Phbhimself Profile Banner
Paul Bonaventure Profile
Paul Bonaventure

@Phbhimself

Followers
43K
Following
25K
Statuses
35K

|| PEACE MAKER ✌🏿 || Author | - Medicines are my tools!💊 | Pharmacist | A human. Being. | Meditation Instructor 🧘‍♀️| HipHop🎶 |

Somewhere in Africa
Joined January 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Phbhimself
Paul Bonaventure
9 days
Watu wengi wamekuwa wakijifunza meditation tangu karne na karne, miaka na miaka. Sio kitendo kilichoanza hivi sasa bali ni kitendo kilichoanza tangu zamani na kimekuwa na faida mbalimbali kwa watu waliojifunza na kufanya taamuli. Wengine ni kutokana na kupunguza stress, kujifunza kuongoza akili zao, kuachana na mazoea wanayoshindwa kuyaacha na kutokana na kuongeza hekima ya kiimani. Ningependa kuelezea faida chache nzuri ambazo zinapatikana pale mtu anapofanya taamuli vyema na kwa mara kwa mara. • Taamuli (Meditation) inasaidia kutengeneza furaha ya ndani. Tunaposema furaha ya ndani tunamaanisha nini? Ni furaha unayotembea nayo wakati wote. Ni furaha isiyotegemea maisha yako yapoje, ni furaha isiyotegemea una vitu gani bali ni furaha inayopatikana ndani mwako. Wengi hupata furaha kutokana na hali na vitu, na kipindi cha wakati mgumu wao hukosa furaha kwani furaha yao inategemea vitu vya nje ambavyo havidumu milele. Lakini katika meditation unajifunza kuachana na kujishikilia na mawazo, fikra, hisia, na milango ya ufahamu. Unajifunza kuingia ndani na kutafuta kisicho na mwanzo wala mwisho. Ambacho wakati wowote upo nacho, nacho kinakuunganisha source/chanzo na ufahamu mkuu wa Ulimwengu ambao wakati wote mpo pamoja.
Tweet media one
2
5
54
@Phbhimself
Paul Bonaventure
2 hours
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu. Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani. Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee. . .
Tweet media one
0
0
3
@Phbhimself
Paul Bonaventure
6 hours
@PM_Sebatz Umesoma mpaka mwisho?
0
0
0
@Phbhimself
Paul Bonaventure
6 hours
@kahumbyanancy @GabrielMunyaga Mimi huwa siandiki kwaajili ya mtu asikie kile anapenda, huwa sichagui upande kwa maana sitaki kupotoka. Napoandika ukaona napingana mtazamo wako njoo na hoja tu, utajibiwa. Asante.
1
0
1
@Phbhimself
Paul Bonaventure
6 hours
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu. Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani. Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee. . .
Tweet media one
0
0
5
@Phbhimself
Paul Bonaventure
7 hours
@88makola Njoo DM
0
0
0
@Phbhimself
Paul Bonaventure
9 hours
@kahumbyanancy Bye 👋
0
0
1
@Phbhimself
Paul Bonaventure
10 hours
Karibu kwenye darasa la Meditation ujifunze na kujua mambo mbalimbali kukuhusu. Utajifunza namna Meditation inavyo badilisha maisha yako ndani ya muda mfupi na kuongeza uelewa wako wa ndani. Njoo Inbox nikupe utaratibu wa kujiunga na darasa hili la kipekee. . .
Tweet media one
0
0
7
@Phbhimself
Paul Bonaventure
10 hours
@emon_eram Hapana
0
0
0
@Phbhimself
Paul Bonaventure
11 hours
@Daviesalaam 😁😁
0
0
0