Bonnie❤🇹🇿 Profile Banner
Bonnie❤🇹🇿 Profile
Bonnie❤🇹🇿

@GuzmnChapo1

Followers
22,817
Following
3,836
Media
1,478
Statuses
134,890

Chapo🧸 @Malume |Fans of | @manUtd 🔴| @yangasc1935 🔰| @RealMadrid Fc⚪| God Is Good🙏

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 month
Kenya🇰🇪 Tanzania🇹🇿
Tweet media one
126
182
3K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Kama unampenda Mama yako dodosha hilo kopa❤kwenye comment❤❤❤ Good morning friends
Tweet media one
207
194
3K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
8 months
Kwanini wachezaji wengi vijana role model wao ni Cristiano Ronaldo na Sio Messi
Tweet media one
498
121
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukitoa See You Again Ni Nyimbo Gani Maarufu Ya Wizkhalifa.
Tweet media one
612
156
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
3 months
Msaada wadau kirefu cha "PDF" ni nini.
Tweet media one
520
63
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Usipite bila kulike kuonesha upendo kwa Mama❤
Tweet media one
38
78
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
8 months
Kama unaamini yanga anakwenda kushinda leo usipite bila kulike
Tweet media one
38
85
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Ladies kama una date na mwanaume ambaye bado hajafanikiwa kiuchumi jitahidi kumuombea sana kumpa support wanapitia changamoto nyingi sana kama utashindwa muache usimpelekee maisha yako ya anasa ambayo hata Baba yako kashindwa kuyatimiza wanahitaji amani.🙏 Good Morning Friend's
221
336
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukiachana na Ronaldo na Alonso Mchezaji Aliye Nyuma Yao Anaitwa Nani.
Tweet media one
519
76
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
"Ya Allah...!! Tupe akili isiyo na wasiwasi moyo usio na huzuni na mwili usio na magonjwa.. Good morning friends
Tweet media one
76
107
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Eti wadau Isak anatokea taifa gani
Tweet media one
226
50
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
Aucho ni mganda ila kavaa uzi wa taifa stars ila wahamasishaji walipiga suti kama wanaenda ofisini hii nchi wapigaji wengi sana
Tweet media one
32
71
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Tanzania hajawai tokea mchezaji kama pacome
Tweet media one
18
79
2K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Kuna timu kubwa duniani zaidi ya Manchester united na Real Madrid...!
Tweet media one
96
96
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Msaada jamani Bernard Morrison anachezea timu gani
Tweet media one
32
49
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Leo itakuwa siku Baraka na mafanikio makubwa kwako tuseme AMEN
Tweet media one
65
113
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukiachana na "The Beekeeper " ni movie gani kali nyingine kutoka kwa Jason Statham
Tweet media one
134
75
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Jina la kweli la marioo ni nani.
Tweet media one
173
37
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 months
Watu weusi hawapewi heshima yao ipasavyo huyu ni mfia timu🙌
Tweet media one
21
30
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 months
Eti wadau na kule ulaya bingwa nae huenda bungeni au ni huku kwetu Tanzania
Tweet media one
148
55
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Unahisi ni kwanini wasanii wetu hawa chaguliwi ku perform kwenye matamasha makubwa kama wasanii wa Nigeria
Tweet media one
247
85
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ushawahi Notice Post Za Mungu Watu Wengi Huruka Praise The Living God Good Morning Friends
Tweet media one
40
78
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
"Ukimuona masikini anauza biashara ndogo ndogo nunua, kwa sababu hauzi ili kupata utajiri, ila anauza ili kupata chakula ale na watoto wake. NUNUA KWAKE NA UUMPE SADAKA" Good morning friends
Tweet media one
59
154
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukitoa Wamasai Ni Kabila Gani Tanzania Lina Watu Wapole.
