todayslm Profile Banner
Leonard Mutani Profile
Leonard Mutani

@todayslm

Followers
219
Following
12K
Statuses
3K

Freelance Photojournalist, Events planner, Reality, Environment and Wildlife Care

Tanzania
Joined October 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
@todayslm
Leonard Mutani
1 hour
@KimaniN75295726 @SheikhPonda Elimu ya hiki ulichoandika huwa ni ngumu sana mtu wa kawaida kuielewa, maana inataka utulivu na kuondoa hasira!.
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
5 hours
@ms_tebbe @Deo18Tarimo Hizi siyo mpya (full new bus) ila kipya ni (jengo la basi) kununua bus mpya aina ya Scania Marcopolo yenye guarantee ni wachache wanaweza. Labda kidogo waarabu flani hivi, tena anachukua bus moja/mbili, jamaa zetu hawa ni ujanja wa kiufundi tu. Although kufanya hivi pesa iwepo.
0
0
2
@todayslm
Leonard Mutani
6 hours
@EngMapundajr @Jay_Electrician Hivi mnaposema maisha ya Arusha yapo juu huwa mnakusudia nini hasa?.
0
1
1
@todayslm
Leonard Mutani
6 hours
@Professionature @Mwitah_tz Na hayo yanayokuja siyo kwa phase ya mbagala bali Kimara, Mbezi 😀!.
0
0
2
@todayslm
Leonard Mutani
21 hours
@makole_emmanuel @MSAMBATAVANGUJ Kumbe alikuwa muinjilisti wa vitabu eeh?.
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
21 hours
@kimaramatosa @MSAMBATAVANGUJ Pesa ndogo?. Hata kama raia wanamtizama ni wachache sana hao raia wanaonufaika naye. Ila faida ni kubwa kuliko hasara in 5yrs of leading through our chance!.
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
21 hours
@Arnold99460204 @awamisammy Labda "upo marekani labda au tufanye London" lkn no boundaries kupitia X unafanya lolote tu, ndiyo maana kuna jamaa wapo beyond lkn wanafanya kazi zao hapa bongoland. Hivyo tuma pesa tutunze maua hayo kijana 😂!.
0
0
1
@todayslm
Leonard Mutani
21 hours
@SongalimiJ @MSAMBATAVANGUJ Kwa nini unasema (Chadema mwenzenu) do you mean kila aliye X na anajadili politics ni mwanasiasa either wa CDM or CHAUMA?. Why're these fools thinking mnapenda kutumia?.
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
22 hours
@Liberatus80 Kwani hiyo video ya leo au jana?
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@danso_theone @tycoon5273 Daaa, vijana nyie!!
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@phrankie136 @Enemy_19 Frankie usitulie maanani kila tweet humu, siku hizi X imekuwa ya ajabu sana, vijana wanatafuta engagement ili kupata pesa kwa kuandika jambo lolote iwe anajua au hajui. Kikubwa apate views apate pesa!.
2
0
7
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@SongalimiJ @MSAMBATAVANGUJ Mbona umejibu haraka sana bila kusoma na kuelewa ndg @MSAMBATAVANGUJ?. Rudia kuelewa nilichoandika basi!.
1
0
1
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@diversity2028 @MengiMunishi @godbless_lema Nafaham hii kauli ina muda na imeibuliwa hili kuamsha hisia za watu kutokana na Elon tweet. Ila kuna waafrika kama mimi hawa ndiyo hawaelewi hata kauli ya Malema ya juzi inamjibu Elon kivipi. Sisi waafrika bado ni wanyonge sana kwa white people!.
0
0
1
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@Sativa255 Hii scene inaenda kuokoa maisha ya mtu fulani hapa, watu ndani ya behind ya scene they're very serious to show us fake in reality daa!.
1
0
12
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@TBoundBuses @BusWorldTZ @kahama_buses @LadiicOfficial @SouthernBuses @wasafirtanzania @BusesFans @BusWorld_EA @munyamambogo @bajabiri @climberJet Nikiwa kwenye tasnia hiyo as Freelancer kuna wakati nimejiona ni haki yangu kupiga picha mtu, kitu au eneo kisa nimebeba camera. Kuna maeneo ni Prohibited 🚫 no Camera allowed, hata kama camera allowed basi toa taarifa kwa wahusika kwamba una jambo lako na utalenga kitu gani.
0
1
2
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@diversity2028 @MengiMunishi @godbless_lema Wanaomlaani Malema kwa kauli yake, mbona hawasemi kauli yake imetokana na nini?. Akiwa ni Msouth hana haki ya kusema japo inaweza kuwa ngumu as we read?.
1
1
3
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@Agriculfuture Asante sana kwa ubunifu, nitajaribu kufanya hii!.
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@dremontanna8 @TanzaniaOneJezi Watu kutoka wapi, 😂😂😂🤣🤣!
0
0
0
@todayslm
Leonard Mutani
1 day
@mshambuliaji Ingependeza mazoezi kama haya ya nchi kavu yangefanyika kwenye mikoa ya Kigoma au Kagera, naona kabisa huko kungetoa matokeo chanya 😅!.
0
0
10