikuwa na uwezo wa kumdindia mpaka PM wa Nchi😀😀😀. You know I agree wth.
@freemanmbowetz
Neve Never again 💪🏿💪🏿💪🏿
Mimi sio Mganga wala Nabii... Ila wiki Hii kama wewe ni Naibu waziri au Waziri ni vyema ukatoka na vitu vyako ofisini... Vile vya mhimu ambavyo ni mali yako . Utanishukuru baadae
Waziri mkuuu Ameenda Kariakoo na kamishna Mkuu TRA hayupo kamtuma muwakilishi na Waziri Mkuu anasema TRA wana Dharau... are you guys thinking wht i am thinking
Nina kama mwaka na nusu sijatembelea sehemu za Starehe Mjini DSM😀😀😀
Leo ndio nimejuaa tatizo la LGBTQ lilivyokubwaaaa... Yaaani Wanaume wanagombaniana wanaume na wanawake... Sijuw mnanielewa? Mungu atunusuru na Vizazi Vyetu....
RC anapambana Peke yake toka alafajiri yani hata Nguo hajabadilishaaa... Yupo wapi Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri mkuuu? Yupo wapi mkuu wa Kitengo cha maafa? 🤷🏿♂️
Kwahiyo Mzee JK kashajuaaa Kwamba Dkt Mpango hatakuwa Makamu wa Rais 2025 to 2030😇😅. But why mzeee he love spotlight kila wakati...? Anataka kurudi mara mbili kama Malasusa?🤷🏿♂️
Imenitokeaa kama mara mbili nikiwa Dar kwenye migahawa kadhaa ya hawa wachina Wanapiga wafanyakazi na Kunyanyasa kama watumwa... Huwezi amini kama inatokea Tanzania hii... So sad
Kila lenye heri watani zetu
@yangasc1935
Mkishinda Tanzania inashinda. Tafadhali mpeni mama zawadi leo tenaa… Cc
@Arafat__AH
mh Makamu wa Rais. Tupeni heshima kama taifa💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Nilihudhuria Msiba wa Shujaaaa Nilikuwa Kiti cha Mbele kabisaa... Mzee Kinana, Zumbe, Maradona hawakuwepo . Imechukua Miaka miwili Mzee Kinanaa kwenda Kuona Kaburi la Shujaaaa... Are you guy's thinking wht i am thinking?🤔😳
Jerry Slaaa anasema amekataa Rushwa ya Milion 300 kwenye kituo cha mafuta Mikocheni... Ni sawa.... But huyo alie taka kumpa Rushwa waziri bado yupo Uraiani au yupo wapii? Jerry amemripoti TAKUKURU?🤷🏿♂️ au Story za JABA?
Waislam Mkristo akichukuaga Nchi wanakuwaga wapole na waungwana na very supportive saana kwenye serikali....Kimbembe akija Muisilamu wakristo tunatafutaga kila sababu ya kumsumbua, kumuona hatoshi na hamnazo hivi... Lazima tutataka apate shida kidogo yani ...
Mambo ya udini
I don't have anything against wanao pinga mkataba wa DPW. But maneno aliyo tumiaa Nshala yalikuwa mabaya.. unamwambia Mkuu wa Nchi eti badala ya Kuchutama anachanua halafu? 🤷🏿♂️ mkuu wa Nchi tenaa jinsiaa ya Mama yake akichanuaa halafu? Its wrong kutweza utu wa watu
Wahuni wakishindwa Hoja wanakimbilia kuua, mbunge mmoja kaondoka eti trekta, sasa wanahamia kwa lawyers
Lolote litakalompata Nshala serikali ya
@SuluhuSamia
ina mkono
Sema wengi wanao mtukana na kumzushia Abdul Hawamjuwi Abduli mwenyewe....I wish wangekuwa wanamjuaa. 😅😅😅😅But hata Ridhiwani piaa walisema
majengo yote na Sheli zote za kwake...😅😅😅 Abdul mwenyewe sasa he is to shy hizo dili anaongeaga akiwa usingizini?🤷🏿♂️
Binafsi yangu Sikubaliani na Watu kutoka Nje ya CCM kuja miezi Mitatu wanapewa Vyeo na watu ambao wanakufa na kuamka na Chama chao wanakipiganiaa Usiku na Mchana Wanabakia kuwa mashabiki.. kwenye Hili hapanaaaaa. Inatakiwa tujisahihishe
Sikubaliani na Vitendo vya kubaka watoto shuleni na ukatili wowote wa kijinsiaa. But i hve so many questions kwa huyu mtoto. Sawa alibakwa but akatoroka akaenda kwa Baba Jose mwezi mzima? Ina letaa maaana kweli?
