Wale watu wangu wa "the coolest" TShirts brand in town
#NJClothingZanzibar
our App is ready.
You can now view our catalog and place your order or contact us.
Check it out.
Thank you for your support.
Elections Campaign Violence Alert: Hai District. Two Chadema youths from Narumu ward were kidnapped yesterday at Hai town centre. They were found this morning in Arusha badly beaten & injured with cut wounds. Names:Evarist & Adam Mallya
@aikande
@fatma_karume
@bavicha_taifa
@HRC
Anaitwa Zuhura Yunus
@venusnyota
mwandishi wa kitabu kinachoitwa:
"Biubwa Amour Zahor Mwanamke Mwanamapinduzi." Wait... Tusome kitabu kwanza. Halafu tu-comment.
Kitabu kinazinduliwa tarehe 06.11.2021
#Zanzibar
Unguja.
Kuna siku nilipita immigration Amsterdam, nikaona yule immigration anachelewa kuirudisha passport yangu.
Kumbe jamaa anapitia kitabu kizima huku anabonge la smile.
Akaniuliza "hii passport au Zoo?". 😂 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 Passport ina wanyama wa mbuga wote 😂
This is my picture of the year, for now. It speaks volumes. Actually,
this is where you cry if you watched the whole movie from October to yesterday. You know those movies where the villain is rejoicing at the last scene?
I asked myself so many questions.
Mmeamkaje na hali ya nchi iliyo hoi bin taaban? Tutengeneze nchi kwanza. 😂 😂 Nchi kaiharibu nani? Tangu kupata Uhuru nchi anayo nani? Miaka yote hiyo mmeshindwa, muweze sasa? Rais
@SuluhuSamia
. Sikwiti mama. Nakwita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ukrainian fighter-ace known as the 'Ghost of Kyiv's real name is Samuyil Hyde, a 36 year old who was identified as the Mig-29 Pilot accredited with downing 6 Russian Jets.
#Ukraine
#UkraineInvasion
#ghostofkyiv
Maelezo mapya ya Covid-19 Tanzania yanasisitiza kuvaa barakoa. Au sijaona vizuri? Lakini mbona viongozi hawavai barakoa.
@SuluhuSamia
lead by example. Kwanini safari za nje ya Tanzania unavaa barakoa na ndani ya nchi huvai?
@moodewji
@MagufuliJP
He is coming for you round two. He needs your money for the next 5,10,20 years he is going be in power. You are not safe. Noone is.
Goooooooooooooooood morning Tanzania 🇹🇿. What a beautiful day.
Ghafla nimewaza DC wa Kisarawe, Bashite, na wale waliokuwa wakimwita Mungu mtu.
@iAlenOfficial
Magufuli had no compassion, respect or goodwill towards Tanzanians. He deliberately undermined rule of law and every institution we have for good governance. He disrespected women. We have lost friends and family. We have been terrorized. How do we mourn?
#notmourning
The hate of men will pass, and dictators die, and the power they took from the people will return to the people. And so long as men die, liberty will never perish.
Charlie Chaplin.
Good day...
1) Dear President
@SuluhuSamia
ni vizuri sana kusikilizana na majirani zetu. Lakini, kama Tanzania kuna suluhu basi nasi pia tunaomba uhuru. Watanzania wengi wameumizwa sana chini ya utawala uliopita. Kuna mambo mengi bado nchi Tanzania yanahitaji marekebisho.
What a smiling face 😀 kila la kheri mvuto wa kipekee uliwavutia wengi kufuatilia matangazo ya dira ya dunia
@bbcswahili
. You did the best 14 years ulizotumikia . Tuko nawe uwendapo Allah Akuwafiqishe ameen
@venusnyota
Yaliyotokea Pemba wakati wa uchaguzi 2020 hayasemeki. Dunia lazima ijue. Kuna vitu mnaficha hamtaki kusema.
#Pembawillspeakout
Horrifying stories. We must expose CCM this cult ya mauwaji, mateso, ubakaji na kutaka kuwamaliza wapemba wote. What you saw and heard wakati wa
Similiki kitu chochote cha rangi ya kijani maishani mwangu. Isipokua miti ya kwenye bustani. Na kijani hii ni tofauti na kijani inayoumiza macho na inayoumiza watu. I can't stand "green".
Unawezaje kuwa na moyo mgumu hivi? Au wewe ni Dracula 🧛♂️? You need blood to survive? You rejoice when people around you suffer?
Why? Why? Why?
#MpakaAfeNani
Maybe we will witness another huge home coming of
@TunduALissu
soon.
