Una plan ya kusafiri kwenda Mikoa ya kusini kutokea Dar es salaam? Yaani Mtwara ,Lindi na Ruvuma .
Nakusogezea mabasi ambayo yatakufikisha huko
#Ruvuma
1.Mbinga - Superfeo Express
2. 📍Songea ,madaba na Namtumbo-Superfeo na Newforce enterprises
#Ajari
😭😭
Basi la kilimanjaro Express linalofanya safari zake kutoka Tunduma kuelekea Dar es salaam likepata ajari asubuhi hii Senjele ya pili, kama una ndugu jamaa na rafiki alikua anafanya safar na basi hilo wasiliana nae kujua hali yake
Kuna zile stori za shule kuna janaa anapiga shule nzima kwenye shule jirani nyie mnasema wale wazembe tu akija huku tutajipigia ,
Mara ghafla kahamia shuleni kwenu 😂
Watu 18 wamefariki dunia papo hapo baada ya Costa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkoani Iringa, Eneo ambalo ajali hiyo imetokea, ndilo ambalo basi la Majinja liliangukiwa na lori mwaka 2015 na kuua zaidi ya watu 40.
Source:mwananchi
Mkurugenzi ananunua Gari kwa lengo la kufanya biashara
Mnazi anaipa target ya kukaa mbele kila siku
Dereva anahakikisha hakuna chuma inayo mpita
Latra sasa 😂
Nadhani ndio kampuni pekee yenye jina linalosadifu na yaliyomo.
#UPPERCLASS
na matendo yake ni sawa sawa.
Kampuni gani nyingine inayotendea haki jina lake?