Tebbe 🫦 Profile Banner
Tebbe 🫦 Profile
Tebbe 🫦

@ms_tebbe

Followers
3,910
Following
3,445
Media
1,116
Statuses
69,253

Nauza nguo za mtumba za watoto gradeA,Pia nauza pochi za kike,viatu za kiume.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
6 hours
Jinunulie au mnunulie umpendae Price tsh40,000/= Call/whatsp +255 654328893 Naomba order na repost yako😘
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
29
36
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Kumbe Zambia ndio pazuri hivi🤓
Tweet media one
189
41
723
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@Sativa255 Hakuna kitu inauma kama kuona alietaka kukuua anaenjoy maisha halafu wewe umebaki na kilema🥹🥹 Mtu anaweza ona umechanganyikiwa ila maumivu unayajua wewe,wengine tupo kutoa pole tu.
4
10
347
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@bbosports Felipe demeyen etek giysin
3
0
267
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@la12tuittera @Augustocesar22 Este tipo no puede seguir más en Boca.
1
3
224
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Muda wa lunch huu umefika,hakikisha haukosi matunda kwenye mlo wako. Je unapendelea tunda gani?
Tweet media one
Tweet media two
38
44
168
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Naomba nikwambie tu. Kuiendea ndoto ni kujikana wewe ili uitumikie.Utapitia changamoto lukuki na hii ni kwa sababu,;hiyo ndoto uliyonayo ndio kitu uliletwa uje kuifanyia dunia Good morning mpendwa wangu😘
95
91
174
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
6 months
Zamani hapo kabla ulimwengu haujaanza kunichezea😒😒😒 Nani alitumia galaxy j?😃
Tweet media one
30
20
154
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
5 months
Vile future wife wako analiwa huko 😂😂
Tweet media one
32
12
140
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Jumaa kareem Sio kula biriani tu,tukumbuke na ibada
Tweet media one
42
35
137
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Doa dogo sana,huonekana kwenye vazi kubwa jeupe. Ubaya mdogo sana,huonekana katikati ya rundo la wema. Ubaya una kikomo,lkn wema unamuendelezo. Good morning my x family
64
70
132
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
5 months
Wife material nimesharudi msikitini Asalam Alykum jamiiya
Tweet media one
20
20
122
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@ExMayorUbungo Mmetuondolea roho ya mtu mwema ambaye ni hazina yetu. Tazama magari yote haya kutoka mikoani huko, ni ishara kwamba mmeondoa hazina kubwa sana kwetu. Haya maneno 😭😭😭
2
8
114
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@ExMayorUbungo Sikia tu kwa wenzio utoe pole Ila omba yasikukute 😭😭
2
7
112
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@julip202 Sasa huyo mpenzi wako si umpee hizo plan kama wampenda? Halafu usikute anakuona mjuaji ndio maana hakwambii mambo yake,sio kila mtu ni mpumbavu
2
1
110
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@ajansfenercom fenerbahçenin ilk kadın başkanı olacak 🧡🧡💛
0
0
105
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Matunda kwa afya ya mwili na akili Huku kijijini kwetu tunayapata fresh kutoka shambani😋
Tweet media one
35
22
105
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
4 months
@TMnyama4_ 😂😂😂subiri siku mubaba wake akukute utameza na hizo koki za maji
10
0
104
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@SanMarinoTeam España💪
2
0
104
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
7 months
Ndugu zangu nipo hapa nimeshika tama😌😌 Naombeni mnipe oda ya nguo za watoto mtaniua njaa jmn Ila hii mvua ya leo 🥹🥹
Tweet media one
15
19
100
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
3 months
Mwanamke anayependwa vizuri hawezi kuchepuka💋
15
14
98
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@la12tuittera @carrafiellofer qué bueno, basta de colombianos.💙
2
1
100
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
6 months
Leo tusipowafunga hawa mafuriko FC nitawafanyia delivery bure mwezi wote huu
Tweet media one
21
18
98
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
18 days
Faida ya kula haya matunda,yanasaidia kutunza ngozi yako Usiache kula matunda ni muhimu sana😘
Tweet media one
Tweet media two
74
21
98
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
6 months
Mliosema sitafika china Haya hapa ni wapi?😅😅
Tweet media one
21
13
95
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
26 days
Adui mkubwa ambae unatakiwa kupambana nae kwenye maisha yako ni UMASIKINI tu.
