@prossoff
daah mwenetu sema kuna kesi nyingine pengine hata huyo mtoto sio wako kaka . hawa viumbe tukiwatoa bikra tusiamini ndio tumewaweza hapo ukute katoka kula mijegeje kawa mwepesi leo hii ndio arudi usengee huu na kazini mnaonana leo ndio akumbuke kirudi kweli🚮 kausha kamanda.