Bambo, leo ameanza kupota kwenye MEDIA kutangaza nyimbo yake mpya!!
"Kwani kuna Shido" 😂😂😂😂😂
Kwa hizi verse unafkiri nani kamwandikia 😂😂😂😂😂🙌🏽
Video kwa Commento!!👇🏾😂
Msanii wa vichekesho
#Leonardo
anasema alikuwa anaamini atafanikiwa kwenye muziki wa Hip-hop kwa lugha ha Kingereza.
Na hiyi ni moja kati ya Verse zake, Vipi arudi kwenye Muziki au aendelee na Comedy!?
#LemutuzUpdates
Unakaa bar na mtu anaejenga kila baada ya fundo anakupa 'Sema sahv cement mfuko haushikiki' 😅
Akinywa tena unaskia 'Sikujua Nondo bei imechangamka hv...'
"kama mmeuza BANDARI yetu semeni tuelewe....hata kidogo tupeni chetu nasi tulewe....maana huku kwetu bado masikini....wajukuu zetu watarithi nini?"🎶
Hii ngoma binafsi naiRATE 15/10 kwasababu moja kubwa👇🏽
👉🏽Kama nchii tunapitia katika sakata la bandari,harakati mbalimbali
One Minute They're Mockin Jay..
Next Minute,They Get The Style From Migos...
Then They Copy Drake..
May Be I Just Don't Know When To Turn Around and Walk Away.....
Eminem - Fall 🔥🔥🔥🔥
#KAMIKAZE
Hype Ya Kitenge Anavyoku-Backup Wakati Unahadithia Jambo, Au Unaongelea Habari Fulani Usipokuwa Makini Unaweza Ukanogewa Ukafunguka Sana😁
Lijamaa Linakujaza Flani Hiviii Utaskia Wachaaaaa!! Ebwanaaa Eee…Ndioooo Kweliii!! Sasa Jee?
Mfano Labda Unasema Kwa Huu Ufisadi Yule
...'Shy Town' Muasisi wa Hilo jina ni 'NOORAH' a.k.a Baba Styles..!!
Alie Karibu nae Amwambia Game inamuhitaji hii..alikua Mbele sana ya Muda...!!
#ChamberSquad
..!!
Move safi kabisa. Maniga ambao walikua shule wakiwasikilza Twangala na Adam wakiwa Hot kwenye xxl sahv ni salary niggaz. Wanatoka jioni mzigoni wanakutana na watu wao. Akina Kennedy acha wajenge jeshi lao la mchana.
@sportbible
Mesut Oziiil uuh Mesut Oziiil uuh
I Just dont think if you Understand
He's Arsene wenger's Man
He's Better than Zidane
We've got Mesut Oziiil