Japo kwa udogo ila hii itasaidia kusanua watu wengi kama moja ya vitu muhimu sana katka simu zetu, wengi wetu tuna tumia simu kwenye kupga kutuma message kuingia katika social networks na kupga picha ila atufahamu kwamba simu ina mambo mengi ya kuyafahamu. Usisahau kuni follow 🤝