Tweet media one
62
61
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukimtoa Marcelo ni beki gani mwingine bora kuwai kutokea wa ubavu wa kushoto
Tweet media one
381
66
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Wakati wa Mungu unakuja wakati sahihi pindi yanga inatoa line up huyu ndo mchezaji aliyeshambuliwa zaidi ila baada ya mechi anapewa maua yake hakika hakuna kinachoshindikana kwa Mungu
Tweet media one
8
31
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Jitahidi sana uoe mwanamke aliyesoma..Ni bora kusikia "calm down sweetheart" kuliko kusikia "Niuwe,nimesema niuwe" Good Morning Fiends
159
151
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Usiishi kama refa kutafuta kasoro za watu bali ishi kama mchezaji kutafuta mafanikio katika maisha yako na Mungu atakuinua Good morning friends
Tweet media one
59
159
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Wote wanapiga show siku moja Young killer Young lunya Young dee Utaenda kwenye show ya nani..!
Tweet media one
293
63
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Wakati ambao hauelewi lolote MUNGU anaweza kufanyia lolote la kushangaza🙏 Good morning friends
Tweet media one
62
101
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 month
Wana Yanga shusheni handle zenu tuinuane. 😅🙌
Tweet media one
185
70
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Huyu wa kushoto mbele ya mzee wetu Mwinyi ni nani
Tweet media one
149
51
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Mama anahofia maisha yangu na me nahofia maisha bila mama😌Yaah Allah mpe maisha marefu Mama yangu na wakina Mama wote wapambanaji. Good Morning Friends
Tweet media one
71
174
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Tutafute sana pesa tuache kuonyweshwa madharau.
Tweet media one
14
43
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Katika maisha yako unapojua unachokitafuta kujishusha sio ujinga ni mbinu. Good morning friends
Tweet media one
60
148
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Mwanaume anatabia ya kumlipa fadhila mwanamke aliyemsaidia kufikia malengo Good morning friends
Tweet media one
67
103
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi "Never Give Up"
Tweet media one
45
66
1K
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Pesa ije iwakute mnapendana na sio pesa iwafanye mpendane.
Tweet media one
43
81
987
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Mungu isaidie yanga ishinde mechi ya leo wote tuseme Amen
Tweet media one
91
57
984
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Muombe mungu akukutanishe na watu walio beba majibu ya maombi yako. Good morning friends
Tweet media one
45
124
986
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 month
Kenya🇰🇪 Tanzania🇹🇿
Tweet media one
65
96
984
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Starehe gharama
Tweet media one
Tweet media two
117
105
939
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Msaada huyu mchina aliesimama mkono wa kulia pembeni ya Nani anaitwa nani..
Tweet media one
202
48
956
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Nchi nzima waliniona na mpo kimya 😂
Tweet media one
40
93
958
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
D voice anaenda kuwa star na hitsong kuliko wakazi😂😤
Tweet media one
62
69
941
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 month
Lini na sisi tutakuwa na umoja kama Kenya
Tweet media one
209
61
927
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Nimechoka ku pretend huyu jamaa anaitwa nani
Tweet media one
213
66
919
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Mungu tunakuomba uisaidie yanga ishinde leo wote tuseme "Amen"
Tweet media one
89
66
911
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
8 months
Msaada huyu mchezaji wa mamelody anaitwa nani..!
Tweet media one
176
60
858
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Sisi ndio wale tunaoamini tuna MUNGU anatupa pumzi basi kesho anatupa RIZIKI. Hatuchoki Good morning friends
Tweet media one
77
141
849
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Jitahidi usiwe available kila wakikuhitaji. Si umeona watu walivobize ukipata shida😎
Tweet media one
34
122
856
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
"Sisi ni wale bila Mungu leo na kesho ingekuwa aibu". Good morning friends
Tweet media one
39
66
840
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
Brazil Kuna Ma legend Wengi ila Vin Kamchagua Ronaldo kama Idiol Wake Hakika Ronaldo Ni The Best Player
Tweet media one
17
40
802
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Hakuna masikini jeuri, Tafuta pesa, acha kutisha watu
Tweet media one
21
86
805
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
10 months
Wapwa kuuliza si ujinga huyu dada anafanya kazi gani.? Hadi anyoe 50k kwa wiki...
