Dear brother, kubadiri wanawake kila Siku kutakuumiza, unahisi unafaidi ila mwisho ni maumivu licha ya magonjwa unapoteza pesa, muda, heshima yako! Kuna wanawake ukilala nao nyota na kipaji chako vinakufa😶tunza nguvu zako, tafuta pesa, linda hisia zako!
Goods Morning Friends