"Baada ya Baraza kuu mwisho wa Mwezi huu, tutakuwa na Mikutano ya Hadhara nchi nzima, hatuhitaji kibali na kama police wanalenga kutuzuia basi wajiandae vizuri kupambana na wananchi" - Freema Mbowe
#KatibaMpya
“Tunashukuru Mhe. AshaRose unauliza maswali ya Ikungi Mashariki, lile jimbo la yule jamaa aliyekimbilia Ubelgiji, lilitelekezwa hakuna mtu wa kulishughulikia, lilikuwa halina muwakilishi” - Spika Job Ndugai baada ya mbunge Aysharose Mattembe kuuliza kuhusu Maji Ikungi.
#Bungeni
TUHUMA ZA KUMKATA MTU MASIKIO
“Kilichofanyika Hai ni wananchi walikomesha fitna, unafiki na uongo ambao walidanganywa miaka yote kwenye kampeni. Sio masikio yamekatwa, kilichokatwa ni ile mirija yao ya matumaini ya kusema uongo kwenye wilaya ya Hai” - DC Ole Sabaya
#Clouds360
☝️Ina lillahi Wainna Ilayhim Rajiioun
Mtoto wa Muhammad Zanzibar Cable Muhammad Al-Jabriy wa Unguja Zanzibar aliyetekwa Nyara siku ya Jumamosi Dar-,es-salaam amepatikana Leo Alkhamis tarehe 01/02/2024 ameshauawa ameuliwa kwa kukatwa katwa hapa jijini
Who is standing with us? Wale wanaotaja Zanzibar na Stonetown sijui, hii ndio hali halisi huko. Majumba ya miaka ya kihistoria kama skuli maarufu ya Darajani ambayo amesoma Abdulrazak Gurna na watu wengi yanavunja, Zanzibar nzima imezungushwa mabati, visiwa vinauzwa
@DHoneyCoco
👋🏽 Mpo? Haya tozo zinaendelea kubuniwa sasa kupiga muziki nayo TOZO 😄
Yaani nawaza wenye baishara wanavyokusanya peaa kwa mbinde alafu eti tozo laki 3, kwenye vituo vya radio na tv eti mil 9-10! Kwa mapato gani aisee!
Aisee ila acha tuendelee hivihivi lakini
#TutaelewanaTu
Tutakapoelewa wananchi wa Afrika kuwa viongozi wetu ni WATUMISHI wetu tutapiga hatua!
Rais atumie gari la kawaida na aishi makazi ya wastani kama akina Angela Merkel na si kwenye makasri na ufahari!
We in
#Africa
spend too much on the upkeep of our public servants!
#ChangeAfrica
Rais Samia Suluhu Hassan amepata chanjo ya kwanza akizindua Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo dhidi ya UVIKO-19, akitumia chanjo iliyotolewa na Serikali ya Marekani. Hii ni hatua muhimu katika kuifanya Tanzania na dunia mahali salama. Kwa pamoja tunaweza kulitokomeza janga hili.
Every injustice involves three parties: the wronged, the wrongdoers, and the enablers. Justice can take many pathways, but it cannot exist in the absence of any of the three parties in the process.
Leo leo! Katiba Katiba Katiba.
'Mjadala wa Katiba Mpya: Nafasi na Mamlaka ya Rais Katika. Katiba ya Sasa, Rasimu ya Warioba na Katiba Inayopendekezwa'. Leo saa 20:00 EAT
@MediaNadj
@TunduALissu
@fatma_karume
@IsmailJussa
@JamesMbatia
na Alute Mughwai
Kupata link comment below.
1)RESISTANCE
I am a nation, I am a million faces
Formed together, made for elevation
I am a soldier, I won't surrender
Faith is like a fire that never burns to embers
(Who's gonna stand up, who's gonna fight?)
The voice of the UNHEARD.
#FREEMAZRUI
Sasa mie swala kama hili huwa nashangaa chama cha upinzani Zanzibar sisikii kusema kitu. Zanzibar ni visiwa viwili ni Unguja na Pemba. Zanzibar sio mkoa wa bara japo kuwa mnashindikia huko.
Zanzibar ni nchi iliyoungana (by force) na nchi nyengine. Na nchini hii ina visiwa 2
Kero la muungano dawa yake moja... Kila mtu awe na nchi yake. Sasa nawaomba kwa hisani zenu anzeni kelele za kuvunja muungano muwe na Tanganyika yenu musije tawaliwa na usultan. You never know miaka yaweza kuwa elfu 😀. Good morning and good bandari day.
People are not equal, but they are of equal value. They have equal rights and are equal before the law. These human rights are an important principle of any democratic society.
Don't cry for me Zanzibar, the truth is I never really left you. We shall meet again. I would like to thank every here who rocked my staying. Almost 5 months in Zanzibar and it feels just like yesterday. Hard to leave. Good bye my move, we will polish you
#DiamondInTheMud
#Peace