@Sativa255
Hakuna kitu inauma kama kuona alietaka kukuua anaenjoy maisha halafu wewe umebaki na kilema🥹🥹
Mtu anaweza ona umechanganyikiwa ila maumivu unayajua wewe,wengine tupo kutoa pole tu.
Naomba nikwambie tu.
Kuiendea ndoto ni kujikana wewe ili uitumikie.Utapitia changamoto lukuki na hii ni kwa sababu,;hiyo ndoto uliyonayo ndio kitu uliletwa uje kuifanyia dunia
Good morning mpendwa wangu😘
Doa dogo sana,huonekana kwenye vazi kubwa jeupe.
Ubaya mdogo sana,huonekana katikati ya rundo la wema.
Ubaya una kikomo,lkn wema unamuendelezo.
Good morning my x family
@ExMayorUbungo
Mmetuondolea roho ya mtu mwema ambaye ni hazina yetu. Tazama magari yote haya kutoka mikoani huko, ni ishara kwamba mmeondoa hazina kubwa sana kwetu.
Haya maneno 😭😭😭
@julip202
Sasa huyo mpenzi wako si umpee hizo plan kama wampenda?
Halafu usikute anakuona mjuaji ndio maana hakwambii mambo yake,sio kila mtu ni mpumbavu
Mambo vipi
Hakikisha unapatata viatu vizuri na bora
Jinunulie au mnunulie rafiki.
Bei tsh70,000
75,000
100,000/=
📞/whatsp 0654 328893 kwa order
Repost yako muhimu kwangu😘🙏🏻
@TMnyama4_
Hawa wanaopita mtaani wengi ni wezi na wameliza watu wengi mno,kiufupi jamaa hajakuelezea story vizuri ila hiyo line yake aliweka kwenye simu ya msajili na ni wale anakwambia unabadilishiwa line kuwa 5g na ofa ya bando
Wakikukataa haimaaninshi kuwa wewe sio wa thamani,ila wamekukataa kwa sababu hawajajua thamani yako.
Wewe sio wa kwanza na wala hautakua wa mwisho kukataliwa.
Ikiwa hata manabii na mitume walikataliwa lakini bado walisonga mbele.
Usiku umeingia,si unaona kila mtu anaenda kwake mnaagana na washkaji eeeh,unabaki mwenyewe.
Sasa wewe endelea kuona familia yako haina maana.
GO EAST GO WEST,BUT HOME IS THE BEST
Have a good night my beautiful x family
Unadhani wewe ni bora zaidi kuamka salama siku ya leo kuliko wale ambao hawakupewa nafasi?
Jibu ni hapana,basi hakikisha unamwambia MUNGU ahsante kwa neema hiyo aliyokupatia ya uzima
Good morning x family 😘
Unajua kwa nini umepata nafasi ya kuamka salama siku ya leo?
Sio kwa ujanja wako bali Mungu bado ana kazi na wewe hapa duniani.
Kikubwa zaidi anapenda shukrani.
Good morning my x family.
@ExMayorUbungo
Wamemteka
Wamemtesa,wamempiga wakamuua,lkn bado nafsi zao hazikufurahi mpaka wammwagie tindikali?😭
Haya nafsi zao na zifurahi,maana hawatamuona tena katika macho yao,ila mazuri yake yataendelea kuwatesa
Mungu wetu anatupenda,ndio maana ametupatia nafasi ya kumaliza siku yetu salama.
Hivyo yatupasa kumshukuru.
Nikutakie usiku mwema mpenzi,malaika wa ulinzi wazunguuke kitanda chako.