When bwana yule he was breaking the laws and constitution na mambo kadha wa kadhaa ya Kupingwa Sikuwahi Msikia Pengo akiongea chochote zaidi ya Kusifu na kuabudu.... au Kwa sababu Q sio Mkatoliki? Halafu hili jambo la Bandari linapotoshwaa sana alie sema Watanzania hawata
Sema nimeona Post zake zilee zilikuwa sio nzuri... Hata hivyo haisababishi watu wakamfanyia unyama alio fanyiwa... Mambo kama haya hayafai na ni ya Kishamba....
Haijalishi anapitia nini ila
@ExMayorUbungo
Ni Rafiki yangu.. Kwa wiki hizi mbili umefanya kazi ya Mungu kuokoa Roho za watu... GOD BE WITH YOU BROTHER
“Mhe Rais
@SuluhuSamia
atakuwa Mgeni rasmi kwenye tukio la kina Mama siku ya Wanawake duniani, tumemualika na amekubali mimi nitakuwepo Moshi kumpokea ”-
@freemanmbowetz
Tundu Lissu nae kwani Ukiwa Mtoto wa Rais ndio hutakiwi kufanya Biashara? Hutakiwi kwenda Nchi Nyingine? Hutakiwi kuwa na proposals za Biashara? Hawa watu mbona hawana agenda namna hii? Ukiwa mtoto wa Rais hutakiwi kuwa na Kampuni inch Nyingine This is wrong!
Namshukuru Mungu Kwa Miujiza yake kwakweli. Leo mama yangu mzazi amenusirika na Radi kali ilimpiga lakini bado yupo hai. Mifugo yote iliyokuwa karibunae imekufa kwa Radi. Aliwahishwa hospitali na anaendelea vyema. Mungu ni wa ajabu sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Shujaaa wenu Alisaini Hii ni IGA ya bomba la mafuta article 23 na yenyewe imesema hakuna kuvunja mkataba huu …na tafsiri ni mpaka mikataba ya utekelezaji iishe….na huu ukisainiwa wakati wa awamu ya tano😀. Na hamkupiga Kelele sababu alikuwa na Mkono wa Chuma? Tuacheni kwanza
Kwanini hakuna siku maalumu ya Hayati Mzee Benjamini Mkapa? Mageuzi yote ya kitaasisi na mambo makubwa yalifanywa na Mzee Mkapa. Bwanaa yule why he is so special?🤷🏿♂️ nauliza tuu
Vijana tuache matusi kuna mtu mmoja aliwahi nitukana tusi mpaka niliskia kichwa kinaniuma. Kuna siku nipo Mlimani City cheka tu nikamuona huyu hapa macho kwa macho... Nikamsamehe sababu nilimhurumia tu. Sio wote utakao watukana wana moyo wa kusamehe na kuchukulia poaa... Kuna
Kuna wakati Personally nilikuwa simkubali Magufuli kwakua na mambo ya kiwaki kiwaki sanaa... Ila kuna jambo mojaa Magufuli he was right 💯 Ni kuhusu Dynasty... kutemana nao kwenye baraza alikuwa sahihi saana.. Hawa watu ni wa Hovyo hawafai. Wanajionaga hii nchi kama ni ya kwao
Sisi wengine ukilinganisha na tuliko tokaa na jinsi ulivyokuaa zamani Tunapo pataga nafasi za Kukanyaga tu ofisi kama hizi ni Muujiza Mkubwa saana. Achiliaa mbali kushikana Mikono na wanaofanya maamuzi makubwa kwenye Nchi zao💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿. Thank you Jesus maana hata sasa wewe ni
Kuna saaa Unatamani Kumteteaa Maradona but mfano mm binafsi alinipiga Tofali bila sababu... I think its high time kwa Mamlaka kuwaaangaliaa kwa jicho jingine wateule wasio
pendwa na watu wenye kiburi cha uzima.. Sometimes dynasties wana feeling kama nchi hii yakwao peke yao.