67
56
97
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
3 months
Leo nakula kabisa chakula cha usiku kwa mteja ndio narudi nyumbani🤓🤓
Tweet media one
Tweet media two
5
13
96
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
20 days
Chunga sana ULIMI wako,kusamehe ni rahisi ila kusahau ndio ngumu. Kuna muda maneno yanaumiza kuliko hata ile kupigwa.
74
23
97
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Mambo vipi Hakikisha unapatata viatu vizuri na bora Jinunulie au mnunulie rafiki. Bei tsh70,000 75,000 100,000/= 📞/whatsp 0654 328893 kwa order Repost yako muhimu kwangu😘🙏🏻
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
32
69
90
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
3 months
Original tutakutana mbinguni🫣
Tweet media one
24
17
87
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
20 days
Mambo vipi Price tsh100,000/= Brand Timberland Loc:Dsm(online store) 📞/whatsp +255 654328893 Naomba order yako😘
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
60
52
91
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
21 days
Kabla ya kumuhukumu mtu kwa tabia yake,jaribu kufahamu safari yake ya maisha kwanza na mapito aliyopitia Kisha MSHAURI
60
27
93
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
17 days
The more you learn The more you earn 🤞
81
22
92
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
3 months
@TMnyama4_ Hawa wanaopita mtaani wengi ni wezi na wameliza watu wengi mno,kiufupi jamaa hajakuelezea story vizuri ila hiyo line yake aliweka kwenye simu ya msajili na ni wale anakwambia unabadilishiwa line kuwa 5g na ofa ya bando
5
1
90
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
Vipi amekutafuta kukusalimia?au kila mtu aangalie maisha yake tusifuatiliane😂😂
63
60
90
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
15 days
Mungu wetu akulinde usiku huu,ulale salama na uamke salama pia mpendwa wangu Good night to you😘
67
19
87
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
28 days
Nimempost kasema nifute kuna watu anaheshimiana nao wataona 🥲🥲🥲 Mapenzi mimi baaasiiiii.
65
55
87
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
20 days
Good night my beautiful X friends Sleep well😘
72
29
88
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
14 days
Hello dear’s Price tsh40,000/= Loc:Dar es salam(online shop) ☎️/whatsp +255 654328893 Naomba order na repost😘
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
71
25
86
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
25 days
Wakikukataa haimaaninshi kuwa wewe sio wa thamani,ila wamekukataa kwa sababu hawajajua thamani yako. Wewe sio wa kwanza na wala hautakua wa mwisho kukataliwa. Ikiwa hata manabii na mitume walikataliwa lakini bado walisonga mbele.
72
51
84
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
22 days
Kama umeamka salama,basi usiache kumwambia MUNGU ahsante Good morning my x friends 😘
61
33
85
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
11 days
Focus in what you can control Not what you can’t control.
74
21
84
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@ExMayorUbungo Aibu anaona Mbowe hapo 😂😂😂 Ahsante kwa kutushirikisha,kupitia wewe na sisi tunashiriki mazishi ya mzee wetu👏
1
0
85
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
19 days
Ukishaishinda vita ya kutafuta mafanikio Usisahau vita ya kuyalinda hayo mafanikio Vita haziishi. Have a beautful night my x mates.
59
19
83
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Kujitambulisha mara zote ili kuiomba heshima ambayo ulistahili kupewa bila hata kuiomba ni mbaya sana Good morning x family😘
24
27
81
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
13 days
Ushawahi jiuliza huyo anaekuamsha siku akichoka utakua wapi? Kama haujui,basi mwambie MUNGU AHSANTE kwa afya na uzima. Good morning my x mates😘
60
28
83
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
JUMAPILI YAKO IKABARIKIWE Good morning x family,have a blessed sunday😘😘🙏🏻
59
53
79
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
Usijisumbue kutafuta watu bora wa kua nao kwenye maisha. Anza wewe kuwa huyo mtu bora kwanza,halafu uwatakao watakufuata.
45
44
81
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Punguza kuwa na matarajio makubwa ili upunguze lawama kwa watu.
