Mkendi17 Profile
Mkendi17

@mkendi17

Followers
100
Following
86
Statuses
417

Joined May 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mkendi17
Mkendi17
25 minutes
@IAMartin_ @zittokabwe Hivi katubu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo analipwa tsh ngapi kwa mwezi na je taarifa ziko wazi??
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
34 minutes
@Ph_philipo @ItsKamala Ni mvuvu huyo
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
12 hours
@Dicrayh @MSAMBATAVANGUJ Kwani ukiumwa wew ukawa kwenye hali mbaya ndugu zako wakiomba msaada na ukapona ukaja kushukuru utasema ujaomba msaada ??
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
12 hours
@OlalWireman @ItsKamala CCM inatatizo gani sasa
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
12 hours
@AlexSamoja @ItsKamala Ukombozi gani tanzania tuko huru
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
12 hours
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
23 hours
@Dicrayh @MSAMBATAVANGUJ Ya prof J niuongo mke wake nilimsikia kwa vyombo vya habari akiomba mchamgo na ya lissu niwanachadema wenyew walipitisha mchango Tuweke taarifa sawa kwanza
1
0
0
@mkendi17
Mkendi17
1 day
@Ocajunior_ @zittokabwe Tuambie wanabadili mfumo huo kwa njia gani??
0
0
1
@mkendi17
Mkendi17
2 days
@zittokabwe Mh jitahid awamu nyingine pima kwanza afya ya udongo wako ili uweze kujua ni mbolea gani utumie pia zingatia mbegu inayoweza fanya vizuri mazingira ya joto maan mahindi yako yanaonekana yalikosa phosphorus na potasium Ni vyema ukajaribu zao lingine
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
4 days
@JMagherya @lwaitama1 Ukitumia wew inatosha
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
4 days
@IAm_CastoRobert @Rydx_017 CCM ni chama kikubwa na kinawatu wengi sana wenye weledi na utaalamu ila mpk wanampa makamu mwemyekiti mzee wasira kuna kitu mzee anacho na kulingana na siasa za sass zilivyo anahitajika mtu wa kariba ile kupambana na wapinzani wasira atspigs kazi nzuri sana
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
4 days
@IAMartin_ @MsigwaPeter Nilimsikia lema anasema kuwa mbowe alimuonea msigwa , kwaiyo wew ukiwa mpenda haki uliridhia maonezi yale ??
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
5 days
@tinmunishi127 Angetoa nnje
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
5 days
@IAm_CastoRobert @Rydx_017 Mimsingi lissu kwa sasa anakubalika lakini kisiasa wasira anauzoefu mkubwa na anaweza kuishi kisiasa tofauti na lissu
1
0
0
@mkendi17
Mkendi17
6 days
@Sativa255 Alafu mim naona yanga bado inafanya vizuri
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
6 days
@BILALIHASSANI2 @rollymsouth Wale wanajua wanachofanya sio wajinga ndio maana wanaumarufu na ushawishi kwenye jamii waheshim bro
0
0
0
@mkendi17
Mkendi17
6 days
@Rydx_017 Kisiasa wasira kamzidi sana lisu ila ni kwakuwa tu kwasasa lisu yupo kwenye kilele cha kukubalika
2
0
0
@mkendi17
Mkendi17
6 days
@kayombo29 @1960Remija Kwaiyo unakataa sio mshahara ndio umemtoa yanga ?? Au taarifa zinazotolewa ni za uongo sio
0
0
1
@mkendi17
Mkendi17
7 days
@RahmaMwita CCM haitumii pesa ya serikali kufanya hayo CCM wanavyazo vingi vya mapato ambavyo vinaweza kufanya hayo
0
0
0