Tweet media one
161
50
788
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Kuna maisha flani yanaleta amani sana,kuishi maisha yako huna taarifa za watu hawana taarifa zako hata wakiwa nazo wewe hujali hela kidogo tu ya kula wali na maharage umeridhika,Uko busy na ndoto zako,hauna marafiki wapuuzi,na unaishi maisha yako ya kumtegemea Mungu wako G.M🌄
89
157
780
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Kati ya Donnie yen na Tony jaa nani mkali zaidi!!?
Tweet media one
162
57
761
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
10 months
Picha za Ronaldo kumbe bado zipo Real Madrid
Tweet media one
30
30
771
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
Alichoandika mwenyezi MUNGU kitatimia hata bila connection kuwa na amani Good morning friends
Tweet media one
48
96
778
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Masikini anajifanya tajiri, tajiri anajifanya hana, wenye kazi wanapost upuuzi, jobless wanajikuta wapo serious...mjinga anajifanya ana akili na wenye akili hawajisumbui kujieleza..Dunia ya social media inafurahisha sana😁 Good morning friends
76
177
766
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Kwanini Eminem Huwa Hacheki
Tweet media one
76
50
753
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Hakuna kama Mama like, comment ❤ kuonyesha upendo kwa kina Mama wote duniani Good morning friends
Tweet media one
40
83
724
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
Tangu football ianzishwe hakuna mpiga free kick kama ronaldo
Tweet media one
156
54
711
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Simba ndiyo timu pekee ambayo huanza ligi na makocha mpaka wa misuli lakini humaliza liga na suleiman matola tu. 😂
Tweet media one
17
48
708
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Maisha ni mafupi sana punguza marafiki wasiokuwa na faida. Usijibu kila unachokisikia, tosheka na chako, usilazimishe ukaribu na mtu ishi na wanaoishi na wewe Good morning friends
Tweet media one
38
90
695
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Siku zote mwisho wa safari ngumu ni mwanzo wa safari bora iliyojawa na matumaini so usikate tamaa unapo pitia safari ngumu. Good morning friends
Tweet media one
117
150
680
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Nimechoka ku pretend huyu Dada ni nani.
Tweet media one
166
50
688
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
4 months
Hapa mwamnyeto badala amhimize refa yeye anasepa Ila mwamnyeto😩
Tweet media one
99
35
687
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Ipo siku familia yako itaheshimiwa kwa ajili yako, usikate tamaa kuipambania kesho yako...Amen🙏
Tweet media one
57
123
671
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Kama unajua MUNGU ndie aliekufungulia milango ya baraka na hakuna mwanadamu atakae weza kuifunga sema AMEN. GOOD MORNING FRIENDS
Tweet media one
68
96
666
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
Mtanzania pekee alifunga goal kali kwenye uwanja mkubwa duniani Wembley unaikumbuka mechi hii ilikuwa dhidi ya timu gani..?
Tweet media one
12
29
659
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Nimewakimbiza twenty ninteen Mpaka hivi Sasa, and for the records I'm the best rapa we outcha yeah!! kiwalani bom bom 104 gang gang Kapo, Toyo Paul, Maker, Petty man raster. Tajiri abas 7 7 dash...!!😂🚮
Tweet media one
99
60
644
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Kila familia inayo mtu atavunja mnyororo wa umasikini, mtu huyo akawe ni wewe.🙏 Good morning friends
Tweet media one
76
132
644
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 months
Ukitoa pea mia za viatu young lunya anabaki na nini.!
