![Frankie Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1815365268530499584/0MqE_LVc_x96.jpg)
Frankie
@phrankie136
Followers
242
Following
95K
Statuses
336
A Husband to my beautiful Wife and a Father to my beloved Son 🧒
Joined July 2013
@TRATanzania MSAADA! OTP zilichelewa kunifikia badala yake zikanifikia nikiwa nishatoka online, sasa nimekosa pa kuziingiza na kila nikijaribu tena Registration process nikifika kwenye kujibu maswali ya ku'verify info za NIDA inanipa ujumbe huo hivyo nakwama kufanya registration? @TRATanzania
0
0
0
@TRATanzania MSAADA! OTP zilichelewa kunifikia badala yake zikanifikia nikiwa nishatoka online, sasa nimekosa pa kuziingiza na kila nikijaribu tena Registration process nikifika kwenye kujibu maswali ya ku'verify info za NIDA inanipa ujumbe huo hivyo nakwama kufanya registration? @TRATanzania
0
0
0
@chapo255 Very good idea, na ameiotea at a right timing, hii 2025 ni election year hivyo Wabunge watamtumia sana kusukuma agenda zao. Tatizo ni platform aliyopo haina audience sana hivyo itawafikia wachache...
1
0
11
@ajiratimes Tatizo kwenye channel anapost Admin peke yake nyie wengine wote hamuwezi hata kuuliza chochote zaidi ya kuLIKE posts za Admin tu!
2
0
1
@ajiratimes Sasa hv naona mfumo wao uko sawa ila sasa mimi nimekutana na changamoto nyingine. Nikifika kwenye kipengele cha kujibu maswali ya ku'verify taarifa za NIDA inaniambia, " YOUR SESSION FOR ANSWERING QUESTION HAS EXPIRED, PLEASE TRY AGAIN " Nashindwa kuendelea sababu ya hiyo ERROR
1
0
2
@AdvocateKondele @DenyTheDr @DullahTheking2 @GoodluckMalekoJ @Kelvintate_ @Labella_Mafia95 @ms_tebbe @were46261 @milcamuranda Nina situation inayofanana na hii ya Mzee Suleiman kuhusu ndoa za mitala na urithi kwa watoto baada ya kufa kwa mzee, naweza kuja inbox kuomba ushauri?
1
0
6
@RGakwerere Guess what TPDF under Brigedia J.Mwakibolwa did to his M23 in DRC when he dared to threaten President Kikwete in 2013?
0
0
0
@Phbhimself Nawashangaa sana wabongo wanaosema ni bora Trump akate hiyo misaada kwa Afrika, Aisee kitaturamba! Endelea kupiga kelele half madhara yakianza kujitokeza ndio utajua hujui...
0
0
1
@fido_vato @Octavianlasway Braza nani kakutuma uje kutoa siri za watu humu mitandaoni...😂😂😂
0
0
13
@Phbhimself Hahahaha! Kwahiyo kubeba mchanga ilikuwa ni kuhamisha concentration na umakini wa maaskari kutoka kwenye vitu vingine na kuhamishia kwenye huo mchanga, very clever but high risky too!
0
0
33
@Akilistephen @swahilitimes Acha kukariri kutafsiri ubaya kwenye kila jambo, kodi inayokatwa kwenye mishahara ya waajiriwa nchini ni PAYE ambayo hukatwa kutoka kwenye mshahara wa mhusika moja kwa moja, muajiri haguswi popote na kodi hili sasa unasema ili asipate hasara gani hiyo unayoiengolea!???
1
1
22
@lifeofmshaba Waziri wa Mambo ya ndani aliyeshindwa ubunge na Wenje jimbo la Nyamagana Mwanza ni Masha...
0
0
1