@MarekaMalili
Kaka katika malezi ndugu yangu tunasahau sana mtoto wa Kiume tunakimbiliaa watoto wa Kike. KizAz cha kiume kinateketeaa saana. But i am told Domo anapata mpunga kwa kuwapa platfom kuonekana anawatambuaa na ni kitu cha kawaida😭
Kitu nashindwaa kabisa kuelewa Yani Rais , Mwanasheria Mkuu wa Serikali , Mamlaka ya Bandari, Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wabunge 393 wote hawa Wawe Hawana akili halafu Dr Slaa na Mwambukusi na Mdude wawe na Akili pamoja na CDM jamani surely?Eeeh
Simfahamu sanaa
@godbless_lema
na sina Ukaribu nae wowote... Ila kuna namna flani Hua anafanya kazi ya Mungu sanaa... Kuna namna hua anaisaidia CCM na viongozi wakuu wake namna ya kuona mambo.... Ana namnaa yake flan ya kugundua mambo ambayo sio kila mtu anayo...😅 Ukiachana na
With great sadness, we announce the loss of our beloved father mzee Token Kangambili Kiswaga. Tumepoteza Nguzo ya familia. Kama familia tupo katika kipindi kigumu ambacho hakizoeleki. Tunamuomba Mungu atuongoze katika wakati huu mgumu. Taarifa zaidi zitafuata!
Nimepokea kwa moyo mkunjufu uteuzi wa mwenzangu Dr Festo Dugange kuwa mgombea ubunge Wanging’ombe! Nikweli niliongoza katika kura za maoni! Itoshe kusema ulikuwa mchakato tu! Niwashukuru wjumbe wote walio niunga mkono! Nitamuunga mkono Mgombea alie pitishwa na Chama changu CCM!
Viongozi mnaokuwa na ukaribu na urafiki na Rais Mnaweza kuwa marafiki na Rais ila hamtafanikiwa kuwa marafiki na Urais... i have seen people Walio wahi kuwa marafiki na Rais ila Presidency ikawashugulikia vibaya sana... Lower your expectations and ambition🙏🏿
Boniface Kajunjumele Mwabukusi🌚. I think AG wa Nchi hii ifike Muda ajitafakari sana.Tunapoteza kesi nyingi sana kimataifa. in my opinion and perspective . I think he is out of touch now. A good dancer must know when to leave the stage. This parastatal deserve better thn ths🌚
Kwa Heshima kabisa ninyi ni jamaa zangu
@ExMayorUbungo
@IAMartin_
Hebu situsheni hii vita Tutoe kwanza misaada kwa wathirika ya Kibinadamu. Tafadhali haifai namna hiii
“Nape Nnauye ni mwizi wa kura, akiwa mwenezi wa CCM, aliiba kura za wagombea ubunge wa EALA akitaka mama wa mke wake, Mama Mkami ashinde. Nape ni MWIZI mzoefu, ashughulikiwe” - Livingstone Lusinde (mbunge Mvumi, CCM)
Mh
@HKigwangalla
na Wewe Tajiri
@moodewji
Tunawaheshimu katika jamii yetu! Najua mna number pigianeni! Halafu Mud umekuwa kama Mzaramo unaropoka ropoka Kuwa na tabia ya Kitajiri my Brother! Ni hayo tu sasa kumkatalia Kigwangala mkopo inahusiana nini na
@SimbaSCTanzania
pls
It's Okay to Not Be Okay... wakati mwingine its okey to cry.. Shukrani kwa watu wote mlio nicheki... I am doing fine... Im sorry kwa nilio wa Disappoint. Depression is really guys ..
DC ana Chawa Waziri ana Chawaa RC ana Chawa.... Do thy got paid?🤷🏿♂️ Kuna baadhi ya Mawaziri now wanachawa na hawagusiki haakosoleki... Unamwambia jambo kwa Wema tuu🤷🏿♂️ Its to much. Wrong ni wrong tu...