Tweet media one
86
38
652
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
7 months
"Uaminifu ni kama penseli unapungua kadri unavyozidi kufanya makosa"
Tweet media one
17
64
643
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Msituombee tufeli maana hatushindani na hatuwategemei wazazi bali wazazi wanatutegemea sisi. Good morning friends
Tweet media one
48
100
626
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 months
Mwamnyeto anabahati na makombe fantastic captain🙌
Tweet media one
1
21
624
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
5 months
Photo of the day🙌
Tweet media one
13
66
634
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Dear brother, kubadiri wanawake kila Siku kutakuumiza, unahisi unafaidi ila mwisho ni maumivu licha ya magonjwa unapoteza pesa, muda, heshima yako! Kuna wanawake ukilala nao nyota na kipaji chako vinakufa😶tunza nguvu zako, tafuta pesa, linda hisia zako! Goods Morning Friends
126
134
613
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Huyu jamaa anamsemo wake Anaupenda kuutaja kwenye movie zake ni upi!
Tweet media one
84
22
616
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Mwambie mwanao vipato vyetu havitoshi hata kuweka akiba kinachopatikana leo kinaliwa leo na kesho tunaenda kuanza upya lakini tunaishi normal tu so wasitukunjie life letu la kawaida sana Good morning friends
Tweet media one
82
154
612
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Kama unaamimi MUNGU anakupenda ndio maana upo salama hadi leo type Amen 🙏 Good morning friends
Tweet media one
61
84
601
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Mungu Baba muumba mbingu na nchi tunakuomba uiangalie timu yetu ya Yanga🔰 ishinde japo ka gori kamoja tu wote tuseme "Amen" Good morning friends
Tweet media one
101
81
604
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Ila u single ni mateso na unawatesa wengi😂 Cheki video kwenye comment 😂😂
Tweet media one
52
48
594
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
9 months
Usiache kusali sali sana maana tuko kwenye vita na watu ambao hatujui tuliwakosea nini na hatujui wanataka nini kutoka kwetu Good morning friends
Tweet media one
44
109
595
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
10 months
Tumetoka kwenye family ambayo subira ni nguzo na busara ni malengo ndio maana tunaweza kuishi na watu wa aina yote. Good morning friends
Tweet media one
71
116
581
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
3 months
Usije Dar Kama Unapenda Kulalamika
Tweet media one
30
76
588
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
MUNGU anaweza kukunyima ndizi moja asubuhi, jioni akakupa mkungu mzima wa ndizi jioni, kikubwa IMANI, unyenyekevu na subra kwake yeye atoaye. 🙏 Good morning friends
Tweet media one
51
115
565
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Tunapata, na tunapoteza tunafurahia na tunateseka ni sehemu ya maisha Good morning friends
Tweet media one
83
116
552
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
10 months
MGENI rasimi kwa kiingereza huitwaje..?
Tweet media one
101
36
548
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Kama unaamini ipo siku MUNGU atayageuza matatizo yako kuwa mafanikio sema AMEN
Tweet media one
61
94
537
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Maisha ya mtaani bila kazi yanatesa sana hasa kwa vijana kuna muda unakosa hata elfu moja ya chai. Ukipata kazi piga goti mshukuru mwenyezi Mungu waombee na vijana wenzako wapate kazi.🙏 Good morning friends
Tweet media one
74
103
538
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 months
Dunia ina watu wakatili sana😢Mungu amlaze mahali pema peponi "Amen" inauma sana wallah😭
Tweet media one
58
54
550
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
8 months
Msaada Mange kimambi atakuwa kabila gani..?
Tweet media one
106
29
540
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Ukiachana na "Dear Mama" Ni Hit Song Gani Nyingine Kali Kutoka Kwa 2pac.
Tweet media one
165
40
540
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
6 months
Yaya toure Lete kodi Tule
Tweet media one
17
38
539
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
2 years
Kuna age ukifika unakuwa hautaki mtu mwenye uongo mwingi. Good Morning Friends
78
93
516
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Ulikuwa na wanao wakina chino na Nani mwingine😂
Tweet media one
48
41
526
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
10 months
Taja BAR maarufu mtaani kwako..? Walevi tukwambie unaishi wapi.?😜😜 Mimi Smart😝
193
41
525
@GuzmnChapo1
Bonnie❤🇹🇿
1 year
Nina kuombea wewe mwanaume, mwanamke utakaye andika AMEN, MUNGU abariki uzao wako. 🙏
Tweet media one
118
71
525