@CloudsMediaLive
@kipepe123
ANAPASWA KUPIGA GOTI MWANAMKE.
Kama alama ya:-
1. Shukran kwa kuchaguliwa yeye miongoni mwa wengi.
2. Heshima na bahati ya kumpata anayempenda.
3. Unyenyekevu kwa mume wake.
4. Ahadi ya kuyaonyesha mapenzi mwanaume aliyoyafuata.
5. Kukubali kuwa mtu wa karibu zaidi wa mwanaume.
@TibaijukaHellen
@Rayanilommy
Nasema kwa sauti.
Kwa picha ya kawaida mwanaume mwenye akili sawasawa, itamchukua muda sana kuja kumuoa mdada mlevi...sababu.
>Ni dhahiri hapa hamna akili za malezi, mwili wake ni nyumba ya mtoto kwa miezi tisa. Kashaanza kuiwekea vilezi.
Kipindi cha ujauzito, je.?
ANAPASWA KUPIGA GOTI MWANAMKE.
Kama alama ya:-
1. Shukran kwa kuchaguliwa yeye miongoni mwa wengi.
2. Heshima na bahati ya kumpata anayempenda.
3. Unyenyekevu kwa mume wake.
4. Ahadi ya kuyaonyesha mapenzi mwanaume aliyoyafuata.
5. Kukubali kuwa mtu wa karibu zaidi wa mwanaume.
Mkibeba culture za watu donโt twist them into your own tribal misogyny. If you wanted her to kneel cause you โcanโtโ you shouldnโt have done the west style of proposals then mxew
@kipepe123
ANAPASWA KUPIGA GOTI MWANAMKE.
Kama alama ya:-
1. Shukran kwa kuchaguliwa yeye miongoni wengi.
2. Heshima na bahati ya kumpata anayempenda.
3. Unyenyekevu kwa mume wake.
4. Ahadi ya kuyaonyesha mapenzi mwanaume aliyoyafuata.
5. Kukubali kuwa mtu wa karibu zaidi wa mwanaume.
@ahmed__ally
Mwenda pole hajikwai
Polepole ndio mwendo
Haraka haraka haina baraka
Mbio za sakafuni huishia ukingoni
Haba na haba hujaza kibaba
Mchumia juani hulia kivulini.
Mpigwa saba alikua wa pili
Mpigwa saba alitufunga kwao
Majirani wakimbia mechi wasingizia mvua
@HakiElimu
Upangaji wa wanafunzi wa kike mtaani ni sababu inayopelekea kuanguka kwenye wimbi la mapenzi. Hili jambo linarahisisha usumbufu kutoka kwa vijana wa kiume hadi kupelekea utoro mashuleni na mwisho huleta usambazaji wa magonjwa ya zinaa na mimba za utotoni.
#UsipozibaUfa
@rollymsouth
Elimu yetu ni wazi inatutengenezea utegemezi,,,,,,,kama unataka kujiajiri hio ni elimu nyingine unapaswa kuwa nayo baada ya kumaliza masomo ya kawaida. Au ipoje hio ..???
@SportsarenatzTz
mbona kama mnakua wazito kuamini chama sio mtu wa kuongelea hovyo hovyo..?
Ni vile tu mwenyewe haringi hili jina lingetajwa kwa Milioni 7.
@ayubu_madenge
Yeye ni MCHAWI.
Ukisikiliza kwa makini kamtaja mchawi mwingine katikati ya WIMBO.
Anasema mchawi kaua watu wengi, hata waliokimbia coco beach alienda washikia kibiti akawaua.
Anasema huyo mchawi alivyotaka roho yake alikimbia kwa kinyongo akaenda jikoki akamuua yeye usiku.
@Sirjeff_D
Kwa uelewa wako.!
Unafikiri madaktari ndio wanapaswa kulinda afya yako.?
Kwamba wapo mahosptalini kwa ajili ya nyie msiofanya mazoezi na kula vizuri.?