Dicrayh Profile Banner
DH Profile
DH

@Dicrayh

Followers
2K
Following
418
Statuses
3K

Humanitarian || Storyteller || Content Creater ||

Arusha
Joined August 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Dicrayh
DH
13 hours
Jimbo jepesi sana Uchaguzi Mkuu 2025
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
0
0
@Dicrayh
DH
22 hours
@mkendi17 @MSAMBATAVANGUJ Ulimsikia Profesa J akiomba mchango?
1
0
0
@Dicrayh
DH
1 day
Ukimya wa @TunduALissu unaumiza kuliko Mkutano wa Hadhara.
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
1 day
RT @gidionalex31: Nimepewa Taarifa na Mwenyekiti wa Kijiji Cha Minyinga Ulimpigia simu Juzi, Naomba Nikuhakikishie Huna la kunifanya na wal…
0
102
0
@Dicrayh
DH
1 day
Congratulations to Andrey Santos and his wife on the birth of their child. We have a new blue! πŸ’™
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
1 day
RT @HecheJohn: Unaita vijana kwamba kuna ajira za ualimu, wanaomba ajira vijana 15,136. Alafu eti waliochaguliwa kwenda kwenye usahili hatu…
0
369
0
@Dicrayh
DH
1 day
Kumekucha πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
1 day
@MwananchiNews @pikaso_me screenshot this
1
0
5
@Dicrayh
DH
1 day
@MwananchiNews @pikaso_me screenshot this
1
0
1
@Dicrayh
DH
2 days
Hii nchi raha sana πŸ˜‚
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
0
2
@Dicrayh
DH
2 days
Ule msemo "Kuna hela naisikilizia" Kumbe sio uongo
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
2 days
@elonmusk ananikumbusha sheria za mpira wa kitoto wa zamani. Mwenye mpira wake, Anachagua nani acheze Mchezaji mzuri lazima awe kwenye timu yake Hutakiwi kumpiga chenga sana Ukimuuzi mwenye mpira wake basi mechi au mchezo unaisha.
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
2 days
@Sativa255 Vijana wamemvumila sana. Sasa wameanza kumshushia heshima
0
0
2
@Dicrayh
DH
2 days
@godbless_lema Tatizo lugha. Huwezi kuona Chawa wakija kukushambulia
0
0
0
@Dicrayh
DH
2 days
Cristiano Ronaldo Jr
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
4 days
Round ya pili pambano lilikuwa kali sana
0
0
0
@Dicrayh
DH
4 days
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
0
0
1
@Dicrayh
DH
6 days
Justin Bieber ameonekana akielekea studio kurekodi ngoma huko New York City Marekani..!
Tweet media one
0
0
0
@Dicrayh
DH
6 days
Azam ilibadilika sana kipindi wanafundishwa na Abdi Moallin. Azam katika mechi zao nyingi walimiliki mpira zaidi kuliko wapinzani wake. Na ndio sifa kubwa ya Abdi Moallin. Hata pale inapotakiwa kupoteza muda Moallin anaamini katika kumiliki mpira sio kubutua au kutoa mpira nje.
Tweet media one
1
0
1