34
36
80
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
14 days
We live among dangerous,jealous & evil people with FRIENDLY FACE. Be careful
72
19
83
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
25 days
Usiku umeingia,si unaona kila mtu anaenda kwake mnaagana na washkaji eeeh,unabaki mwenyewe. Sasa wewe endelea kuona familia yako haina maana. GO EAST GO WEST,BUT HOME IS THE BEST Have a good night my beautiful x family
53
46
81
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
KUNA UPANDE HUTOVUKA SHAURI YA KUPAMBANA KUMAINTAIN STATUS USIONAYO
48
43
82
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@mangekimambi Dada wa taifa hujawahi kutuangusha hata kidogo Hivi mna uhakika kama kirefu cha CCM ni chama cha mapinduzi kweli?🤔🤔
7
3
81
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
17 days
Ukitaka kusikilizwa na wewe jaribu kusikiliza wengine🤞
67
13
79
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Habari Karibu viatu vizuri na bora kutoka kwetu Jinunulie au mnunulie umpendae 📞/whatsp 0654 328893 kwa order Naomba repost yako😘
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
30
49
78
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
Shetani ahangaiki na matokeo,yeye ni mbora kwenye kuua chanzo. Hakikisha haumpi hiyo nafasi.
47
37
79
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@julip202 Anza na wakala Tafuta sehemu imechangamka,halafu jitambulishe kwa wakala wenzio ili uweze kuwaomba hata float ukiishiwa
1
1
78
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Matunda ni muhimu kwa afya ya mwili na akili Usiache kula😋😘
Tweet media one
15
16
76
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
29 days
REAL IS RARE,FAKE IS EVERYWHERE. Choose wisely✌️
59
43
78
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Unadhani wewe ni bora zaidi kuamka salama siku ya leo kuliko wale ambao hawakupewa nafasi? Jibu ni hapana,basi hakikisha unamwambia MUNGU ahsante kwa neema hiyo aliyokupatia ya uzima Good morning x family 😘
34
36
78
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
26 days
Unajua kwa nini umepata nafasi ya kuamka salama siku ya leo? Sio kwa ujanja wako bali Mungu bado ana kazi na wewe hapa duniani. Kikubwa zaidi anapenda shukrani. Good morning my x family.
59
45
77
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
30 days
Penzi zito kilo 150 wameblokiana kila mahali sa hii😂😂😂 Mapenzi ni……
60
52
78
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
24 days
Mungu ametuchagua tena kuona siku hii,sote tuseme AHSANTE KWA UHAI NA AFYA TELE. Goodmorning my beautful x friends.
57
48
76
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
6 months
Delivery ya leo ina mateso sana 🥲🥲🥲nimeloa mpaka…
Tweet media one
14
12
77
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
@la12tuittera @FabrizioRomano @taticiviello Pensar que fue suplente de campuzano
1
0
77
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
@ExMayorUbungo Wamemteka Wamemtesa,wamempiga wakamuua,lkn bado nafsi zao hazikufurahi mpaka wammwagie tindikali?😭 Haya nafsi zao na zifurahi,maana hawatamuona tena katika macho yao,ila mazuri yake yataendelea kuwatesa
3
3
74
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
20 days
Sad generation with happy pictures 😒😒
66
13
76
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Mungu wetu anatupenda,ndio maana ametupatia nafasi ya kumaliza siku yetu salama. Hivyo yatupasa kumshukuru. Nikutakie usiku mwema mpenzi,malaika wa ulinzi wazunguuke kitanda chako.
47
34
73
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
25 days
Ukiwa single huwaoni,sasa kua kwenye penzi lako motomoto uone vile wanakuja kama wametumwa 😒😒
52
46
74
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Mungu anahitaji vichache kutoka kwako Ni SHUKRANI tu kutoka kwako,usiache kumshukuru kwa kila nyakati unayopitia Good morning 😘
Tweet media one
37
38
72
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
1 month
Muumbaji wako asikupungukie na wala asikuache. Hakikisha haujiachi pia. Uwe na jumatatu njema yenye baraka tele. Good morning x family😘
50
36
74
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
26 days
Kwenye maisha utakuja kugundua kwamba kupenda wengine ni jambo zuri Ila kupenda wengine ukajisahau kabisa kujipenda wewe ni mbaya zaidi.
47
49
73
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Mambo vipi dear Pole na kazi😘 Siku yako imeendaje? Nikutakie jioni njema.
45
33
71
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
20 days
Huu muda mzuri wa kupata lunch,hakikisha unakula bhana. Au niachane na maisha yako?😂😂
53
15
73
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
2 months
Pole kwa majukumu mpendwa. Natumai siku yako imeisha salama😘 Mungu akujaalie ufike nyumbani salama. Take care Good evening😘.
33
41
72
@ms_tebbe
Tebbe 🫦
23 days
Tumeachaguliwa tena kuiona siku ya leo tukiwa wazima wa afya,tusiache kusema AHSANTE . Good morning lover’s😘.
50
32
72