Kwangu mimi Binafsi naamini Bado mama ana Watu wa hovyo wasio msaidiaa aidha kwa makusudi au uwezo wao ndio umeishia hapo. Wanamrudisha nyuma kwa hujuma za wazi kabisa. Wanatumiaa Utu na urahimu wa Mama kumhujumu. You guys God is watching you... Mama nae sio kwa Ubaya kuna
Mmeonaa Raha ya Kufuata Matakwa ya Wananchi... Hakuna ugomvi yani Taifa zima limeungana na Kusema Paulin Gekulu ni Mnyama ashugulikiwe na Rais kakubali 😁😁 Kamshugulikiaa.... Namnaa hii ndio Kuupiga Mwingi
I have nothing against IGP Wambura. kuna namna mambo hayapo sawa.Idadi ya watoto wanao uawa na kubakwa, Watu wazima wanao tekwa na kupotea inaongezeka kila kukicha. Inawezekana kuna kundi ndani ya polisi lina msabotage .Uwezo wa Wambura ni Mkubwa sana.Something must be done
To my good Friend
@RabbiHume
and Your wife.. Leo ni siku yenu mhimu nilitamani kuwepo ila bahati nbaya sijawepo Dar . nawatakiaa heri my message to you is Be kind to each other,tenderhearted, forgiving one another, just as God through Christ has forgiven you." –Ephesians 4:32
Nikisema mimi mwanasimba najiskia vizuri Yanga kushinda nitakuwa Muongo. Najiskia vibaya sana ... hata ungekuwa wewe kila saa jirani anapika Pilau tuu na Nyama na Mabiriani....
@ridhiwankikwete
Hapana acheni unafiki Sema Ukweli kulikuwa na Nyakati Njema na Mbayaa... Usaliti na Royalties.., Jaribuni Kuwa wakweli wakati mwingine sio kwaajili ya wanadamu hata kwaajili ya Mungu piaa.. Mungu anawaonaa
TBT na Mwami miaka14 iliyopita😀😀😀😀
@zittokabwe
😀😀 😀😀 i was inspired by opposition youth to join and to dream about politics position and Leadership. And I am not ashamed kusema Mwami Ndio alinivutia sana. Ishi sana Mwanangu
Joyce Hilda Banda alifeli Round ya Pili ya Uchaguzi wa Malawi 2014 kwa sababu aliwaamini Wanaume wenye Tamaa ya mali na madaraka. Walisahau kufanya kazi na kumsaidiaa Banda wakawa to ambitious. I don't wish itokee Tz but The truth must betold Amesungukwa na watu wenye Tamaa.
My Good friend Bernad Camilius Membe aliwahi kuniambia.... Ukiwa kiongozi kwenye ngazi ya kuteuliwa na Rais always avoid vitu titatu (BMW)
B. Beer
M. Money
W. Women's
This three thing can take you down anytime anywhere 😅😅😅RIP Membe
Mgosi
@JMakamba
salam. Nina swali dogo ukipata muda utujub. Hivi kinachosababisha Mgao wa Umeme ni Matengenezo ya njia ambazo kwa muda wa miaka 6 hazijatengenezwa au kuna Uhaba wa Umeme? Naona kama kuna upotoshaji mwingi kidogo unaendelea.
Nimemsikiliza RC wa DSM Albert Chalamila . Amefafanua vizuri jambo la Bandari na DP World kuliko hata Wahusika wengi wa hili Jambo.... Hawa Ndio wasaidizi wa Kweli wa Rais sasa.
Sio kwa Ubaya.... RC anasema ameongea na
@tanescoyetutz
kwamba wasikate umeme
siku ya Sikukuu... My question is very simple inamaaana hua kumbe wanakata
kwa Makusudi? Siku ya sikukuu wana miujiza gani umeme usikatike kama
siku zote? au mimi ndio sijaelewa?
@swahilitimes
Kama Kiduku amevuta ni kwamba atachukua huyu Dadaake Kiti... Mbaya zaidi ni kwamba Dadaake ni mtu hatari zaidi Kuliko kiduku mwenyewe....
Ukweli mchungu Wateule Wengi wa Rais hawamsaidii Rais wanamgombanisha na wananchi. Kuna mambo na migogoro mingi ni ta kusikiliza dakika tano tu na mnajadiliana mnachukua hatua yanaisha.... Ni kama wao ndio wanachocheaa hizi mambo.
Kuna TV ipo SA Mtangazaji akiwa mkubwa kuliko TV hua wanakatisha mkataba wa Mtangazaji. Nilichojifunza ni kwamba Huwezi kuwa mkubwa kuliko taasisisi na kuwa mkubwa kuliko Taasisi ni Mbaya. Ukichaguliwa kwenye taasisi jaribu Kuipeleka mbelee taasisi unayo iongoza kuliko
Director wa Hizi Kampuni Mnajielewa kweli? Just go and delete this utumbo thank Me later!🙏🏿 Hii ni Dharau kwa mamlaka? Jifunzeni kusoma mambo between the Line🌚 Mmeona TCRA kaandika hii Ujinga? Hamuogopi?🤷🏿♂️